SHUHUDIA CHIDI BENZI AKIMCHANA MAKAVU HARMONIZE "HAMNIWEZI"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 28. 08. 2024
  • #TemuTV #harmonize #chidbenzi
    Live Chid Benzi Ataka Kumfua Harmonize Mbele Ya Polisi Na Bodyguard "Hamniwezi"

Komentáře • 375

  • @awadhiismail3154
    @awadhiismail3154 Před 4 lety +243

    Harmonize kweli kawa mtu mkubwa yaan kaanza mziki 2014 Leo hii anamlipa cheed benzi wa miaka ya nyuma Sana daaah jamani embu gonga like hapo

  • @sadikhanboy
    @sadikhanboy Před 5 měsíci +3

    Namkubali jeshi Konde boy for everybody 💯🙏💪🔥💥🎤Jeeshi all the way!! Sadikhan boy from KENYA

  • @ImamshiraziMwidau
    @ImamshiraziMwidau Před 3 měsíci +1

    Its all about creativity mambo na Ubunifu..

  • @tobaramadhani7139
    @tobaramadhani7139 Před 4 lety +21

    Jeshi anajitahidi sana kuwabeba ila mijitu bangi haibebeki mbona kiuchifu katulia na maisha mazuri tu yanaenda

  • @lulanatty8474
    @lulanatty8474 Před 4 lety +2

    Teja ataka shindana na king harmo jeshiii mtu mwema 😍😘

  • @muhambeKalubala
    @muhambeKalubala Před 5 měsíci +2

    ww ni jechi tuh hakuna mwengine kabisa Kazan naile kipaji man❤ 9:40

  • @meshacksamson1008
    @meshacksamson1008 Před 4 lety +10

    Kama unamkubal harmonize gonga like hapa maana namkubal mbaka naumwa yaan

  • @danieljems7810
    @danieljems7810 Před 3 lety +1

    Harmonize noma sana Kweri we ni jeshi

  • @mussajacob8346
    @mussajacob8346 Před 4 lety +12

    Teja afadhiliki ashazoea maisha ya uteja chidy afadhiliki

  • @titobernard383
    @titobernard383 Před 4 lety +14

    Hizi story zinatokea wapi !? Jamani hebu tusizenguane hapa !

  • @lucaswalogwa3821
    @lucaswalogwa3821 Před 4 lety +31

    Chid Benz amenivuruga sijaona alichofanya zaidi ya mambo ya kitoto kabisa

  • @user-mq5in3fi5y
    @user-mq5in3fi5y Před 4 lety +15

    Uyo chid benz analake tu kwa konde man km kishajua atapewa lak3 kwnn ackatae boya tu uyo ss mbn kakubal na pes kachua kwa mzik gn alokua nao mpk alew milion naend uk

    • @zenamadhan2517
      @zenamadhan2517 Před 4 lety +1

      Uyo konde anahaja nae nn asingemuita atakuja muazirisha bure..teja hana amani

  • @flightclubtanzania1638
    @flightclubtanzania1638 Před 4 lety +1

    Laki 3 hela ndogo kwa maisha haya na mziki hiiii ya zamani chid come on banaaa

  • @muhambeKalubala
    @muhambeKalubala Před 5 měsíci

    ww ni jechi tuh hakuna mwengine kabisa Kazan naile kipaji man❤

  • @omarimtoro58
    @omarimtoro58 Před 4 lety +3

    bro chid unalipwa laki 3 na madogo mlio wa inspire. unga haujawahi kumuacha mtu salama. @chidbenz na tid.

  • @alicetowo3645
    @alicetowo3645 Před 4 lety +17

    Sjui alitak apewe sh ngp?? Binadamu bhnaa hatulizikii, angekaa tu hiy el angeipt wap Sasa, !!!,

  • @user-wv2ur5sh2b
    @user-wv2ur5sh2b Před 5 měsíci +2

    Jamaa namkubali san

  • @maligeltabatholomeo8128
    @maligeltabatholomeo8128 Před 4 lety +64

    Kwani kama kaona laki 3 ndogo si angekataa!!!! Kwani kashikiwa bakola au? Konde mbele kwa mbele aturudi nyuma

