Ugonjwa wa figo ni hatari mnoo .. Allah atuepushe na maradhi tusiyoyweza.. Allah atuepushe na maradhi ya kuleta ufukara.. Allah atuepushe na maradhi yanayofanya watu watususe.. Allah atuepushe na maradhi yanayo fanya tuwe mizigo kwa binadamu wenzetu.. Allah atuepushe na maradhi yanayoumiza.. ameen.
Mungu fundi stadi sana. Hebu fikiria namna mifumo mbalimbali ya mwili inavyofanya kazi yenyewe tu pasipo usaidizi wowote. Fikiria mfumo wa utoaji taka mwilini. Kila kitu hufanyika chennyewe tu na ikitokea hitilafu katika figo ndigo hizo gharama tunaambiwa hapa zinatumika kuondoa hizo sumu au taka mwilini. Sifa na heshima ziende kwake tu.
Bro, pole sana...ila ushauri wa bure kutoka kwangu...Okoka Mungu anakupenda sana....pia kila unapoanza kushukuru anza na Mungu kwanza...Mungu ndo ameinua watu wa kukusaidia mwambie Ahsante...zaidi Ya yote Acha mziki mtumikie Mungu...
Mungu ni mwema,pole sana kaka Joseph haule aka profesa jay.pia kongole kwa kuanzisha profesa jay foundation hakina itagusa maisha ya watu wengi.mob love from Kenya 🇰🇪🇰🇪
Mungu Tunusulu Sisi Wa Hali ya chin kwahalihii tutakufa tunajiona J foundation ifanikiwe Kwa kiasi kikubwa Mwenyezi Mungu alikupitisha katika jaribu Hilo ili uje kua jibu Musada Kwa wanainchi Wa Hali ya chin. J foundation mkombozi Wa figo 💪💪💪
Mara nyingi huwa mungu anagusaga kile kitu ambacho kitakuuma km alivyo fanya kwa PM ila 4the fest time nimeona mungu amerudisha kipenzi cha watu , still strong and one of the best song written
Mungu ni mkubwa. Prof.Jay, jamani!!! Bwana asifiwe!!! Kumeandikwa kwamba si rahisi kubaki na nguvu katika uso wa majaribu. Lakini kinachoweza kututia nguvu sikuzote ni ahadi za Mungu. Mwenyezi Mungu atakulinda. Mungu hutimiza ahadi zake. Hasemi uwongo na hajatubariki kwa hasira au maisha ya taabu. Ikiwa tayari umepokea ahadi kutoka Kwake, uwepo wa magonjwa karibu nawe hauwezi kufuta Neno Lake. Usiogope, kichwa chako hakijafanywa kubeba wasiwasi na usionekane kuwa na wasiwasi kwa sababu Bwana yu pamoja nawe. Amina!!! Amina!!!
Pole sana kaka! Ila Mungu amejifunua kwako, acha muziki mtumikie Mungu alokulejesha tena duniani. Ushuhuda wako utaokowa watu wengi dhidi uweza wa Mungu. Nenda kanisani ukamuone mtumishi wa Mungu utasaidika ipasavyo (Yohana 3 : 16).
Duh pole sana kaka aise inauma sana yaani nimempoteza mjomba angu hiyo kitu ya kurudia rudia vipimo kila doctor inachelewesha mtu kuanza matibabu inauma sana ukifikilia😢
Pole sana Prof, pia una maono makubwa sana hayo ya mifumo kusomana na hapo ndio tutaona faida ya mifumo, vile vile hapo hapo tuzishaur taasisi zetu za utafiti zijaribu kuanzisha vitengo kujulisha wananchi Nini kinachosababisha matatizo haya ili watu wachukue tahadhari wakieleweshwa
Poole sana professor J,Mungu akupe ulinzi zaidi, PIA NILISIKIA KUWA WAJINA WAKO JOSE CHAMILIONI aliugua pia,HIVYO ninashauri ukipona umtafute mshikiane mtoe kibao cha kumshukuru Mungu kwa pamoja kama ulivyotoa hicho,ndio USHAURI WANGU.
Nimetokwa na machozi wakati mdogo wake anaongea 😢, nachojua profesa jay ni moja wasanii wanapendwa sana na watanzania maombi yao Mungu aliyasikia , Mola anatenda kila wakati
Jamani kwani wizara ya afya ikitaka inaweza lakini hawaamii kufanya ivyo, Imeamua kuwekeza kwenye cosmetic surgery badala ya kuwekeza kwenye surgery muhimu za kuokoa maisha ya watu, Mtazamo wangu ni kuwa serekali ingewekeza kwanza kwenye kuokoa afya, vipimo imara vyenye kuwapa wagonjwa majibu sahihi
Au nipeni kitengo 20% chakuongeleya Afya ya wanaichi nakutengeneza suluwisho kwa kasi asilimiya kubwa Asanteni. Naishi Sweden 🇸🇪 ninauchungu na ndgu zsngu wa damu
Am very proud of this conversation iyo ni kitu bado Africans tuna fanya mistakes kubwa that's why we have millions of ☠ every single year. Know that the world is running in high speed now., I request for our government Minister of health please think about this issue. Afya tafadhali waigeni ndugu zetu wa damu wazungu namna wanavyo itengezea mazingira health
Sipendi haya kuona pro. J katika hii hali Mungu akupe uhai zaidi na pole Sana,Kwetu hapa Kenya kuoshwa figo mara moja kwa kawaida ni ksh.9500 si rahisi Pia.
