Njiwa peleka salamu Oo kwa yule wangu muhimu Mueleze afahamu Kwamba ninapata taabu Hali yangu mahamumu Oo maradhi yameni siibu Chorus Eewe njiwa x2 Peleka salamu Kwa yule x2 Wangu muhimu Usiku kucha nakesha Oo na yeye ndiye sababu Ewapo haji maisha Itamfika aibu Pendo langu halijesha Oo ndilo lino niadhibu Njiwa usi hadhaike Oo nenda ulete majibu Nenda upesi ufike Mkimbilie swahibu Mbele yake utamke Oo ni yeye wa kunijibu Ukifika tafadhali Oo sema naye taratibu Ukisema kwa ukali Mambo utayaharibu Kamwabie sina hali Oo kufariki si ajabu
Have you ever loved a song you heard in yo childhood you don't know the lyrics nor the title and when you are a full grown woman you find it here. Pure joy😍😍😍😍
I should visit Bamburi Nature Trails.. I heard they changed the name to Haller Park. This is the place I used to visit like every one weekend of the month and this song reminds me of this wonderful place.
2024 tujuane kwa like
2023 bado nasikiza, nikiwa Switzerland ❤
kama 2020 gonga like hapa tuende sawa
Umenikumbusha mbali sana
Kama unasikiliza njiwa 2019 tafadhali gonga like hapa
❤️❤️
Kama unasikiliza njiwa 2020 gonga like hapa
Since the Woman who sang this song "Njiwa Peleka Salamu" is still alive then it's worths she should be invited to Churchill shows in Kenya!
Yuko alive na afya tele...wimbo huu ulitoka mwaka 1980 she's from Tanga,Tanzania Under JKT band,bend ya jeshi
Mhhh 1980???@@mbesherejoh4219
Njiwa peleka salamu
Oo kwa yule wangu muhimu
Mueleze afahamu
Kwamba ninapata taabu
Hali yangu mahamumu
Oo maradhi yameni siibu
Chorus
Eewe njiwa x2
Peleka salamu
Kwa yule x2
Wangu muhimu
Usiku kucha nakesha
Oo na yeye ndiye sababu
Ewapo haji maisha
Itamfika aibu
Pendo langu halijesha
Oo ndilo lino niadhibu
Njiwa usi hadhaike
Oo nenda ulete majibu
Nenda upesi ufike
Mkimbilie swahibu
Mbele yake utamke
Oo ni yeye wa kunijibu
Ukifika tafadhali
Oo sema naye taratibu
Ukisema kwa ukali
Mambo utayaharibu
Kamwabie sina hali
Oo kufariki si ajabu
Umetisha dear
Thank you for the lyrics, good work I like it.
Maridadi
hongera
asante!!
Jamani mama yang nikiusikiliza huu wimbo nakukumbuka sana Mungu akupumzishe mahala pema pepon Amen
Hongereni an nyimbo nzuri haiishi hamu kuisikiriza
Have you ever loved a song you heard in yo childhood you don't know the lyrics nor the title and when you are a full grown woman you find it here. Pure joy😍😍😍😍
My case. Used to hear it on "muziki wa mwambao" on citizen tv
Me right now
That's me dear😪
2020 tujuane
2020 /2/11@2am
Bado najiachia nayo 2024
who's still tagged today Feb.2018 ,just like yesterday sweet memoirs.
Naipenda sana njiwa huwa inanifariji sana pale napokuwa namawazo nikiwa mbali na mume wangu...
Ukifika tafadhali sema nae taratibu
Ukisema kwa ukali mambo utayaharibu
2023 hiyo tanasonga nayo mbele
nakumbuka njiwa alirudisha majibu....ilikuwa hivi njiwa rudisha majibu mwambie nimepokea, kwanini ajiadhibu afikirie duniaa, nitakuja hukohuko na sio kesho ni Leo.04.07.18.
Mariam Fritsi Hii haina mfano
Yani hata jasho halitoki ukiimba hii nyimbo
old is gold wow maneno kuntu huchoki kusikiza haswa ukiwa na wako mwandani pembeni 😊😊shukran sana
Unanikumbusha mbali
2020 tunaanzia hapaaa
Mungu amrehemu jamani ,taarabu kamili na bado mpya kabisa
aaanh mamae my favorite song ata mgumu akitoswa anaskiliza soledad
jameni nilisililiza vizuri meeee ngoma tamu sana eeeeeh njiwa zipeleke salamu nakumbuka udogo wangu
Napenda hii nyimbo kweli mwambie kwa utaratibu ukisema kwa ukali mambo utayaharibu
Ucku kucha nakesha na yeye ndio sababu
Sana
From Tanzania
wimbo mzuri sana hata miaka 9000000 bado utakuwa kwenye chati
Swadakta
Bila shaka JKT walivitoa vibao moto moto kwa mpigo asilia wa taarab. Mafumbo na mafunzo yaligonga ndipo.
Kweli kabisa Rogers
Mashallah ya kale dhahabu
NYIMBO MYIWA MAIPEMDA SANA
im glad to find this old GEM of good quality here!! Thanks 🔥🔥
Napenda sana Miziki ya Mwamnao hasa yakina shakira,Sabaha, pia kundi la East African Melody kuanzia nyimbo za 2007 kurudi Nyumaaaaa
hakika hii ni kiboko ya taarabu kwa wapenzi Wa taarabu naipenda sana
Mwenyezimungu akuondoondolee maradhi na akupe umri mrefu"bi patricia hillary"taarabu zilikuwa hizi
Naam
Hii taarabu ukiiweka kwenye thamani ya pesa bas inaweza kununu ndege sita aina ya bombadia
Inanipa Raha moyoni
Njiwa peleka salam wangu muibu. Maneno aya yanachoma kwenye moyo
Mungu amrehemu
Mashaaalah kwa ubora wake..🥰🥰🥰 nyimbo nzuri jamani.....
