Exclusive: Profesa Jay Azungumzia Ugonjwa wa Figo Ulivyotaka Kumuondoa | Kutobolewa Koo

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 11. 2023
  • Legend wa Bongoflava Profesa Jay akizungumza na Watanzania kwa mara ya kwanza tangu atoke hospitali kupitia Power Breakfast na Clouds 360

Komentáře • 212

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 Před 7 měsíci +16

    Ugonjwa wa figo ni hatari mnoo .. Allah atuepushe na maradhi tusiyoyweza.. Allah atuepushe na maradhi ya kuleta ufukara.. Allah atuepushe na maradhi yanayofanya watu watususe.. Allah atuepushe na maradhi yanayo fanya tuwe mizigo kwa binadamu wenzetu.. Allah atuepushe na maradhi yanayoumiza.. ameen.

  • @jaliwakope1949
    @jaliwakope1949 Před 7 měsíci +22

    Mungu fundi stadi sana. Hebu fikiria namna mifumo mbalimbali ya mwili inavyofanya kazi yenyewe tu pasipo usaidizi wowote. Fikiria mfumo wa utoaji taka mwilini. Kila kitu hufanyika chennyewe tu na ikitokea hitilafu katika figo ndigo hizo gharama tunaambiwa hapa zinatumika kuondoa hizo sumu au taka mwilini. Sifa na heshima ziende kwake tu.

  • @hameesnassoro7158
    @hameesnassoro7158 Před 7 měsíci +20

    Hakuna utajir mkubwa kwa mwanadamu kama afya,Allah atujaalie afya njema kw sote na atukinge n mitihani na atuweke ktk rehma zke.#Ameen

  • @michaeljacobo269
    @michaeljacobo269 Před 6 měsíci +1

    Bro, pole sana...ila ushauri wa bure kutoka kwangu...Okoka Mungu anakupenda sana....pia kila unapoanza kushukuru anza na Mungu kwanza...Mungu ndo ameinua watu wa kukusaidia mwambie Ahsante...zaidi Ya yote Acha mziki mtumikie Mungu...

  • @ronaldmwashumbe3071
    @ronaldmwashumbe3071 Před 7 měsíci +2

    Mungu ni mwema,pole sana kaka Joseph haule aka profesa jay.pia kongole kwa kuanzisha profesa jay foundation hakina itagusa maisha ya watu wengi.mob love from Kenya 🇰🇪🇰🇪

  • @jemimabakari
    @jemimabakari Před 7 měsíci +6

    Pole sana,tujitahidi sana kunywa maji ya kutosha na mazoezi,mengine ni mipango ya Allah

  • @catherinekihengu2420
    @catherinekihengu2420 Před 7 měsíci +5

    Duh Mungu ni mwema pole Sana prof J

  • @KaizerNyeho
    @KaizerNyeho Před 7 měsíci +5

    Mungu Tunusulu Sisi Wa Hali ya chin
    kwahalihii tutakufa tunajiona
    J foundation ifanikiwe Kwa kiasi kikubwa Mwenyezi Mungu alikupitisha katika jaribu Hilo ili uje kua jibu Musada Kwa wanainchi Wa Hali ya chin.
    J foundation mkombozi Wa figo 💪💪💪

  • @grapevinetv800
    @grapevinetv800 Před 7 měsíci +5

    Kwa kweli Mungu yupo.
    Sikujua kimiya chake Kisha kaugua.
    Nimezienzi nyimbo zake sana .. tokw utotoni.
    Get well King 🤴

  • @bish_daddiyao
    @bish_daddiyao Před 7 měsíci +2

    Mungu Wangu Nakwamini sana😢❤You Jay 🤍🌹🤲🏾Sikh zote Ambia Mungu Asante (Alhamdullilah)

  • @shedracelia1267
    @shedracelia1267 Před 7 měsíci +2

    Mara nyingi huwa mungu anagusaga kile kitu ambacho kitakuuma km alivyo fanya kwa PM ila 4the fest time nimeona mungu amerudisha kipenzi cha watu , still strong and one of the best song written

  • @daniel.shao.9028
    @daniel.shao.9028 Před 7 měsíci +5

    Glory to God!
    Pole sana Joseph Haule,
    Hakika Mwenyezi Mungu ana makusudi na wewe Prof.Jay,utaishi na kuyasimulia makuu ya Mwenyezi Mungu.

