Eliwinjuka - Bam Bam (Official Music Video)
Vložit
- čas přidán 5. 05. 2023
- #Eliwinjuka #BamBam #SlideDigital
Eliwinjuka Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
Follow Eliwinjuka on:
eliwinjuka_...
eliwinjuka.m...
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz
Jamani nimeipenda hii nyimbo nqombeni like sangu Huy dada anaimba vizuri sana sijawahi kuona ningependa serikali impe ulinzi wa kina 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Duuuh!! Apoo nyimbo imenikumbusha mbali sana enz hizoooooooo... aseee mungu akubarki dada
Mbona nikidownload haitaki
Mbona nikidownload haitaki
Umenikumbusha mbali sana dada enzi hizooo
sema mzee wa besi hayupo 😂😂
Hongera mama yetu Eliwinjuka ulipoimba wimbo huu mara ya kwanza nilikuwa mdogo nilikuwa nikipenda sana huu wimbo umenikumnusha kwa kweli.
Mungu azidi kukuinua
Wimbo mzuri unapenda kusikia kila muda wowote hongera na ule ulioimba kwa kilangala naupenda saaana
Album ya bam bam hadileo bado ninayo. Mnajuasana kuimba Mungu wa mbinguni wabarikisana.
Aisee hii nyimbo nmeiona leo TVE aisee nmeipenda sana nmeitafuta sana CZcams nilikuwa sijui jina la huyu Mama Hadi nmeipata aisee anasehemu yake Mbinguni
Hii ni remix wamefanya tena baada ya miaka 20
Aleluyaaaaaa bwana yesu asifiwe huu ndio muziki mzuri nakupenda YESU wangu ❤❤❤❤❤
bonge la ngoma.like za mama kutoka kenya wapi jamani
Kazi kubwa sana hii
Wow nice to see u again I remember this song long time ago when you were young girl. Now you grown up
Bado naendelea KUSIKILIZA na KUTAZAMA NA KUSIKILIZA Tena huu WIMBO mi nzuri sana jaman sijawahi kuona tangu hii nchi ipate uhuru jaman
Hongera sana dada.unanibariki kwelikweli
Voice 100%
Sound 100%
Lyrics 100%
Vibe 100%
Talent 100%
umeupiga mwing mtumishi haleluyah
ujumbe mzuri nimepokeaa
amina bam bam ni wimbo mzuri
umetisha dada hakika umeuaaa
Nakupenda sana dada❤❤❤❤❤
mambo ni bam bam kwa kweli
Bird song keep it up in the name of Jesus
video pia kashoot vizuri mnooo
umetishaaa sana
huu wimbo ni mzuri sana
WOW,BAM BAM of earlier days hit differently,good job for the remix
Huu wimbo ni mzuri sana , sapoti nyingi kwake 🔥🙏
It's a Heavenly down load 🙏
BAM BAM BAM BAM
umeimba vizuri sana
hujawai niangusha dada
Duhhhh bora umerudi
safi sana nabarikiwa
ujumbe mzuri
umetisha sana eliwijuka
🙏🙏🙏🙏wimbo mzuri mnooo
Wimbo mzuri sana.
nyimbo tamu mnoo
Great video, good graphics. Congratulations ma'am. Looking forward to many more beautiful works you'll bless us with ❤
❤❤❤❤❤❤Maaaaaaaaaa
Wow karibu sana
This lady doesn't grow old ...the original video i saw it when i was very young ❤❤
bam bam tuna bamka tu huku mtaani
wimbo mzuri sana madam
Kila nikifikiria kuwa huyu dada aliimbisha wimbo huu na kijitonyama kwaya nafurahi sana maana sijazaliwa hakukua na technology kubwa kivile ila mungu aliwawezesha kuimba wimbo mzuri sana
nimebarikiwaa
umeuaaa sana
tuna enjoy ndani ya bam bam
video nzuri
Nimefanya kuipenda hii nyimbo from Uganda ❤❤❤❤
bam bam💘💘💘
bam bam ndo habri ya mjini
wimbo mzuri
bwana ametenda
Jaman hiii nyimbo inanikunmbush mbal san
umetisha sana madam
tunasonga bam bam inakimbiza
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
mashairi mazuri
Ubrikiwe wimbo muzuli onger
Woooow i love this all the way from 🇰🇪🇰🇪
tuna enjoy ndani ya yesu
Mungu ni mwema kazi inaendelea.
Yes this is great song I like this song
bam bam
imenibariki sana
Wa kwanza naomba likes zangu
video kali sana
Such a blessing❤❤❤❤❤🎉
Hapa ameweza 🔥🔥🔥
bam bam imetisha huku mtaani
💕💕💕💕💕🥰
Mungu akubariki mpaka ushangae Madam, huduma yako inabariki kila iitwapo leo 🇹🇿
congratulation
hakika nimebarikiwa
🙌🙌🙏
nice one
Bam Bam my favourite Band since I was young❤🎉
Safi sana good creativity, Mungu azid kukufunulia mengine mengi
haleluyah
ALLELUYAH AMEEEN BAM, FROM THE BOOK OF JOHN 3:16:17
I love you Sis, well-done and God bless you
🔥🔥🔥🔥🔥
Nice song from Kenya 🎉🎉❤❤❤❤❤ +254
Alekuyaaaa Amen jan
Hongera sana wimbo umenibsriki sana
🔥🔥🔥🔥
Toka kitambo huu wimbo ulikuwa ni pendwa sana kwangu,,,nimebarikiwa sana
💯💯💯💯❤❤❤❤
💥💥💥💥
💥💥💥
after years just last week i wqas thinking of the song and here it is
Wimbo mzuri 🔥🔥🙌🏾
💯💯💯💯
Mpaka MB simeisha huyu nimemwelewa mungu aendelee kukuinua❤️
Amen🙏
injili yenye burudani..au burudani yenye injili au burudani ya injili safi sana
good video
♨♨♨♨
audio nzuri
Bado nairudia kuitazama😩🔥👊
Ameni Ameni hongera sana❤🎉❤❤
💪💪💪💪
Going far lady, good work,
Keep on keeping on.