PROPHET PASSION JAVA, PROPHET LOVY ELIAS walivyotua Tanzania kwaajili ya Mkesha wa Usiku wa Maajabu

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 12. 2023
  • PROPHET PASSION JAVA na PROPHET LOVY ELIAS walivyotua Tanzania kwaajili ya Mkesha wa Usiku wa Maajabu
  • Zábava

Komentáře • 109

  • @colyndelwa1738
    @colyndelwa1738 Před 6 měsíci +11

    Hakuna kipya, yote tunayoyaona yalishatabiriwa. Yesu yu karibu kuja tena

  • @clouartmichael7296
    @clouartmichael7296 Před 6 měsíci +5

    Symbol ya kujitambulisha kuwa ushoga ni haki ya Kila mtu Kwa kusuka nywele ndio maana wanaowasaport ni waabudu shetani ,Nuru na Giza hakuna ushirika 2 Wakorinto 6:14 ...Laiti watu wangefunguliwa macho wasingefika hata hapo kuwapokea lakini hayanabudi Hawa kuwepo ili maandiko yatimie Mathayo 7:15

  • @MjakaziGladys
    @MjakaziGladys Před 6 měsíci +3

    Mshindwe kwa jina la Yesu

  • @constanciapeter2497
    @constanciapeter2497 Před 6 měsíci +2

    🎉🎉🎉 Welcome Dr Lovy❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @bonnyngowo7567
    @bonnyngowo7567 Před 6 měsíci +4

    Njia za Mungu hazichunguziki

  • @Witnessvlog
    @Witnessvlog Před 6 měsíci +1

    Watangazsji wa bongo hamfanyi research. Huyu ni mwimbaji mzuri sana na ana hit songs pamoja na kaka yake. Na kaproduce ngoma za Justine bieber, chris brown na wengine. Kiufupi ni tajiri na hana njaa

  • @Tianwang123
    @Tianwang123 Před 6 měsíci +1

    Mungu atusaidie!!!!

  • @brother_majesty
    @brother_majesty Před 6 měsíci +4

    Mungu anaita watu wa namna mbalimbali

  • @dianafinnes3248
    @dianafinnes3248 Před 6 měsíci +4

    Love you so Much Papa Lovy ,Karibu nyumbani.🙏🏽🇬🇧

  • @amanamani4429
    @amanamani4429 Před 6 měsíci +1

    Much love papa lovy Elias

  • @sales7491
    @sales7491 Před 6 měsíci +5

    People are more than blind, Yesu wasaidie macho ya kuona Kilchoan nyuma ya pazia.
    Mtu mwenye njaa hajali nani anampa chakula,
    Be cautioned ⚠️

    • @johnrevocatus9955
      @johnrevocatus9955 Před 6 měsíci +1

      Umenena mkuu

    • @MOJAZAIDI.
      @MOJAZAIDI. Před 6 měsíci

      Umeona nini ndugu?

    • @susansusanne6157
      @susansusanne6157 Před 6 měsíci

      It means that they will even go for dog vomit if they are hungry.
      Angalia Neno La Mungu kwenye kitabu cha
      Luka 15:16 inasema
      Akawa akitamani kujishibisha kwa maganda waliyokula nguruwe, wala hapana mtu aliyempa kitu.
      Mungu, please open the eyes of the blind in the Name of Jesus Christ, Amen.

  • @jacquelinemosha8653
    @jacquelinemosha8653 Před 6 měsíci

    Karibuni.Sana

  • @sarabura8933
    @sarabura8933 Před 6 měsíci +2

    Mathayo 23:13 ole wao waandishi na mafarisayo wanafiki kwa kuwa mnawafungia watu ufalme wa mbinguni ninyi wenyewe hamuingi wala wanaoingia hamuache waingie MATHAYO 23:15 MATHAYO 23:14 WARUMI 1 :21 adi 32 damu za wa toto wa MUNGU mnazowadanganya kuwa ninyi ni watumishi wa MUNGU na kumbe sio mtadaiwa hata wewe unaye jiita nabii malisa mnajua kabisa mmeuza nafs zenu kwa ibilisi ili mpate umarufu na utajiri mnajua ni mungu yupi mlie naye kwa sababu utambulisho wenu wenyewe unawatambulisha kuwa mnamtumikia shetani tubuni mkareje kwa MUNGU wetu mumba mbingu na ichi YESU kirsto alimwaga damu yake kwa ajiri yetu bado mnayo nafasi MARKO 2 : 10 damu yenu na iwe juu yenu

    • @user-yr1ek9wc3c
      @user-yr1ek9wc3c Před 6 měsíci

      Nini imekuonyesha kama sio watumishi wa Mungu

  • @kateyndutu3313
    @kateyndutu3313 Před 6 měsíci +4

    Kwel....had nmetoa machoz....hiki ni Nini....sio Kila atakaye Taj Jin la Mungu no WA Mungu

    • @maystellakajuna5461
      @maystellakajuna5461 Před 6 měsíci

      Uko sahihi kulia mtumishi, huu ni ufalme wa shetani umetua Tanzania. KANISA liamkeee in Jesus name!!!