  • @laurentmupira1280
    @laurentmupira1280 Před 7 měsíci +1

    Mungu ni mkubwa. Prof.Jay, jamani!!! Bwana asifiwe!!! Kumeandikwa kwamba si rahisi kubaki na nguvu katika uso wa majaribu. Lakini kinachoweza kututia nguvu sikuzote ni ahadi za Mungu. Mwenyezi Mungu atakulinda. Mungu hutimiza ahadi zake. Hasemi uwongo na hajatubariki kwa hasira au maisha ya taabu. Ikiwa tayari umepokea ahadi kutoka Kwake, uwepo wa magonjwa karibu nawe hauwezi kufuta Neno Lake. Usiogope, kichwa chako hakijafanywa kubeba wasiwasi na usionekane kuwa na wasiwasi kwa sababu Bwana yu pamoja nawe. Amina!!! Amina!!!

  • @francomwacha2262
    @francomwacha2262 Před 7 měsíci +1

    ✋️ 🤚 clauds.. Hawa watu ni next level.. wanajua..kaka profesa Jay mungu yupo na ww ubarikiwe kaka uzidi kuimarika amen..

  • @wilbroadgrarcian1259
    @wilbroadgrarcian1259 Před 7 měsíci +4

    Mungu ni Mwema kila wakati pole sana profesa

  • @eliasmlundwa3880
    @eliasmlundwa3880 Před 7 měsíci +1

    Mungu ni mwema sana, pole sana Profesa Jay, 462, Foundation hakika utagusa wengi na kusaidia wengi sana

  • @user-vg4hv7cp4u
    @user-vg4hv7cp4u Před 7 měsíci +4

    Dah kweli mungu ni mwema sana

  • @DicksonAbdallah-mf9cx
    @DicksonAbdallah-mf9cx Před 7 měsíci +22

    Pole sana kaka! Ila Mungu amejifunua kwako, acha muziki mtumikie Mungu alokulejesha tena duniani. Ushuhuda wako utaokowa watu wengi dhidi uweza wa Mungu. Nenda kanisani ukamuone mtumishi wa Mungu utasaidika ipasavyo (Yohana 3 : 16).

    • @bakarbakarali-cw3gc
      @bakarbakarali-cw3gc Před 7 měsíci +2

      Mama jitande

    • @millvillage857
      @millvillage857 Před 7 měsíci +1

      Sasa ndugu unahisia music ndo satan au ??
      Au fanya uweke vizur sentens ako

    • @bainolatino3412
      @bainolatino3412 Před 7 měsíci

      ​@@millvillage857hujajua nini anamaanisha mulize kwanza

    • @nicholauslwena3189
      @nicholauslwena3189 Před 7 měsíci

      Aache muziki kwani muziki unashida gani...mungu amempa kipaji cha kufanya mziki wewe unasema aache......

    • @bakarbakarali-cw3gc
      @bakarbakarali-cw3gc Před 7 měsíci

      Rudi kwa.mola wako kaka aliekuumba yesu hajakuumba yy.mwenyewe.kaubwa

  • @westcijosh
    @westcijosh Před 7 měsíci +7

    Ila sema mwili wa binadamu ni mashine moja hatari sana ,Dah atukuzwe Mungu asee

  • @user-bk4ot2gf2d
    @user-bk4ot2gf2d Před 7 měsíci +1

    Pole sana baba tunafurah kukuona upo vizur Mungu ni mwema amekupigania

  • @nasmamoza6831
    @nasmamoza6831 Před 7 měsíci +1

    Hakika kabla hujafa hujaumbika.pole sana legend M/Mungu akupe nafuu na kupona kabisa.

