KAMBI YA SIMBA MISRI | Kocha Fadlu, mratibu wa timu, wachezaji wazungumzia kambi

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024
  • Tazama mkusanyiko wa matukio katika kambi ya Simba SC, ambayo hadi leo imetimiza wiki moja tangu waanze kujifua jijini Ismailia nchini Misri.
    Kocha wa timu hiyo Fadlu Davids, Mratibu wa timu, daktari wa timu na wachezaji watoa neno kuhusu maendeleo ya kambi na mtazamo wao kuelekea msimu ujao.
    #KambiYaSimba #Preseason #SimbaSC

Komentáře • 101

  • @patrickkimamba7124
    @patrickkimamba7124 Před měsícem +4

    safi sana che malone kwa kututia nguvu

  • @user-gz2or2ui9n
    @user-gz2or2ui9n Před měsícem

    Allah awape nguvu wanajeshi wetu

  • @RoseAbdul-m7w
    @RoseAbdul-m7w Před měsícem +1

    Nice

  • @abdallahally842
    @abdallahally842 Před měsícem +1

    All the best simba nguvu moja

  • @YustaFrank
    @YustaFrank Před měsícem

    Naipenda simba tuwaombee tu wachezaji wetu🤝🤝

  • @allygoodboytzsdoneintanzan3970

    Boss karudi simbaaaaaa nguvu mojaaa

  • @mussaismail1285
    @mussaismail1285 Před měsícem +8

    Alie muelewa chemlon kama mm aseme nguvu moja

  • @shabanimzalla7108
    @shabanimzalla7108 Před měsícem

    Simba sc nguvu Moja 🇹🇿, Raha sana

  • @shevbran7390
    @shevbran7390 Před měsícem +1

    Nguvu moja 💪🏻we will conquer 🫶

  • @mussangalawa2403
    @mussangalawa2403 Před měsícem +3

    Kabla ya simba day wachezaji wakirudi wafikie pahara isomwe dua ya Abaldili kwa yeyote atakaeifanyia ubaya club kuanzia kwa wachezaji wasio waaminifu mpka viongozi wale yamini ya umoja wa kuipigania club na kwa walio nje ya club ambao wanadhamila mbaya dhidi yetu na wachezaji wetu waangamie kama jua lizamavyo.

    • @emmanueldaudi3797
      @emmanueldaudi3797 Před měsícem

      Hakuna ubaya wowote ni kuwa na quality tu msijidanganye Wala hakuna kurogwa Wala Nini

  • @RashidKindezi
    @RashidKindezi Před měsícem +3

    Simba dam dam

  • @user-bc4cz7vo1x
    @user-bc4cz7vo1x Před měsícem

    Allah walinde na wachawi wote mue na afya njema inshallah Amiin inshallah Amiin

  • @user-be9zz3yg1f
    @user-be9zz3yg1f Před měsícem +1

    Mbele za mungu hakun uchawi wameaza na Bismillah wamemaliza na alihamdullilah

  • @SalimRamsei-ok9el
    @SalimRamsei-ok9el Před měsícem +1

    Nomaa sanaa

  • @lastbornofficialtz
    @lastbornofficialtz Před měsícem

    I love you Simba ❤❤❤

  • @user-zh1fd8zv1x
    @user-zh1fd8zv1x Před měsícem

    Asanteni sana wana jeshiwetu mbambaneni msimu huu mutoondolee ahibu

  • @peacerichard8970
    @peacerichard8970 Před měsícem +1

    Wizard fc wanawaza uchaw tu, wizard wa Africa

  • @EsauDidiye-qs3ej
    @EsauDidiye-qs3ej Před měsícem +1

    💯💯💯💯💯💯 nguvu moja

  • @shukranionesphoro7744
    @shukranionesphoro7744 Před měsícem

    Good language from chemalon

  • @MrBm369
    @MrBm369 Před měsícem

    We love you Simba

  • @amanlenatus9067
    @amanlenatus9067 Před měsícem +3

    Sipendi kusema Mimi wa kwanza , nishazivuka hizo level

  • @IssaRamadhani-f2h
    @IssaRamadhani-f2h Před měsícem +1

    Simbaaa nguvuu mojaa

  • @SamsonSaruni-s3g
    @SamsonSaruni-s3g Před měsícem +1

    🦁🦁🦁♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️

  • @godfreymbevi2879
    @godfreymbevi2879 Před měsícem +2

    I congratulate Che Malone Fondoh for your brilliant briefing regarding the training going on in EGYPT for Simba sports club. But my question is that, your club will be playing in pitches with a lot of challenges, for more than two seasons you have been going to the same location without bringing the new chapter in our premier league. So what new results the fans should expect from you with the same training ground, same weather and ambition?