  • @halimapatricia5882
    @halimapatricia5882 Před 4 lety +12

    Sahii walipwa na madogo na ww uliokomaa kwa mziki hahah unga hauachi mtu salama

  • @IqbaraAzizi
    @IqbaraAzizi Před 4 měsíci +2

    Nmemuona h baba

  • @jwasafiog5416
    @jwasafiog5416 Před 4 lety +5

    Duh kaaibishwa mdogo wangu

  • @omelausufu602
    @omelausufu602 Před 4 lety +1

    Bro chidi benz sio mzima ule ni msenge tu

  • @yasinitwalika1565
    @yasinitwalika1565 Před 5 měsíci +1

    Chid kichwa chake kishapagawa unapomuita sehem utegemee lolote kutokea,
    Mm nimeckia mc kasema mimi masi yeye kasikia chid benzi

  • @sammysammy2001
    @sammysammy2001 Před 4 lety +2

    Hamonaz Big up

  • @bonnysureolkokolaboy4342

    Huyu chalii anajiskia sana sa ndio ilikua anajiandaa mda wote huo kwenye kosta, acha ujinga mmakonde wew

  • @williamtarama4589
    @williamtarama4589 Před 4 lety +8

    Nashangaa watu wanavyoropoka km huyo chiz mwnzao chid! Laki tatu kapewa kasaidiwa tu kafanya kaz gani ya maajabu hapo!? Kpewa ya kula ck kadhaa tu! Kuliko angepewa bila kufanya chochote, angejishtukia kupokea 😂

    • @feyramsozclass4015
      @feyramsozclass4015 Před 4 lety

      Tatizo wanafata akiwa tayali kashakula vitu vyake

    • @ndevundavo7798
      @ndevundavo7798 Před 4 lety

      William Tarama ata apewe milioni ishilini yote atakula unga

  • @dianasamson9311
    @dianasamson9311 Před 4 lety +12

    Hata aropoke vipi.... atajijua mwenyewe.... tunasepa mbele... huyo Chizi tulishamsahau... hana jipya. Konde Boy to the World.🤣🤣🤣🤣🤣

  • @deusdeodavid5360
    @deusdeodavid5360 Před 4 lety +3

    Laki 3 hela ndogo hasa kwa msanii mkubwa kama benzi japo 5 basi

  • @raheemyusuph5694
    @raheemyusuph5694 Před 4 lety +5

    chid anazngua sanaa yan kiukwel daaah chid anazngua,..

  • @ifgodsayyes.nobodycansayno1796

    NILIKUWA NAMPENDA ILA ALICHEMSHA MDOMO AWACHIE WANA WAKE NA MAUNGA HAYAMUACHI MTU SAWA ...

    • @indiaboytz5731
      @indiaboytz5731 Před 4 lety

      Kweli asee uyu mshkaji ata mm amentoka kabisa nilikua fans wake mkubwa ila kafanya ungese fala uyu ana maana teja abebeki

    • @hassansalumu932
      @hassansalumu932 Před 4 lety

      We aunaakil

    • @nicehamis2448
      @nicehamis2448 Před 4 lety

      Hahahaha 😀

  • @sirijoseph655
    @sirijoseph655 Před 4 lety

    Chidy benz wew fara ungeji tambua mapema usinge kuwa hapa

  • @mariamfritsi9761
    @mariamfritsi9761 Před 4 lety +41

    Wakati mwingine ukimsaidia mwenzio nae ingalau apate chochote kitu,matokeo yake ni kulaumiwa na matusi,ni bora usimsaidie mtu ili uepushe nongwa.

    • @officialmrtop1018
      @officialmrtop1018 Před 4 lety

      We boya kweli laki tatu kwa msani kamsaidia nini? Chizi

    • @kamaakamaa1795
      @kamaakamaa1795 Před 4 lety +1

      Mariam Fritsi subscriber channel yangu apo

    • @seifdisail3007
      @seifdisail3007 Před 4 lety +1

      @@officialmrtop1018 mla unga unataka apewe ngapi?!

    • @UzalendoNaUtu
      @UzalendoNaUtu Před 4 lety +2

      @@officialmrtop1018 laki 3 kwa dakika 10 alizoperform ni ndogo? Hapo kalipa watu wangapi na yeye kaingiza ngapi?