  • @MathiasKunnanga
    @MathiasKunnanga Před 6 měsíci +2

    UShogaaaa😭😭😭😭😭😭

  • @marthakwoba1933
    @marthakwoba1933 Před 6 měsíci +3

    Na Kenya mtafika lini jameni.

  • @janethmwihumbo1289
    @janethmwihumbo1289 Před 6 měsíci +2

    Ivi Yesu anarudi kuchukua kanisa ndo hili kweli Tena Wana jiita Manabii Nabii eliya mtisbi alikuwa hivi kweli,ivi Hawa ndo watawavusha watu waingie Mbinguni,Ni mapepo kwenye umbo la kibinadamu tato kuzimu,Rasta kuzimu vipens kuzimu vipini kuzimu mna hukumu kubwa Moto unaongezewa ukari Mara Saba una wasubiri mnakokota maelfu ya watu kwenda nayo jehnm mh inatisha inatisha

    • @Churchofecclesia
      @Churchofecclesia Před 6 měsíci

      Endelea kujifanya unamjua MUNGU(YESU KRISTO), kuliko yy maana hujasoma maandiko njia zake hazichunguziki, na hutumia kile ambacho wengi hukikataa, ww ulitaka MUNGU(YESU KRISTO) akuletee MTUMISHI ambae unataka alivyo, hapana

    • @danielyjarome9439
      @danielyjarome9439 Před 6 měsíci

      imeandikwa wapi kwamba ukivaa kipenzi na kuvaa kipini na kuweka tatuuu unaenda motoni ???????

    • @janethmwihumbo1289
      @janethmwihumbo1289 Před 6 měsíci

      @@danielyjarome9439 yange andikwa yote bibblia isingetosha ivi Moses kulola aliye tikisa kuzimu alikuwa hivi mbingu silelemama washushe vinyago vyao vya yezeberi jehnm inawatamani ,makanisa yaliyo Shiba imani hawawezi kuita katuni Kama hizi kuhubiria Hawa waombewe Toba waokoke sio kuhubiria watahubiri vinini

  • @benjamincaks8742
    @benjamincaks8742 Před 6 měsíci

    .... Nao wata danganya wengi, Yamkini hata walio wakristo wata wafuata.
    Bwana Yesu nipe mwisho mwema baba yangu.

  • @user-vx5gl8iw5y
    @user-vx5gl8iw5y Před 6 měsíci

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @FideleLisha
    @FideleLisha Před 6 měsíci

    Ni wokovu gani unaogusa ndani ukashindwa kabadirisha inje, Kristo amesema kinacho ziirika inje ndicho kilicho ndani. Asomae na aelewe.

  • @frankmpembu
    @frankmpembu Před 6 měsíci

    Hakuna Manabii apo, hao wote ni Mafreemason, wote hao ni Wapinga Kristo

  • @stevenkipara9310
    @stevenkipara9310 Před 6 měsíci +4

    Watu wa Mungu kuweni makini sana na hawa watu naongea kwa unyenyekevu kabisa

    • @Churchofecclesia
      @Churchofecclesia Před 6 měsíci

      Tulia na kipara chako hujui unachokiongea

    • @Mzena4343
      @Mzena4343 Před 6 měsíci

      ​@@Churchofecclesiaupo Kama shoga wewe

    • @fpcttz
      @fpcttz Před 6 měsíci

      Unyenyekevu wako tulia na kwenu kama hujui unachoongea

  • @user-nm3bg7li9m
    @user-nm3bg7li9m Před 6 měsíci +1

    Kwani hawa Wana mtangaza Mungu yupi?

  • @hamisiomary6286
    @hamisiomary6286 Před 6 měsíci

    Mungu haziakiwi

  • @jeronboucher
    @jeronboucher Před 6 měsíci +2

    What language are they speaking with the prophet?

