VIDEO NZIMA: Harmonize na Hamisa Mobetto Walivyotua Tanzania Wakitokea Dubai

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 11. 2021
  • Ahsante kwa kuwa mwana familia, kwa habari murua utazipata hapa, Ungana nasi kwa kila update zitakazo jitokeza.. Subscribe Channel yetu ili usipitwe na habari zetu.
    FOLLOW US
    Follow on Instagram: / mwendokasitv
    Follow on Facebook: / mwendokasimedia
  • Krátké a kreslené filmy

Komentáře • 308

  • @rsautoservice984
    @rsautoservice984 Před 2 lety +43

    Huyu ndio jicho au mboni ya Bongo harmonize always the best ever believe it... 🌟🌟🌟🌟🌟🌟

  • @nurungole3961
    @nurungole3961 Před 2 lety +18

    Unamsukuma Sana mtoto jeshi kwenye upendo kakaangu ishi maisha tofauti na usanii nakuombea muoane muishi kwa upendo mpendane kweli

    • @SophlaJackson-nt1nc
      @SophlaJackson-nt1nc Před 8 měsíci +1

      Unamuombea kwanani kazi ya Sanaa nizinaa nasio kuowa au wajifanya hujui Hilo acheni Kumtaukana MUNGU😢

  • @dehfirstlady12
    @dehfirstlady12 Před 2 lety +6

    I always admire lady hamisa... Not us star bt business lady hop one day l will run a business like her🥰🥰🥰

  • @mulengagift2115
    @mulengagift2115 Před 2 lety +6

    You are the best harmonize

  • @user-ph5qy1il8h
    @user-ph5qy1il8h Před 6 měsíci +2

    Iyo sio hamisa😊

  • @user-bt3yt8eb1o
    @user-bt3yt8eb1o Před 6 měsíci +1

    Uyo so hamissa😊

  • @musamaseno9501
    @musamaseno9501 Před 2 lety +2

    Nice❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️💋that is so good

  • @omarisaria3168
    @omarisaria3168 Před 7 měsíci +1

    Kama ni kweli harmonize congratulations,hamisa mtoto mzuri sana 🎉

    • @lulugama1547
      @lulugama1547 Před 6 měsíci

      huyo ni Briana achana na hawa wauza habari

  • @tabiangonyani3526
    @tabiangonyani3526 Před 2 lety +14

    Mmakonde anatembea kama mlima korosho🤩🤩🤩

  • @simonshedrack6019
    @simonshedrack6019 Před 2 lety +39

    Daa tugekuwa tuna kibiria wahubiri wa neno ra mungu Kama hivi hata mungu agefurahi xana

  • @mariamemadoshi5540
    @mariamemadoshi5540 Před 10 měsíci +1

    Huyo siyo hamisa washenzi nyie hebu muacheni dada wawatu mungu amemuona

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Před rokem +8

    Katoka Ulaya Kuja Kuzini Zamani Mwanaume Unaangaika Kupata Mwanamke Kutoka Sehemu Moja Kwenda Mbali Kwasababu Dini Zilikua Zinasemewa Kwa Umakini Mkubwa Siku Izi Wanawake Wamekua Watumwa Kwa Wanaume Ukiwa Malaya Simu Moja Akujui Umjui Umemuona2 Mtandaoni Unamuita Mtoto Wa Kike Anakuja Bila Kujua Wewe Lusifa Au Nani Wanawake Baazi Yao Wamekua Adimu Kujua Wao Akina Nani Na Mungu Amewapa Amli Gani Kwanini Wanaolewa Na Awaoi Kwanini Wanatunzwa Awatunzi Kwasababu Mwenye Kuolewa Ni Zaifu Nilazima Wajue Kueshimu Wazazi Wao Na Ndoa Muimu Kwao

    • @zamunda1596
      @zamunda1596 Před 7 měsíci

      Umemaliza kila kitu master nipo pamoja nawe

  • @sironyotoppy9265
    @sironyotoppy9265 Před 2 lety +6

    Harmonize ni mtu serious Sana,waoane sasa

    • @user-um8xn4ge4i
      @user-um8xn4ge4i Před 6 měsíci

      Yule na harmonize Sio hamisa hawa wahandishi waongo walichanganya video

  • @willydasilver69
    @willydasilver69 Před 2 lety +3

    Harmonize alikuwa akienda haja ndogo,acheni comments mbaya..alikuwa amezidiwa

  • @bulantaiacspita6109
    @bulantaiacspita6109 Před 2 lety +4

    Video hiyi ni noma sana tena sana kinoma!

