Tokea niumbwe sijawahi ulizwa swali kama hili | Mazinge

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 09. 2024

Komentáře • 334

  • @ibrahimhassani6288
    @ibrahimhassani6288 Před 18 dny +2

    Allah akulinde sheikh Mazinge. Nilikutambua Tanguy nikikua kitoko kidogo nikua Nairobi Kenya kalifonia na kiwanjacha cha kamkunji (Nairobi)
    mihadhara ikikua sai Alhamdulillah nishakua MTU mzima lakini bado Nakurambua Sana Kwa sababu ya kzi ya daaaawa🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @princedonnelakimana2775
    @princedonnelakimana2775 Před 5 měsíci +2

    Inshallah mungu akupe Maisha marefuu usthadh mazinge

  • @kamaugitau5610
    @kamaugitau5610 Před rokem +49

    mimi ni mkristu lakini nampenda mazinge bure....natamani kuslimu kwa sababu nahisi uislamu ndio dini ya haki

    • @mahmoudabdi7162
      @mahmoudabdi7162 Před rokem +5

      Inbox me bro nikuongoze kwa hilo InshAallah

    • @godsonishengoma5378
      @godsonishengoma5378 Před rokem +4

      Ukristo sio dini bali ni ukomboz!Kabla ya Yesu Kristo kuja zlkuwapo dini,kwa nn Kristo alkja dnian? N kwa ajli ya krdisha mahsiano yalokua yamepotea kat ya Mungu na mwanadam.. sote twaish kwa neema 7b ya huyo Kristo.. kla knywa ktakiri na kila jcho ltanwona kwmb yeye ndye mwana wa kwel wa Mungu!

    • @kamaugitau5610
      @kamaugitau5610 Před rokem +1

      @@mahmoudabdi7162 nitakupata vipi

    • @jasminswedi1573
      @jasminswedi1573 Před rokem +1

      Karibu saan kweny dini ya nuru

    • @erickbruno569
      @erickbruno569 Před rokem

      msenge kweli wew

  • @kenya870
    @kenya870 Před rokem +4

    Allhmdhllh najivunia kuwa misilamu na ninaipenda ndini yangu

  • @barakamugiraneza7774
    @barakamugiraneza7774 Před 5 měsíci +3

    Tunakuombea mungu akupe maisha malefu na akupe pepo yake

  • @fatmajuma2940
    @fatmajuma2940 Před rokem +5

    Allah akupe umri mrefu wenye kheri na uendeleee kuipigania dini ya Allah tuko pamoja tunakupenda pia

  • @al-aminalihamad1431
    @al-aminalihamad1431 Před rokem +4

    Natuma Salamu Kwako Sheikh Mazinge Na Familia Yako. Namuomba Mwenyeezi Mungu Akupe kila la kheri Duniani Na Akhera.

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623 Před rokem +7

    🤔You are a joy to watch Mazinge. Unafurahisha kabisa tena kwa ushahidi sio maneno matupu. Asante 🤝

  • @mohamedrokaz5272
    @mohamedrokaz5272 Před rokem +6

    We love you most ustad mazinge as kenyans

  • @alibwanaheri6493
    @alibwanaheri6493 Před rokem +9

    MaShaAllah sheikh Mazinge,Allah akjaalie kheri na umri mrefu uzidi kuifanya kazi ya Allah In Sha Allah

  • @user-rl3ts2kr2t
    @user-rl3ts2kr2t Před 2 lety +6

    Inshallah Allah akupe afya njema kweli dawaa imefika mbali Allahuakbar Allahuakbar Allahuakbar Walillahilhamdu .Allah akuhifadhi shk mazinge unafanya kz ya manabii

    • @saidiomary9070
      @saidiomary9070 Před 2 lety

      Mwenyezi mungu akupe wepesi mazinge kwakweli unafanya kazi ya mwenyezi mungu akupe ulinzi na kesho akhera akupe pepo

  • @saidgawawa8519
    @saidgawawa8519 Před 2 lety +7

    MashAllah!! Sheikh mazinge Allah akulinde kutokana na kila Aina ya Shari hapa duniani na kesho akhera . nampenda Sana sheikh Huyu Kwa juhudi zake katika uislam.

