Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
Miongoni mwa kwaya kubwa kutokea Tanzania utukufu kwa Bwana
Mtunzi wa nyimbo zenu hongera zake, 100% kwake🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Amen Amen Amen🙏🙏 love from kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kazi nzuri sana, Mungu awabariki chang'ombe vijana choir
Mungu awazidishie na wapenda sana❤❤❤❤❤🎉🎉
Mungu awabariki, kwa ujumbe mzuri
Siku ile eee Mungu nataka uniambie njoo kwangu wewe uliyebarikiwa
Nabarikiwa sana
Martha na wanakwaya wote hongereni sana
Nyimbo zenu zote nzur na zinatuvuta kwa bwana na kutukumbusha kurud kwa Mungu na kutenda mema
Asanteni sana kwa nyimbo zenu nzuri.Stieve from Kenya kitale
Hamjawahi kukosea kwenye nyimbo zenu zinabariki sana😇👏👏👏👏👏👏👏👏
Jamani Nyimbo zenu hakika zinabariki sana na kuwatia Moyo waliokata tamaa.Mbarikiwe sanaah
May God bless you 🙏
Mungu aendelee kuwatia ngv na kfanya kaz nzuri zaidi.
Que le seigneur vous donne la force de composé d'autres chansons.vraiment que Dieu vous Bénisse
Nice song aim blessed
Cvc Mungu awainue.Baraka tele na hata familia zenu.Amen.
Amen 🙏🏾
Nice song siku ya ajabu and utukufu💓💓
It is blessing to all
Sik yakwnz kusikia nyimb zen nilibalikiw San na ndio mpka zikaniplekea mm kuokoka
Mungu awaongezee nguvu kwa utunzi bora katika nyimbo hizi ambapo zinatuguza nyoyo zetu
Napenda sana hizi nyimbo mm jakuwa mm mkatoliki mungu awazidishie mzidi kumtumikia mwenyezi mungu
Nice song nyenyekeeni
Love you guys
May God grant you wisdom to continue worshiping himNcy song.... with a touching message
Kitambo sana
Ninawapendaa saaana,mungu wa mbinguni hawatunze,na kuwabariki.
Mbarikiwe sn
Mungu awabariki na kuwainua zaidi. Kazi yenu ni njema sana!
Am much blessed by your songs God bless you much and continue humbling before His presence
Amina December 2022 still watching
Hakika ni siku ya ayajabu ya mungu kuzungumza na watu wasio wema ,tuwe na moyo wa ukarimu kwa wengine
Mungu awabariki sana mungu awape wepesi na afya njema mutumikie mungu
Nimebarikiwa bila kujuwaa aminaaaaa
Siku ya ajabu kila nikifikiri sipati majibu,, Mungu atusaidie
Hongeren sana watumishi wa mung
Mungu awabariki
The song is a blessing to me
Wimbo huu ulikuwa mzuri mno. Ni mzuri sana na utaendelea kuwa mzuri. Mungu wabariki wote mliofanya wimbo huu.
Lovely song
Album ya nyimbo hizi ilinifariji sana. Mushukuliwe
Jamani mungu azidi kuwabarik
Nawapendaa mnanitiaa nguvu sichok kuangalia
Mungu azidi kuwatunze
Asante xna
Amen, pia tunaomba wimbo Wa patakatifu pa patakatifu
Asante tunaungoja kwa hamu sana unanibariki sana wimbo huo ,
Mung azid kuwaongoza
MUNGU awabariki sana
Wimbo wenye mafunzo Mengi. Inatufaza kuwafanyia wengine mema Ili tuweze kuingia ufalme wa mbinguni
Blessing song
Hits 2023 ❤
Mmeimba jamani MUNGU awabiri na kipaji chenu izidi kung'aa mbele za MUNGU
Alafu mtuekee pia Pazia la Hekalu...mwisho mwisho huo wimbo una shida hamna sauti
Itakuwa simu yako ina matatizo
Nikweli hata Mimi mwisho sikusikia sauti kabisa inamaana cm yangu nayo mbovu
jamani cvc naomba hii nyimbo iludiwe mnavyo shuti mimi sikuwepo naomba iludiweeeeeeeeeeeee😃😃😃😃😂😃😃😃😃🔊🔊🔊
@@AICTChangombeChoir_ nawapenda mnoo
Nazipenda mno
😊amen
Mungu awabaliki
Utukufu kwa MUNGU juu
Amenn
Nawatakia kazi njema, nahitaji kupata rekodi zenu jamani nitapataje nipo TABORA
Nikwaya ambayo ninatamani kufanya nayo kazi
I'm blesssed
Amen
Utunzi bora
Who is watching 2022??🥰🥰
AIC Wetaa
Wimbo Mzuris sana
Mungu wazidishie muwenakipaji zaidi yahiki
Verr nice
Ilove that song
Mwenyezi Mungu awabariki sana mzidi kuifanya kazi yake.
