Video není dostupné.
Omlouváme se.

DR SULLE AFUNUA TOFAUTI YA UTAJIRI WA NYOKA NA UTAJIRI WA PETE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 19. 08. 2024

Komentáře • 372

  • @andrewmoi2186
    @andrewmoi2186 Před 3 měsíci +50

    Dugu sangu msiedee uyu nganga ni atari Sana tumtengemee mwenyezi mungu ata kama utakufa maskini aina shida Matajiri na masikini wote tutakufa

    • @badruseif1318
      @badruseif1318 Před 3 měsíci

      Andrew unazungumzia uganga WA aina gani? Mana hata ukienda muhimbili kuna mganga mkuu

    • @andrewmoi2186
      @andrewmoi2186 Před 3 měsíci +5

      @@badruseif1318 akika mwenyezi mungu ametukataza kumtengemea muingine asie kua yeye sasa wewe ukieda KWA mganga kama uyu sule apo utakua amemusirikisa mwenyezi mungu

    • @sleyumngolo
      @sleyumngolo Před 3 měsíci +1

      Uelewa wako mdogo

    • @ahmetmwandu8499
      @ahmetmwandu8499 Před 3 měsíci +3

      Sahihi kabisa, huyu ni mganga na anapaswa kupingwa vikali sana

    • @rajabuidd45
      @rajabuidd45 Před 3 měsíci +1

      Wewe mpaka Sasa una magari mangapi

  • @jumaothman4411
    @jumaothman4411 Před 3 měsíci +18

    shekh umekua unajua kadari kuliko ata mtume sasa duh muogope mungu usipoteze watu

    • @IbrahimMwinyi
      @IbrahimMwinyi Před 3 měsíci +1

      Ameongea ukwel kam umefatilia vizur

  • @azizaramdan5879
    @azizaramdan5879 Před 3 měsíci +8

    Kumbe huyu naye ni mshrikina namba 1 subhanna llah

  • @alimwadima254
    @alimwadima254 Před 3 měsíci +9

    Shukran Kwa kunielemisha juu Ya Hayo makundi manne Dr.Sule

  • @abdulrahmanally7614
    @abdulrahmanally7614 Před 3 měsíci +17

    Nilikua namuheshim sana dr sulle ila kumbe upo kwenye ushirikina dah! Allah akuongoe

  • @salaamibahsan3063
    @salaamibahsan3063 Před 3 měsíci +17

    Daah shekh wangu unapigia debe ushirikina daah mtihani kwakweli

  • @SANDUKUTV
    @SANDUKUTV Před 3 měsíci +20

    Rizk anatoa Allah na anamkadiria mwenyewe

  • @ibnuali6857
    @ibnuali6857 Před 3 měsíci +9

    Duh allah akuongoze sule shirki hiyo ndugu rudi kwa allah uombe msamaha na hizo shirki utubie

    • @josephshirima7057
      @josephshirima7057 Před 3 měsíci

      Ni kweli tunatakiwa kujifunza Kwa kuuliza tusiyoyajua ila hadithi zinasema nabii Suleiman alikuwa na hyo Pete hebu ifatilie uijue

    • @mamuamtoto
      @mamuamtoto Před 3 měsíci

      @josephshirima7057Nabii Suleiman alikua nao Pete hii niTarehwe nimesoma hata mimi kama sijakosea Kitabu cha RiyadhiSalihin jaribu kufuatilia.

    • @mussamalekela2107
      @mussamalekela2107 Před 3 měsíci

      Ndio shida ya kujiita masheikh bila kusoma mwisho wanatumbukia ktk ushirikina! Allah amuongoze sule na walio mfano wake, maghorofa magari ya kifahari mapesa visitupumbaze hadi kumshirikisha Allah.

  • @user-qr2ww4nl7f
    @user-qr2ww4nl7f Před 3 měsíci +11

    Adhubillahi minasheitwani raajim.yoooo kumbe huyu sheikh nimushilikina ivyo.allah amusamehe kwakwer😢

    • @fatmaahmed8637
      @fatmaahmed8637 Před 3 měsíci

      Ikiwa hujafahamu hasa.uliza tena...Mungu amaumba Sisi na majini tumuabudu...Sawa?