    • @malikshafii8431
      @malikshafii8431 Před rokem

      Mzee huna la kuongea nyamaza kimya kuma mamako

    • @ashrafsharif8699
      @ashrafsharif8699 Před rokem

      Aaaamin

    • @sghdrdhidf7603
      @sghdrdhidf7603 Před rokem

      @@malikshafii8431 kwann unamtujana nn kakukosea ivi wajua mandiko au unasoma kweri unamuongopa mungu wewe

  • @godblessmasiganijohn
    @godblessmasiganijohn Před 9 měsíci +2

    Yesu alikuwa mwana wa Mungu kazaliwa na mwanadamu mwenye character na vigezo vyote vya kibinadamu, alisikia
    Maumivu, alijaribiwa, alisikia njaa, alilala yote haya yalifanywa makusudi ili amkomboe mwanadamu, na huyo mwanadamu asipate kisingizio kuwa aliyoyafanya kayafanya kwa kuwa yeye ni tofauti na sisi. Alivaa mwili wa kibinadamu ili njia aliyopita nasi tuifuate

    • @Omrankasiga
      @Omrankasiga Před 2 měsíci

      Wacha uongo mungu habadilisha nafisiki yake

  • @FrankMyenjwa-ms5fr
    @FrankMyenjwa-ms5fr Před 9 měsíci +1

    Mungu akujalie

  • @GordienNdizeye-sf3jt
    @GordienNdizeye-sf3jt Před 9 měsíci +1

    Sheikh wetu nakupenda Sana natamani kukuona ishaallahu Mungu akipenda tutaonana n'a kupenda sana

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 Před 2 lety +5

    Pongezi saana Sh,Mazinge Mungu akulinde,akupe afya daima

  • @fatimafff3065
    @fatimafff3065 Před 11 měsíci +2

    Lailaha illallaahu Muhammed rasulullah

  • @nathanichemelako7983
    @nathanichemelako7983 Před 2 lety +1

    Mazinge na hao wachungaji wote ni wapotoshaji yesu siyo Mungu na Mazinge kuhusu yesu anawapotosha

  • @husseinguyo4379
    @husseinguyo4379 Před 2 lety +12

    Masha Allah sheikh Mazinge Allah akulipe janatul firdaus

    • @erastisamsoni3162
      @erastisamsoni3162 Před rokem

      Allah huwapa waongo Pepo? mtu muongo kama mazinge aingie peponi labda atubu ampokee Yesu.

  • @mengishabani8061
    @mengishabani8061 Před rokem +3

    Mungu akuzidishie maisha malefu

  • @isakwisamwaipopo6860
    @isakwisamwaipopo6860 Před 2 lety +4

    Yeye yesu alikuwa akipima Iman yao

    • @mandinezawakoabayo9569
      @mandinezawakoabayo9569 Před 2 lety

      Umesoma eapi nasi tukasome

    • @simonkinunda5591
      @simonkinunda5591 Před rokem

      Ostazi una mjua alakweli au unaropoka tu kutafuta pesa ushawahi onamchungaji anaesema kua Yesu kamuumba mwenyez Mungu au unatamka tu kamampumbavu unamfaham isa bin mariam huyondie mtume wamwisho kutoka kwa alla hata mtume muhamadi mwenyewe anashuhudia kwenye hadidhi yake ya sabubohari vizuri kurwaan sura ya tulli mariamu anamzungumzia isa vizurisana acha wehu ww nakutukana wa chungaji.

  • @ambakachogo598
    @ambakachogo598 Před rokem +4

    In Sha Allah sote twakuombea Dua kutoka kwa Allah.

  • @hustlershuffler978
    @hustlershuffler978 Před 2 lety +3

    Ustadh Professa Mazinge Allah akuhifadhi ulipo akujalie miaka mingi ya kufanya kazi zake In Shaa Allah...akupe siha kamili na akuruzuku kila la kheri akulipe Jannat al Firdausi In Shaa Allah...chapa kazi Baba..Kidume cha Allah

    • @iptisamshaher6849
      @iptisamshaher6849 Před 2 lety

      Mashaallah tabaarakallah, Allah sw akupe umri wenye kheir,akulipe kwa Kila khatuwa unayopitiya, kwa kweli tunajivuniya mazinge Allah akuhifadhi

  • @mariamali1887
    @mariamali1887 Před 2 lety +4

    MashaAllah mashaAllah Allah barik. Shekh mazinge Allah akuhifadhi nakupenda sana wallahi kwa ajili ya Allah ❤❤❤❤👌👌👌👌

