JPM APIGA SIMU AKIWA KWENYE KAMPENI NA KUTOA MAAGIZO MAZITO "MIMI SI NDIO RAIS, MAAGIZO YASIBAILIKE"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 09. 2020

Komentáře • 56

  • @cosmasdaud9088
    @cosmasdaud9088 Před 3 lety +7

    Ninachokupendea ni kusema ukweli pamoja na kuomba kura lakin umewaambia ukweli mnataka barabara lakin wale walivamia barabara hakuna fidia ni wachache Sana wanao weza kusema ukweli kipindi Cha kampeni

  • @tz7976
    @tz7976 Před 3 lety +8

    Kumamae leo hii atokee mtu anamtukana rais wangu JPM napiga ngumi ya pua😯😯😯😯

    • @clifordmsongole1134
      @clifordmsongole1134 Před 3 lety

      Baba wakikusumbua nipigie simu tuwashughulikie

    • @clememallya4257
      @clememallya4257 Před 3 lety

      Acha matusi

    • @ukweliunauma4570
      @ukweliunauma4570 Před 3 lety

      KATAA CCM, tanzania ipone, Kwa kuishi na hofu, woga , kutishiwa, kunyanyaswa, kutekwa na watu wasio julikana, kuonewa, Stress, Njaa, shida ya pesa, wanawake kuharibu mimba kwa wingi, nguvu za kiume kwa msongamano wa mawazo kutokana na tabu za ccm. Hofu ya kubambikiwa Kodi na TRA. Ili upone na haya majanga yote unahitaji: Haki, Amani, uhuru na maendeleo. Piga kura chadema upate upone.
      ✌✌✌👍

  • @temkezatv4381
    @temkezatv4381 Před 3 lety +3

    Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 Před 3 lety +1

    He talks the walk! Mzee wa vitendo!sio bima kwa kila mtanzania😂😂

    • @luluamri370
      @luluamri370 Před 3 lety

      Bina inawezekana kodi zikiongezeka ..

  • @japhetlaisangai8064
    @japhetlaisangai8064 Před 3 lety

    Mmmmh

  • @emmanuelbonifase1114
    @emmanuelbonifase1114 Před 3 lety

    All eyez on JPM katika ubora wake

  • @merryjoseph6571
    @merryjoseph6571 Před 3 lety

    Ukweli ni zuri hongera magu wetu

  • @rajeep-ni7lh
    @rajeep-ni7lh Před rokem

    Maguful was best rest in peace always I miss you ❤❤❤❤

  • @jordanfromyt2861
    @jordanfromyt2861 Před 3 lety

    Tanzania ilikuwa naitwa maskini kwasababu ya mabeberu sawa na Congo2

  • @lastkinglastking3326
    @lastkinglastking3326 Před rokem

    Siamini kama umehondoka kipenzi
    Mungu akusamehe makosa yako akuweke kwenye kundi la watu wema peponi

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 Před 3 lety

    Magufuli is at home!!

  • @rajaburajabu3963
    @rajaburajabu3963 Před 3 lety

    Umefit mzee

  • @jacksonkagwala5097
    @jacksonkagwala5097 Před 3 lety

    Nimekuelewa mkuu JPM kukubali ombi la jembe letu Shigongo

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 Před 3 lety

    Magufuli tunaomba shughulikia swala la KODI-TAX maana ni kazi kweli kweli

  • @eliarichard9218
    @eliarichard9218 Před 3 lety

    Nasikia language tyuu kwa chiini

  • @abdulramanhemed3749
    @abdulramanhemed3749 Před 3 lety

    Tunakuombea kila kheri na amani katika maisha yako kwa hakika ww ni kiongozi bora tunakuoba ukimaliza miaka yako uje na huku kwetu +254 utukomboe twaumia na twafurahia kuona wenzetu wanafurahia maendeleo ya rais wao CCM HOYEEE

  • @msiiwaziri2839
    @msiiwaziri2839 Před 3 lety +2

    Tume ya uchaguzi mupo wapi rushwa iakuwaga upande mmoja

    • @cmantz8837
      @cmantz8837 Před 3 lety +2

      Huyo ni raisi na hilo ni jambo la kitaifa sio binafsi huyo nirais sio mgombea tu

    • @joycemwambe3494
      @joycemwambe3494 Před 3 lety +2

      @@cmantz8837 Pia lipo katika ilani yao mwache alalame dawa imwingie magu woyoooo

    • @seifchima9945
      @seifchima9945 Před 3 lety +2

      Babo ni rais na hilo ni jambo la kitaifa

    • @cheupemwanga3326
      @cheupemwanga3326 Před 3 lety

      Rushwa

    • @saudahassan82
      @saudahassan82 Před 3 lety +1

      An kweli mawatyu nimajinga ....eti rushwa
      Huyu bdo ni rais jombaa...anapiga kampen na wakati mwingne anafany km rais achaga uree we rara...#maguDaima
      #mashogaWarudUbelgij

  • @ukweliunauma4570
    @ukweliunauma4570 Před 3 lety +2

    Una uza sound kama mnigeria, ujanja wa simu kuongea na mtu, umeleta ukabila wewe na dhulma na unyonge na njaa, kwanini usifanye yote miaka iliopita na ulikua raisi

  • @dickchambilo9138
    @dickchambilo9138 Před 3 lety +1

    Rais magufuri usiwaze miaka yako mi5 mingine umeshaipata ,Nani amchagua tundu, siatauza nchi, Kama makinikia tu aliisaliti nchi sembuse uraisi

  • @geitaamb4152
    @geitaamb4152 Před 3 lety +1

    Magufuli hakuna cha miaka 5 tena imetosha Lisu ikulu lazima .

  • @kennedymboma8268
    @kennedymboma8268 Před 3 lety

    Kwelihuu niutumwa mkipewa fanyenikazi lakinihuosiomdawake

    • @cosmasdaud9088
      @cosmasdaud9088 Před 3 lety +1

      Tofauti ya Magufuri na wagombee wengine ni moja anaingia kuomba kura uku akiwa bado ni Rais kwahiyo uwezi sema Ni Rushwa

    • @kennedymboma8268
      @kennedymboma8268 Před 3 lety

      @@cosmasdaud9088 nirushwa simgombea

    • @piuslevokatuss1160
      @piuslevokatuss1160 Před 3 lety

      Haa wejamaa mpige huyo alie changanywa na alufu yavitunguuu

    • @justinemgeni8716
      @justinemgeni8716 Před 3 lety +1

      @@kennedymboma8268 wew ndo hujui!! Sio rushwa kwakua huyo ni rais bado, nchi haijasimama lazima atatue matatizo ya watu

    • @leonardemmanuel9249
      @leonardemmanuel9249 Před 3 lety +1

      Kennedy utajiju na chadema yako

  • @merryjoseph6571
    @merryjoseph6571 Před 3 lety

    Ukweli ni zuri hongera magu wetu