Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
JAMANI MASHABIKI NAOMBENI RADHI KUNA CHANGAMOTO ZIMETOKEA KATIKA MOVIE HII NDIO MAANA HAYA YANATOKEA TUWIE RADHI SANA 🙏🙏🙏🙏
Sawa kaka ,napenda sana kaz zako naninajifunza VINGI mno MUNGU awatunze, nakuweka wepesi pia tuzid kujifunza
Ko muendelezo haupo tena dah
😢😢 bored
Kama imeisha sijapenda ulivyomaliza tunatikiwa tufahamu hatima nyumba imeuzwa au haijauzwa...
Kwahivo mali za marehemu iliishia hapo
Duuh noma sana aise sikuzote kichwa cha familia kikitoweka lazima kuwe na changamoto za maisha ila big up sana baba joan ila ndio imeisha ivyo au
kazi nzuri sana tuna wapenda kutoka congo
Kazi zuri sana tunawapenda sana kutoka kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤❤❤
me too,from Kenya 254🎉baba Joan all the best
Mwanzo mzr lakn umaliziaj mbaya sijapenda
Napenda wa2 wagombane niwe nashuhudia hvyo kulko kula
Jamani muendelee tuone mwisho mbona munaimaliza vibaya jamani 😊😊😊❤❤
pesa hamna mwaenda toa pesa Gani na nyumba haiuziki baba Joan amedinda hapauzwi nyumba😂😂😂😂😂😂😂😂na mke yuvachinjwa kesho😂😂😂😂😂
Hongera saana Baba Joan aky unatimaza malengo yako ya kuwa elder brother kwa nyumba ya Mzee Tuzu big up
Kaz umeifanya kak
M nlikua namkubali huyu baba joan kumbe nae miyeyusho tuh😂😂😂
Changamoto
Mnafanya vizuri ila umaliziaji wenu mbaya mpaka nashindwa kuwaelewa😮
😂😂😂😂😂😂😂 huyu mama karobo kumbe kote kote mkorofii
Congratulations naivuatillia sana kutoka kenya,nzuri sana baba joan pongezi.
Watching from Kenya always. Baba Joan you are the best. I love your episodes.
Mko swa hajj kutok ❤Kenya. Kilifi County 🎉
Kipara ame tukanwa jamani 😂😂Eti yeye sio mwana familia mana Hana shap 😅
Baba Joan kazi nzuri na endelea mnatufanya tunakaa poa bila kurangaranga
Ok ila unajitahidi sana bro nakukubali
Tuko addicted na hii movie kunaendaje tena,, 🤔
Uko sahihi baba joan nyumba isiuzwe
Hongera kwa hadith nzuri
Kazi nzuri sana nakukubali miaka buku
Mbona mwatupeleka nini❤❤❤
Mbona misamaha imekua mingi piga kazi usituabudu kaka
Mbona mwafanya Ivo amuoni kama mwatupeleka mbari
Nawakubali sana ❤❤❤❤❤
Ndo mnapo feria ndo maana sometimes watu tunasema bongo movie hazieleweki tunaangalia KOREA maana wanajielewa
Mbna haina mwisho Jamn am mawazo yameishia apa 😮😮😮
Mko vizuri Nawapa kopa ❤❤❤❤❤❤❤
Tunawapenda from congo
Ila tuachane nayote kipara apewe laki yake jamani aya😁😁😁
Nawakubal sana
Movei zako nazipeñda sana mwanzo mwisho
Nzur sana na mimi pia napenda kuigiza
Ongezeni bidii ili mov inoge zaidii
Movie nzuri ila mwisho mbaya 😢😢😢😢😢
Video nzuri ila tunataka kujuwa kuwa Kichwa alipatikana au laa kwa sababu mmetuwaja kwa sadfa
Baba joan umezinguaa..
Malizia bas baba Joan umetuacha njia panda
Mpo vizuri sana 💕💕
Asante kwako pia
Mbona siwaelewi imeishaa au vip bado inaendelea
Nakumbali movie zenu san
😢😢😢part 2 tafadhali
Madada mnanifuraisha kweli
Hamjamalizia Poa naomba mmalizie basi
Iko vizuri sana
Umeboesha mkuu
Vicky tabia mbaya ajana heshimu sabina please
@BabaJoan umefeli..
babajoanumewezsananakiangarazujatinaroy❤❤❤❤🎉🎉🎉😂😂😢😮😅😊
Unefeli baba joan mbona imemaliza vibaya
😂😂😂Waigizaj wa kibongo Huwa hawajui kumaliza story,RIP kanumba
Mnaboa na huko mwisho.
Tuambien mwendelez up0?haup
Baba Joan na kundi lake mko sawa
Baba Joan, kwani episodes zimefikia mwisho? Hivo huendelei Tena au?🤔🤔😔😔😔😔
Soma mwisho vile wamepeana maelekezo ya tamthilia
Plz nusiogeze kukawiya
ivi kwel imeisha?
Okay
inamuendelezo?
