Abel, Mulenga, Omar na Gama, George Kessy, Mwanyiro, Habibu Machaku, Bichuka Gurumo, Cosmas , Hamis,Joseph, Benard, Bonny, Juma Town. King Enock, Thomas ,Samwel, Juma na Kitwana
Bima Lee hawa Magnet Tingisha 1986. Solo wimbo huo "Selina" kapiga Michael Bilali (hapa Mulenga kahamia MK Group) Rthym zote kapiga Abdallah Gama na Bass Suleyman Mwanyiro. Sax Ali Rashid. Waimbaji Shaaban Dede, Jerry Nashon Dudumizi, Jumbe Batemwanya na Roy Bashekenako. Mtunzi ni Jerry Nashon. Nashea hii kwa niaba ya Nguli wa mziki nchini Tanzania Musicologist Brother Masoud Masoud
Naona mwamba umerudi tena baada ya kupotea kwa muda,Naomba kama una wimbo wa Mandela afunguliwe gerezani wa Juwata Jazz au Kambarage Nyerere wa haohao Juwata Jazz uliokamilika maana uliokuwepo humu umeishia kati.Asante sana.
Naona mwamba umerudi tena baada ya kupotea kwa muda,Naomba kama una wimbo wa Mandela afunguliwe gerezani wa Juwata Jazz au Kambarage Nyerere wa haohao Juwata Jazz uliokamilika maana uliokuwepo humu umeishia kati.Asante sana.
Nakumbuka mamangu mpendwa Anyili Naswa 1973 nikiwa mdogosana Radio kenya KBC tukienda kutafuta pombe Changaa ilitukauze maisha yalikua taabu lakini Mungu nimeema sasa mamangu hayuko namimi sasa ninapesa kama njugu sioni wakusaidia lakini tukifika mbinguni Mungu atajibu maswali yangu. Mimi sasa ni Pastor Baraza Matibila muhubiri naishi washington dc America ajabu sana 🙏
Nilisikiza hii nyimbo mara ya kwanza 1989 kama saa tano usiku na ilinigusa sana. leo hii miaka imeenda sana na inanitambulisha mbali nilikotoka, jameni siku zinayoyoma kama barafu juani
Eeh mungu wangu weh" Dunia " Kweli ujanauna mwisho Mungu warehemu wote waliorekodi wimbo huu"Nimekumbuka mbali mno'Mungu nijalie mwisho mwema hapa Duniani "
Wanamuziki wa Marquiz du Zaire - Chinyama Chianza, Tshinyama Katay, Tshimbuiza Tshinsense (Nhuza Viking), Mbuya Makonga (Adios), Tshibangu Katay, Ilunga Lubaba, Mutombo Lufungula, Mwema Mudjanga and Mwema wa Mwamba, wengine ni Dekula Vumbi, Illunga Banza Mchafu, King Kiki, Kasongo Mpinda, Thsimanga Assosa, Kasolo Kyanga, Dekula Kahanga na wengine wengi tuu. Maquiz ilikuja na mitindo mbalimbali ya muziki kama vile kamanyola, sanifu, ogelea piga mbizi, and zembwela n.k. Enzi Hizooo. SIJUI NI NANI YUKO HAPA NA MIMI KWA MWAKA HUU WA 2024 TUNAELEKEA MWISHONI MWA MWAKA SASA
NAKUMBU NIKIWA BADO MDOGO LAKINI NILIKUWA MTUNDU NILIKUWA MJOMBA HAPENDI NIENDE MZIKI WAKATI HUOTUKIWA TEMEKE MIKOROSHINI
❤❤❤
Bado ile ya bi mwanaacha Hassan,ccm chama kinasonga mbele,na ile ya uwanja wa amani,Afro mama tunakuaga. Kwa kweli inauma sanaaa
Napata Sana burudani na elimu Kwa miziki yetujapokuwa si miziki ya umri wangu
Nimekumbuka mbali sna sna wimbo mar-dhawa kabisa
MAMBO mileka
Sauti maridadi Sana audax parash , issa nundu na mbuya makonga
Solo alikuwepo fani fani then kalala
Mbona mi wimbo nausikia kama hauna key, Wenzangu mnaonaje
2024 old is gold
Christmas ya 1990, pale Tancut club. Kihesa, nawakumbuka sana Hawa jamaa
Issa nundu Asante Sana
Fresh jumbe fundi wa muziki😂
Wanaopendwa nawengi hugs wangali vijana
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Kwa kweli mashairi yalipangiliwa na yombo vilipangiliwa, hapo ni raha tu
Freddie Ndala Kasheba
Nani bado anasikiliza 2024 kama mimi narudi kuusiliza kila wakati vipindi tofauti...
Shida nilikupenda wazazi wanaelewa hivyo,ulipojua nakupenda ukaanza kunitesa,nikirudi nyumbani nakukuta umelewa usiku unapoingia maneno ya maudhi tu,kiasi naomba kusiwepo usiku,nimekosa nini mbona wanitesa.