  • @kuruthumabubakar3951
    @kuruthumabubakar3951 Před 2 lety +2

    Shekh mazinge mungu akupe umri mref uzidi kussidia wasiokuw na din naitwa kulthum abbakari Toka cngida

  • @bicheatijafaqui6817
    @bicheatijafaqui6817 Před 7 měsíci +1

    Sheik Professor Massingue god blessyou

  • @AllyGrefier-ee2yq
    @AllyGrefier-ee2yq Před 10 měsíci +1

    Pole sana muzazi wangu pigania dini ya mwenzimungu utalipwa mbinguni

  • @user-xq5ml6id9y
    @user-xq5ml6id9y Před 7 měsíci

    Inshallah mungu hakupe umri mlefu mwalim

  • @abuibra
    @abuibra Před 2 lety +3

    Masheikh wetu tafadhalini sana mjichunge sana Mnavyo zisoma Aya za quran, wengi huwasikia kukosea bila ya kujijua.

    • @abdulmalikpandu1989
      @abdulmalikpandu1989 Před 2 lety +1

      Ni binaadamu nae, anasifa ya kukosea n kusahau...

    • @hassanmohammed3421
      @hassanmohammed3421 Před 2 lety

      Dunia matamshi au lafifh huwa tofauti kutokana na maenono mengine hawayapati vizruri lakini wana ufahamu mzuri wa kutasiri na waneelewa nini quran inasema.......inawezekana kuwa wewe una soma vizuri matamshi ya quran...lakini ukawa hujui mana yake kwa kiswahili..
      Unajua tuu kusoma kwa kiarab

    • @hassanmohammed3421
      @hassanmohammed3421 Před 2 lety

      Kwa mfano marehem shekhe imani petro hawezi kutamka quran vizuri kwa kiarab lakini amehifadhi maandiko yote kwa kiswahili..na alisilimu baada ya kuyasikoia kwa kiswahi maana kwa kiarab hajui hasa

    • @abuibra
      @abuibra Před rokem

      @@hassanmohammed3421 :ndugu yangu sivyo unavyo fikiri,hebu chukua Msahafu alafu fungua katika Ayat'Kursy msikilize alivyo isoma shaikh kunamahali kakosea,kama huta paona alipo kosea nijibu nikufahamishe.

  • @hassanmpwepwe3826
    @hassanmpwepwe3826 Před 2 lety +3

    Allah akupe mri mlefu sheikh wangu mazinge

  • @amirikhamisi9295
    @amirikhamisi9295 Před 2 lety +3

    Allah akulipe jannah Shekh mazinge

  • @rhiophiri6857
    @rhiophiri6857 Před 2 lety +10

    professor Mazinge we love you for the sake of Allah swt.love from Lusaka zambia

  • @khadijasaid5065
    @khadijasaid5065 Před 2 lety +2

    Mashaallah Mungu akuhifadhi yaraabbi akupe umri mwema akujazi kheri inshaallah..khadija said Nahdi mld kenya

  • @fearless......2651
    @fearless......2651 Před 2 lety +7

    Allâhu lâ ilâha illâ huwal Hayyul-Qayyum, lâ ta'khuzuhû sinatun walâ nawm.
    Hakuna lata'budu sinatun ......umekosea.

    • @omarysaidy5524
      @omarysaidy5524 Před 2 lety +1

      Kukosea ni kawaida

    • @Cambarada
      @Cambarada Před 2 lety +2

      Pia amekosea amesema ni Aya ya 252 badala aseme Aya ya 255

    • @uqairsande7320
      @uqairsande7320 Před 2 lety +1

      Mazinge ujui kusoma quraan kaachini usome kwanza maana ukisoma tu ndo utata unaanza apo

    • @mohamedathuman4646
      @mohamedathuman4646 Před rokem +1

      Ni 1 moja kati 99 aliopata.... pongeza kwa aliopata...kwani sote siwakamilifu

    • @fearless......2651
      @fearless......2651 Před rokem

      Alhamdullillah ALLAH atuongoze sote..hakuna alie mkamilifu na makosa ni kawaida..wabillahi towfiq..

