FUNGUA RIZIKI ZAKO HAPA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 21. 11. 2023

Komentáře • 122

  • @hamidahnassoro-12
    @hamidahnassoro-12 Před 8 měsíci +25

    Mashallah shekh wetu ,kupitia ww hatutakiwi kukata tamaa tuzidi kumcha allah na kufata mafundisho ya mtume wetu ishaalh tutafanikiwa akhera na duniani

  • @zahraabdul9652
    @zahraabdul9652 Před 8 měsíci +11

    May God lead you in every way of your life live Long our sheikh ❤❤❤❤❤ jazakallakher.may God reward you Jannah. Me nimeshona viatu watu wakawa wanacheka mwanamke kushona viatu ila nilipendwa sana na nikawa na castomer .ila Bado kwa yote nashukuru Mungu .

  • @user-vl7sx9zw3e
    @user-vl7sx9zw3e Před 8 měsíci +10

    Assalam alaykum warahmatullahi wa barkkatuhu Sheikh Athman Michael. Nakupenda kwajili ya Allah. Sijaona Sheikh kama weye anafundisha wazi njia za kufanikiwa . Haufichi Elimu kwa hio naomba Allah akupe kila la kheri duniani n'a Akhera.

    • @Sam-hk9hi
      @Sam-hk9hi Před 8 měsíci +1

      Jazakalah kheri shekhe. Dua zako ni mubashara sana kwangu. Allah akihifadhi. Amiin.

  • @saeedsaeed7381
    @saeedsaeed7381 Před 8 měsíci +12

    Masha Allah very beneficial lecture, BarakAllah feek sheikh🙏🙏🙏

  • @user-yy5fh5fv6q
    @user-yy5fh5fv6q Před 7 měsíci +4

    Mashallah shekheh anamaneno yakumtia mtu nguvu jamani Alhamdulilah

  • @aminaaziz7227
    @aminaaziz7227 Před 8 měsíci +5

    Assalam aleikum warahmatullahi wabarakatuh. Sheikh, may Allah reward you abundantly, kwa hili kisomo, limenifaa sana alhamdulillah. 13:47.

  • @user-wn8oi3zh4e
    @user-wn8oi3zh4e Před 8 měsíci +10

    Jazaakallahu khair sheikh. Shukran sn Kwa elim nzuri. Ila sheikh mimi ni tatizo nimekuwa mawaidha yako vizuri lkn naishia kukata tamaa subhaanallah. Tafadhali niombeeni Dua ndugu zangu waislam

  • @mariamally836
    @mariamally836 Před měsícem

    Mashaallah mungu azid kukuweka shekhe kiukwel napenda kusikiliza mawaidha yako,kiukwel umenibadilsha sana

  • @user-hu3uw4pd7y
    @user-hu3uw4pd7y Před 6 měsíci +2

    Shekh unafani nyingi sana Allah akupe Kila lakher

  • @maulion5733
    @maulion5733 Před 8 měsíci +6

    Mashallah Allah azidi kukuweka tuzidi kupata elimu zaidi inshallah

  • @user-px4pj6lo7e
    @user-px4pj6lo7e Před měsícem

    Asalam aleikom mimi ujifunza mambo mengi sana na shekh wetu ninge penda sana kumwona naishi canada insha ALLAH nikija africa kwa uwezo wa ALLAH ninge penda kukuona shekh

  • @nuria7223
    @nuria7223 Před 7 měsíci +3

    Jazakalahu kheir sheikh may Allah reward you

  • @zeinabathman4969
    @zeinabathman4969 Před 8 měsíci +2

    Mashaallah tabarakallah fih mashallah mungu azidi kukupa afya inshaallah napenda sana kukusikiza mashallah allhamdllh all the way from Kenya

  • @user-tv8fv8gd8z
    @user-tv8fv8gd8z Před 7 měsíci +2

    Mashallah mungu akuweke ili uzidi kutuelimisha❤❤❤❤

  • @user-ht5fo9sn7f
    @user-ht5fo9sn7f Před 7 měsíci +2

    Mashaallah kupitia ww nimejifunza kutokukata tamaa ALLAH Akuhifadhi

  • @zuramarakia8467
    @zuramarakia8467 Před 8 měsíci +3

    Sheh sisi hatujui izosura twambie zigine zakuleta mali za Allah samahani Niko vibaya😢😢

