DOTTO MAGARI na BOSS WAKE WAIPONDA NYUMBA ya MWIJAKU ILE HAIFIKI MILIONI 200/DIAMOND AMERUDISHA PESA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 01. 2024
  • East African number one CZcams channel for Gossips,Sports as well as Politics News owned By BONGO PLUS
    KANUNI NA MUONGOZO
    Tunaripoti Matukio ya watu mashuhuri katika nyanja ya burudani, Michezo Filamu na mitindo ya maisha kwa kuzingatia misingi ya uandishi wa habari hapa nchini. Kufuata misingi kwa kuripoti habari zenye uwiano na usawa ndani yake,kutokuingilia faragha ya mtu,Kujiepusha na mambo yote yanayoweza kuleta sinto fahamu katika jamii yanayoweza kusababisha uchochezi.
    NB:Tuna uhuru wa kufuta maoni yasiyokuwa na maadili au yenye matusi makali.
    WeAreEverywhere
    #entertainment #exclusive #trending #diamondplatnumz #wasafi #ayotv #update #updatenews #udaku #gossip #mwijaku #babalevo #tanzania #kenya #manara #hajimanara #bongo #habari #justinbieber #bieber #rap #hiphop #hiphopmusic #pop #rnb #rnbmusic #exclusivenews #tmz #tmztrends #arianagrande #dottomagari
  • Zábava

Komentáře • 53

  • @1wernerweck
    @1wernerweck Před 6 měsíci +2

    DOTTO WETU WE LOVE YOU FROM EUROPE

  • @1wernerweck
    @1wernerweck Před 6 měsíci +1

    DOTTO KETU WE LOVE YOU FROM MÜNCHEN GERMANY

  • @simbajumanne9718
    @simbajumanne9718 Před 6 měsíci +4

    Hata mia2 milion haifiki mm ni engineer mjenzi

  • @samtelah7578
    @samtelah7578 Před 6 měsíci +2

    Ww kigamboni unaijua kwel? Au unaongea sawa Nyumba ya Mwijaku B haifik ila kuna nyumba za gharama sana kulko hta huko masaki au oysterbay mnapopasema masaki mbona kuna nyumba za zaman nyng tu

  • @aloismbuya7833
    @aloismbuya7833 Před 6 měsíci +2

    Ata kama, jibu neno moja tu kumpongeza mwijako

  • @user-iz8fd6jj3x
    @user-iz8fd6jj3x Před 6 měsíci +3

    Isa we utakiwi kuongeya we ni boss yisikuume chochote achana na machawa usiwe na tamaa ya mayiki

  • @user-tp8lv4dk3
    @user-tp8lv4dk3 Před 6 měsíci +1

    Mwijaku kavamiwa na dotto na tambuu

  • @barakaemma1827
    @barakaemma1827 Před 6 měsíci +2

    Iyo miguu aituri

  • @papaayawarembo6995
    @papaayawarembo6995 Před 6 měsíci +2

    Doto anajitafuta yote anayosema hayatoki kwenye mtima..badae wanaagiziana bia hao..so Dotto mumzoee tu msimchukie bure

  • @obeydmwemezi3663
    @obeydmwemezi3663 Před 5 měsíci +1

    Shkamoo Ditto..Harier matako ya Sungura haha

  • @user-fu2gz2lq1j
    @user-fu2gz2lq1j Před 6 měsíci

    Dotto ana kaa kwaooo!!!

  • @masumbukomoussa977
    @masumbukomoussa977 Před 6 měsíci +3

    Upara kaama kipara cha kamari😀😀😀 ebuu doto twambiye makasiriko ya nini ndugu yangu

    • @yuzotv458
      @yuzotv458 Před 6 měsíci +2

      uyu choko kweli yee mwenyew anaishi kwenye nyumba zakupanga pumbavu.

  • @amisamaurid1882
    @amisamaurid1882 Před 6 měsíci +1

    Rafiki yangu mm ni Dotto magari,Hawa jamaa tusiwaingilie ni mambo ya mitandaoni wanapendana Hawa

  • @zuwenaabdallah7748
    @zuwenaabdallah7748 Před 6 měsíci +1

    Sasa sisi wa chamazi itakuwaje😊

  • @ntezealoyce7043
    @ntezealoyce7043 Před 6 měsíci +6

    Badilika doto hatutaki maneno tunataka maendeleo,kuzaliwa mjini au kukaa mjini sio Tija,pambana na wew

    • @AllyRamadhan-tv5er
      @AllyRamadhan-tv5er Před 6 měsíci +2

      Nakubal babu umesema kwel

    • @HamisMberwa
      @HamisMberwa Před 6 měsíci +3

      Dotto tunamtetea ameanza kazi juzi tu na anatafuta bado na tunampenda

    • @salehmasunga5147
      @salehmasunga5147 Před 6 měsíci +2

      Tuachie doto wetu

    • @nin6324
      @nin6324 Před 6 měsíci +1

      GSM Amejenga wapi… huyu doto chizi

  • @oyay2821
    @oyay2821 Před 6 měsíci +1

    Kipara kama baraza ya kamari 😂😂😂

  • @AbuuNachacha
    @AbuuNachacha Před 6 měsíci +1

    Oya ndo doto ss unadhani uyo Chawa wa wasanii au uyo mjanja

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw Před 6 měsíci +1

    Acha kuingilia aongee hauna adabu kulopoka tu subili

  • @yuzotv458
    @yuzotv458 Před 6 měsíci +1

    doto wee nyumba yako iko wapi acha makasiriko roho mbaya tu huna lolote!,mwenyekiti aonyeshwe icho kibari umrmpa wewe???!.
    maskini mnatabu sana.