❤❤❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪
53
Sichupit
JAMANI MASHABIKI NAOMBENI RADHI KUNA CHANGAMOTO ZIMETOKEA KATIKA MOVIE HII NDIO MAANA HAYA YANATOKEA TUWIE RADHI SANA 🙏🙏🙏🙏
Sawa kaka ,napenda sana kaz zako naninajifunza VINGI mno
MUNGU awatunze, nakuweka wepesi pia tuzid kujifunza
Ko muendelezo haupo tena dah
😢😢 bored
Kama imeisha sijapenda ulivyomaliza tunatikiwa tufahamu hatima nyumba imeuzwa au haijauzwa...
Kwahivo mali za marehemu iliishia hapo
Duuh noma sana aise sikuzote kichwa cha familia kikitoweka lazima kuwe na changamoto za maisha ila big up sana baba joan ila ndio imeisha ivyo au
kazi nzuri sana tuna wapenda kutoka congo
Kazi zuri sana tunawapenda sana kutoka kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤❤❤
me too,from Kenya 254🎉baba Joan all the best
Mwanzo mzr lakn umaliziaj mbaya sijapenda
Napenda wa2 wagombane niwe nashuhudia hvyo kulko kula
Jamani muendelee tuone mwisho mbona munaimaliza vibaya jamani 😊😊😊❤❤
pesa hamna mwaenda toa pesa Gani na nyumba haiuziki baba Joan amedinda hapauzwi nyumba😂😂😂😂😂😂😂😂na mke yuvachinjwa kesho😂😂😂😂😂
Hongera saana Baba Joan aky unatimaza malengo yako ya kuwa elder brother kwa nyumba ya Mzee Tuzu big up
Kaz umeifanya kak
Kaz umeifanya kak
M nlikua namkubali huyu baba joan kumbe nae miyeyusho tuh😂😂😂
Changamoto
Mnafanya vizuri ila umaliziaji wenu mbaya mpaka nashindwa kuwaelewa😮
😂😂😂😂😂😂😂 huyu mama karobo kumbe kote kote mkorofii
Congratulations naivuatillia sana kutoka kenya,nzuri sana baba joan pongezi.
Watching from Kenya always. Baba Joan you are the best. I love your episodes.
Mko swa hajj kutok ❤Kenya. Kilifi County 🎉
Kipara ame tukanwa jamani 😂😂
Eti yeye sio mwana familia mana Hana shap 😅
Baba Joan kazi nzuri na endelea mnatufanya tunakaa poa bila kurangaranga
Ok ila unajitahidi sana bro nakukubali
Tuko addicted na hii movie kunaendaje tena,, 🤔
Uko sahihi baba joan nyumba isiuzwe
Hongera kwa hadith nzuri
Kazi nzuri sana nakukubali miaka buku
Mbona mwatupeleka nini❤❤❤
Mbona misamaha imekua mingi piga kazi usituabudu kaka
Mbona mwafanya Ivo amuoni kama mwatupeleka mbari
Nawakubali sana ❤❤❤❤❤
Ndo mnapo feria ndo maana sometimes watu tunasema bongo movie hazieleweki tunaangalia KOREA maana wanajielewa
Mbna haina mwisho Jamn am mawazo yameishia apa 😮😮😮
Mko vizuri
Nawapa kopa ❤❤❤❤❤❤❤
Tunawapenda from congo
Ila tuachane nayote kipara apewe laki yake jamani aya😁😁😁
Nawakubal sana
Movei zako nazipeñda sana mwanzo mwisho
Nzur sana na mimi pia napenda kuigiza
Ongezeni bidii ili mov inoge zaidii
Movie nzuri ila mwisho mbaya 😢😢😢😢😢
Video nzuri ila tunataka kujuwa kuwa Kichwa alipatikana au laa kwa sababu mmetuwaja kwa sadfa
Baba joan umezinguaa..
Malizia bas baba Joan umetuacha njia panda
Mpo vizuri sana 💕💕
Asante kwako pia
Mbona siwaelewi imeishaa au vip bado inaendelea
Nakumbali movie zenu san
😢😢😢part 2 tafadhali
Madada mnanifuraisha kweli
Hamjamalizia Poa naomba mmalizie basi
Iko vizuri sana
Umeboesha mkuu
Vicky tabia mbaya ajana heshimu sabina please
@BabaJoan umefeli..
babajoanumewezsananakiangarazujatinaroy❤❤❤❤🎉🎉🎉😂😂😢😮😅😊
Unefeli baba joan mbona imemaliza vibaya
😂😂😂Waigizaj wa kibongo Huwa hawajui kumaliza story,RIP kanumba
Mnaboa na huko mwisho.
Tuambien mwendelez up0?haup
Baba Joan na kundi lake mko sawa
Baba Joan, kwani episodes zimefikia mwisho? Hivo huendelei Tena au?🤔🤔😔😔😔😔
Soma mwisho vile wamepeana maelekezo ya tamthilia
Plz nusiogeze kukawiya
ivi kwel imeisha?
Okay
inamuendelezo?
❤❤❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪
53
Sichupit