Nili bwana tulikupa maji we mungu nisaidie nijue kukutumikia 🙏
Kanzinzuri kwenu wote nduguzangu
Nabarikiwa Sana nahuu wimbo msoge mbele🙏🙏🙏🙏🙏
Natamani sana waimbaji wezangu tuitunze hii kalama ili tufikapo mbingu tutaimba sana ! Mungu awabari
Miongoni mwa kwaya kubwa kutokea Tanzania utukufu kwa Bwana
Mtunzi wa nyimbo zenu hongera zake, 100% kwake🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Amen Amen Amen🙏🙏 love from kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kazi nzuri sana, Mungu awabariki chang'ombe vijana choir
Mungu awazidishie na wapenda sana❤❤❤❤❤🎉🎉
Mungu awabariki, kwa ujumbe mzuri
Siku ile eee Mungu nataka uniambie njoo kwangu wewe uliyebarikiwa
Nabarikiwa sana
Martha na wanakwaya wote hongereni sana
Nyimbo zenu zote nzur na zinatuvuta kwa bwana na kutukumbusha kurud kwa Mungu na kutenda mema
Asanteni sana kwa nyimbo zenu nzuri.Stieve from Kenya kitale
Hamjawahi kukosea kwenye nyimbo zenu zinabariki sana😇👏👏👏👏👏👏👏👏
Jamani Nyimbo zenu hakika zinabariki sana na kuwatia Moyo waliokata tamaa.Mbarikiwe sanaah
May God bless you 🙏
Mungu aendelee kuwatia ngv na kfanya kaz nzuri zaidi.
Que le seigneur vous donne la force de composé d'autres chansons.vraiment que Dieu vous Bénisse
Nice song aim blessed
Cvc Mungu awainue.Baraka tele na hata familia zenu.Amen.
Amen 🙏🏾
Nice song siku ya ajabu and utukufu💓💓
It is blessing to all
Sik yakwnz kusikia nyimb zen nilibalikiw San na ndio mpka zikaniplekea mm kuokoka
Mungu awaongezee nguvu kwa utunzi bora katika nyimbo hizi ambapo zinatuguza nyoyo zetu
Napenda sana hizi nyimbo mm jakuwa mm mkatoliki mungu awazidishie mzidi kumtumikia mwenyezi mungu
Nice song nyenyekeeni
Love you guys
May God grant you wisdom to continue worshiping him
Ncy song.... with a touching message
Kitambo sana
Ninawapendaa saaana,mungu wa mbinguni hawatunze,na kuwabariki.
Mbarikiwe sn
Mungu awabariki na kuwainua zaidi. Kazi yenu ni njema sana!
Am much blessed by your songs God bless you much and continue humbling before His presence
Amina December 2022 still watching
Hakika ni siku ya ayajabu ya mungu kuzungumza na watu wasio wema ,tuwe na moyo wa ukarimu kwa wengine
Mungu awabariki sana mungu awape wepesi na afya njema mutumikie mungu
Nimebarikiwa bila kujuwaa aminaaaaa
Siku ya ajabu kila nikifikiri sipati majibu,, Mungu atusaidie
Hongeren sana watumishi wa mung
Mungu awabariki
The song is a blessing to me
Wimbo huu ulikuwa mzuri mno. Ni mzuri sana na utaendelea kuwa mzuri. Mungu wabariki wote mliofanya wimbo huu.
Lovely song
Album ya nyimbo hizi ilinifariji sana. Mushukuliwe
Jamani mungu azidi kuwabarik
Nawapendaa mnanitiaa nguvu sichok kuangalia
Mungu azidi kuwatunze
Asante xna
Amen, pia tunaomba wimbo Wa patakatifu pa patakatifu
Asante tunaungoja kwa hamu sana unanibariki sana wimbo huo ,
Mung azid kuwaongoza
MUNGU awabariki sana
Wimbo wenye mafunzo Mengi. Inatufaza kuwafanyia wengine mema Ili tuweze kuingia ufalme wa mbinguni
Blessing song
Hits 2023 ❤
Mmeimba jamani MUNGU awabiri na kipaji chenu izidi kung'aa mbele za MUNGU
Alafu mtuekee pia Pazia la Hekalu...mwisho mwisho huo wimbo una shida hamna sauti
Itakuwa simu yako ina matatizo
Nikweli hata Mimi mwisho sikusikia sauti kabisa inamaana cm yangu nayo mbovu
jamani cvc naomba hii nyimbo iludiwe mnavyo shuti mimi sikuwepo naomba iludiweeeeeeeeeeeee😃😃😃😃😂😃😃😃😃🔊🔊🔊
@@AICTChangombeChoir_ nawapenda mnoo
Nazipenda mno
😊amen
Mungu awabaliki
Utukufu kwa MUNGU juu
Amenn
Nawatakia kazi njema, nahitaji kupata rekodi zenu jamani nitapataje nipo TABORA
Nikwaya ambayo ninatamani kufanya nayo kazi
I'm blesssed
Amen
Utunzi bora
Who is watching 2022??🥰🥰
AIC Wetaa
Wimbo Mzuris sana
Mungu wazidishie muwenakipaji zaidi yahiki
Verr nice
Ilove that song
Mwenyezi Mungu awabariki sana mzidi kuifanya kazi yake.
Nili bwana tulikupa maji we mungu nisaidie nijue kukutumikia 🙏
Kanzinzuri kwenu wote nduguzangu
Nabarikiwa Sana nahuu wimbo msoge mbele🙏🙏🙏🙏🙏
Natamani sana waimbaji wezangu tuitunze hii kalama ili tufikapo mbingu tutaimba sana ! Mungu awabari