Simba 1-0 Mbeya Kwanza | Highlights | NBC Premier League 06/02/2022
Vložit
- čas přidán 5. 02. 2022
- Goli pekee la Clatous Chama likiwa ni goli lake la kwanza tangu arejee nchini mwezi Januari mwaka huu limeipa Simba ushindi wa 1-0 dhidi ya Mbeya Kwanza katika mchezo wa #NBCPremierLeague uliochezwa kwenye Dimba la Benjamin Mkapa.....
- Sport
Simba wamestahili huu ushindi 💯
SIO OF SAID NI GOLI HALALI HIYO
KABISAA HALINA KIGUGUMIZI.
Mdogo mdogo mpaka kieleweke msimu huu Simba sc nguvu moja daima
Simba jana walicheza mpira vizuri sana kiwango chao kinaridhisha sema hawakuwa na bahati ya kufunga magoli mengi ila all in all tunamshukru Mungu kwa kuongeza point tatu muhimu. Na kwa mtazamo wangu naona bado kuna shida kwenye straika za simba kuhusu kuliona lango so benchi la ufundi inabidi waliangalie hilo kwa ajili ya kutengeneza magoli maana inaonekana forward za simba mara nyingi wanakosa nafasi za wazi pamoja na alternative zao kama wafungaji.
Wallah simba imecheza mpila sana nimipangotu haijakaa sawa
Jifunze quran kusoma kuandika gusa picha yang hapo kama hautojl
Unajiskiaje Kuwa Muislamu Ambae Hujui Kusoma Quran!....... Huyu Shekh Anafundisha Vizuri Sana Wallaah Ukifatilia Darsa Zake Lazima Utafaham Kusoma Quran
Congrats mnyama
Respect kwako Sakho
Naipenda simba inanipa raha sana
Mi naona team imeimprove, at least wanaanza kujaribu kupanua uwanja though kuna tatizo kwny utulivu wa kumalizia na ubinafsi kwny nafasi za mwisho,goli ni offside or no tuwaachie mabush referii🙌
Congratulations mnyama
Tanzania ndio nchi pekee duniani marefa awafati sheria za mpira wanafata maelekezo ya TFF
Kweli Simba wanacheza vizuri sana ila wameingiza tabia ya kutaka kufunga kila mkoja na hiyo ndo inatungim magoli tuliyoyazoea
Tatizo bado ni kubwa sana, Mfungaji wa mwisho wa Simba hayupo bado, kila mmoja anataka kuwa Mfungaji.
Yan tumekosa magori mengi San jmn duuuuh
Ipo haja ya kujiuliza sana,Tunakosea wapi mbona tunacheza vyema lakini ushindi wetu umekuwa wa tabu sana.
Bocco,mugalu, fukuzeni,hakuna wafungaji hapo
@@legendjayzan945 na ndio tatizo kuu kwa sasa wanaotakiwa kufunga hawafungi kwaiyo wana cost timu tena kwa sana
Mkude nadhani bado haja recover vizuri. Mzamiru ni muhimu kuanza
One love
Namba one ✊✊🦁🦁🦁
🤣🤣🤣🤣🤣sisi wafrika ni liaza tyu mpira wa miguu tuachie wazungu
Sakho Chama 💥💥💥
Goli la mchongo ilo subirini mikoani hamtoboi
Makasiriko 😃
Umeisikia iyo
Umeiona iyo
Ni goli halali Kama hutaki kufa
Kinaocho onekana hii sheria ya offside watu wanaipindisha lkn SHERIA ipo wazi
Delebrate play hapa haipo difender hajakusudia
Hakukusudia alikuwa ameblock mawe au mpira🤣
Baraka mpenja acha mapenz ya kipuuzi.
Makolopooooo Bila Mchongo Hawashindi Acha Waende Club bingwa Wakatombeke Ipasavyo Wakirudi Wachengwe Na Geita Gold
Matusi si ushabiki kaka pia ushabiki si ugomvi
Pmojaa mnyamaa
Eti Yanga atisheke na bwa Hawa Bora hata wangekuwa fisi😂😂😂😂😂
Gori la uongo simba kapewa yani kagere alikuwa mbele Na kagusa mpira
Yaani mbeya kwanza mulichokitaka ndo hiki mulitegemea sisi tufungeje nayinyi mumeng'ang'ania kwenye goli lenu hamtaki kucheza?? Ndomana tumewapelekea Moto hukohuko mbna baada ya hapo mumefunguka na kuanza kusambaa na kucheza mpira vizuri kwann kabla ya gori hamkuwa mnacheza mlikuwa mnalinda point1 sasa imewaghalimu sikunyingine msicheze Tena robo uwanja sawa.
Unaumia Ukiwa wapi
AKIWA MKUNDUNI KWA MANARA.
