#KUTANA
Vložit
- čas přidán 2. 09. 2022
- Awadhi ni kijana mwenye elimu ya degree ya Information Technology (IT) aliyopata katika Chuo Kikuu cha Dar es salaam lakini badala ya kutafuta kazi ya kuajiriwa yeye ameamua kujiajiri na amechagua kuwekeza katika biashara ya matunda.
Biashara yake Ameipa jina la Soko Dogo lakini malengo yake hayana udogo huo kwani huo ni mwanzo tu ukilinganisha na mipango yake mikubwa ya kufungua matawi ya Soko Dogo maeneo mbalimbali hapa jijini Dar es salaam.
Kazi nzuri sana VOAG team and management.
My Furendi 🔥 keep it up
Good
Kijana yupo vzuri sanaa awezeshwe zaidi na awe mfano
Safi sana ndugu yangu 👍👍💪💪
Nice nimeipenda iyo
Good job
Instagram anatumia jina gani?