  • @ashaali7154
    @ashaali7154 Před 2 lety +32

    Kama kuna watu watakaoiona pepo kwa umbali ni nyinyi waandishi wa uongo munapenda umbea , uchonganishi uhasidi ili mradi mupate kujaza matumbo yenu tu hamjali binaadam wengine wapumbavu wakubwa.

  • @user-xq5pn7xy2x
    @user-xq5pn7xy2x Před 7 měsíci +1

    Huyo siyo hamisa hataaaa

  • @user-pt5we2gu4l
    @user-pt5we2gu4l Před 6 měsíci +1

    Kwanza siyo hamisa

  • @auntysweetysultan3933
    @auntysweetysultan3933 Před 2 lety +4

    Missa be great and tkcre

  • @samwellaizer4269
    @samwellaizer4269 Před 2 lety +1

    Very good

  • @karirekinyana9759
    @karirekinyana9759 Před 2 lety +5

    Uongo huu sio hamisa🙅‍♀️🙅‍♀️

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Před 5 měsíci

    Diamond ana mtoto mzuri sana hongera zako baba wa mtoto

  • @marymusol8939
    @marymusol8939 Před 2 lety +8

    Harmonise hana time ya upuzi

  • @achawanunetv1167
    @achawanunetv1167 Před 2 lety +12

    KONDEBOY JESHI NDIE MSANII MKUBWA IN TANZANIA KWA SASA KWASABABU YEYE NDIE ANAITANGAZA NCHI YETU KIMATAIFA KUPITIA MZIKI MZURI ANAOUFANYA

  • @AdrienGrace-kj8hw
    @AdrienGrace-kj8hw Před 22 dny

    nakukubali sana kaka yangu jeshi

  • @marymusol8939
    @marymusol8939 Před 2 lety +7

    Ana damu ya kuoa wazungu tuu love harmonise

  • @Shany-iu8dl
    @Shany-iu8dl Před 6 měsíci

    Look at Irene Namatovu and what she went thru till now alya butter and happily married with Lutaaya, omukazi omulungi agguma.

  • @katanakenga3792
    @katanakenga3792 Před 2 lety +1

    Nakunali

  • @patrinasakala9392
    @patrinasakala9392 Před 2 lety +7

    To me harmonize is the best in Tanzania

  • @miyakenya7401
    @miyakenya7401 Před 2 lety +4

    Hamisa nae alishbiri waandishi wa Habari wamsjndikize Konde then Wamkujie na yeye😜bongo bana

  • @talamumboma5050
    @talamumboma5050 Před 2 lety +1

    Pamoja sana

  • @julihanjosephyjs6361
    @julihanjosephyjs6361 Před 2 lety +2

    Wifi karibu Na Tz waoooo

  • @lukalazarolaitayo8388
    @lukalazarolaitayo8388 Před 2 lety +1

    Dope

  • @royreuben4315
    @royreuben4315 Před 6 měsíci

    For me take way on this video, its the crafting of video title. 😂😂😂😂🙌🙌🙌

  • @funnymanreallife3190
    @funnymanreallife3190 Před 2 lety +1

    Jeshi 🔥🔥

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 Před 7 měsíci +1

    Hamisa mtawezana na harmonize kweli

  • @ramonabatv4022
    @ramonabatv4022 Před 8 měsíci

    nashukuru brother hajaongea neno

  • @waltermassawe1876
    @waltermassawe1876 Před 2 lety +16

    Konde akili nyingi mno vita unaiweza we jembe trust me

  • @safarikambi
    @safarikambi Před rokem

    Safi bro

  • @kingrasdee445
    @kingrasdee445 Před 2 lety +3

    Harmonize mbn anamkmbiza kam mwz????