  • @fransiskaazizi9329
    @fransiskaazizi9329 Před 7 měsíci +1

    Duh pole sana kaka aise inauma sana yaani nimempoteza mjomba angu hiyo kitu ya kurudia rudia vipimo kila doctor inachelewesha mtu kuanza matibabu inauma sana ukifikilia😢

  • @robertmhilu132
    @robertmhilu132 Před 7 měsíci +1

    Pole sana Prof, pia una maono makubwa sana hayo ya mifumo kusomana na hapo ndio tutaona faida ya mifumo, vile vile hapo hapo tuzishaur taasisi zetu za utafiti zijaribu kuanzisha vitengo kujulisha wananchi Nini kinachosababisha matatizo haya ili watu wachukue tahadhari wakieleweshwa

  • @enoszaka-tx8qw
    @enoszaka-tx8qw Před 7 měsíci +3

    mungu ni mwema jana na leo na hata milele 🙏🙏

  • @user-tk3kj4wm1b
    @user-tk3kj4wm1b Před 6 měsíci

    Mungu akujalie upone Kaka watanzania tunakupenda Sana prof...😍😍😍

  • @emmanuelademba7919
    @emmanuelademba7919 Před 7 měsíci +1

    Poole sana professor J,Mungu akupe ulinzi zaidi, PIA NILISIKIA KUWA WAJINA WAKO JOSE CHAMILIONI aliugua pia,HIVYO ninashauri ukipona umtafute mshikiane mtoe kibao cha kumshukuru Mungu kwa pamoja kama ulivyotoa hicho,ndio USHAURI WANGU.

    • @bashobabaraka706
      @bashobabaraka706 Před 7 měsíci

      Pole Sana broo kwa changamoto ulizopitishwa, hayo ni Mapito tuu.

  • @esaladennisandayi5409
    @esaladennisandayi5409 Před 7 měsíci +1

    Very sad song prof. Each mungu aitwe mungu. Twakuombea full recovery.

  • @bakarimmbaga2344
    @bakarimmbaga2344 Před 6 měsíci

    Pole sana prop. JAY: Bwana yu pamoja nawe tunakutakia hali njema kiafya

  • @levinakiluga3023
    @levinakiluga3023 Před 7 měsíci +1

    Masikini, yesu akutetee

  • @Burner_Acc
    @Burner_Acc Před 7 měsíci +1

    Prof Jay, Mungu akusimamie. Umetubariki sana

  • @mwanjaarashidi7402
    @mwanjaarashidi7402 Před 7 měsíci +3

    Mwenyezi mungu upo kila sehem pole sana

  • @KubraChande-en7ni
    @KubraChande-en7ni Před 5 měsíci

    Pole sana kaka angu mungu yupo na wewe na usiache kumuomba mungu

  • @sharontulliy9332
    @sharontulliy9332 Před 7 měsíci +1

    Pole sana sana mdogo wangu. Kweli mungu yupo. Utazidi kuimalika.

  • @mreagletz
    @mreagletz Před 7 měsíci +1

    Nimetokwa na machozi wakati mdogo wake anaongea 😢, nachojua profesa jay ni moja wasanii wanapendwa sana na watanzania maombi yao Mungu aliyasikia , Mola anatenda kila wakati

  • @user-bw5gf8kc8l
    @user-bw5gf8kc8l Před 7 měsíci +2

    We are so grateful and ready to work with you precisely

  • @rukiaahmed1291
    @rukiaahmed1291 Před 7 měsíci +1

    Jamani kwani wizara ya afya ikitaka inaweza lakini hawaamii kufanya ivyo,
    Imeamua kuwekeza kwenye cosmetic surgery badala ya kuwekeza kwenye surgery muhimu za kuokoa maisha ya watu,
    Mtazamo wangu ni kuwa serekali ingewekeza kwanza kwenye kuokoa afya, vipimo imara vyenye kuwapa wagonjwa majibu sahihi