  • @mariammwiso
    @mariammwiso Před 7 měsíci +3

    Jamani I love how soft spoken you are. MashaAllah

  • @Weirdguy777
    @Weirdguy777 Před 5 měsíci +1

    nimejifunza kuhusu istoria hii mashaallah❤

  • @ashashaban6484
    @ashashaban6484 Před 8 měsíci +2

    ALLAH AKULIPE KILA LA KHER SHEIKH WETU JADHAKALLAH KHER ALLAH ATUJAALIE MWISHO MWEMA WOTE INSHALLAH

  • @AminahMtwa
    @AminahMtwa Před 5 měsíci +1

    mashaAllah,shukrn shekh Allah akuhifadh.shekh na dua yakupata ndoa tafdhar🙏

  • @user-ym7dc2jf4n
    @user-ym7dc2jf4n Před 8 měsíci +2

    Mashallah mashallah Sheikh Allah akulinde na akupe kheri

  • @user-ir9xj5yt5p
    @user-ir9xj5yt5p Před 7 měsíci +1

    Amini inshaallah, naomba nmi nwe miongon mwa wenye kurudukiwa km ww shekh.mashaallah mungu akuongezee zaidi inshaallah

  • @ZuraAdam
    @ZuraAdam Před 7 měsíci +2

    Masha Allah 🙏 sheikh

  • @AndulHida-hs5py
    @AndulHida-hs5py Před 8 měsíci +2

    Mash Allah tabarak Allah kheri, Jazzak Allah kheri

  • @zeinabathman4969
    @zeinabathman4969 Před 8 měsíci +1

    Subhanaallah mashaallah takbir allah akbar mashaallah mungu akupe ilmaa nnafia ameen inshaallah ameen

  • @tutuuab5655
    @tutuuab5655 Před 6 měsíci +1

    Mashalwah Mungu atupe kila la kheir tunalomuomba na cc

  • @miishhassn
    @miishhassn Před 8 měsíci +1

    Dug kwel watu wanametoka mbal na wamepitia meñg allah akulipe kila la kheri akulinde na husda shekh we ❤

  • @ladyr.r9964
    @ladyr.r9964 Před 8 měsíci +7

    Mashallah Mungu akutanguliye kwa kila jambo lako🤲🤲🤲sheikh tupe dua ya kushika ujauzito

    • @firstlady9848
      @firstlady9848 Před 8 měsíci +2

      Mswalie mtume sana na baada omba kila siku fanya elfu saba ama uwezavyo

    • @ladyr.r9964
      @ladyr.r9964 Před 8 měsíci

      @@firstlady9848 Shukran sana inshallah lazima elfu saba kisha niwe na tasibihi ili nijuwe ama???

  • @farhannahomary5505
    @farhannahomary5505 Před 8 měsíci +2

    Sadaka za kutoa ni nzuri mno jmn kutoa ni kuzuri Allah Atujalie sote

  • @mohamedimuhango4440
    @mohamedimuhango4440 Před 8 měsíci +3

    Mashaallah Sheikh othuman Allah akujaalie afya njema ili tuendelee kupata elimu hizi

  • @saumusulaiman4742
    @saumusulaiman4742 Před 6 měsíci +1

    Maashaalah Allah is great🙏🙏🙏

  • @mumtazaidarus1330
    @mumtazaidarus1330 Před 8 měsíci +1

    Mashallah mashallah Allah akujazi kheir kwa kula jambo lako from USA

  • @AminahajiNk
    @AminahajiNk Před 8 měsíci +2

    Mashalla mungu akubark ishaalla

  • @user-ck4yi5ul3g
    @user-ck4yi5ul3g Před 6 měsíci +2

    ❤❤❤mashaallah mungu ni mkubwa

  • @asmahtamla4749
    @asmahtamla4749 Před 5 měsíci +1

    Shukran Sana ndugu 🙏

  • @user-yf3cw2yd8b
    @user-yf3cw2yd8b Před 8 měsíci +1

    Aslaam alykum ,ahsante sana mungu akuzidishie je,pia kwa sisi tusio jua kusoma

  • @user-ep1qw4nq5i
    @user-ep1qw4nq5i Před 3 měsíci

    Subuhana Allah akuzidishie kher na umuri

  • @MSalem786
    @MSalem786 Před 5 měsíci +1

    Duaa inaanza 13:00. JazakAllah 🎉!