    • @mxofmfk8406
      @mxofmfk8406 Před 4 lety +3

      @@officialmrtop1018 swali ni kama laiki 3 ni ndogo mbona kapanda jukwaani kuperform, mi nilijua angekataa kupanda jukwaani na ansingekuja kwenye hiyo show

  • @Favour-keys
    @Favour-keys Před 4 lety +1

    You got it men 👊

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 Před 4 lety +14

    Hakika hela ndo kila kitu laki tatu zinaenda kukusumbua na ulegendary wako!!

    • @abastansanga7256
      @abastansanga7256 Před 4 lety

      😂😂😂😂

    • @pgabbermusic5423
      @pgabbermusic5423 Před 4 lety +2

      Ukiwa huna akili huo ukubwa wako unakua haina mana amelipwa laki tatu ila hajalazimishwa so hapo utaona upeo wa mtu kama yuko sawa au la

  • @benjaminfataki6898
    @benjaminfataki6898 Před 4 lety +1

    si angataa kwanini kakubali kupiga show chid chiz mkorofi.

  • @arushamix6036
    @arushamix6036 Před 4 lety +10

    Hiyo laki tatu Chidi alitakiwa kupewa tu bila kufanya kazi yoyote, kumpandisha stejini mnatakiwa kumpa pesa zaidi ya hiyo.

  • @saidijuma9386
    @saidijuma9386 Před 4 lety +28

    Chidi ashakuwa hater ana chuki za wazi wzi km ktu hutk ni bora useme tu kulko chuki za kijinga hvy punguza chuki haisaidii

    • @mwajujomba7782
      @mwajujomba7782 Před 4 lety

      Huyu hampendi harmonize si aliwahi kumponda sasa ndo hiyo anafanya laki 3 nyingi sana kwa yeye na anaimba nini sauti lishakufa

  • @salimsalum7728
    @salimsalum7728 Před 4 lety +4

    Ijapokua chid benz ni mla unga bado thamani yake ipo pale pale, hakuna msanii bora wa hip-hop Tanzania hii kama yeye lazima apewe respect yake msimdharau kiiivyo

    • @rukyaabdilo7921
      @rukyaabdilo7921 Před 4 lety

      Umeonaa

    • @mwitajohaness8816
      @mwitajohaness8816 Před 4 lety

      Naona umewasahau binadamu wamjali ana nini??? Au apewe heshima ya nini shida ya wasanii Wa bongo wanajisahau sana

  • @yudadaniel4867
    @yudadaniel4867 Před 4 lety +12

    mijitu kama hii ndio maana inaachwaga tu yeye alikuwa anataka million 10?

    • @kamaakamaa1795
      @kamaakamaa1795 Před 4 lety

      Yuda Daniel subscriber channel yangu

    • @UzalendoNaUtu
      @UzalendoNaUtu Před 4 lety +1

      Alivoona kumejaa alidhan ye ndo kajaza hahah

    • @mariamfritsi9761
      @mariamfritsi9761 Před 4 lety

      Tatizo ndio hivyo unapomsaidia mwenzio ingalao apate kitu,matokeo ni kulaumiwa,bora usisaidie kuepusha lawama.

  • @user-qm6lq7ud9p
    @user-qm6lq7ud9p Před 6 měsíci +1

    LAKI 3 YA TANZANIA 😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁

  • @henryd.rcongo2287
    @henryd.rcongo2287 Před 4 lety +4

    Ili li bwana chid Benz pesa zote atauza dawa ya kulevya na iyo ma unga.konde boy fire