  • @Musasaidi-ts1eo
    @Musasaidi-ts1eo Před rokem +1

    Mwenyezi mungu akupe maisha marefu sheikh

  • @AnnaKishaluli-ux7wj
    @AnnaKishaluli-ux7wj Před rokem +1

    Watu wote ni wa Mungu acheni kampen za kushawishi wanadam wawaamini ninyi kwa neema na rehema zinatoka kwa Mungu mwenyewe hivyo acheni kujitapa na mapokeo ya dini zenu

  • @AbubakariDenis-zj2mg
    @AbubakariDenis-zj2mg Před 10 měsíci

    Allah azidi kukulinda kukupa afya njema sheik Wetu mazinge

  • @nurdinibrahimu7312
    @nurdinibrahimu7312 Před 9 měsíci +1

    Khamsinan alfasanah kisimamo hicho Cha siku ya kiama kuulizwa matendo ya kila mmoja na kupimwa kwenye mizani nk 🕴️🕴️🕴️🕴️🕴️😭😭😭🙏 Mungu tumuabudu ipasavyo🙏

  • @maimunaally8092
    @maimunaally8092 Před rokem +2

    Allah akujaliye umri mrefu wenye mafanikio na baraka tele aamiinaaa

  • @waytvtz2549
    @waytvtz2549 Před rokem +1

    Masai gan hao,ni watu ambao wamepigwa na maisha ukimwonga tu anakubali

  • @FatmaJuma-h3i
    @FatmaJuma-h3i Před měsícem +1

    Allah akuhifadhi

  • @amourkarenzo9713
    @amourkarenzo9713 Před 2 lety +1

    Safi sana allah amjilie professa mazinge mwisho mwema.

  • @husseinfunga3272
    @husseinfunga3272 Před 2 lety +3

    Allah akupe umri mrefu wenye manufaa KWA dunia yako na akhera pia

  • @adreanokasim7134
    @adreanokasim7134 Před 6 měsíci

    Nakubali sana🎉🎉🎉🎉🎉

  • @salumuhamza3920
    @salumuhamza3920 Před 2 lety +3

    والله وبالله بارك الله فيك يا حبيبي عثمان

  • @RahmySaid-y7r
    @RahmySaid-y7r Před 26 dny +1

    Masha Allah

  • @milakauli
    @milakauli Před 10 měsíci +1

    Allah akupe maisha marefu

  • @issafaquedalaura8279
    @issafaquedalaura8279 Před 2 lety +4

    Masha Allah , Na Mungu Akubarik Mazinge , Masha Allah Lakuta Illa Billa

  • @muhunzijunior5153
    @muhunzijunior5153 Před 2 lety +1

    Maa Shaa Allah, Allah akuhifadhi shekh na kazi ya dawa iendelee

  • @AziaraYusufu
    @AziaraYusufu Před 6 měsíci +1

    Sawa mazinge tangaza dini ya allah

  • @jilanimartin1620
    @jilanimartin1620 Před 5 měsíci +1

    Hapo umepatia sukari bure.haukujibu kitu.bado sanaa wapotosha watu

  • @johnsonkibadeni5053
    @johnsonkibadeni5053 Před 2 lety +1

    Huyo mchungaji aliyekuambia yesu kamuumba Mungu sidhan kama anajua alichokiongea labda kama ni mchungaji muislam tatizo mazinge muongo sanaaaa aisee unapenda sifa and we know you

    • @medimisi6930
      @medimisi6930 Před 2 lety

      Kwani nyinyi si ndo mnasema kua yesu ni mungu au,na kazi ya mungu c ni kuumba au hujui halafu eti mungu wenu alikufa na alitajiriwa na alilala.duh kweli akili ni nywele

  • @zahorabdisafisanangedere2521

    Mungu akubarik shekhe

  • @felixnkanda9064
    @felixnkanda9064 Před 2 lety +1

    Mwenyezi mungu akulinde sheikh wangu

  • @twahamdaki7508
    @twahamdaki7508 Před rokem +2

    Salute to ue sheikh

  • @shamimibrahim1089
    @shamimibrahim1089 Před 2 lety +3

    UKWELI Tanzania mmepata mtu insha'Allah Allah atoe mmoja katika kizazi chake kaa yeye mazinge

  • @user-nt4qc4zg7y
    @user-nt4qc4zg7y Před 10 měsíci +1

    Allah akupe nguvu na uzima ushinde kil khatuwa

  • @mollyzyad778
    @mollyzyad778 Před rokem

    Mwenyezi Mungu akuzidishie

  • @seifsuleiman3979
    @seifsuleiman3979 Před 2 lety +1

    Maasha Allah. Allah atuajalie mwisho mwema Insha Allah

  • @hassanussein1817
    @hassanussein1817 Před 10 měsíci +1

    Allah Ummah ameen

  • @aishaayoub305
    @aishaayoub305 Před 2 lety +2

    Mashaallah shekhe mazinge Allah akupe umli mrefu uzidi kuelimisha jamii. Allah akupe mwisho mwema shekhe