  • @rashidawangara1318
    @rashidawangara1318 Před 8 měsíci +2

    MaashaAllah, sheikh natumai siku moja nitakuona.

  • @NajmaAlly-gt6nw
    @NajmaAlly-gt6nw Před 5 měsíci

    Mashanllah shekhe allah atujaalie na sisi tusiwe wenye kukata tamaa hakika kumpenda allah na mtume wake ni nusra kubwa

  • @lovedloveboy
    @lovedloveboy Před 8 měsíci +1

    subhaana-llah-allah-akpe-subra-katika-maisha-yko

  • @arturmassoud2512
    @arturmassoud2512 Před 6 měsíci +1

    Mansha Allah 😭macozi yanatoka

  • @user-xu2kx6iv4h
    @user-xu2kx6iv4h Před 7 měsíci +1

    allah akufanyie wepes

  • @SUFOAbudo
    @SUFOAbudo Před 3 měsíci

    Masha Allah sheikh

  • @salimabdul4424
    @salimabdul4424 Před 8 měsíci +1

    Upo vizuri sheikh

  • @user-ob8yz1dv8h
    @user-ob8yz1dv8h Před 7 měsíci +1

    Sheikh Allah Akulinde na Akuhifadh.

  • @halimamfaume1925
    @halimamfaume1925 Před 7 měsíci +4

    MashaAllah ❤

  • @user-en5ng4sc2x
    @user-en5ng4sc2x Před 7 měsíci

    ماشاءاللہ تبارک وتعالیٰ

  • @MariamNgwali
    @MariamNgwali Před 5 měsíci

    Mashallah mungu akubarik inshaaalah

  • @hosnabintmariam3287
    @hosnabintmariam3287 Před 8 měsíci

    Maa shaa Allah
    Sub haana Allah
    Wal hamdulillah
    Allahu Akbar

  • @rukaiyamchana6958
    @rukaiyamchana6958 Před 5 měsíci

    Mashaallah shekh Allah akuzidishie kila kheri uzidi kutufunza

  • @salamavuai3903
    @salamavuai3903 Před 6 měsíci +1

    Barakallah

  • @user-jk6xk7id3q
    @user-jk6xk7id3q Před 8 měsíci +1

    Allah akuzidishiye 🤲

  • @AshaSalim-xd8xp
    @AshaSalim-xd8xp Před 8 měsíci +2

    MASHAĹLAHSHEIKMUNGUAKUTANGULIEINSHALA

  • @NshimirimanaAnnemarie
    @NshimirimanaAnnemarie Před 8 měsíci

    Assalam walaikum warakmatullah wabarakatuh, Allah akupe sheh ,naturahisishiye

  • @binthasan7532
    @binthasan7532 Před 8 měsíci +3

    Mashaallah

  • @IsmailLutanile
    @IsmailLutanile Před 4 měsíci

    Mashallah

  • @rehemarashid9829
    @rehemarashid9829 Před 2 měsíci

    Asalam alaikum warahmathullah wabarakatuh...sheikh naomba nambayako thafadhali .

  • @fatumakambi960
    @fatumakambi960 Před 7 měsíci

    Mashallah yarab atuajalie

  • @user-id6fk9hr9q
    @user-id6fk9hr9q Před 6 měsíci +1

    Kwa mimi mkristo sasa sijui kusaliii wala sijui duaa

  • @khadigajessica991
    @khadigajessica991 Před 8 měsíci +2

    Du watu wanatoka mbali sana

  • @ZainabuOmary-nt7xf
    @ZainabuOmary-nt7xf Před 8 měsíci +2

    Mii ndo maisha napitia hasadi imenizidi mpaka naendea kumaliza mtaji nilikuwa nsomesha watoto sasa hivi nashidwa niikuwa na akiba nimeimaliza nisaidie nahisi kufunga ata hii biashara yangu