Taarab safi Sana👊
Ewe ewe njiwa peleka salam kwa D wangu mwambie navyopata taabu
Yani lady jaydee kacopy kapata comments nyingi kuliko huyu mwenye wimbo wake
We pia umeona ndo ukaskiliza hii kama mm
Yani hapa miaka 8000 still kama jana. my fav....Shukran Eddie Nassor!!!
really old is gold
Karibu tena Aysher
sauti saafi hakuna kama taarabu za zaman.....
Uzifikishe popote alipo Honey wangu
Jitokeze njiwa napata tabu sina wakunitibu
Ukisema kwa ukalii mambo utayahalibu hahahaha tenaaaaa
Njiwa Peleka Salamu...One of the Best,,A Living Jam😘😘😘
hii ndio taarab original kaka ,siku hizi ni mipasho tu...yaani ni kama bongo flava tu hakuna maneno matamu..shukran sana kk Eddie.
Ally Ahmed Karibu tena ndugu
hakuna ni adhimu ujumbe wake manshalaaa
Njiwa peleka salam kwa yule wangu muhimu
Wimbo tamu sana inanirudisha tanga hapo nyumbani club kipindi kile nikiwa namchumbia kwa Sasa mke wangu... Nanogewa hapa aisee
pia mimi namtuma njiwa kwa wangu wa roho
+Lilian Janira :Aje kwangu eh?
Sema nae taratibu njiwa peleka salamu ewe njiwa
Lovely song I ever heard ! Missing Pwani! I shall come...
miaka 1000 kwa mwimbaji wa ewe njiwa pelaka salamu
asante kwa kutupa hizi nyimbo. naomba pia ile inayo sema '.. heri nunua kofia uivalie kichwani.. kindly
Old but meaningfully
ivi wako wapi hawa wasanii wa zamani tumemiss kazi zaoo
Oné of the best TAARABU SONG, Patřícía Hillary, legend
Taarab ya 1980 to 1990 s sweet
Just beuty of Taarabu Music...it deserves recognition
Nani bado yuwaenjoy huu wimbo kaa mimi?
Huyo ni hayati Lucy Fransis kwao kisosora tanga na alizikiwa lusanga tanga,mungu akurehem mshikaji mbele yako, Hamisi Dale Boston USA
Kumbe ni nyumbn kabisa
Ni utunzi wake Patricia Hillary mwaka 1980 na bado yu hai.
2020 nipo hapa...namtuma njiwa🤗🤗
Mtume kwangu 💞💞💞🙈
Haya namsubir
2021from OMAN 🇴🇲
Hizi nyimbo za urithi wetu,zitapendwa na kila kizazi,super for ever 🙏
Safi sana
Huyo ni Patricia hillary na bado yupo hajafa
1614hrs the song is crossing my mind boom Mimi huyo CZcams
Jamani kama kuna nyimbo nyingine mutume zinakumpusha mbali tanga ya zamani raha tupu
Tanga raha jaman mtu kwao😙
Iko Sawa with strong hopes and clear message and message
Utadhani ulitungwa jana!!!!!!
I should visit Bamburi Nature Trails.. I heard they changed the name to Haller Park. This is the place I used to visit like every one weekend of the month and this song reminds me of this wonderful place.
2024 tukisonga
Kama unamachozi yakaribu tafadhali njoo tulie sote kwa kusikiliza twaarab tamu nzenye maadili naladha halisi yakitanzania
Inabamba!!!!!
Jami Nani aliyeimba
Dereva wangu tulia
Hapa kwangu umetua
Kk aksante kwa wimbo nyimbo nzuri
Hatarii mambo ya pwani
Sahz mtu ukickia taarabu hutamani kwenda lkn ukisikia waimbaji wakongwe unataman kukesha asante sana kaka
Umeonaee
Pelekenì salamu kweli. Wimbo mzuri sana.
Safi sana naomba njiwa part two
Jmaniiii njiwaaaaaaaaa
who is listening this in June 2017,love it
Sa itakuwaje 2021
2019 naipendaga.kweli..hii
2022 hii ndo ilikuwa taarab I swear I love this jam💓❤️❤️🎉🎉🎉🎉
Eddie men thankx ngoma kali sana, shakira alifanya kazi
Twila Mtumbi sadakta
Ukifikika tafadhali sema nae kwa upole ukiseemaa kwa ukali mambo utayahariiibuu
Mashalaaa takharabu nzuri sana
Nausikiliza 2020
Umegusa kweli. Ukisema kwa ukali mambo utayaharibu
Dah hii ngoma aichuji milele
vya kale dhahabu wahenga mko vzr 😂😂😂😂😂
2021 bado nauelewaaa
SINCE 1980 to 2021 💥🔥🔥
Naomba picha ya mwimbaji.
Naomba video ya mwimbaji.
Ewe njiwa/ Ewe njiwa
Leo January 2021 Nani anasikiliza na mm alete like
20-10 2021 bad mambo ni moto penda sana