NYAVUNI 09/05/2024 | Magoli kumi bora na save tano kali, raundi ya 25 NBC PL
Vložit
- čas přidán 10. 05. 2024
- #NYAVUNI Je, unajua ni goli gani limeongoza katika magoli kumi bora ya #NBCPremierLeague kwenye kipindi cha Nyavuni cha Alhamisi wiki hii (Mei 9, 2024???
Ni Najimu Magulu, kwenye mchezo kati ya JKT Tanzania vs Geita Gold FC akifuatiwa na Duke Abuya kwenye mchezo wa Ihefu vs Namungo.
Upande wa save bora, iliyoongoza ni ya Ley Matampi kwenye mchezo wa Coastal Union vs Tanzania Prisons akifuatiwa na Jonathan Nahimana Ihefu vs Namungo.
Kula vyuma hivyo kutoka kwenye mechi za raundi ya 25 zilizopigwa kati ya Mei 2 hadi Mei 8, 2024. - Sport
Hakuna magoli bora hapa
Haujui kuchambua magoli mkuu
Sijaona goals bora hata 1
Gol la najim wa jkt
Asanteee
Wa kwanza jaman
Gol la balua halina viwango
Mabao mengine n mabovu lakn
Yaani haya ni bora kwa Azam Tv, yaani hata lile la guede alilomfunga simba halipo, kweli mmeharibu
Limeisha pita lile hya ni ya wiki
Hamna kitu Azam tv mmeanza kudanganya uma
😂
Napenda nyavuni
Hata mm pia
Taften magoli bora ata kama yamepatikana matano tu sio lazima yawe kumi ndo mtuwekee magoli ya kijinga
1 azikiwe k
Acheni ubaguzi mbona goli la nne anjaliludia
Magol gan ya kibwege hayo
Goal la 9 na la 10 sijui ubora wake upo wap alafu balua goal lake la faul cjui kwann halipo.
Ni vgezo gan vmetumika
Hata mm nashangaaa😂😂😂
Hawapo serious
Jaman mbn tunapenda kulaumu wa Kwa makosa ya kipuuzi
Sijalaumu kitu ila ni swali nmeuliza tu, kutaka kujua vigezo vp vilivyo tumika hapo
Umepigaje hapo 😂
Hahaha 😂