  • @sabahabdallah5791
    @sabahabdallah5791 Před 8 měsíci

    MashaAllah.👍🏻

  • @jamalisaid3446
    @jamalisaid3446 Před 8 měsíci

    Mashaa Allah

  • @saidkingirawima5272
    @saidkingirawima5272 Před 4 měsíci

    Manshaalhaa

  • @jamalsamma3457
    @jamalsamma3457 Před 8 měsíci

    Usiku wa jana nilikuota sheikh

  • @user-bn2zt8cz7u
    @user-bn2zt8cz7u Před 8 měsíci

    Masha Allah tabaraka Rahman

  • @ArafatiZinu-gi8qv
    @ArafatiZinu-gi8qv Před 8 měsíci +2

    mashalaah

  • @amidanibimenya9692
    @amidanibimenya9692 Před 8 měsíci

    Subira ninjema Allah alitaka ufanye kaziyake.huko kote kulikuwa sikwako.

  • @EzenaKisamo
    @EzenaKisamo Před 19 dny

    Inshallah

  • @user-ob8yz1dv8h
    @user-ob8yz1dv8h Před 7 měsíci +1

    MashaAllah

  • @rukiamenza
    @rukiamenza Před 8 měsíci

    MaashaAllah

  • @MariamNgwali
    @MariamNgwali Před 5 měsíci

    Mashallah❤

  • @user-qi1ih6gy2w
    @user-qi1ih6gy2w Před 8 měsíci

    Allah hu Akibar mung nimkubw kufanya kutukutanish nawew shekhe mung akupe afya tupate mengi zaid

  • @ZahraShariff-dm2jf
    @ZahraShariff-dm2jf Před 4 měsíci

    Hayaa yote napitiya sijawahi yasema kwetu laiti nitajaribu kusema hali ya mume hanaa kipatoo wallah atadhaurika aniambia niachwe nae naombeni msadaa Kaka zangu dada zangu sote waslamu

  • @clarettakamaro2996
    @clarettakamaro2996 Před 8 měsíci +1

    Asante shehe wangu

  • @buhitexmohamed4785
    @buhitexmohamed4785 Před 8 měsíci +1

    Mashallah shekh , but wandugu wengine wafa yia mazuri wanakulipa husda

  • @sharifasuleiman8297
    @sharifasuleiman8297 Před 8 měsíci +1

    Mashaallah nakushukuru sana shekhe najifunza mengi sana kupitia wew alhamdullilah 🤲🤲😭

    • @khadijahamina8457
      @khadijahamina8457 Před 8 měsíci

      kabisa allah ampe itaji lamoyowake nasisi sote insha allah

  • @ZahraShariff-dm2jf
    @ZahraShariff-dm2jf Před 4 měsíci

    Assalamaleykum sheikh Mimi pia napitiya chagamoto katika maisha Nina mume pia mambo yake hayapo Sawa je nifanyeje nikidai talaka najuwa sio Sawa dhambi je nifanyeje miaka 3 sasa bwana hujafaulu kazi 😢😢😢😢😢😢

  • @shabinamunir2203
    @shabinamunir2203 Před 8 měsíci +1

    mashallah,,,sheikh wasoma kila siku ama ?na wasoma hizo mubeen saba wafatliya na waqiya pia zitakuwa saba..

  • @ZahraShariff-dm2jf
    @ZahraShariff-dm2jf Před 4 měsíci

    Je ushauri NI upi hapa sheikh

  • @naimajuma3577
    @naimajuma3577 Před 8 měsíci

    MashaaAllah shekh Allah akujaalie kila la kher hapa duniani na kesho akheri shukran

  • @rahmasabuni3425
    @rahmasabuni3425 Před 8 měsíci

  • @ZahraShariff-dm2jf
    @ZahraShariff-dm2jf Před 4 měsíci

    Sheikh naomba no zakuwasiliana nawee tafadhali

  • @buhitexmohamed4785
    @buhitexmohamed4785 Před 8 měsíci +3

    Mm nisaidie kwa hayo yakukataa nikoba ya uchaei sasa wasiwasi ni kutolewa kafara tafadhali