  • @soniimedia2440
    @soniimedia2440 Před měsícem

    Simba nguvu mojaaa😮

  • @BakariHamisi-ke6zv
    @BakariHamisi-ke6zv Před měsícem

    safi Sana Yani mwaka huu tuta wapima umri mana tizi limekolea

  • @nbwchannel4997
    @nbwchannel4997 Před měsícem

    Dah!! Utopoloo wachawii

  • @brunoh_bx
    @brunoh_bx Před měsícem +17

    Utopolo wametulia wanasubiri kuwaroga tu😂😂

  • @alexlipili9343
    @alexlipili9343 Před měsícem +1

    Kikubwa Dua tuuu Yani,,

  • @CikeTanzania
    @CikeTanzania Před měsícem +2

    Zetu dua tuu.

  • @Tobejr
    @Tobejr Před měsícem

    Nguvu moyaaaa💪💪

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u Před měsícem +1

    Kila laher yakambi hapo misri muwe naafya njema wote kwaujumla tunawapenda

  • @salehsultan8887
    @salehsultan8887 Před měsícem

    My Team

  • @elbarrey3305
    @elbarrey3305 Před měsícem +1

    Huyu kapombe na zimbwe basi tena inatosha🙏🙏🙏

  • @AmaniKasekwa-uw8hp
    @AmaniKasekwa-uw8hp Před měsícem +1

    Simba nguvumoja

  • @NdayishimiyeDjuma-is8gg
    @NdayishimiyeDjuma-is8gg Před měsícem

    Chemalone deserve to be a Captain

  • @CleophaceLisakafu
    @CleophaceLisakafu Před měsícem +1

    Nguvu moja viva lunyasi

  • @OmaryJafary-vu6en
    @OmaryJafary-vu6en Před měsícem

    ❤❤

  • @HalmaAlly-up9pq
    @HalmaAlly-up9pq Před měsícem +1

    Dua nyingi

  • @BigDreamsWorldwide
    @BigDreamsWorldwide Před měsícem +1

    KOCHA NI FADLU SIO DADLU

  • @barakaonlinetv1318
    @barakaonlinetv1318 Před měsícem

    Mwamedy shabalala usije mpiga mbao yule mbadala wako bhana tunataka msaidiane mtupe raha,usije mvunja mguu km boko alivyomfanyia kramo,plz plz,tunaumia mashabiki

  • @JohnEugeni-f8m
    @JohnEugeni-f8m Před měsícem

    Tuandae timu Ila tusisahau utopolo Wanga huwa wanawafunga wachezaji Hilo tulifanyie kaz

  • @SaidThomas-x3q
    @SaidThomas-x3q Před měsícem

    Utopolo hatari nikua makini

  • @AminaRashid-wl8fe
    @AminaRashid-wl8fe Před měsícem

    Simuoni mkandaji

  • @longlive_k10
    @longlive_k10 Před měsícem +1

    Che Malone kama amesifia basi naamini kweli wanapikwa ,... jamaa haongei uongo hana siasa

  • @MarcoMasabo-nd2wp
    @MarcoMasabo-nd2wp Před měsícem +1

    Malone suppose to be a captain

  • @jeofreymsomba7200
    @jeofreymsomba7200 Před měsícem

    Wanganga wapo avic😅😅😅

  • @LucianaWilson-z2i
    @LucianaWilson-z2i Před měsícem

    Nguvu moja

  • @user-vw2ux5sh4x
    @user-vw2ux5sh4x Před měsícem +1

    Malon huna baya kabisa

  • @thehustlerafrica4368
    @thehustlerafrica4368 Před měsícem

    Utopolo michawi ,mfano kramo katupiwa majini hata mechi moja hajacheza

  • @MusaHamis-oz2rg
    @MusaHamis-oz2rg Před měsícem

    Mbona matola tena

  • @AlifaHamis
    @AlifaHamis Před měsícem

    Mbona kibu haonekani au Asha Anza kuji sikia na yeye

  • @NassoroSipemba
    @NassoroSipemba Před měsícem +1

    Hakuna timu inayo Ogopewa kwa uchawi barani afrika kama kolo fc ukitaka kuthibitisha hili waulize Olando ya south afrika.

