May God lead you in every way of your life live Long our sheikh ❤❤❤❤❤ jazakallakher.may God reward you Jannah. Me nimeshona viatu watu wakawa wanacheka mwanamke kushona viatu ila nilipendwa sana na nikawa na castomer .ila Bado kwa yote nashukuru Mungu .
Assalam alaykum warahmatullahi wa barkkatuhu Sheikh Athman Michael. Nakupenda kwajili ya Allah. Sijaona Sheikh kama weye anafundisha wazi njia za kufanikiwa . Haufichi Elimu kwa hio naomba Allah akupe kila la kheri duniani n'a Akhera.
Asalam aleikom mimi ujifunza mambo mengi sana na shekh wetu ninge penda sana kumwona naishi canada insha ALLAH nikija africa kwa uwezo wa ALLAH ninge penda kukuona shekh
Mii ndo maisha napitia hasadi imenizidi mpaka naendea kumaliza mtaji nilikuwa nsomesha watoto sasa hivi nashidwa niikuwa na akiba nimeimaliza nisaidie nahisi kufunga ata hii biashara yangu
Assalamaleykum sheikh Mimi pia napitiya chagamoto katika maisha Nina mume pia mambo yake hayapo Sawa je nifanyeje nikidai talaka najuwa sio Sawa dhambi je nifanyeje miaka 3 sasa bwana hujafaulu kazi 😢😢😢😢😢😢
Acha uongo rizki ilishafunguliwa na allah mtoaji.sasa unaposema kufungua rizki nani kafunga na nani kampa uwezo aliyefunga.huu si ndo ushirikina na ushenzi tu.rizki zetu zimeandikwa na allah tukiwa tumboni alafu unatudanganya kufungua ulizifunga wewe.
@@omarjr1791 nijibu swali moja tu hiyo riziki iliyofungwa imefungwa na mwamba gani mwenye uwezo zaidi ya allah aliyeandika kwetu na akaahidi tutapata na kweli akatupa nijibu hapo tu.
@@omarjr1791 we uliyemsikiza vizuri swali langu nani kafunga hiyo riziki make allah mtoaji hajatuambia nitafunga riziki bali alituahidi ataturiziki ndo maana alituumba
Unaweza ukawa umeandikiwa rizki na mola ila ukawa una llaana za allah za ukoo ndoman tukaamlishwa tumuombe Allah ata kijiko cha chai basi ujue allah ni mkubwa sana ukitaka adhina ya mfalme lazima unyenyekee kwaiyo usiseme hivyo
Mashallah shekh wetu ,kupitia ww hatutakiwi kukata tamaa tuzidi kumcha allah na kufata mafundisho ya mtume wetu ishaalh tutafanikiwa akhera na duniani
inshaallah
May God lead you in every way of your life live Long our sheikh ❤❤❤❤❤ jazakallakher.may God reward you Jannah. Me nimeshona viatu watu wakawa wanacheka mwanamke kushona viatu ila nilipendwa sana na nikawa na castomer .ila Bado kwa yote nashukuru Mungu .
Assalam alaykum warahmatullahi wa barkkatuhu Sheikh Athman Michael. Nakupenda kwajili ya Allah. Sijaona Sheikh kama weye anafundisha wazi njia za kufanikiwa . Haufichi Elimu kwa hio naomba Allah akupe kila la kheri duniani n'a Akhera.
Jazakalah kheri shekhe. Dua zako ni mubashara sana kwangu. Allah akihifadhi. Amiin.
Masha Allah very beneficial lecture, BarakAllah feek sheikh🙏🙏🙏
Mashallah shekheh anamaneno yakumtia mtu nguvu jamani Alhamdulilah
Assalam aleikum warahmatullahi wabarakatuh. Sheikh, may Allah reward you abundantly, kwa hili kisomo, limenifaa sana alhamdulillah. 13:47.
