VITU 6 HIVI HUZUIA MAENDELEO YAKO MAISHAINI-KUSHINDWA KUFIKIA MAFANIKIO

SdĂ­let
VloĹžit
  • čas přidĂĄn 25. 07. 2024
  • Jifunze vitu 6 hivi ambavyo huzuia maendeleo yako maishani, na kushidwa kufikia mafanikio katika unachofanya.Najua Hakuna anayetaka kila mwaka ule ule, hapana hayo sio maisha.Wote sisi tunataka tupige hatua na kuendelea, tunataka kujiboresha na kuishi maisha mazuri yenye Furaha.Haijalishi kwenye career yako, pesa, au mahusiano.
    Fikiria kuhusu hili, kuishi kwa malipo kwa malipo kila mwezi inakupa mawazo. Kama hautengenezi pesa ya kutosha, utaishi maisha ya kuoga.Utakuwa na wasiwasi kuhusu kulipa bills na kuweka chakula kwenye meza kila mwezi.
    Hii inaendea pia kwenye career yako, na mahusiano hautaki kukwama na ujiboreshi.
    Kwahiyo kama kujiona mwenyewe upigi hatua, kuendelea na kuishi maisha mazuri, acha kufanya hivi vitu 6.
    Timecodes
    Hook 0:00
    Bumper 0:10
    Utangulizi 0:21
    UMECHAGUA KUKAA KWENYE HALI YAKO YA KURIDHIKA 01:17
    KUTILIA SHAKA UWEZO WAKO 03:34
    UNA VICTIM MENTALITY 04:38
    KUACHA KUJIFUNZA NA KIJIBORESHA 06:08
    KUWA NA IMANI YA KUWEKA KIKOMO AU UKOMO 08:04
    KUTOKUWA NA LENGO AU MAONO YA KUYAFANYIA KAZI 09:26
    Mwisho 11:15
    Skillshare - www.skillshare.com/
    🏆Lengo Langu 🏆"Ni kushare na wewe Masomo chanya juu ya mambo mbalimbali katika Maisha na kuhakikisha tunakuwa sehemu ya mafanikio yako"
    🔴Nimeanzisha Podcast yangu mpya inaitwa Gonline kwenye Afripods, link hii 👉 afripods.africa
    Usiache pia kuniandikia mawazo kwenye comment section na share kwa wengine pia ila wajifunze zaidi. 🔴Nifuate IG- / gonline_pos. .
    BIASHARA, MATANGAZO, KUSHIRIKIANA NA USHAURI EMAIL: onlinemedia364@gmail.com WHATSAPP : (+255) 629-718385
    ..............................................................................................................
    🔴TAZAMA VIDEOS ZANGU ZINGINE AMBAZO UTAZIPENDA 👇👇
    ⚡TABIA 10 NZURI ZA KUFANYA KILA ASUBUHI ILI KUWA PRODUCTIVE (Best Morning Habits/Routine) 👉 • TABIA 10 NZURI ZA KUFA...
    ⚡JINSI YA KUTIMIZA MALENGO MWAKA 2020:Kanuni 3 lazima uzifuate kama unataka timiza malengo/ndoto yako👉 • JINSI YA KUTIMIZA MALE...
    ⚡REVIEW MWAKA 2021 ILI KUWA BORA/VIZURI 2022👉 • REVIEW MWAKA 2021 ILI ...
    ⚡MBINU ZA KUONGEZA WATEJA KATIKA BIASHARA YAKO👉 • MBINU ZA KUONGEZA WATE...
    ⚡SABABU 6 KWANINI KUFELI NI VIZURI KWA MAFANIKIO YAKO 👉 • SABABU 6 KWANINI KUFEL...
    ⚡ TATIZO LANGU NI AIBU NASHINDWA KUKUTANA NA KUCHANGAMANA NA WATU (SOCIAL ANXIETY)| Zahir Gomelo 👉 • TATIZO LANGU NI AIBU N...
    ⚡Kila Kijana Anatakiwa KUSIKIA Hii/CHAGUA MARAFIKI SAHIHI KATIKA MAISHA 👉 • Kila Kijana Anatakiwa ...
    ⚡TABIA 3 ZA MAFANIKIO ZA KUWA NAZO: Ili ufanikiwe katika malengo na ndoto zako mwaka 2020 👉 • TABIA 3 ZA MAFANIKIO Z...
    ⚡KANUNI 4 ZA MAFANIKIO KATIKA BIASHARA 2020 : Nilizojifunza kutoka kwa JACK MA 👉 / 4vinlngo3q
    ⚡TABIA 10 NZURI ZA KUFANYA KILA ASUBUHI ILI KUWA PRODUCTIVE (Best Morning Habits/Routine)👉 • TABIA 10 NZURI ZA KUFA...
    ⚡SIRI 5 ZA MAFANIKIO KWA MAISHA BINAFSI, BIASHARA (Funguo za mafanikio katika maisha.)👉 • SIRI 5 ZA MAFANIKIO KW...
    ⚡ISHARA 5 ZA ONYO AMBAZO ZITAKUONESHA KUWA HAUPO TAYARI KUANZISHA BIASHARA KWA MUDA HUU👉 • ISHARA 5 ZA ONYO AMBAZ...
    ⚡GUNDUA KUSUDIO LAKO KATIKA VIDEO HII YA DAKIKA 4/ How to find your PURPOSE Under 4 Minutes 👉 • GUNDUA KUSUDIO LAKO KA...
    ⚡HATUA 5 ZA KUUSHINDA UOGA WA MAFANIKIO/ 5 STEPS HOW TO OVERCOME FEAR OF SUCCESS👉 • HATUA 5 ZA KUUSHINDA ...
    ⚡JINSI NINAVYOSAVE 50% YA KIPATO CHANGU- Tips 6 za kusave pesa ambazo zitakuza kipato chako👉 • JINSI NINAVYOSAVE 50% ...
    #MaendeleonaMafanikio #Maendeleomaishani #Mafanikio

Komentáře • 6