  • @shillaedmund
    @shillaedmund Před 4 lety +4

    Tishaa sanaaa Konde BoY🔥🔥

  • @inoskingreskape8476
    @inoskingreskape8476 Před 3 lety

    Harmonize jeshi king

  • @monalisalucas6078
    @monalisalucas6078 Před 4 lety +1

    Watu kama woteee

  • @osmanmussa6596
    @osmanmussa6596 Před 5 měsíci

    Namuona h baba hapo mlangoni amempisha njia konde boy mziki sio uadui

  • @saeedmassoud256
    @saeedmassoud256 Před 4 lety +3

    Play back c mzuka izo ni show mbovu

  • @sideboy3164
    @sideboy3164 Před 4 lety +1

    Madawa noma aiseee

  • @fadyshaby8320
    @fadyshaby8320 Před 4 lety

    Nadhan Kama pesa aliolipwa ni tofaut na makubaliano alitakiwa kufuata utaratibu kudai haki yake,.....alichofany n kudhalilisha tamasha na aliempa dili.......mbn kunawakati wasanii walikua wanafany shoo kwa kupewa nauli tuu....chidy atafany watu wapate hofu kumpa shoo zao........

  • @user-gu7kg3vt3w
    @user-gu7kg3vt3w Před 5 měsíci

    Ukiwa mteja sehemu yoyote lazima uzarauliwe

  • @fidemgina9979
    @fidemgina9979 Před 4 lety +4

    NAMUONA HECHIBB AMEKUWABODIGADI MLANGONI APO

    • @ndevundavo7798
      @ndevundavo7798 Před 4 lety +1

      Fide mgina mshikaji wake sana Kondeboy sasa uyo mlaaa ungaa kazingua

  • @susanmwalili4365
    @susanmwalili4365 Před 4 lety

    My son loves You KONDE boy

  • @johnsonbhusagwe6945
    @johnsonbhusagwe6945 Před 4 lety +21

    Chuma nae anabebwa habebeki yaan anazingua kinyama

  • @brightonchedego8100
    @brightonchedego8100 Před 4 lety +1

    Mbona hata na yy hajatumia gharama ya kutafuta hata wa kuwalipa sasa laki3 inakuwaje ndogo wakat kuperform kwenyewe hakufk hata dk10 pia alikuwa peke yake,akiwa anapotezewa anaanza kulalamika kuwa hakumbukwi,,usipokuwa makini Chidy kila msanii mkubwa atakuogopa kukuita ksha urud kwenye kuperform kwenye mabaa na kupewa elfu20 kama miaka kadhaa iliyopta 😃😃😃

  • @mcdondosha4151
    @mcdondosha4151 Před 4 lety +2

    Kaka mkubwa chid nae kwani hakujua au alialikwa kama underground😂😂😂😂

    • @saidally4106
      @saidally4106 Před 4 lety

      Utoto mwing child benz

    • @mcdondosha4151
      @mcdondosha4151 Před 4 lety

      @@saidally4106 amesahau kama ni mfano kwa wadogo zake sasa kama anafanya hivyo haileti picha nzuri

  • @geofreyniyonkuru5724
    @geofreyniyonkuru5724 Před 4 lety

    😱😱😲😲🥴🥴😸😸😸😂😂😂chid haki nushabiki wangu na wewe kwisha umezingua laki tatu sikidogo

  • @benhorta5121
    @benhorta5121 Před 4 lety +1

    Kweli leo ndio nimeshtuka chid bez kumbe anaakili za kitoto kbs.. Kwan hata angefanya bure kwani amelazimishwa kuja pia sisi inatuhusu nini kama mashabiki, Dogo jinga kbs shoo yenywe ya bure akuna kingilio chochote sasa laki 3 kwa dakika 15 mbona pesa nyingi sana..
    Oya temu mm shabiki yako since before 5000 subscriber ..

  • @user-xp5pb5qh9o
    @user-xp5pb5qh9o Před 5 měsíci +1

    Jamani uyo si h baba alie mtusi konde boy

  • @costantinejoseph4907
    @costantinejoseph4907 Před 4 lety +17

    anazngua kamma ndogo kwa nini alipanda jukwaani? sio ustaarabu

  • @stevewanga957
    @stevewanga957 Před 4 lety +1

    Chidi nae Sai anazeeka vibaya.....

  • @danielmwangonda8380
    @danielmwangonda8380 Před 4 lety +5

    Kuwa makin na kazi mbona hakuna alicho fanya chid kwa konde

  • @mptv2549
    @mptv2549 Před 4 lety

    Good job harmo, keep up with the good job. And can someone tell ray to start thinking of his next step na achane ni baba yao harmo kabisa

  • @kingrasdee445
    @kingrasdee445 Před 4 lety +2

    Flag sana kw Konde boy, sem2 chid madawa yalmfanya kaarb na kutaka kumshusha!!

