Skuwahi kujua Kama Kuna mfuko Kama huu ila ktk pita pita yangu nmejifunza kitu leo,ila nmeshangaa Sana watanzania ni watu wa hovyo Sana wao ni kuangalia vitu vya hovyo na kuchapisha ujinga kuliko maswala ya elemu uliyo na msingi kwa maisha yetu ya vizazi vyetu.
Skuwahi kujua Kama Kuna mfuko Kama huu ila ktk pita pita yangu nmejifunza kitu leo,ila nmeshangaa Sana watanzania ni watu wa hovyo Sana wao ni kuangalia vitu vya hovyo na kuchapisha ujinga kuliko maswala ya elemu uliyo na msingi kwa maisha yetu ya vizazi vyetu.
Yan umeeleza vizur sana
Inasikitisha sana kuona watu hawaangalii wala kucomment Elimu kama hizi ila ingekuwa habari za kipuuzi wangecoment comment hata laki
Elimu nzuri sana.
Thank youuh
Somo zuri
Nimejifunza kitu hapa
je bank zote zinatoa huduma hii