  • @fawziyahassan5714
    @fawziyahassan5714 Před 3 měsíci +7

    Boss Sulle hata habari huna na hujali kama Mungu anakuona Doh!! Dunia imeisha Mashekh wamepotea hata sijui tunaelekea wapi jamani.Shirk imekua kama maji ya kunywa Mungu asimame na kila anaekana upuuzi wa Sulle

  • @husnatoba8124
    @husnatoba8124 Před 3 měsíci +5

    Hamna mshirikina yoyote bila kusoma na wengi ndio wanapoteza jamii na Moroni pia atakua na kundi lake.innalilahi WA inna ilaihi rajiyun

  • @mwanamkemuislamutv9369
    @mwanamkemuislamutv9369 Před 3 měsíci +15

    ATAKAE AMINI HILI ANA AKILI KAMA ZAKO .....KUNA KITU NYUMA YA PETE UNAWAFICHA WATU.

  • @swahilitherapytv3846
    @swahilitherapytv3846 Před 3 měsíci +25

    Elimu ya nyota ni miongoni mwa elimu za ushirikina, na hakuna swahaba yoyote wa mtume Muhammad allayh salaam, aliyefanya mambo hayo , ww Dr sule umetolea wapi ushirikina wako huu...??

  • @ahmetmwandu8499
    @ahmetmwandu8499 Před 3 měsíci +18

    Sulle unauchafua uislamu bila wewe kujua, hiyo ni shirk

    • @dorcaskarago2876
      @dorcaskarago2876 Před 3 měsíci +1

      Uyo ndiye anajuwa siri yote ya uislam

    • @ahmetmwandu8499
      @ahmetmwandu8499 Před 3 měsíci

      @@dorcaskarago2876 uislamu hauna Siri yeyote. Sheria na taratibu zote za uislamu zinatokana na Quran na Hadith za mtume kama walivyoelewa maswahaba. Na vitabu hivyo vipo wazi, kila mtu anaweza akavi-access. Uzuri huyo bwana amezungumza bila ya ku-quote popote katika vitabu vinavyotumika katika uislamu. Hivyo katumia mawazo yake Tena na anachokisema kinapingana Kwa asilimia 100 na Sheria ya uislamu. Afterall shirk ndio zambi namba Moja Kwa ukubwa katika uislamu, Hilo liko wazi

    • @ahmetmwandu8499
      @ahmetmwandu8499 Před 3 měsíci

      @@dorcaskarago2876 pia Sulle Hana analojua katika uislamu, kama ni mjinga basi ni namba moja. Usione sijui ana-debate na wakristo ukajua ana elimu, hapana, Mimi nadhani anatumia dini kujiingizia kipato, lakini Kwa njia isiyo sahihi na huko ni kuvuka mipaka katika dini.
      Si sheikh, bali kwakua ela tamu basi anaenda kinyume kabisa na dini

    • @maryamtanzania9743
      @maryamtanzania9743 Před 3 měsíci +2

      Sijui nacheka ninj ila naogopa kupoteza imani yangu kwakusikiliza hawa mashehe washirikina yarabi nakuomba utungoze

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa Před 3 měsíci

      ​@@ahmetmwandu8499Wewe ndiyo unayesema hajui kitu lakini waislam wenzako wana muunga mkono kwamba yuko sahihi

  • @fahadrashid9754
    @fahadrashid9754 Před 3 měsíci +10

    Shida ya shekh mifano anayotoa hasemi kama ni khadithi au qur.an n kama hadithi wapokezi ni wepi

  • @user-kc6hc6re7t
    @user-kc6hc6re7t Před 3 měsíci +13

    YOTE NI SHIRK

  • @Aisha-qx7kz
    @Aisha-qx7kz Před 3 měsíci +4

    Masha Allah ALLAH atuongoze na atakabalie dua zetu insha Allah

  • @Blessedboi8019
    @Blessedboi8019 Před 3 měsíci +17

    Wewe ni agenti wa shetani

  • @AboubakarNiyonzimaAboubakar32
    @AboubakarNiyonzimaAboubakar32 Před 3 měsíci +7

    Eti jini anaweza kukulinda ni ushirikina Allah hapendi hayo wew Sule Soma qur'an suratu Al an'am Ayat ya 128

  • @allyabdalla8688
    @allyabdalla8688 Před 3 měsíci +1

    kadar haibadilishwi na lolote sio wala sadaka cha msingi watu wakaedarsani wakaelimishwe.na sio kwa mawazo yao wanazungumzia qadar aliulizwa mtume rhma na amani ziwe juu yake kuhusu qadar akase nisir Allaah usiizungumze . tumuogopeallaah kwa kutoa fat wa bila ya elimu.