Mnyama kawasha taa anakuja speed UTOPOLO mavi yanagonga chupi😂😂The Great SIMBA 🦁💪🙏
Speed ya magoli ya offside ahahahaha
Speed kwa magoli ya chupli chupli ya kupewa na marefa....njooni tu dhulma kuna siku zitakwisha mtaumbuka mchana kweupee
@@asiarashidi1520 Simba anatambulika hadi kimataifa kaeni kwa kutuliaaa Mbwa Nyinyi 😷🤣
Mpenja mpenja au sio wewe maana umetudanganya katika ofside
Marefa wa michongo b20 kazini Kamati ya Wazee kazini
Hii mbona mmewahi kuiweka namna hii
Simba bado hawana striker wa kutia goli uhakika
Nitaendelea kurudia kusema ivi sima ikiwa wachezaji hawato weza kuacha uchu wa kila mmoja kutaka afunge yeye basi kushinda itakua ni jambo la bahati mbaya unakuta kila mmoja anataka ashinde yeye hii sio simba tulio izoea coach ongea na wachezaji so akishinda mmoja ushindi nikwawote. Sifurahii goal za hivi.zinatwa popo goal.
Nadhani Simba ilistahili penalty
Tatizo wanaingia na vibuyu hawa wapinzani wa simba ipo cku
hakuna vibuyu bwalya, sako wachoyo hawatoi pasi.. ! Simba hivi sasa kila mtu anataka kufunga hata akiwa mbali.. hata mwenzie anapokuwa kwenye nafasi nzuri zaidi karibu na goli.. Bokko akienda kwenye impossible angle.. hafikirii kupiga back pass kwa mwenzie.. anang'ang'ana kupiga hivyo hivyo.. ndio tatizo..!
@@josephgomalo41 Tatizo Hilo lipo isipokuwa timu pinzani wanaziba utamu pale kati
Makolo wanajidanganya eti wamepewa na wataendelea kupewa
majiraniiiiiii mavu yana gonga kwenye chpi utatoa hutoi mnyama huyooo anakuja
Kichwa kama uvundo wa shimo la taka makolo kolo
Unateseka kweli
Mnapack bus mpaka lini hamjui mchezo wa kitaalam muende daraja la pili
Marefa mnawavunja nguvu na kuwatoa mchezoni wachezaji kuweni makini jamani mkishakula izo kungu zenu mnataribia mpira tu kila siku
Wawaangie sana utopolo ndio wanaowaharibia simba yn nafas za magol kabisa kama zinapeperushwa ila bdo zam yao
Offside ya wazi kabisa, kinachoharibu mpira wa bongo ni njaa ya hawa waamzi
Hivyo Ni offside ya wazi kabisa Kagere kazidi au hawaangalii offside ya twenzetu wa huko mbele no meana Bongo wanasema Simba Na Tanganyika ndio zimeuua Moira wake
Uto ww
Ww simba timu kubwa kwa sababu kwanza tuna bebeka vzur utopolo hata uwa bebe vp hawakai migongoni wanauma baya haooo mabwege
UTOPOLO WANUKA MIKUNDU
Kiukweli waaamuzi mnakosea sana acheni kuharibu nguvu za watu wanawekeza .sasa hilo goli gani. kama kyombo yupo offside iweje ya kagere alikuwepo amesimama muda mrefu?? TFF mmeanza ujinga ligi hii mtaiua sifa na utamu wake.
Mpira umeguswa na mchezaji wa mbeya no offside
Anaekumbuka mara ya mwisho makolo kufunga goli 2 ligi kuu anikumbushe mana sikuhz bila kusaidiwa kama hvyo na refa hatupati hata goli moja
@Hamida na utopolo mwisho kupata gori mbili lini? Halafu jitahidi kuangalia kundule ww bibi.
muwe mnawahi kuposti wapuuzi wamoja
Ule upendo wa kupasiana kipindi cha Akina micquison na chama hakipo tena dah yasni mlikuwa vzuri snanpssi za upendo na magoli ynptokn mengi tu ssda msipojirekebisha hpo yutakuwa tunashinda kwa bhti sna jmn duhu ,Olz cocha ongea na wachezaji warekebishe hilo mmoj akishinda ni wote watazane aliyekatibu apadiwe jmn sio kila mmoja umimi huwiiii haikuwa hivi Simba jmn duhu
nashangaa kwa nini kocha halioni hilo..! hao sako, bwalya wote ni wachoyo wana umimi..
Yan kuna mtu kama Dilunga, Mzamiru Nyoni Bocco na Mkude hawa wanatakiwa wachezeshwe mechi za mwishoni mwa msimu au waondolewe kabisa Simba, tunashukuru kwa michango yao lkn Simba ya sasa haihitaji huduma kama yao