  • @kabebemazambi194
    @kabebemazambi194 Před 2 lety +1

    Jeshiiiii tembo mkubwa ✌️🎶✊🏽🙌🔥🔥🫂

  • @consokeic1472
    @consokeic1472 Před 2 lety +5

    Du !mapaparazi mtapata tabu sanaaa.......😂😂😂😂😂

  • @tonygee5680
    @tonygee5680 Před 2 lety +1

    Huyu jamaa mshamba kweli sasa kweni kaiba ndio kwenda kwa spidi hivi kisha anamsahau besti wa demu wake nyuma mpaka demu wake mwenyewe anaingiwa na wasi wasi

  • @beiy265
    @beiy265 Před 2 lety +2

    Hae harmonize I hope uko sawa so harmunize mimi nataka usaidisi wko

  • @herdijernuruh3032
    @herdijernuruh3032 Před 2 lety +7

    Hii ujinga kwetu Kenya🇰🇪 hakuna Kla Mtu Apambane na Hali Yake 😎

    • @wilkisteratieno2745
      @wilkisteratieno2745 Před 2 lety +1

      😂😂😂😂😂😂😂hatupangwigwi

    • @rahmasud8324
      @rahmasud8324 Před 2 lety +1

      Kweli kabisa 🤣🤣

    • @lisajonsony9246
      @lisajonsony9246 Před 2 lety +1

      Kenya ni kenya tz ni tz msifananishe

    • @elijahmugo9961
      @elijahmugo9961 Před 2 lety

      @@lisajonsony9246 eeee na Kenya ndio roho ya East and West Africa kwa mpigo....tz bado wachanga saaaana

    • @mattjr4206
      @mattjr4206 Před rokem

      @@elijahmugo9961 tulien mbona mnafatilia wasanii wetu 😂

  • @johnsonsabanya5860
    @johnsonsabanya5860 Před 8 měsíci

    Uyu ndo mwamba alobaki piga rungu hizo Pic kinyamwezi Kho Kho kho

  • @mafedhakhalfani3275
    @mafedhakhalfani3275 Před 2 lety +3

    Kwaiyo mnataka kusema tz hakuna mashine zakusachia airport daaaah mungu ibariki tz

  • @maryaika9645
    @maryaika9645 Před 7 měsíci

    One thing for sure he can protect his woman

  • @estherchesumei1666
    @estherchesumei1666 Před 2 lety +2

    Harmonize mbona unamkimbiza hivyo?unafaa kuwacha atembee kwa style juu ucha kosea MTU

  • @gasparygewasa6048
    @gasparygewasa6048 Před 2 lety +1

    💥💥💥

  • @Susan-Namu
    @Susan-Namu Před 2 lety

    Tunned

  • @uwimanajustine7313
    @uwimanajustine7313 Před 8 měsíci +2

    Wizi wote wa mapenzi,ndiyo maana hawataki kutembea pole pole,oneni tuuu vile hamisa anajifunga kama mgonjwa wa coronavirus

  • @munamuna4621
    @munamuna4621 Před 7 měsíci +1

    Sio hamisa

  • @fatmaali4921
    @fatmaali4921 Před 2 lety +5

    Yaan kazi ya uwaandishi inashinda sana haswaa adriana nashepu km mama teee

  • @patrickwanyoike8685
    @patrickwanyoike8685 Před 2 lety +3

    Still wondering kama kitu kama hiki kinawesa make news ama trend kenya.....kama hawa ni socialite wa ile inchi na mwimbaji wa pale...na socialite wa nchi za nji na mwimbaji....kenya ku trend unahitaji a lot of hard work

  • @preciousbima8111
    @preciousbima8111 Před 2 lety +1

    Huyo si Hamisa

  • @saidalsalmi9313
    @saidalsalmi9313 Před 2 lety +6

    Konde boy is in fire

  • @BelaWorld2525
    @BelaWorld2525 Před 2 lety

    💕💕💕💕

  • @ziadasalimu1730
    @ziadasalimu1730 Před 6 měsíci

    Mmmm! Vyombo vyetu vya habari Bado jamani umati wote huu kisa mi harmo kulipoti matukio ya msingi huyaoni ujinga tu