  • @user-ow1hw9xz4r
    @user-ow1hw9xz4r Před 7 měsíci +1

    Hakika mungu nimwema Sanaa, mungu azidi kukupigania🙏

  • @hellenmunguti6730
    @hellenmunguti6730 Před 24 dny

    Ukiamka ambia Mungu Asante

  • @chumayaoinvestment1647
    @chumayaoinvestment1647 Před 7 měsíci +2

    Mungu ni Mwema Sana

  • @bagayaespoir7361
    @bagayaespoir7361 Před 7 měsíci +1

    Au nipeni kitengo 20% chakuongeleya Afya ya wanaichi nakutengeneza suluwisho kwa kasi asilimiya kubwa Asanteni. Naishi Sweden 🇸🇪 ninauchungu na ndgu zsngu wa damu

  • @nelykaaya6503
    @nelykaaya6503 Před 7 měsíci

    Mungu ni mwema sana kaka Pole sana.mungu akutuze sana kaka

  • @njambikiburio7836
    @njambikiburio7836 Před 6 měsíci

    You will get healed Prof.Our God is still in the business of healing people.

  • @bagayaespoir7361
    @bagayaespoir7361 Před 7 měsíci

    Am very proud of this conversation iyo ni kitu bado Africans tuna fanya mistakes kubwa that's why we have millions of ☠ every single year. Know that the world is running in high speed now., I request for our government Minister of health please think about this issue. Afya tafadhali waigeni ndugu zetu wa damu wazungu namna wanavyo itengezea mazingira health

  • @jaffarmusafiri5729
    @jaffarmusafiri5729 Před 7 měsíci

    Pole sana Pr. JAY. You will be fine

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 Před 7 měsíci +4

    Pole sana profesa J ,ili tatizo la Figo lilimuondoa mwamba wangu naumia sana 😢😢

  • @jameswachira6380
    @jameswachira6380 Před 7 měsíci

    Sipendi haya kuona pro. J katika hii hali Mungu akupe uhai zaidi na pole Sana,Kwetu hapa Kenya kuoshwa figo mara moja kwa kawaida ni ksh.9500 si rahisi Pia.

  • @SmilingDirtBike-ub4bz
    @SmilingDirtBike-ub4bz Před 19 dny

    Mshukuru mungu professor

  • @GodfreyMwambwalo-ev9nh
    @GodfreyMwambwalo-ev9nh Před 7 měsíci

    Pole sana mheshimiwa Mwenyezi Mungu Akujalie afya njema

  • @beatricembunda6168
    @beatricembunda6168 Před 6 měsíci

    Pole sana Joseph Haule Mungu Mkubwa,utakaa vzr.

  • @user-tk3kj4wm1b
    @user-tk3kj4wm1b Před 6 měsíci

    Fett vip kuhusu ile nyimbo ya taifa saiv haisikiki kinatatizo au maan zaman ilikua muhim ...
    Naomba irudishwe tena🙏🙏🙏

  • @saidingailenairoshi3194
    @saidingailenairoshi3194 Před 7 měsíci +1

    Quick recovery professor Jay

  • @fredrickmakoba628
    @fredrickmakoba628 Před 7 měsíci +3

    Mungu ni mwema Kila wakati

  • @eliadaniel216
    @eliadaniel216 Před 7 měsíci

    Asante Mungu kwa uponyaji huu

  • @ramadhanisalum3898
    @ramadhanisalum3898 Před 7 měsíci +1

    ila mwamba bado anaumwa uyu daaa🙏🙏🙏🙏

  • @leoniammasi6634
    @leoniammasi6634 Před 7 měsíci

    Pole sana kaka, Mungu akuimarishe zaidi na zaidi

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 Před 7 měsíci +2

    sema ww kipanya rekebisha code yako ya uvaaji hivi ungeenda kumuhoji waziri au mkuu yyte ungeenda ivo?????