Ninawasikitia askari waliopoteza maisha wakati wakiludi vitani eneo la lukumbulu baada ya loli lao kupinduka
Serikali iliwazoa watu sana
I like the song very much big up ❤❤
Namkumbuka Benedicto sika na mamgaza
Wako wapi hawa wanamziki wako moto
Shukran brother Eddie kwa kutuwekea hizi nyimbo unatukumbusha mbali sana😢
Abel, Mulenga, Omar na Gama, George Kessy, Mwanyiro, Habibu Machaku, Bichuka Gurumo, Cosmas , Hamis,Joseph, Benard, Bonny, Juma Town. King Enock, Thomas ,Samwel, Juma na Kitwana
Kumbuka Mbali sana
Mukumbure parash ndio mtunzi
Bima Lee hawa Magnet Tingisha 1986. Solo wimbo huo "Selina" kapiga Michael Bilali (hapa Mulenga kahamia MK Group) Rthym zote kapiga Abdallah Gama na Bass Suleyman Mwanyiro. Sax Ali Rashid. Waimbaji Shaaban Dede, Jerry Nashon Dudumizi, Jumbe Batemwanya na Roy Bashekenako. Mtunzi ni Jerry Nashon. Nashea hii kwa niaba ya Nguli wa mziki nchini Tanzania Musicologist Brother Masoud Masoud
Naona mwamba umerudi tena baada ya kupotea kwa muda,Naomba kama una wimbo wa Mandela afunguliwe gerezani wa Juwata Jazz au Kambarage Nyerere wa haohao Juwata Jazz uliokamilika maana uliokuwepo humu umeishia kati.Asante sana.
Naona mwamba umerudi tena baada ya kupotea kwa muda,Naomba kama una wimbo wa Mandela afunguliwe gerezani wa Juwata Jazz au Kambarage Nyerere wa haohao Juwata Jazz uliokamilika maana uliokuwepo humu umeishia kati.Asante sana.
Nakumbuka mamangu mpendwa Anyili Naswa 1973 nikiwa mdogosana Radio kenya KBC tukienda kutafuta pombe Changaa ilitukauze maisha yalikua taabu lakini Mungu nimeema sasa mamangu hayuko namimi sasa ninapesa kama njugu sioni wakusaidia lakini tukifika mbinguni Mungu atajibu maswali yangu. Mimi sasa ni Pastor Baraza Matibila muhubiri naishi washington dc America ajabu sana 🙏
Hii nyimbo nzur sana ongeleni old is gold
Kwa zaidi ya miaka 40 nimekuwa nasikiliza wimbo huu. Big up mzee mwenzangu sasa
Nilisikiza hii nyimbo mara ya kwanza 1989 kama saa tano usiku na ilinigusa sana. leo hii miaka imeenda sana na inanitambulisha mbali nilikotoka, jameni siku zinayoyoma kama barafu juani
Hii ndio miziki ilikuwa inapigwa na watu waliokwenda shule vyombo uimbaji nasikia sautinya Pacha mmoja na skassy na solo ya commando kalala
Mhina panduka aka toto tundu....never again
Duuuu!😢😢😢
Wakati wa uzalendo na harakati za mstari wa mbele kusini mwa africa front line !!! Hakika ya kale ni dhahabu maisha hayarudi tena
Chura hastahili lawama zote hizo !!!😂
𝗵𝘂𝘂 𝘄𝗶𝗺𝗯𝗼 𝘂𝗻𝗮𝗻𝗶𝗸𝘂𝗺𝗯𝘂𝘀𝗵𝗮 𝗺𝗮𝗿𝗲𝗵𝗲𝗺𝘂 𝗯𝗮𝗯𝘂 𝘆𝗮𝗻𝗴𝘂 𝗠𝗭𝗘𝗘 𝗛𝗜𝗟𝗔𝗟𝗜😭😭😭 𝗽𝘂𝗺𝘇𝗶𝗸𝗮 𝘀𝗮𝗹𝗮𝗺𝗮 𝗯𝗮𝗯𝘂 𝘆𝗮𝗻𝗴𝘂, 𝘄𝗮𝗷𝘂𝗸𝘂𝘂 𝘇𝗮𝗸𝗼 𝗻𝗮 𝗯𝗶𝗯𝗶 𝗺𝘁𝘂𝗺𝗯𝗮𝘁𝗶 𝘁𝘂𝗻𝗮𝗸𝘂𝗸𝘂𝗺𝗯𝘂𝗸𝗮 𝗸𝘄𝗮 𝘂𝗸𝗮𝗿𝗶𝗺𝘂 𝘄𝗮𝗸𝗼 😢
Mashallah.
Eeh mungu wangu weh" Dunia " Kweli ujanauna mwisho Mungu warehemu wote waliorekodi wimbo huu"Nimekumbuka mbali mno'Mungu nijalie mwisho mwema hapa Duniani "
Vyombo halisi hapo
Sichoki kuusikiliza huu wimbo. RIP Fred Ndala Kasheba
Wanamuziki wa Marquiz du Zaire - Chinyama Chianza, Tshinyama Katay, Tshimbuiza Tshinsense (Nhuza Viking), Mbuya Makonga (Adios), Tshibangu Katay, Ilunga Lubaba, Mutombo Lufungula, Mwema Mudjanga and Mwema wa Mwamba, wengine ni Dekula Vumbi, Illunga Banza Mchafu, King Kiki, Kasongo Mpinda, Thsimanga Assosa, Kasolo Kyanga, Dekula Kahanga na wengine wengi tuu. Maquiz ilikuja na mitindo mbalimbali ya muziki kama vile kamanyola, sanifu, ogelea piga mbizi, and zembwela n.k. Enzi Hizooo. SIJUI NI NANI YUKO HAPA NA MIMI KWA MWAKA HUU WA 2024 TUNAELEKEA MWISHONI MWA MWAKA SASA
Wakati ukuta
Kalala Mbwembwe
Kipindi hocho nilikuwa longido
Solo ya Michael bilali hiyo weweeee