  • @user-ug6wx7bk6w
    @user-ug6wx7bk6w Před 7 měsíci +1

    Huyo si hamisaa na haezi kua

  • @user-tb5by5dw9b
    @user-tb5by5dw9b Před 7 měsíci +1

    Mmepigwaa hapooo hzo nguo zimewachanganyaaa😂😂😂😂😂Hamissa kavaa kipensiiii kifuupii akiwa dubaaai.......afuu hio clip ya airpot tz uyo demu kavaa trausaaaa ndefuuuu😂😂😂😂😂

  • @rogerabdallah439
    @rogerabdallah439 Před 2 lety +3

    Mbona awa wasanii watanzania wanachekesha sana wanajisikia sana sasa ndio nini anatembea kama anaogopa

    • @colettaauma2642
      @colettaauma2642 Před 2 lety

      Then hata ana time na funs,that's where Diamond umshindia. Anatembea ka mwizi

  • @jaytoomatisa6863
    @jaytoomatisa6863 Před 2 lety

    Teacher

  • @othmanmasoud9622
    @othmanmasoud9622 Před 2 lety +15

    Konde boy umemshika mkono na unavyo mkimbiza km mwizi🤣🤣🤣

  • @minnahhassan2229
    @minnahhassan2229 Před 2 lety +3

    Ilikuwa nalazima aonge😂😂😂😂😂😂😂😂siangetoka kma jeshi

  • @angelageofrey9756
    @angelageofrey9756 Před 2 lety +3

    Huo ukaguzi wa mabegi ya Hamisa sijauelewa kucheleweshana tu

  • @janiafaomaa5120
    @janiafaomaa5120 Před 7 měsíci

    MWENDOKASI TV YIYI WANDISHI MNATAKA KUOLEWA NA HARMONIZE AU MSHAFANYIWA KITU FULANI NA HARMONIZE MNAONA WIVU UWOGOWENU KUSEMA KAWA HUYO NI HAMISA NA WAKATI NI BIBI YAKE WAZAMANI WA ASRTWALI AU MNATAKA KUTONGOZWA NA HARMONIZE

  • @naominaomi1952
    @naominaomi1952 Před 7 měsíci

    ❤❤❤❤❤

  • @WanjeIsaac
    @WanjeIsaac Před 2 lety

    Jeshiiiiiii

  • @rickymuloloofficial1862
    @rickymuloloofficial1862 Před 2 lety +12

    mashamba sana, ata ajuwi ku tembea na mwana mke, uta fikiri jeshi fulani.

    • @mauridi_abdarah2653
      @mauridi_abdarah2653 Před 2 lety +2

      Yea ndiomana anajiita jeshi😂😂😂

    • @kibabysaid6692
      @kibabysaid6692 Před 2 lety +5

      Sio ety hajui kutembea na mwanamke....wanahabari wa bongo ndio wasumbufu.....hapo hamo anatembea haraka coz hataki kuhojiwa

    • @magiehermess9949
      @magiehermess9949 Před 2 lety +2

      Yani anamkimbiza kama vita 😂😂

    • @salmsalmo931
      @salmsalmo931 Před 2 lety +1

      Yaa jeshi hatembei kama mwanamke

    • @Tintaaahasirakirende
      @Tintaaahasirakirende Před 10 měsíci +1

      Tambua huyo ni jeshi alafu uache kujizimisha data

  • @kondwanimwangobora6441
    @kondwanimwangobora6441 Před 2 lety +2

    🔥🔥😍

  • @jenjoseph7270
    @jenjoseph7270 Před 2 lety +2

    Jamani anavo mkimbiza

  • @lylianlylian8786
    @lylianlylian8786 Před 2 lety +3

    Jamani mbona konde hana noma? Kwanini tuumie sisi kutembea haraka siyo sababu wapendwa! Mbona wazungu atuwajaji? Poleni kwa hilo konde yuko pis kachoka umbea.