  • @user-uv5rf5zn3v
    @user-uv5rf5zn3v Před 7 měsíci

    Pole Sana kamanda wetu mungu nimwema atakujalia tu

  • @ramadhanmaulid4088
    @ramadhanmaulid4088 Před 7 měsíci +1

    Hali yako ya afya kuwa njema Ni somo tosha brother, ushauri wangu acha muziki. Kama sio muislam fanya uwe muislam Allah Ni mtukufu na ndiye mwenye haki ya kuabudiwa, atakusamehe muziki Ni njia ya upotevu.

    • @noelyhaule955
      @noelyhaule955 Před 7 měsíci

      Uislam unakuja vp sasa

    • @dianarosederick7154
      @dianarosederick7154 Před 7 měsíci

      Kwani hawezi kumuabudu Mungu mpaka awe muislam au mpaka apo alipofikia kaponywa na usilam embu acha udini wako buana Mungu ni WA wote sio muislam Wala mkristo mshauri aibiri injiri sio unaniambia abadili dini kwanza dini aimponyi mtu kinachomponya ni Imani yake sawa

    • @dianarosederick7154
      @dianarosederick7154 Před 7 měsíci

      ​@@noelyhaule955si ndo apo analetea udini wake apa profesa ni Romani na kaponywa na Imani yake Wala sio dini Yale Sasa huyu anaemuambia awe muislam sta sijamuelewa ata kidogo

  • @anafinnunduma3293
    @anafinnunduma3293 Před 7 měsíci

    Mungu ni mwema sana, azidi kukutunza mja wake.

  • @barakaabel482
    @barakaabel482 Před 7 měsíci

    Pole sana Prof.

  • @shabanimmbaga1409
    @shabanimmbaga1409 Před 7 měsíci

    Pole sana pr.jay

  • @m.m.tvmbebamaono
    @m.m.tvmbebamaono Před 7 měsíci +2

    Yesu anakuita ukatumike kazin kwake karibu .but Mungu ni mkuu sana

  • @user-ts4ks7xq3v
    @user-ts4ks7xq3v Před 6 měsíci

    Pole sana profesa

  • @sadikijani4307
    @sadikijani4307 Před 7 měsíci

    Mungu amekuponya prof.

  • @mwanaally4972
    @mwanaally4972 Před 7 měsíci

    Mung ashukuliwe xna yaan amekupigania xaan bro m/mung azid kukup afya njema🙏🙏🙏🙏

  • @AllyJuma-zp9nw
    @AllyJuma-zp9nw Před 7 měsíci

    Pole sana kaka..achana namusic wakidunia mludyeaie mungu

  • @RaphaeljMdimi
    @RaphaeljMdimi Před 6 měsíci

    Glory to God❤❤❤❤

  • @SululuZungu-kx8ws
    @SululuZungu-kx8ws Před 7 měsíci

    Daa pole sana kaka angu Allah akuvuxhe hu mtihani

  • @user-nz3rd2zn6g
    @user-nz3rd2zn6g Před 6 měsíci

    alla akufanyie wepesi inshaalla

  • @selestinsongola2787
    @selestinsongola2787 Před 7 měsíci

    Pole Sana kaka j mungu atakuponya utapona mungu nikila kitu

  • @raiyaomary1988
    @raiyaomary1988 Před 6 měsíci

    Mungu.akuponye tunakuombea

  • @user-tk3kj4wm1b
    @user-tk3kj4wm1b Před 6 měsíci

    Pole sana

  • @aloyceisdory7855
    @aloyceisdory7855 Před 7 měsíci +2

    Sema hawa wakina kipanya hawajui kufanya interview kabisa hawako organised

  • @barackawithokiswaga2686
    @barackawithokiswaga2686 Před 7 měsíci

    Kwa kweli Mungu hajawahi mtupa mja wake,

  • @MashakaShobo-cs5wj
    @MashakaShobo-cs5wj Před 7 měsíci

    Pole sana bro mimi ni yule jamaa nilikubeba kwenye gari kutoka kahama mjn submaline hotel kwenda kagongwa