  • @IbrahimLuqman-sc8cw
    @IbrahimLuqman-sc8cw Před 9 měsíci +1

    Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuh,shk wewe ni kiboko aunampinganizi

  • @mhgpatientfeedback7037
    @mhgpatientfeedback7037 Před 9 měsíci +1

    Bado bado...mtaelewa tu Q72

  • @zayyatiyussuf9566
    @zayyatiyussuf9566 Před 2 lety +1

    Allah akujalie umri wenye afya njema sheikh mazinge

  • @IbrahimLuqman-sc8cw
    @IbrahimLuqman-sc8cw Před 9 měsíci +1

    Twashukuru

  • @enockkibona7522
    @enockkibona7522 Před rokem +1

    Sema unajiinua sana,hunishawishi,jishushe basi MUNGU atakwinua

  • @abuukhairat7738
    @abuukhairat7738 Před rokem +1

    Mazinge kwanz jifunze kusoma qur an
    Ayatul kursiyyu yasomwa hivo

  • @dancun217
    @dancun217 Před 2 lety +1

    HuyU Jamaa mnayakyusa🤣🤣🤣

  • @gabrielwendeline8464
    @gabrielwendeline8464 Před rokem +1

    Mazinge ww hujielewi ..utaelewa je ukristo..hata huo uislamu wenyewe huuelewii..coz unazani unajua kumbe ni mjinga tu..

  • @DastanBeda-mz9em
    @DastanBeda-mz9em Před rokem

    Mbona kama vile Mazinge unawafanya wenzio watoto mimi ni mkristo na sio mchungaji ila najua Yesu ameumbwa na Mungu wewe huyo mchungaji aliekuulza kama unayo ushahidi hembu weka tuone mana mambo yote niutandawaz acha kutudanganya tena upo kwenye memba unakua muongo da!

  • @bostonic
    @bostonic Před rokem +2

    Huyu Shee anashangaza. Badala kupatia Mungu utukufu anajipatia yeye mwenyewe. Kiburi.

  • @charlesjanuary1798
    @charlesjanuary1798 Před 2 lety +3

    Mazinge hamna kitu Anajinadi akiwa kwenye misikiti

  • @MuhammadRamadhani-to7gk
    @MuhammadRamadhani-to7gk Před 3 měsíci +1

    AllahuAkibar

  • @danyanthony3582
    @danyanthony3582 Před rokem +2

    Huyu jamaa anajivuna sana sana..hii kitu ndiyo itampeleka jehannam

  • @user-zv8hb1zc3j
    @user-zv8hb1zc3j Před 9 měsíci +1

    ❤❤❤amiiin ❤❤

  • @fadhilhimid2776
    @fadhilhimid2776 Před rokem +1

    Marshallah

  • @PrinceBonnyTz8
    @PrinceBonnyTz8 Před rokem +1

    Huyo sio Masai acha uongo

  • @Philippe3Lukole
    @Philippe3Lukole Před měsícem +1

    Tunashukuru kwa majifunzo

  • @user-zv8hb1zc3j
    @user-zv8hb1zc3j Před 9 měsíci +1

    Mung akulipe kila la her

  • @mwinyimkuu9589
    @mwinyimkuu9589 Před 2 lety +2

    mazinge we acha uongo, tatatizo shule ndogo......... kasome tena, kwani uliishia la ngapi.........