  • @aldinhomkayumba9921
    @aldinhomkayumba9921 Před 7 měsíci +1

    Huyo sio Hamisa

  • @joelkenya1931
    @joelkenya1931 Před 2 lety +2

    Hyo s hamisa

  • @sylvia-mwangi.6406
    @sylvia-mwangi.6406 Před 2 lety +4

    He is walking too fast wamchokesha

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 Před 7 měsíci +1

    Hivi ni kweli harmonize yupo na hamisa siamini

  • @danieljoseph1610
    @danieljoseph1610 Před 2 lety +1

    Wasanii wa dar sjui mna akili gani! Mnakula wanawake kwa kupokezana? Huku mikoani wanaume hatuchangii wanawake!

  • @winnieumanzi5572
    @winnieumanzi5572 Před 2 lety +3

    Hahaha 😆😜😜😜 eti hamisa 😆😆😆😝😝😆Ricky Ross anapeleka boda boda Tanzania

  • @khadijasaid5461
    @khadijasaid5461 Před 2 lety

    Jeshi kama jeshiiiiii

  • @isihakanyirenda5570
    @isihakanyirenda5570 Před 2 lety

    Yaani kama waruwaru anatafuta tension kwa kuangalia huku Mara kule aone anaemtazama haijulikani haraka alionayo ni ya nini haswa

  • @user-sk7qp6ur4i
    @user-sk7qp6ur4i Před 8 měsíci

    Kivin atayidoma nambaaaa

  • @salummohammed8285
    @salummohammed8285 Před 2 lety +1

    Uy

  • @user-zv6ro2id2o
    @user-zv6ro2id2o Před 7 měsíci

    Aaaaahh! mbona anajificha hamisa? na konde anajifanya yuko bize jamaniiiiii.

  • @tonnymasizi3331
    @tonnymasizi3331 Před 2 lety +1

    🙏🏻🙏🙏🐘🐘🐘

  • @julihanjosephyjs6361
    @julihanjosephyjs6361 Před 2 lety +5

    Waandishi Wana kazi khaaa

  • @sapharysimons8106
    @sapharysimons8106 Před 2 lety +1

    Huyu Hermonise ni mshamba kweli. Mtu ametua home na anatembea kama mwizi. Haraka ni zankwenda wapi?

  • @borisagmarihirumwajasiri2783

    Hello mimi ni mwana muziki toka congo nilikua naomba kama hauwezi Ku post ngoma yangu ndani ya Channel yako

  • @ellysanga2655
    @ellysanga2655 Před 2 lety

    Unyama

  • @withneynelsonsmith7360
    @withneynelsonsmith7360 Před 2 měsíci

    What is he doing with hammissa for god sake

  • @regimentish
    @regimentish Před 2 lety +5

    Malaya anazungukwa na wana habari😳

  • @hassankaonga4680
    @hassankaonga4680 Před rokem

    Isaya joseph

  • @johnyagat973
    @johnyagat973 Před 2 lety +3

    Ata sjajua kinachoendelea na huyu mwana wa akudo ndo wanatoka au sielewi lakini wakulungwa munieleweshe

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Před 7 měsíci +1

    Wasanii wana vibweka sana,Huyu Hamisa si alikuwa wa mtu furananiI...?

  • @abinelikagezi9217
    @abinelikagezi9217 Před 2 lety +1

    Huyu dem utafikili ndio anawaona watu kwa mara ya kwnza

  • @mamamwajei8789
    @mamamwajei8789 Před 8 měsíci

    jmn uyu Briana mnatuambia hamisa mweh

  • @eddysoncadabra2239
    @eddysoncadabra2239 Před 2 lety

    Ngoma soon

  • @lubnahinai
    @lubnahinai Před 2 lety +5

    I thought hii issue ya ku-search ma begi iliisha.. New Airport But using old fashioned procedures. This is Embarrassing 🙈. What r the “bag screen scanners” for!?!

  • @kabwelerywamwatumu5078
    @kabwelerywamwatumu5078 Před 8 měsíci

    Huyo ndo hamissa?Akuna muoaji apo ni mwendo wakufirisika na maradhi 😢😢

  • @hajjiomary2383
    @hajjiomary2383 Před 6 měsíci

    Gig money kaongea uko cjui wamemuona anasema wadangaji wote wanajulikana sasa watunwanapata picha na ayo ndo maisha ya dar mnapokezana me namchukua nikichoka nakupa wewe .alafu wale watt waliotulia wamekwama home wajanja wanapush game