  • @saidshukurumalale123
    @saidshukurumalale123 Před 7 měsíci

    Mungu amsaidie aendelee kuimarika

  • @kachabisnea8815
    @kachabisnea8815 Před 7 měsíci +1

    Da aisee jamaa bado kabisa ajakaa sawa kweli maisha ni mzunguko

  • @kinglusa8284
    @kinglusa8284 Před 7 měsíci

    Mungu mwema xana 🙏

  • @user-qt5vn1fs8j
    @user-qt5vn1fs8j Před 7 měsíci

    God bless you kamanda

  • @IddyKawaya
    @IddyKawaya Před 7 měsíci

    Allah akupee Afya mzee urudii ktk halikatii zko

  • @levinakiluga3023
    @levinakiluga3023 Před 7 měsíci

    Masikini, yesu akutetee na kuzidi kukulinda

  • @Grace-wl5be
    @Grace-wl5be Před 7 měsíci

    Polesana mungu nimwaminifu

  • @witnessmaliki103
    @witnessmaliki103 Před 7 měsíci

    Pole Sana kaka🙏

  • @user-kj5zy7tj4f
    @user-kj5zy7tj4f Před 7 měsíci

    Mungu ni mweeza wa yote,Ila wasio na hela wenye matatizo haya ndo wanapoteza maisha

  • @shabanimchuka4224
    @shabanimchuka4224 Před 7 měsíci

    Pole sana mkongwe wa music

  • @wanchara184
    @wanchara184 Před 7 měsíci

    Pole kaka daa

  • @GodloveKibona
    @GodloveKibona Před 7 měsíci

    Pole sana brother

  • @robertmuiruri550
    @robertmuiruri550 Před 6 měsíci

    Quick recovery

  • @dorisgao7403
    @dorisgao7403 Před 7 měsíci +1

    Pole sana kaka Hakika Mungu amekutendea mengi makuu. Hatuna lakusema zaidi ya shukrani kwa Mungu wetu

    • @beatriceurio8130
      @beatriceurio8130 Před 7 měsíci

      Kaka hapo kawe Kuna Mtumishi Mwamposa chukua hatua ya Imani kaka uombewe na watu wakubwa wa Mungu

  • @RichardCharo-zx3sy
    @RichardCharo-zx3sy Před 7 měsíci

    Pole kamanda

  • @abibumbota5160
    @abibumbota5160 Před 7 měsíci

    Du pole sana ndugu yangu Mungu ni mkubwa sana

  • @fadhilindunguru7946
    @fadhilindunguru7946 Před 7 měsíci

    Ulijisikia vibaya ukiwa kwetu Mbinga. Pole na Mungu Mkubwa Sana

  • @WINNER_BITE
    @WINNER_BITE Před 7 měsíci

    Pole Sana bro

  • @maribaisack2097
    @maribaisack2097 Před 7 měsíci

    Pole sana kaka

  • @user-oz8zf7in5r
    @user-oz8zf7in5r Před 7 měsíci +1

    Prof kama bado ayupo saw😢 ila mbaka kufka apa tunamshukuru Mungu azidi kukupa afya njema 🙏

  • @user-jb5tq5pv1k
    @user-jb5tq5pv1k Před 7 měsíci

    wagonjwa tupo wengi na uwezo hatuna, mtu una ishi ukingojea kupoteza maisha, hili tatizo nitatizo baya Sana tuna pata shida sana

  • @user-ul4ep6me1k
    @user-ul4ep6me1k Před 7 měsíci

    mungu akuponye umepitia majaribu makubwa sana

  • @festokivuyo7121
    @festokivuyo7121 Před 7 měsíci

    Pole sana kaka mkubwa

  • @grapevinetv800
    @grapevinetv800 Před 7 měsíci

    🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 ❤❤❤

  • @user-ok7sk7fk9b
    @user-ok7sk7fk9b Před 7 měsíci

    Pole ndugu sauti tu inasikika ulikua unaumwa kweli