Mafuriko Morogoro! Mamia washindwa kusafiri, maji yatanda kila kona
Vložit
- čas přidán 4. 05. 2024
- Mvua kubwa ambayo imenyesha kwa zaidi ya saa 12 wilayani Kilombero mkoani Morogoro imesababisha adha kwa wananchi wa Ifakara baada ya maji kujaa na kusababisha mafuriko, maji yanapita juu ya barabara, na abiria wanavushwa kwa kamba maalumu.
Mkuu wa wilaya ya Kilombero Dunstan Kyobya akizungumza na Mwananchi Digital leo Mei 5, 2024 amesema tangu ahamie katika wilaya hiyo haya ndiyo mafuriko makubwa zaidi kuwahi kuyashuhudia.
Kiongozi wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Kilombero Inspekta Haji Maduluka amesema kinachoendelea ni kuwavusha watu kwa kutumia kamba maalumu ili wasisombwe na maji.
Wafanya biashara na wasafiri wanaeleza kuwa hali hii ya maeneo yao kujaa maji hawajaishuhudia kwa muda mrefu.
Subhana Allah
Poleni sana Allah atufanyie wepesi
Bwana Yesu tunakuomba uturehemu, utuponye na mabaya yote
Poleni sana
Bwana turehemuu tusamehe tena na watu wetu ujuae turehemuu watanzania hatuwezi yooooooo Shama
Poleni Sana watu wa morogoro kwa mafuriko hayo mungu awasaidie
He sijui ifakara sehemu gani hii mwenzi mungu wa saidie
Poleni sana Mungu awanusulu
Mungu Tusaidie Wana wako twafwaa!!
Poleni sana ndugu zangu
Si hayo tu ni mengi sana makosa Sasa ajali Kila siku moto Kila siku mafuliko Kila siku vimbunga na vita nchi za wezetu je tukimbilie wapi kama si kusujudu
Kateni BIMA ya biashara😊
Ukisikia kiyama ndo dalili hiz hakuna jinc watu ndug zangu tufanye toba mana mtukio dunia nzima ww unafikiria nn
Kama mto Rumemo ume zidiwa uka tema Mtaro uta peleka maji wapi
Poleni
Yaliyo tabiliwa sasa yanatimia
Magu alisema wanaume bondeni
Tuombe tu mungu jamani maji hayazuiliki hasa yanapokuwa mengi
Duuh
Tumezindi kutembea uchi hasa sisi wakinamama mnaona sasa mungu kachukia
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Dah
Haya ni maji ya mvua siyo mafuliko
M