  • @RaniyaOmary
    @RaniyaOmary Před 3 měsíci

    Inalilah wainalilah rajiughun allah atunusuru... huy anatumia din kuangamiz umma muhammady mtoa rizki kwenye uwilam hamn wew nimshirikin allah akulipe dunian na akher

  • @FhhbCanhebeg-tv9sv
    @FhhbCanhebeg-tv9sv Před 2 měsíci

    Dr sule uko vzr kwa ili mtu akuelewe inabid akusikilize sanaa

  • @HusseinHamidu-nq1vc
    @HusseinHamidu-nq1vc Před 2 měsíci

    Watanzania tunapenda kukariri TU maisha utasiki ni shirki hii ndipo tunapo fely

  • @user-hd3pi3bc9v
    @user-hd3pi3bc9v Před 3 měsíci +9

    Ww mzee acha utapeli na ushirikina na visa vyako vya uwongo ipo siku utakufa na utalipwa kwa unachokitenda✓

  • @ernestgeorge8412
    @ernestgeorge8412 Před 3 měsíci +3

    Nakuelewa Sana dk sule

  • @mantosanto3222
    @mantosanto3222 Před 2 měsíci

    Dr naomba unisaidie nimeishi maisha magumu sana

  • @AshaAlly-dv8jg
    @AshaAlly-dv8jg Před 3 měsíci +4

    Ahsante sana dr sule kwa kuelimisha jamii tatizo kubwa liliopo ni hawa mawahabi hawana elim na wala hawataki kusoma walicho karirishwa na wapumbavu wenzao kila kitu ni shirki ndio maana ukiwaona wamepaukiana na kila kukicha maisha yao ni afadhali ya jana

  • @sambatv3194
    @sambatv3194 Před 3 měsíci +2

    Shirk ni shirk hakuna cha elmu ...hapa kama kuna mtu Ana elmu kuliko Rasul (S.A.W)

  • @bigemagomabigemagoma6312
    @bigemagomabigemagoma6312 Před 3 měsíci

    Alhamdulilah Allah ametujulisha wewe ni Mtu wa aina Gani

  • @user-ec7wu9bk8w
    @user-ec7wu9bk8w Před 3 měsíci

    Kwhy unajisifia sasa...Allah anakuona Sulle...!!!

  • @ndabatv518
    @ndabatv518 Před 3 měsíci +9

    Ndo maana waganga wengi ni waislamu...fatiliya mtaani kwako utakubaliana na mimi

    • @badruseif1318
      @badruseif1318 Před 3 měsíci

      Ndaba kule sumbawanga makafiri watupu lkn kumejaa waganga

    • @aminatanzanya7475
      @aminatanzanya7475 Před 3 měsíci +5

      Fremason wengi wakristo fatilia uniambie hlf nikwambie kitu hawa prophet ni hatar kuliko huy shekhe

    • @MuuYascohy-oc7os
      @MuuYascohy-oc7os Před 3 měsíci

      Mafreemasons wengi ni wakristo na wasiokuwa na dini kenge ww!! pia wale waganga wa Shinyanga,Mwanza,Simiyu,Kigoma na Mara wale waislam ?? kenge mkubwa ww

    • @mjombawallace4966
      @mjombawallace4966 Před 3 měsíci

      Hawa Bure kabisa wanshenzie eeh😊

    • @fredducaunt
      @fredducaunt Před 3 měsíci

      ​@@aminatanzanya7475😂😂 freemasons ni ma atheist na maislamu bhna fatlia bro
      Hakuna mapichapicha ya kafara kwenye Ukristu bob

  • @sheikhidrisa9793
    @sheikhidrisa9793 Před 3 měsíci +1

    Hii ni elim tu kosa la dr sulle tu hakutakiwa kuisomesha kwa watu wasiojua ulimwengu wa mamb ya kiroho mie niko pamoja na wewe kaka toa elim

  • @duncanbee1263
    @duncanbee1263 Před 3 měsíci +1

    This guy is a genius 😅

  • @SameerMdumbemalongo
    @SameerMdumbemalongo Před 2 měsíci

    Njaaa mbaya sana kwa huyu Jaaahili....alianza kweny nyuki na nyambu zake....leo anaumbuka laivu

  • @TheFikra
    @TheFikra Před 3 měsíci +2

    Subhannallah kumbe huyu ni mshirikina kiasi hiki? Amefikia hadi kuhusianisha nyota na maisha ya watu?