    • @hastatz
      @hastatz Před měsícem

      Sawa

    • @gwakisamwaseje7849
      @gwakisamwaseje7849 Před měsícem

      Mpira ni science na sio uchawi kaka

    • @Gisakijamaduda
      @Gisakijamaduda Před měsícem

      Ngogwe fc hamjui manara alimaanisha wajomba zake kwa kizaramo,lakini utopwax wanafikiri ni jina baya!!!!!! hamna akili kabisaaaaaaaaaaa utopwax weeeeeeee

    • @eliashagai7920
      @eliashagai7920 Před měsícem

      Na wewe mchawi

    • @storytime1204
      @storytime1204 Před měsícem

      Ndio maana na nyie mnanyeshwa supu za vibudu😂😂😂

  • @user-ys4zk3hx4f
    @user-ys4zk3hx4f Před měsícem +1

    Kibu sinuon😂

  • @user-in4kg3kj8x
    @user-in4kg3kj8x Před měsícem

    Zimbwe hajui kuongea bhn 😅😅

  • @edgarcruzee5223
    @edgarcruzee5223 Před měsícem

    Matora atufao anatenga wachezaji na mra Rushwa ajui chochote ni fitina tu

    • @eliashagai7920
      @eliashagai7920 Před měsícem

      Plz Kam Simba unaona vipi hama ,Kipindi hiki sio Cha kulaumiana au kumnyoshea kidole mtu,Matola ni mzalendo Sana kaa nae karibu au uliza wachezaji wakwambie

    • @JK-uq1tv
      @JK-uq1tv Před měsícem

      Hii ni kweli kabisa Matola hafai Huwa anachukua rushwa hasa Kwa wachezaji wazawa hii ni taarifa kutoka Kwa mchezaji aliye kuwa anachezea Simba Simba ilikula Tano nayeye alikuwepo

  • @muuh_barber8578
    @muuh_barber8578 Před měsícem

    Isra mwenda na Kibu vipi ?

  • @GodfreyJames-zt6ig
    @GodfreyJames-zt6ig Před měsícem

    Ubaya ubwela utopolo kwisha abli yao

  • @frankmalema5350
    @frankmalema5350 Před měsícem

    Mafaniko yajayo utasikia wenzenu walikuwa wanafanya zoezi misri nyie mlikuwa wapi naiona simba inabeba shirikisho

  • @jumaali9243
    @jumaali9243 Před měsícem

    Mara hii wazee wameamka ubaya ubwela

  • @user-wh5zz5dk2g
    @user-wh5zz5dk2g Před měsícem

    Uto tunaomba msiwaloge mwaka huu jamn

  • @shadrackjuliuskaboya5239
    @shadrackjuliuskaboya5239 Před měsícem

    Misimu huuu tusirogane bori litembeeeee

  • @officialdana5114
    @officialdana5114 Před měsícem

    Onana simuoni

  • @Regina-hb5mi
    @Regina-hb5mi Před měsícem

    Viongoz mlitudanganya eti kibu Alienda misili

  • @Regina-hb5mi
    @Regina-hb5mi Před měsícem

    Kibu yuwap

  • @user-ti3bi2ip8s
    @user-ti3bi2ip8s Před měsícem

    Acheni wivu mtabaki hahapa mkawasidiewavuvi kuvua samaki feli,chula wakijani nyie

  • @phaustinemrema2293
    @phaustinemrema2293 Před měsícem +1

    Sauti haina

  • @Richardjulius-g3y
    @Richardjulius-g3y Před měsícem

    Simba Nguvu 1

  • @juniorjunior6639
    @juniorjunior6639 Před měsícem

    Nguvu moja

  • @maulidkamundi1700
    @maulidkamundi1700 Před měsícem

    Acheni uboya msije mkatoa siri za kambi kwa bosi wenu.