  • @ismailmajala2802
    @ismailmajala2802 Před 4 lety +3

    Kichwa cha habari cha kutafutia viewers 😆😆😆🤦🏽‍♂️

  • @joshuajoshua7092
    @joshuajoshua7092 Před 4 lety +4

    Mtt wasimba huyu anawanyosha saf chid alitaka nn

  • @faidamakoye7735
    @faidamakoye7735 Před 4 lety

    H nakupenda kama nini yan tembo OG yani

  • @mrishodaudi2243
    @mrishodaudi2243 Před 4 lety

    Nanyie mnalichukuaga lanini hilo limazalilisha buludani muwe mnaliacha limtu mnalisaidia ila halieleweki lanini

  • @rabaonetv
    @rabaonetv Před 4 lety +1

    Jamani baada ya kumwona chuma
    Basi twendeni tukajifunze uzalishaji wa bidhaa mbali mbali za viwandani huku kwenye channel yetu RABAONE TV
    Mafunzo ni BURE KABISAAA
    Tunafundisha uzalishaji wa bidhaa mbali mbali kama vile sabuni aina zote, lotion, cream, mifuko na zinginezo nyingi.

  • @umizandonga8867
    @umizandonga8867 Před 4 lety +1

    Huu ulimwengu unakwenda kuisha Sasa, watu wa hovyo hovyo wanaopotosha jamii ndio wamekuwa waheshimiwa, viongozi wa dini ambao ndio warithi wa mitume wanauwawa na kusekwa magerezani kinachofata ni nn unadhani?

  • @muhambeKalubala
    @muhambeKalubala Před 5 měsíci

    ww ni jechi tuh hakuna mwengine kabisa Kazan naile kipaji man

  • @browntiger4849
    @browntiger4849 Před 4 lety +4

    Chidi kashachizika

  • @6VEVONEWS
    @6VEVONEWS Před 7 měsíci

    Chid benzi ni chizi tuu huyo

  • @AllyMshuza
    @AllyMshuza Před 4 lety +11

    KESHO KUTWA UNALALAMIKA HUPEWI DEALS DISCIPLINE IMESHUKA CHIDY

    • @ndevundavo7798
      @ndevundavo7798 Před 4 lety +1

      Ally Mshuza ndomana unga umeharamishwa mkuu

  • @cassianowaeast1108
    @cassianowaeast1108 Před 4 lety +1

    Hivi unavaaje jacket kwenye joto mmakonde mwenzangu unaniangusha 😂😂 KONDE MTOTO

  • @dancerschanel8682
    @dancerschanel8682 Před 3 lety

    tisha mbaya mwanang konde gang😂

  • @mwasoprince3459
    @mwasoprince3459 Před 4 lety +2

    Mabaunsa nafikir wako vzr

  • @emmyyahya8358
    @emmyyahya8358 Před 4 lety +11

    Ana tafuta sifa mie huwana mkubali Sema kazingua uyu kwel bangi ndo mana dudu Ana mchamba teja ni teja tu kaniboa sana

  • @dastaniguni5599
    @dastaniguni5599 Před 4 lety

    Huyo maza na mjezi wa utopolo tumbo km Molinga

  • @cadeyvassir1132
    @cadeyvassir1132 Před 4 lety +1

    Hbaba ni bodyguard wa harmonize lol🙆‍♂️🤣

  • @tekonmwangi4232
    @tekonmwangi4232 Před 4 lety

    Me I love you harmonice

  • @mussakiziyzi408
    @mussakiziyzi408 Před 4 lety +2

    Konde yuko juu balala mijitu yote hio inaipa milo mitatu 3 af miaka sasa

  • @user-es5po1gn1d
    @user-es5po1gn1d Před 5 měsíci

    Harmonize hatar

  • @amourabbas2306
    @amourabbas2306 Před 4 lety +6

    Laki tatu izo Mie nazi subiri mwezi mzima aisee yeye amezikamata ndani ya siku moja. Maisha hayawezi kuwa sawa kwa kila mtu