  • @maalimhemedsalumu
    @maalimhemedsalumu Před 6 měsíci +3

    Boss achana na hayo mambo utapoteza heshima yako

  • @enoszaka-tx8qw
    @enoszaka-tx8qw Před 6 měsíci +2

    sina uzoefu wa ujenzi ila ukweli kwa nyumba ile ml 200 ni mzaha wa wazi 😂😂😂

    • @user-kn8pw7vk4e
      @user-kn8pw7vk4e Před 6 měsíci +2

      Bro 200m ktk ujenzi ni ntumba ya maana sana, bali Samani za ndani nazo zinachangia nyumba kuongezeka thamani, ni ukweli 100% ile nyumba thaman yake haizidi 200m

    • @issaomary2816
      @issaomary2816 Před 5 měsíci

      Hujui unaona mil 200 ni ndogo

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw Před 6 měsíci +2

    Sasa mtu wa mjini huwa hana akili za kujenga ni kukaa karibu na choo aibu sanaa akili choo tu hauna lolote jenga acha pumbaa

  • @user-rf7ni6tr2o
    @user-rf7ni6tr2o Před 6 měsíci +1

    Jamani nyumbaa yaa biii sio mchezooo

  • @michaeldaniels8826
    @michaeldaniels8826 Před 6 měsíci +2

    Hamza na lila boy😂😂😂😂

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 Před 5 měsíci

    Gauni.linawaka lina umeme jamani mabinti wa sasa mtakuja.kuwaka.moto nyiee huku mnajiona mtaungua😅😅 sa kwann ushone gauni lina motoo😅😅

  • @SelemaniKabeya-ew3tc
    @SelemaniKabeya-ew3tc Před 6 měsíci +2

    Emu acheni Mambo yenu Ata Ajenge shilingi 200/ nikwake2 mbona nyinyi Atuoni nyumba zenu makuma nyinyi rombaya2 zimewajaa

    • @user-ru1bk1we4g
      @user-ru1bk1we4g Před 6 měsíci

      Dogo sawa nikwake lakini asiongopee watu eti nyumba ya B

    • @yuzotv458
      @yuzotv458 Před 6 měsíci +1

      wanaomponda mwijaku matahira bro,wao wanaishi chumba sebure wanaponda mtu kujenga nyumba kigamboni nyoko zao maskini tu hao ndio shida zao.

    • @yuzotv458
      @yuzotv458 Před 6 měsíci +1

      jenga nawewe udanganye watu,bro kujenga sio mchezo mtu akijenga ata chumba kimoja muheshimu.​@@user-ru1bk1we4g

    • @samwesupa6906
      @samwesupa6906 Před 6 měsíci +1

      Mjinga uyo muongo b nyumba ile

  • @rerisamba
    @rerisamba Před 6 měsíci +2

    Hii nyumba mbona inabishaniwa hivi

    • @ALEXLOTAN
      @ALEXLOTAN Před 6 měsíci +1

      Namimi sielewi ama ndo bongo walivyo

  • @salumuseif3324
    @salumuseif3324 Před 6 měsíci +1

    hehehehehe

  • @ashaali7154
    @ashaali7154 Před 6 měsíci +3

    Eti mtu wa mjini really? Dunia gani inakusikiliza wewe taahira?

    • @yuzotv458
      @yuzotv458 Před 6 měsíci +1

      anajambo mnywa smart gin uyu.

  • @24seven78
    @24seven78 Před 6 měsíci +1

    😂😂😂😂 kipara ka lami

  • @almasbakari5359
    @almasbakari5359 Před 6 měsíci +1

    😂😂😂😂😂😂

  • @frankvianey2438
    @frankvianey2438 Před 6 měsíci +1

    Ile nyumba ni mil 150,huu ni mzaha wa namna gani?

  • @user-iu9yh2zf2x
    @user-iu9yh2zf2x Před 6 měsíci

    uchawa nao unalipa bhn 😂😂😂😂😂

  • @Abu-Hamza254
    @Abu-Hamza254 Před 5 měsíci

    Muislamu kufaa mslaba✝️ ina maana gani?

    • @BongoPlus
      @BongoPlus  Před 5 měsíci

      Mwachie yeye na Mola

    • @Abu-Hamza254
      @Abu-Hamza254 Před 5 měsíci

      @@BongoPlusTanzania kiki na shillingi hamna dini…Anyway

  • @Azikiwe-qi6jd
    @Azikiwe-qi6jd Před 6 měsíci +2

    Hopeless magot, bure kabisa wewe, wapi uliona milioni 150 zikajenga gorofa, mpongeze mwenzako kubali kuwa kakuzidi huto pungukiwa na kitu.