  • @user-hd3pi3bc9v
    @user-hd3pi3bc9v Před 3 měsíci +8

    Halafu usilazimishe kuwa una elimu nendaa ukasoma itikadi sahihi ya dini yako [

  • @rahmasalum1317
    @rahmasalum1317 Před 3 měsíci +2

    Kuvaa pete au madini bila kueka shirki haina tatizo tatizo huja kuitegemea pete hali yakua madini nasie waja ni viumbe vya Allah haifai kutegemea aina yyte ktk viumbe vya Allah

  • @noahnsubc1666
    @noahnsubc1666 Před 3 měsíci +1

    Ustadh unamaliza Mb na story za uo go😂😂😂 mtangazaji katulia tu

  • @TwariqYusuf24
    @TwariqYusuf24 Před 3 měsíci +2

    Kutegemea jini kwa ulinzi ni Shirki ya wazi katika uislamu..tatizo sio watu kukosa elimu bali ni kwa Dr. Sule kukosa elimu ya Tawheed

  • @HeboniBabu
    @HeboniBabu Před 3 měsíci +1

    Mweleweni Sheikh vizuli musilaumu kwasababu ayo Ni mafundisho ya Dunia Na ahelaa kwaiyo mafundisho upate kuwelewa

  • @adamkassim-ts2ds
    @adamkassim-ts2ds Před 3 měsíci

    Uyu anapoteza waislam ana support shirki

  • @mohdshebe5640
    @mohdshebe5640 Před 3 měsíci +5

    Bwana mdogo vipi umetangaza dini imekushinda sasa unataka kutia watu kwenye shiriki, wapi na wapi Pete kuvutia riski au kufuga majini unakoelekea cko huko

    • @hassanjr5318
      @hassanjr5318 Před 3 měsíci

      Umepata kisa cha Nabi Suleman
      Katika maelezo yake anamtumia sana tusihukumu elimu pana labda yupo sahihi

  • @juntaadichie1923
    @juntaadichie1923 Před 2 měsíci

    Unajua nimesikiliza. Kuna faida ambazo nimepata kutoka kwenye visa alivo hadithia. Lakini nimeona kun shirki pia anafanya. Kuvaa pete upate hela kwa kutegemea majini. Ni sawa na mtu anae vaa irizi ili jini amlinde. Hivi viko sawa. Kwanini uvae pete, ama uvae iridhi wakt mungu yupo.. Tunajikinga kutoka kwake yeye tu ndio mlezi wa viumbe vyote. Hivi nd vit vya kuamini. الله و رسول

  • @fundimorisho8230
    @fundimorisho8230 Před 3 měsíci +1

    Nakumbuka kunakipidi Fulani aliwayi kumleteya fujo mayipopo uyo mtu nimshirikina mimi kwaivi sitaki hata kusikiliza hata maushirikina yake ALLAH anazidi kumunbuwa

  • @user-sd5hj2im4q
    @user-sd5hj2im4q Před 3 měsíci

    Elimu yke kubwa Dr. Sule mm nimemuelewa sna na elimu ikizidi unaweza kuteleza,, lkn ukweli Dr. Sule kasoma na elimu kaipata sasa wale kajamba nani haifai kumpeleka ktk shiriki sheikh wetu kwza wakasome ukweli ameiva

  • @tahirnephessalum3678
    @tahirnephessalum3678 Před 2 měsíci

    shirk zipo za aina nyingi kukitegemea kiumbe kingine kikupe utajiri badala ya M/Mungu nayo ni shirk ..