Jazaakallahu khair sheikh. Shukran sn Kwa elim nzuri. Ila sheikh mimi ni tatizo nimekuwa mawaidha yako vizuri lkn naishia kukata tamaa subhaanallah. Tafadhali niombeeni Dua ndugu zangu waislam
In sh allah utafanikiw
Fanya subra yote hiyo nimajaribio ..utafika in sha Allah
Mashaallah mungu azid kukuweka shekhe kiukwel napenda kusikiliza mawaidha yako,kiukwel umenibadilsha sana
Shekh unafani nyingi sana Allah akupe Kila lakher
Mashallah Allah azidi kukuweka tuzidi kupata elimu zaidi inshallah
.k
Asalam aleikom mimi ujifunza mambo mengi sana na shekh wetu ninge penda sana kumwona naishi canada insha ALLAH nikija africa kwa uwezo wa ALLAH ninge penda kukuona shekh
Jazakalahu kheir sheikh may Allah reward you
Mashaallah tabarakallah fih mashallah mungu azidi kukupa afya inshaallah napenda sana kukusikiza mashallah allhamdllh all the way from Kenya
Mashallah mungu akuweke ili uzidi kutuelimisha❤❤❤❤
Mashaallah kupitia ww nimejifunza kutokukata tamaa ALLAH Akuhifadhi
Sheh sisi hatujui izosura twambie zigine zakuleta mali za Allah samahani Niko vibaya😢😢
Jamani I love how soft spoken you are. MashaAllah
nimejifunza kuhusu istoria hii mashaallah❤
ALLAH AKULIPE KILA LA KHER SHEIKH WETU JADHAKALLAH KHER ALLAH ATUJAALIE MWISHO MWEMA WOTE INSHALLAH
mashaAllah,shukrn shekh Allah akuhifadh.shekh na dua yakupata ndoa tafdhar🙏
Mashallah mashallah Sheikh Allah akulinde na akupe kheri
Amini inshaallah, naomba nmi nwe miongon mwa wenye kurudukiwa km ww shekh.mashaallah mungu akuongezee zaidi inshaallah
Masha Allah 🙏 sheikh
Mash Allah tabarak Allah kheri, Jazzak Allah kheri
Subhanaallah mashaallah takbir allah akbar mashaallah mungu akupe ilmaa nnafia ameen inshaallah ameen
Mashalwah Mungu atupe kila la kheir tunalomuomba na cc
Dug kwel watu wanametoka mbal na wamepitia meñg allah akulipe kila la kheri akulinde na husda shekh we ❤
Mashallah Mungu akutanguliye kwa kila jambo lako🤲🤲🤲sheikh tupe dua ya kushika ujauzito
Mswalie mtume sana na baada omba kila siku fanya elfu saba ama uwezavyo
@@firstlady9848 Shukran sana inshallah lazima elfu saba kisha niwe na tasibihi ili nijuwe ama???
Sadaka za kutoa ni nzuri mno jmn kutoa ni kuzuri Allah Atujalie sote
Mashaallah Sheikh othuman Allah akujaalie afya njema ili tuendelee kupata elimu hizi
Maashaalah Allah is great🙏🙏🙏
Mashallah mashallah Allah akujazi kheir kwa kula jambo lako from USA
Mashalla mungu akubark ishaalla
❤❤❤mashaallah mungu ni mkubwa
Shukran Sana ndugu 🙏
Aslaam alykum ,ahsante sana mungu akuzidishie je,pia kwa sisi tusio jua kusoma
Subuhana Allah akuzidishie kher na umuri
Duaa inaanza 13:00. JazakAllah 🎉!
MaashaAllah, sheikh natumai siku moja nitakuona.
Mashanllah shekhe allah atujaalie na sisi tusiwe wenye kukata tamaa hakika kumpenda allah na mtume wake ni nusra kubwa
subhaana-llah-allah-akpe-subra-katika-maisha-yko
Mansha Allah 😭macozi yanatoka
allah akufanyie wepes
Masha Allah sheikh
Upo vizuri sheikh
Sheikh Allah Akulinde na Akuhifadh.
MashaAllah ❤
ماشاءاللہ تبارک وتعالیٰ
Mashallah mungu akubarik inshaaalah
Maa shaa Allah
Sub haana Allah
Wal hamdulillah
Allahu Akbar
Mashaallah shekh Allah akuzidishie kila kheri uzidi kutufunza
Barakallah
Allah akuzidishiye 🤲
MASHAĹLAHSHEIKMUNGUAKUTANGULIEINSHALA
Assalam walaikum warakmatullah wabarakatuh, Allah akupe sheh ,naturahisishiye
Mashaallah
Mashallah
Asalam alaikum warahmathullah wabarakatuh...sheikh naomba nambayako thafadhali .