  • @Solace577
    @Solace577 Před 6 měsíci

    Welcome in TANZANIA men of God

  • @user-xt4mi5zs2s
    @user-xt4mi5zs2s Před 6 měsíci +1

    Iv niwaulize apo kweli kna mtu WA mungu au shetani hata ujui kusoma hata picha jamani

  • @user-uu1xj4zz5j
    @user-uu1xj4zz5j Před 5 měsíci

    Njaa mbaya

  • @vurilyrics3004
    @vurilyrics3004 Před 6 měsíci

    Duuu!
    Aseee!
    Yesu
    Tunakuomba uje mana watu wako tunaangamia kwakukosaa maarifa?????

  • @simonlomayani5743
    @simonlomayani5743 Před 6 měsíci +19

    Hawa ni wapinga KRISTO haitaji ata kuwa na Roho mtakatifu ili kuwatambua yani wako live ni mashoga hao

    • @veeJesus
      @veeJesus Před 6 měsíci +2

      Mungu akusamehe

    • @natupe123
      @natupe123 Před 6 měsíci +1

      Eb sema kwañn ni MASHOGA????

    • @handenitakuru6696
      @handenitakuru6696 Před 6 měsíci +4

      Nimashoga kwani huwaoni wewe maandiko yamekwambia watatokea manabii wa uwongo, sasa hao niwakina nani kama sio hao manabii wa uwongo Nabii wamevaa vipi puani😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @happynessdavid7921
      @happynessdavid7921 Před 6 měsíci

      ​@@handenitakuru6696Bwana akamjibu Samweli mimi sitazami kama Wanadam watamazavyo bali mm natizama MOYO.

    • @simonlomayani5743
      @simonlomayani5743 Před 6 měsíci +3

      @@natupe123 mwanaume mwenye rasta na kutoboa pua ni zaidi ya mwanamke kahaba

  • @FunnyZVideos
    @FunnyZVideos Před 6 měsíci

    TAPELI NA MATAPELI WENZAKE??

  • @BrightonMbukile
    @BrightonMbukile Před 6 měsíci

    Dah sikuelewa yale mabango niliyokuwa nayaona mungu ww ndounajua kipinikip tulehemu

  • @NicodemusGasore-xk9kd
    @NicodemusGasore-xk9kd Před 6 měsíci +1

    Macho ya kiroho sawa hamna je ya mwilin?

  • @barakarobert1029
    @barakarobert1029 Před 6 měsíci +2

    Nabii katoboa pua na kavaa kipini😊

  • @ibrahimelisha6842
    @ibrahimelisha6842 Před 6 měsíci

    Ndio mana ka malisa kana sumbua na ma hela
    Kumbe ya bwelelee
    Watu kanisa hawachunguzwi na hawakaguliwi so lets see final

  • @NaisonMkwananzi-cy2fc
    @NaisonMkwananzi-cy2fc Před 6 měsíci

    Ushogaaaa

  • @user-ue8pu6ij5i
    @user-ue8pu6ij5i Před 6 měsíci

    Duuuuu!!

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd3886 Před 6 měsíci

    Nampenda nabii Lovy Elias

  • @user-nf9nw7xd6y
    @user-nf9nw7xd6y Před 6 měsíci

    America kipini

  • @shadraachshadinho
    @shadraachshadinho Před měsícem

    Ewee bwana tuokoe

  • @clevermngao7565
    @clevermngao7565 Před 6 měsíci

    Bila Shaka kuna biashara iliyo nyuma ya Kanisa!!??

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 Před 6 měsíci +2

    Mapadiri wanaonekana kama mashoga..inabidi Kwa makini sana

    • @Churchofecclesia
      @Churchofecclesia Před 6 měsíci

      Shoga mashekhe wako

    • @ismailmasoud6001
      @ismailmasoud6001 Před 6 měsíci +3

      @@Churchofecclesia ...Sheikh hawezi kusuka Rasta kutoboa Pua na masikio na kuvaa vichupi hivyo...🤣🤣🤣

    • @wadantz123
      @wadantz123 Před 6 měsíci

      @@Churchofecclesia acha kutetea mashoga wenzio choko ww

  • @Churchofecclesia
    @Churchofecclesia Před 6 měsíci

    Nimependa lovy alivyoongea

  • @haridimpelengana1246
    @haridimpelengana1246 Před 6 měsíci +3

    LGBT iko nyuma yao.