  • @Shomariamuri1
    @Shomariamuri1 Před 3 měsíci +1

    Sasa uyu Sule mwisho wake utakua mbaya saaaana ☺️☺️

  • @abdialiabdi5862
    @abdialiabdi5862 Před 2 měsíci

    Hata siamini ninachokiona..😢 ndo huyu dr 😢

  • @user-kh2hn8in1s
    @user-kh2hn8in1s Před 3 měsíci +2

    Naskitika kuona uislam unatukanwa kwa mtu kukosa njia nzuri ya kufikisha aliccho nacho, hayo mambo hutaeleweka nduguyangu, hapo sio mahala pake, hakuna aliefaulu kwa kuwa na muelekeo kama huwo, uislam uko mbali na hayo, maulamaa wetu woote wameyapinnga hayo

  • @AnnoyedCityMap-im1dd
    @AnnoyedCityMap-im1dd Před 3 měsíci

    huyu sheikh ni mtu muhimu sana ktk huu umma japo wasionsikiliza hawawezi kumuelewa.

  • @michaeljoseph3118
    @michaeljoseph3118 Před 3 měsíci +2

    Hii Ni Shirki Sio Mafundisho Ya Mungu Ata Kidogo ,Hii Ni Shirki Total

  • @Jumasaidi-iv8cj
    @Jumasaidi-iv8cj Před 3 měsíci

    Dah mungu tusamehe sisi tisio na elimu eti mtu kabisa anakwambia jini kukulinda inafaa je huyo jini anakulindaje pasipo na masharti

  • @user-ls4ih7hz8s
    @user-ls4ih7hz8s Před 3 měsíci +12

    Hiyo ni shirk mtu ahusiani na nyota Aina hizo za makadirio umetoa wapi lete dalili we ni mpiga ramri tu

    • @hassanjr5318
      @hassanjr5318 Před 3 měsíci

      Aliwahi sema kuhusu Nabi Sulemani na matumizi ya Pete

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 Před 3 měsíci


      EEWEEEEEH_🤔
      EBU TUONE HIO CLIP

    • @hassanjr5318
      @hassanjr5318 Před 3 měsíci

      @@allahisone6386 czcams.com/video/8CcLKpH0SAU/video.htmlsi=O3AMnmtv0iBYN81s

  • @Zaharaamiri
    @Zaharaamiri Před 3 měsíci +1

    Subhanallah skh ww huna akili hata kidogo alafu we ni mnafiki sana yani wwbaya kuliko

  • @CharlesMganga-kk7jv
    @CharlesMganga-kk7jv Před 3 měsíci

    Dokta sulle nakuku Bali sana mimi ni mkristo lakini nakiamini unachofundisha

  • @usrahismail3196
    @usrahismail3196 Před 3 měsíci +6

    Eti Mungu anaumba kwa udongo wa shari na udongo wa kheri ?

  • @yunusrashid3356
    @yunusrashid3356 Před 3 měsíci

    Nakuelewa Sanaa suleiman

  • @nassoroyahaya821
    @nassoroyahaya821 Před 3 měsíci

    Nyota,Majini na pete ni Shirk jieoushe na hizo Elimu Kaka Maxinge yupo vizuribmno juu ya hilo

  • @MwanamkuuMumbe
    @MwanamkuuMumbe Před 3 měsíci

    Maashaallar

  • @salimfaraj5509
    @salimfaraj5509 Před 3 měsíci +2

    Namuomba aniepushe na dhambi ya shirki. Siwezi kuuza akhera yangu kwa dunia. Allah anifanyie wepesi

  • @mbarakassa4347
    @mbarakassa4347 Před 3 měsíci

    Allah akutowe huko kwenye itikadi hiyo ya,shirki usowake unaonesha zahiri kama una,danganya wacha uzushi

  • @regnaldymambaly9880
    @regnaldymambaly9880 Před 3 měsíci

    Mungu anasema ataibariki kazi ya mikono yako hivyo ina maana kuwa kupitia kazi zetu ndio ,Mungu anapitia kutupatia mafanikio au utajiri na ameweka kanuni zake,lakini wewe unavaa lipete kidoleni alafu una tuambia lina uwezo wa kukupa utajiri,sikiliza cc si watoto tuna juwa wazi kuwa shetani ni roho hivyo huwezi kumuona kwa macho yako kama hauko ktk roho , hivyo huwa anawakilishwa kwetu kupitia maumbo au vitu tunavyo weza kuviona kwa macho yetu ya kawaida kama pete ulioivaa na kuna sababu ya kuivaa mkononi na wala sio kuiweka kabatini au mahali kwingine