  • @Chamalaodancers
    @Chamalaodancers Před 8 měsíci

    🌹❤️🙏

  • @user-tv8fv8gd8z
    @user-tv8fv8gd8z Před 7 měsíci

    ❤❤❤❤

  • @user-ul7dj3xr8t
    @user-ul7dj3xr8t Před 6 měsíci

    Asww shekh ndumurundikazi .ariko icirwa utaze .ngiye kuzokora ivyobintu kuko .fise ikibazo cumwana wanje nifuza koyova mubiyovyabwenge

  • @tutuuab5655
    @tutuuab5655 Před 6 měsíci

    Maneno yako mazur Sheikh unanifanya machoz yananitoa

  • @assaneanliassane4680
    @assaneanliassane4680 Před 7 měsíci +1

    Ma Sha Allah, Amin

  • @athumanikhamisi3377
    @athumanikhamisi3377 Před 8 měsíci

    شكرا جزيل

  • @bidahushaamini8156
    @bidahushaamini8156 Před 6 měsíci

    Asw naomba namba ya sheh

  • @nasmaMartha
    @nasmaMartha Před 8 měsíci

    Sheikh naomba unisaidie nimenyolewa nywele sehemu mbili nifanyaje mim sipati pesa

  • @AminahajiNk
    @AminahajiNk Před 8 měsíci

    Na omba dua ya kushika mimba

  • @KhizryKwekajr-jw4ze
    @KhizryKwekajr-jw4ze Před 8 měsíci +1

    Mungu akulipe

  • @Kubanatv-mf7un
    @Kubanatv-mf7un Před 7 měsíci

    Nataka namba zako sheikh

  • @ZainabuOmary-nt7xf
    @ZainabuOmary-nt7xf Před 8 měsíci +1

    Sheikh sura hizo sizijui naswali na sura ndogo tu dua naomba kiswahili tu nifanyaje

  • @Aida-qh3jq
    @Aida-qh3jq Před 7 měsíci

    Na kama hujafikia hiyo surat utaisomaje shekh

  • @ZainabuOmary-nt7xf
    @ZainabuOmary-nt7xf Před 8 měsíci

    Ustadhi namba zakotafadhali

  • @nasirmohamed1589
    @nasirmohamed1589 Před 7 měsíci

    Acha uongo rizki ilishafunguliwa na allah mtoaji.sasa unaposema kufungua rizki nani kafunga na nani kampa uwezo aliyefunga.huu si ndo ushirikina na ushenzi tu.rizki zetu zimeandikwa na allah tukiwa tumboni alafu unatudanganya kufungua ulizifunga wewe.

    • @omarjr1791
      @omarjr1791 Před 6 měsíci

      Kaka msilize vizuri kwanza

    • @omarjr1791
      @omarjr1791 Před 6 měsíci

      Pia kaka tunapitishwa ktk haya ili tuutambue uwezo na kubwa wa ALLAH hivyo usibishe kaka

    • @nasirmohamed1589
      @nasirmohamed1589 Před 6 měsíci

      @@omarjr1791 nijibu swali moja tu hiyo riziki iliyofungwa imefungwa na mwamba gani mwenye uwezo zaidi ya allah aliyeandika kwetu na akaahidi tutapata na kweli akatupa nijibu hapo tu.

    • @nasirmohamed1589
      @nasirmohamed1589 Před 6 měsíci

      @@omarjr1791 we uliyemsikiza vizuri swali langu nani kafunga hiyo riziki make allah mtoaji hajatuambia nitafunga riziki bali alituahidi ataturiziki ndo maana alituumba

    • @user-jh6uu1td1i
      @user-jh6uu1td1i Před 6 měsíci +1

      Unaweza ukawa umeandikiwa rizki na mola ila ukawa una llaana za allah za ukoo ndoman tukaamlishwa tumuombe Allah ata kijiko cha chai basi ujue allah ni mkubwa sana ukitaka adhina ya mfalme lazima unyenyekee kwaiyo usiseme hivyo