Kijitonyama Choir m'barikiwe!!! Kaka Joshua nina maoni, Hii nyimbo ya Bam Bam mngeiingizq kwenye mtandao wa spotify, Pamoja na ile ya "Ingia Zizini uwe mmoja wa kondoo" hazipatikani spotify, spotify zipo "Ingia zizini" zingine ila sio hio nlioitaja hapo juu!!! Ubarikiwe kaka Joshua!!!
❤❤❤ Kule Miaka ya 2004/5/6 nilikuwa bado mdogo lakini baraka kutoka kwa wanakijitonyama haikuwa ya kupimika. Mbarikiwe popote mliko nyie na watoto wenu. 🎉
Rudini Wapendwa tena muifanye kazi ya BWANA❤❤
Muko wapi wapendo wangu tuko namitafuta, Angola 🇦🇴!!
Nmefuraha sn kumuona Mwl Mwakasege
Mbarikiwe sana wana wa Mungu
Mliifanya kazi ya Bwana kwa Nafasi yenu mbarikiwe sana hz nyimbo zinaishi aisee....
Kijitonyama Choir m'barikiwe!!! Kaka Joshua nina maoni, Hii nyimbo ya Bam Bam mngeiingizq kwenye mtandao wa spotify, Pamoja na ile ya "Ingia Zizini uwe mmoja wa kondoo" hazipatikani spotify, spotify zipo "Ingia zizini" zingine ila sio hio nlioitaja hapo juu!!! Ubarikiwe kaka Joshua!!!
Amen Amen.
Ahsante sana.
Nitalifanyia kazi.
You made my primary school entertainment time worthy. Much love and blessings from Kenya.
❤❤❤ Kule Miaka ya 2004/5/6 nilikuwa bado mdogo lakini baraka kutoka kwa wanakijitonyama haikuwa ya kupimika. Mbarikiwe popote mliko nyie na watoto wenu. 🎉
Huuu wimbo ndio uliniponya hongeren sana kijito nyama
In love with this song
KUG rudini jamani,au fanyeni hii album upya live recording
We love u guyz
Awwww nimeitafuta hii nyimbo Kwa muda ❤❤❤❤
Uzidi kubarikiwa
Kila mwenye pumzi na amsifu Bwana Yesu.
Amen Amen
Nilikuwa natafuta hiyo nyimbo tangu zamani nilikuwa niki iona nikiwa mtoto kidogo.
Mbarikiwe sana. Nibarikiwa na huu wimbo
💓💓💓💓💓💓✅✅🙏🙏💯
This songs reminders me of my dad has favourite
Wonderful 👍🔥🔥🔥
Naupenda huu wimbo...God bless you mightly
Nikisikia nyimbo hizi nakumbuka nilivyo okoka . yesu ameniokoa kupitia nyimbo hizi
Jamani Kijitonyama hua na wapenda sana
Always enjoy your wonderful work
Tumewamiss
Nabarikiwa Sana mungu awarudishe kundini.
Nimekumbuka mbali sanaa ase
Brother Joshua uko wapi
God bless you abundantly ❤❤❤
Mbarikiwe wateure
Ameni Ameni
Nice song
Hallelujah 🙏🙏❤❤
Wao😊😊😊😊
Mbarikiwe sana
Very perfect
God bless you.
Amen Amen.
Be blessed...
❤❤❤❤❤
Leo nimebarikiwa sana kupata kusikia nyimbo hizi zilizo badilisha maisha yangu toka dhambini mpaka uzimani
❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Kaka Josh tuwekee huu wimbo audiomak
Tayari upo AUDIOMACK
Joshua upoooo???
Nipo kabisa...!!!
Hii ilikuwa funga kazi miaka hiyo,,. Balaaa