  • @KihangoDonard
    @KihangoDonard Před 3 měsíci

    Mungu jaman atulinde huu utajiri siyo

  • @sabrimtumweni5633
    @sabrimtumweni5633 Před 3 měsíci +1

    Hii ndio shida ya wahadhiri huyu aliposilimu alihifadhishwa bibilia hakusomeshwa dini kisha akachanganya utoto wa mjini na dini hapa ndio amefikia... Ewe mola muongoe kiumbe chako mrejeshe katika njia yako sahihi
    Ila huyu ndugu engebarikiwa elimu ya dini sahihi yengekuwa Bora na kheir kwake

  • @abuumadesign8095
    @abuumadesign8095 Před 3 měsíci

    Sheikh bora urudi kwenye moja dharau lakini huko ndugu yangu unajivalisha Jojo lisilo lako

  • @user-ui2cc4bk6m
    @user-ui2cc4bk6m Před 3 měsíci +6

    Huu ni ushirikina

  • @jeniverstanley5282
    @jeniverstanley5282 Před 3 měsíci

    Wote tunajua mashekh ni wachaw na dini ya kiislam ni ya shetani huyu shekh anadhirisha hilo.Bwana Yesu awafungue macho mpate kuona

  • @florayoram9563
    @florayoram9563 Před 3 měsíci

    Sule anaongea vizuri sana juu ya paswed ya riziki😂

  • @AmadeSalimoSalimo-gw8ij
    @AmadeSalimoSalimo-gw8ij Před 3 měsíci +3

    Kwa we Zeno mnaitolea shaanaa macho,uwoogo nthupo,mtume muhamadi(s.a.w.) hakusema upuzi uwoo.

  • @galeebkhan0138
    @galeebkhan0138 Před 2 měsíci

    Shk Huyu n mshirikina acheni kumsikiliza

  • @AbdulKitalula
    @AbdulKitalula Před 2 měsíci

    Hawa ndio wale Mashekh wanaowachapa watu mitaani kisa hawajafunga ramadhani

  • @usrahismail3196
    @usrahismail3196 Před 3 měsíci +8

    Pete haisaidii lolote Bw sulle
    Mimi sasa sitakuita daktari kumbe udaktari ni wa kishirikina
    Ima kazi ile ya kuchambua Biblia,upo sawa nakuunga mia kwa mia

  • @Kaankaraz
    @Kaankaraz Před 3 měsíci +2

    Kumbe Huyu ni mshirikina sikulifahamu hili kabla

  • @Yotekwayangagood5610
    @Yotekwayangagood5610 Před 3 měsíci +3

    Hahahahaha jini nikiumbe kilicho asi mbinguni 😂😂😂😂 amtegemeae mwanadamu kua kingayake moyonimwake kamuasi mungu 😂😂😂😂😂😂😂
    Majin nimeyatumikia sana mpaka kubadili din ila ukiyahitaji yanakulinda kweli nampaka sasa yananilinda ila nategemea mungu pekee

  • @AllyAhmad-zg2yp
    @AllyAhmad-zg2yp Před 3 měsíci +1

    Sule dua haibadilishi kadar umekosea bali hio dua pia nikadar maana Allah alijua kua utaomba dua tatizo liondoke ,kwa hio pia dua imekua kadar

  • @kanzucentre3468
    @kanzucentre3468 Před 3 měsíci +1

    Ameamua kujidhihirisha dakika za mwisho , muoneni ulamaa mumpishe kibla
    Kiukweli amepoteza mvuto na mwelekeo amfate tu mzee yussuf

  • @user-vk1xf3lk9h
    @user-vk1xf3lk9h Před 3 měsíci

    Mh hakika badosijawai kumeelewa huyumtu

  • @jamalykimaro961
    @jamalykimaro961 Před 3 měsíci

    Tapeli umeuchafuu uislam sana sana allah akuathibu hapa duniani na kesho akhera maana uislam ni kalla llahuu kalla rasull kasema allah kasema mtume wake ndo uislam si maneno bin kauli z allah walla mtume usitume maneno ya kusema tuu allah ww ni mchawii na si muumin suala la rizik ni Allah pekee

  • @periswagathiki
    @periswagathiki Před 3 měsíci +1

    This man has alot of knowledge wow 😮😮😮Asante Dr

  • @HamzaNassoro-kn6yt
    @HamzaNassoro-kn6yt Před 3 měsíci

    Mungu akunusuru dada

  • @hurulaainmalkiaaisha1508
    @hurulaainmalkiaaisha1508 Před 3 měsíci

    Allahu ya aalam

  • @barazasule9582
    @barazasule9582 Před 3 měsíci

    Dr Sule, Sasa sikuelewi tena kama zamani.