  • @simonibonifasi3131
    @simonibonifasi3131 Před 6 měsíci

    Nyie nimashetani2

  • @user-pt4ft7ow1s
    @user-pt4ft7ow1s Před 6 měsíci +2

    Strong English 😂😂😂

  • @user-ks2xm5yb4p
    @user-ks2xm5yb4p Před 6 měsíci

    Polee 😂😂😂😂😂 mtaabudu miungu hata msiyoijua kwa kukosa kujua neno la MUNGU

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 Před 6 měsíci +1

    Nyie ndio mmatuletea malaana ya maporomoko ya mafuriko wala sijingine eti mitume 😂😂😂

  • @salehmohammedsalum2054
    @salehmohammedsalum2054 Před 6 měsíci

    Kwa hali ilivyo naona kila mkoa utakuja kuwa na Nabii wake 😂

  • @amostv1864
    @amostv1864 Před 6 měsíci

    Yaliyotabiriwa sasa yanatimia

  • @shabanikitula645
    @shabanikitula645 Před 6 měsíci

    Matapeli wamekutana

  • @user-uu1xj4zz5j
    @user-uu1xj4zz5j Před 5 měsíci

    Kumbe manabii wanatoboa pua heee😂😂😂😂😂

  • @janenandi4095
    @janenandi4095 Před 6 měsíci

    PROPHETIC Word FEARLESS Preacher UK 🇬🇧 KARIBU HOME 🏠 MY PAPA LOVY FOR THE MOUTH 👄 OF THE LORD HAS SPOKEN NO OTHERWISE ; 🙏🏼♥️❤️🩸

  • @JacksonJohn.
    @JacksonJohn. Před 6 měsíci

    😂😂😂 cna neno na kipin puan. 😢😢jiran yangu kapoteza chungu la supu anadai mm nimeiba mm mm niwakuiba supu. isiyo na chumvi

  • @AbuYasser-lx5gi
    @AbuYasser-lx5gi Před 6 měsíci +1

    nhinhi wakristo amuna akili,, sababu awo wenhewe awagielewi

  • @user-cs7sv6os4p
    @user-cs7sv6os4p Před 6 měsíci

    NABII ANAKIPINI PUANI

  • @ashtivkenya
    @ashtivkenya Před 6 měsíci

    Manahii😂

  • @user-mv4vb3ch7w
    @user-mv4vb3ch7w Před 6 měsíci

    Na kipini,na rasi! Eee! Mapya!

  • @revocatusbahatibussiah5201
    @revocatusbahatibussiah5201 Před 6 měsíci

    Wapigaji hawana jipya hao

    • @dianamdaku9802
      @dianamdaku9802 Před 6 měsíci

      😂😂😂watapiga nin kwa watanzania jaman😂 Huyo lovy ana pesa chafu, passion nae yuko vizur sana. sema watanzania vieleele vyetu na kutaka miujiza ndyo vinatuponza. Hapo utakuta wanajaa kuombewaa😂😂

    • @ismailmasoud6001
      @ismailmasoud6001 Před 6 měsíci

      ​@@dianamdaku9802...Nyuma ya pazia wamekuja na ajenda zao za kutangaza ushoga, padiri ametoga masikio na Pua, halafu kavaa kipensi na skin tight ...duh..🤣🤣🤣

  • @gideonleonceelias5423
    @gideonleonceelias5423 Před 6 měsíci

    😤😤😤😤😤

  • @user-wj9cy9bg8u
    @user-wj9cy9bg8u Před 5 měsíci

    Hahahahaaaaa mpumbavu hafundishwi kudanganya

  • @annastaziakimaro3042
    @annastaziakimaro3042 Před 6 měsíci

    Mambo mengine hayaitaji macho ya rohoni, macho ya mwilini tu yanakupa tafsiri, wapendwa muwe macho hizi ni nyakati za mwisho

  • @emmanueltemplar
    @emmanueltemplar Před 5 měsíci

    Mkora Lovy amekuja Tanzania kuwatapeli. Ashindwe false prophet

  • @wadantz123
    @wadantz123 Před 6 měsíci

    Hivi nyie mnaotetea huu ujinga ni wakristo wa dhehebu gan, yan unalikuta jinga eti linamuita uyu nabii duuuuh mkristo anaeijua dini awez tetea upumbavu huo

    • @johnsonntanguye9843
      @johnsonntanguye9843 Před 6 měsíci

      Uko sahihi hawa ni watúmishi wa yule adui ni mbinu za shetani kuwachangànya Wàtu Wasione njia ya Uzima hawa ñdio wale Baadae Utasikia malà kabàdili dini au Ameacha lengo huwa nkupoteza watu wasio na úfaham sahihi wa Neno la Mungu

  • @user-xt4mi5zs2s
    @user-xt4mi5zs2s Před 6 měsíci

    Iv mtalishwa matango pori Hadi lini mbn dini ya wenzetu mauzauza ni mengi Kila kukicha manabii wanaongezeka ivi hata amfunuki akili wenzenu wanatajirika kupitia nyie