Mashallah yarab atuajalie
Kwa mimi mkristo sasa sijui kusaliii wala sijui duaa
Mashallah jifunze
Du watu wanatoka mbali sana
Mii ndo maisha napitia hasadi imenizidi mpaka naendea kumaliza mtaji nilikuwa nsomesha watoto sasa hivi nashidwa niikuwa na akiba nimeimaliza nisaidie nahisi kufunga ata hii biashara yangu
MashaAllah.👍🏻
Mashaa Allah
Manshaalhaa
Usiku wa jana nilikuota sheikh
Masha Allah tabaraka Rahman
mashalaah
Subira ninjema Allah alitaka ufanye kaziyake.huko kote kulikuwa sikwako.
Inshallah
MashaAllah
MaashaAllah
Mashallah❤
Allah hu Akibar mung nimkubw kufanya kutukutanish nawew shekhe mung akupe afya tupate mengi zaid
Hayaa yote napitiya sijawahi yasema kwetu laiti nitajaribu kusema hali ya mume hanaa kipatoo wallah atadhaurika aniambia niachwe nae naombeni msadaa Kaka zangu dada zangu sote waslamu
Asante shehe wangu
Mashallah shekh , but wandugu wengine wafa yia mazuri wanakulipa husda
Mashaallah nakushukuru sana shekhe najifunza mengi sana kupitia wew alhamdullilah 🤲🤲😭
kabisa allah ampe itaji lamoyowake nasisi sote insha allah
Assalamaleykum sheikh Mimi pia napitiya chagamoto katika maisha Nina mume pia mambo yake hayapo Sawa je nifanyeje nikidai talaka najuwa sio Sawa dhambi je nifanyeje miaka 3 sasa bwana hujafaulu kazi 😢😢😢😢😢😢
mashallah,,,sheikh wasoma kila siku ama ?na wasoma hizo mubeen saba wafatliya na waqiya pia zitakuwa saba..
Je ushauri NI upi hapa sheikh
MashaaAllah shekh Allah akujaalie kila la kher hapa duniani na kesho akheri shukran
❤
Sheikh naomba no zakuwasiliana nawee tafadhali
Mm nisaidie kwa hayo yakukataa nikoba ya uchaei sasa wasiwasi ni kutolewa kafara tafadhali
🌹❤️🙏
❤❤❤❤
Asww shekh ndumurundikazi .ariko icirwa utaze .ngiye kuzokora ivyobintu kuko .fise ikibazo cumwana wanje nifuza koyova mubiyovyabwenge
Maneno yako mazur Sheikh unanifanya machoz yananitoa
Ma Sha Allah, Amin
شكرا جزيل
Asw naomba namba ya sheh
Sheikh naomba unisaidie nimenyolewa nywele sehemu mbili nifanyaje mim sipati pesa
Na omba dua ya kushika mimba
Inshaallah nitafute
Mungu akulipe
Jazakum Allah khayira
Nataka namba zako sheikh
Sheikh sura hizo sizijui naswali na sura ndogo tu dua naomba kiswahili tu nifanyaje
Na kama hujafikia hiyo surat utaisomaje shekh
Ustadhi namba zakotafadhali
Acha uongo rizki ilishafunguliwa na allah mtoaji.sasa unaposema kufungua rizki nani kafunga na nani kampa uwezo aliyefunga.huu si ndo ushirikina na ushenzi tu.rizki zetu zimeandikwa na allah tukiwa tumboni alafu unatudanganya kufungua ulizifunga wewe.
Kaka msilize vizuri kwanza
Pia kaka tunapitishwa ktk haya ili tuutambue uwezo na kubwa wa ALLAH hivyo usibishe kaka
@@omarjr1791 nijibu swali moja tu hiyo riziki iliyofungwa imefungwa na mwamba gani mwenye uwezo zaidi ya allah aliyeandika kwetu na akaahidi tutapata na kweli akatupa nijibu hapo tu.
@@omarjr1791 we uliyemsikiza vizuri swali langu nani kafunga hiyo riziki make allah mtoaji hajatuambia nitafunga riziki bali alituahidi ataturiziki ndo maana alituumba
Unaweza ukawa umeandikiwa rizki na mola ila ukawa una llaana za allah za ukoo ndoman tukaamlishwa tumuombe Allah ata kijiko cha chai basi ujue allah ni mkubwa sana ukitaka adhina ya mfalme lazima unyenyekee kwaiyo usiseme hivyo