    • @johnsilima6789
      @johnsilima6789 Před 4 lety +2

      Omary ndio Mimi wew hiyo ni show bro na ndo kaz yake wenzie wanaparfom had kwa million 100 kwa show moja

    • @officialmrtop1018
      @officialmrtop1018 Před 4 lety

      @@johnsilima6789 kabisa kwa msani kabisa kulipwa laki tatu ni maajabu sana

    • @s.y.b..0039
      @s.y.b..0039 Před 4 lety +2

      Wasanii wa bongo wamekata tamaa wajikuta ma legend wakat mafanikio kma chd yuko poa ila kashaa jkatia tamaa kwajili ya mafanikio ya wenzake na huo ni wivu mchekin na dudubaya ndo hao ma legend wanao tukana wasanii wadogo koz hawana mashair ya kuimba kizazi kipya
      Kama unapenda mzki sikiliza miziki

  • @hameesmohamed9236
    @hameesmohamed9236 Před 4 lety +9

    Bange bwana 😂😂😂😂😂😂

  • @ameeraaljassim4138
    @ameeraaljassim4138 Před 4 lety +3

    Kwani alilazimishwa iyo kitu alikua akitumia bado inamtatiza awepole

  • @user-kv6ik2sr9x
    @user-kv6ik2sr9x Před 7 měsíci

    fire❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @thabitisimba1143
    @thabitisimba1143 Před 4 lety

    mshahara wa mtumishi wa serikal wa mwezi ye anaona ndogo msenge nini hata hivo konde anajitahi masaa tu laki tatu duuu

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr Před 4 lety +1

    Kumbe wenyewe hamjui kilichomkera, mbona head lines mnasema kulipwa laki tatu

  • @DONALDYOWAS-rr7tz
    @DONALDYOWAS-rr7tz Před 3 dny

    Jid benzi amesha kua chizichiz bangi nying

  • @mnyamwezitv382
    @mnyamwezitv382 Před 4 lety +1

    CHID BENZ KUBWA JINGA

  • @johnsilima6789
    @johnsilima6789 Před 4 lety +8

    Hahahaaaaaa nimecheka eti na nmepiga hii show kwa laki 3 tu hahah jamn sio saw bwan

    • @jumayusuph8471
      @jumayusuph8471 Před 4 lety

      😂😂😂😂😂😂😂😂 daaaah jamaa anazingua aiseee

    • @samiramadenge953
      @samiramadenge953 Před 4 lety +1

      @@jumayusuph8471 angepewa 50 tu inatosha kwa unga

  • @PIDOCHUGA
    @PIDOCHUGA Před 2 měsíci

    Hi

  • @asiamwangxx3413
    @asiamwangxx3413 Před 4 lety +1

    Love you konde boy

  • @tumabhay8576
    @tumabhay8576 Před 4 lety +2

    Watu wamepinda vby.

  • @ndevundavo7798
    @ndevundavo7798 Před 4 lety +1

    Unga haujawahi muacha mtu salama

  • @alimairakoze3784
    @alimairakoze3784 Před 4 lety +2

    Jeshii

  • @khalifahmtata8659
    @khalifahmtata8659 Před 4 lety

    Kweli shetani ana nguvu sana haya yote ni maasia wallaah c biblia wala msaafu unakubaliana na hii kitu
    Mola tujaalie mwisho mwema

  • @user-ph2sd5jp6z
    @user-ph2sd5jp6z Před 7 měsíci

    Chid aache bang

  • @juliasitemba4410
    @juliasitemba4410 Před 4 lety +3

    Chaka yes

  • @nivogee9830
    @nivogee9830 Před 4 lety +4

    Chid benzi analipwa laki3 sasa underground atalipwa ngap mamaee

    • @40kstore
      @40kstore Před 4 lety +1

      laki kwa chidi ni mkwanja mrefu sana,Kiukweli kabisa chidi hana thaman ya laki 3,hiyo show hakumaliza hata dakika 60 kulipwa laki 3 ni fair kabisa yaani,hali ngumu saa hivi...

  • @hamisibaharia-bl9og
    @hamisibaharia-bl9og Před rokem

    Jeshi mwamba mondi tupu anaelewa