  • @LaurenciaMashala
    @LaurenciaMashala Před 3 měsíci

    Huyu jamaa anakwepa maswali badala yake anatupeleka kwa mitume

  • @hamzarangi7989
    @hamzarangi7989 Před 3 měsíci

    Dr nakuelwa sana

  • @YasiniRajabuAlly-oc1pd
    @YasiniRajabuAlly-oc1pd Před 3 měsíci

    Mashekhe wameweka wazi sana utaperi na ushirikina wa huyu mchawi ila watu wanazidi tu kumpa sapoti ktika upotovu wake amkeni bwana nyie vipi

  • @jumaabdallah6087
    @jumaabdallah6087 Před 3 měsíci +3

    Ushirikina wa wazi

  • @ibrahimgollosaid512
    @ibrahimgollosaid512 Před 3 měsíci

    Got it..!!

  • @Ngendakumana_
    @Ngendakumana_ Před 3 měsíci

    😂😂😂😂tunapokwenda mutajiretatuu😅 tumefika pakusema mipangoyamungu inapanguka 😢😢aliyeomba eti mipangoyamungu hayipanguki yukowapi😂😂😂😂

  • @GloriaCharles-bu4fk
    @GloriaCharles-bu4fk Před 3 měsíci +1

    Upandacho ndicho utakachovuna usichanganye dini na uganga mungu adhihakiwi unamtumikia nani

  • @rahmajohn7284
    @rahmajohn7284 Před 3 měsíci +1

    Ya Allah tuhepushe na ushirikina😢

  • @ahmedsdk6736
    @ahmedsdk6736 Před 3 měsíci +1

    Huyu Jamaa n Mshirikina sanaa

    • @hassanjr5318
      @hassanjr5318 Před 3 měsíci

      Usihukumu anaejua zaidi ni Allah labda hakosei elimu pana

    • @AbdiAthumani-es7og
      @AbdiAthumani-es7og Před 3 měsíci

      ​@@hassanjr5318acha kujiriwaza niushurikina wawazi kabisa

  • @piusmbwana3329
    @piusmbwana3329 Před 3 měsíci

    Dini ni mchanganyiko wa elimu ya kiroho na utamaduni wa jamii fulaniii

  • @wazirihamisi6484
    @wazirihamisi6484 Před 3 měsíci

    Ww sule mshirikina

  • @mobimbalongida
    @mobimbalongida Před 3 měsíci

    aminia sana dua

  • @SheikSuleMudrik
    @SheikSuleMudrik Před 3 měsíci

    MANENO YAKO AYANA. ADIDHI WALA. AYA UMENUKUU KITABU GANI

  • @MargauxNyambura
    @MargauxNyambura Před 3 měsíci

    Eti hiyu ni Sheikh watu kweli wanalitumia jina la mwenyezi mungu

  • @muhibukesh7121
    @muhibukesh7121 Před 3 měsíci

    Mi namuelewa

  • @YasiniRajabuAlly-oc1pd
    @YasiniRajabuAlly-oc1pd Před 3 měsíci

    Hili linamiamala na mashetani huoni hata sulab yake ishaelekea ushetanini

  • @ackimackim1880
    @ackimackim1880 Před 3 měsíci +1

    SULE NI KIGAGULA YAANI SANGOMA, NA UKIZAMA SANA KTK UISILAM UNAISHIA KUWA SANGOMA, ILA MNARAHISISHA KUJIITA WATALAMU,UCHAWI TU.

  • @user-qe9pd9zk8v
    @user-qe9pd9zk8v Před 2 měsíci

    Wenye wanasingizia uislamu waende wajue hukumu ya wagannga na wachawi katika dini ni upi??? Kukatwa shingo kwa upanga