  • @jacksonkilonzo1439
    @jacksonkilonzo1439 Před rokem +1

    UNAULIZA SWALI KISHA UNANZA KUJIGANGAMBA YAN MAZINGE NI WA MBWE MBWE TU NDO MANA AKIPATANA NA NDACHA ANANYOROSHWA

  • @ZINDUKAMUISILAMU30
    @ZINDUKAMUISILAMU30 Před 9 měsíci +1

    Dah, hilo jibu la hakuna mtume alorogwa km Mohammad ndio jibu dume

  • @adammasunga5363
    @adammasunga5363 Před 2 lety +2

    Wewe ni Muongo sana

    • @Tawazone
      @Tawazone Před 5 měsíci

      Mungu atakufungua tu kijana nakuombea huko uliko siko

  • @abdullaabdullahmpakanjia2336

    Mashallah jazakallah kheyr

  • @AbubakarMaamun-pj9bm
    @AbubakarMaamun-pj9bm Před 3 měsíci +1

    Mashallah

  • @kanakamama4496
    @kanakamama4496 Před rokem +2

    Shehe mazinge naomba msanda wa dua kwako Kuna mama jirani ikifikia siku tukakosana. Wazee wakamua kuyatatua. Kujua amesamehewa kila mtu yuko radhi akamua kurudia hilo, hilo kosa. Mm ni msilamu anajua mtu akishakukosea haina budu kumsamehe, Nilipo sai mm nayeye siwezi msamehe bali ni kumuomba dua ya kumwadhibu. Je,Nihaki mwisilamu kumuombea dua mtu aliomiza nausi yake

  • @prosperjohn2047
    @prosperjohn2047 Před 2 lety +2

    Mazinge utawapata waisio na akili, Kwa sifa zako hizi, Mungu siyo wa hivyo

  • @senathakizimana8231
    @senathakizimana8231 Před 2 lety +2

    Aacha uongo wew,nani mu christo kasema#Yesu kaumba#Mungu eeh

    • @muksinsaidi4892
      @muksinsaidi4892 Před 2 lety

      Kwaio ni yesu ni mutu?

    • @senathakizimana8231
      @senathakizimana8231 Před 2 lety +1

      @@muksinsaidi4892 siwezi ni kabisha na muislam ajili nyinyi na dini muko mu ignorance mumesha poteya#Yesu huwezi mupimanisha na kitu cocote kiko apa duniani hakuna#ata mohamad ameleta just islam nothing special 4 him,kwa Jina la Yesu#Magonjwa yana pona#sida cancel diabète majini yanakimbia wat abt mohamad neva...najua utapinga ajili umeshapotea na yeye ndo njia yakufika mbiguni..

    • @muksinsaidi4892
      @muksinsaidi4892 Před 2 lety

      Ni hayo tu kumuhusu yesu wa wakristo au kuna mengine?

    • @muksinsaidi4892
      @muksinsaidi4892 Před 2 lety

      Wewe kufa kwenye ukristo namimi nitakufa na uislam, huna point kwangu, mimi siko apa kwa ajili ya kushindana au kukemeana na majini, uchaWi,mapepo kama nyie, nikimwamin mungu mmoja mtume wake tu bas inatosha sitopatwa na uchaw wala mapepo,

  • @charlskallaghe6607
    @charlskallaghe6607 Před rokem +1

    Itakuwa jambo la kher ukisilimu utapata fazila na mwezi huu mtukufu

  • @siahmwendwa9070
    @siahmwendwa9070 Před 2 lety +1

    Kwenda zako wewe hubiri huo upuuzi wako lakin msema kweli ni ile sikuku akayorudi Yesu

  • @joshuaimbugwa4866
    @joshuaimbugwa4866 Před rokem +2

    SALUTE TO UE SHEIKH

  • @sudaissaid8428
    @sudaissaid8428 Před 2 lety +1

    Quran Mazinge bado sana..hujui

  • @massoudsuleiman-xv7hy
    @massoudsuleiman-xv7hy Před rokem +1

    Asalamu aleykumu waislamu wenzangu na shee wangu nina shida na wewe nakupataje

  • @user-ny5ug4qo6c
    @user-ny5ug4qo6c Před 8 měsíci +1

    Uongo mtupu.acha kudanganya watu .muogope Mungu ww .Kuna hukumu badala ya hapa

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 Před 9 měsíci +1

    Adamu ajawahi kua Nabii

  • @GordienNdizeye-sf3jt
    @GordienNdizeye-sf3jt Před 9 měsíci +1

    Sheikh wambie !

  • @munirashughuli618
    @munirashughuli618 Před 2 lety +2

    Allahu Akbr

  • @josephnkwamino6509
    @josephnkwamino6509 Před rokem +1

    Yesu yupo karbu kukuokoa mazinge watu hawataamini siku hiyo

  • @adamumwantende7073
    @adamumwantende7073 Před rokem +1

    Muongo hakuna mkristo yoyote anaesema Yesu kamuumba Mungu umbea kwa coment hii fungua mstari wa biblia,domo tu mizani ya dini unayo wewe au Mungu et professar.

  • @AthumanLipaty
    @AthumanLipaty Před 2 měsíci

    Good.