Hali yako ya afya kuwa njema Ni somo tosha brother, ushauri wangu acha muziki. Kama sio muislam fanya uwe muislam Allah Ni mtukufu na ndiye mwenye haki ya kuabudiwa, atakusamehe muziki Ni njia ya upotevu.
Kwani hawezi kumuabudu Mungu mpaka awe muislam au mpaka apo alipofikia kaponywa na usilam embu acha udini wako buana Mungu ni WA wote sio muislam Wala mkristo mshauri aibiri injiri sio unaniambia abadili dini kwanza dini aimponyi mtu kinachomponya ni Imani yake sawa
@@noelyhaule955si ndo apo analetea udini wake apa profesa ni Romani na kaponywa na Imani yake Wala sio dini Yale Sasa huyu anaemuambia awe muislam sta sijamuelewa ata kidogo
Ugonjwa wa figo ni hatari mnoo .. Allah atuepushe na maradhi tusiyoyweza.. Allah atuepushe na maradhi ya kuleta ufukara.. Allah atuepushe na maradhi yanayofanya watu watususe.. Allah atuepushe na maradhi yanayo fanya tuwe mizigo kwa binadamu wenzetu.. Allah atuepushe na maradhi yanayoumiza.. ameen.
Ameni tunusuru eeeh Mungu
Amina Amina ndugu.
Amin
Amina amina
Amen
Mungu fundi stadi sana. Hebu fikiria namna mifumo mbalimbali ya mwili inavyofanya kazi yenyewe tu pasipo usaidizi wowote. Fikiria mfumo wa utoaji taka mwilini. Kila kitu hufanyika chennyewe tu na ikitokea hitilafu katika figo ndigo hizo gharama tunaambiwa hapa zinatumika kuondoa hizo sumu au taka mwilini. Sifa na heshima ziende kwake tu.
Amen
Kweliii Mungu fundi
Amen. Sifa na Utukufu ni kwake. Tumshukuru Mungu kila iitwapo leo tukiwa wazima na afya.
Hakika ndugu.
❤❤❤❤❤afya ni utajiri wa kwanza
Hakuna utajir mkubwa kwa mwanadamu kama afya,Allah atujaalie afya njema kw sote na atukinge n mitihani na atuweke ktk rehma zke.#Ameen
Ameen
Barikiwa sana hameesnassoro
Bro, pole sana...ila ushauri wa bure kutoka kwangu...Okoka Mungu anakupenda sana....pia kila unapoanza kushukuru anza na Mungu kwanza...Mungu ndo ameinua watu wa kukusaidia mwambie Ahsante...zaidi Ya yote Acha mziki mtumikie Mungu...
Mungu ni mwema,pole sana kaka Joseph haule aka profesa jay.pia kongole kwa kuanzisha profesa jay foundation hakina itagusa maisha ya watu wengi.mob love from Kenya 🇰🇪🇰🇪
Pole sana,tujitahidi sana kunywa maji ya kutosha na mazoezi,mengine ni mipango ya Allah
Duh Mungu ni mwema pole Sana prof J
Mungu Tunusulu Sisi Wa Hali ya chin
kwahalihii tutakufa tunajiona
J foundation ifanikiwe Kwa kiasi kikubwa Mwenyezi Mungu alikupitisha katika jaribu Hilo ili uje kua jibu Musada Kwa wanainchi Wa Hali ya chin.
J foundation mkombozi Wa figo 💪💪💪
Kwa kweli Mungu yupo.
Sikujua kimiya chake Kisha kaugua.
Nimezienzi nyimbo zake sana .. tokw utotoni.
Get well King 🤴
Mungu Wangu Nakwamini sana😢❤You Jay 🤍🌹🤲🏾Sikh zote Ambia Mungu Asante (Alhamdullilah)
Mara nyingi huwa mungu anagusaga kile kitu ambacho kitakuuma km alivyo fanya kwa PM ila 4the fest time nimeona mungu amerudisha kipenzi cha watu , still strong and one of the best song written
Glory to God!
Pole sana Joseph Haule,
Hakika Mwenyezi Mungu ana makusudi na wewe Prof.Jay,utaishi na kuyasimulia makuu ya Mwenyezi Mungu.
Mungu ni mkubwa. Prof.Jay, jamani!!! Bwana asifiwe!!! Kumeandikwa kwamba si rahisi kubaki na nguvu katika uso wa majaribu. Lakini kinachoweza kututia nguvu sikuzote ni ahadi za Mungu. Mwenyezi Mungu atakulinda. Mungu hutimiza ahadi zake. Hasemi uwongo na hajatubariki kwa hasira au maisha ya taabu. Ikiwa tayari umepokea ahadi kutoka Kwake, uwepo wa magonjwa karibu nawe hauwezi kufuta Neno Lake. Usiogope, kichwa chako hakijafanywa kubeba wasiwasi na usionekane kuwa na wasiwasi kwa sababu Bwana yu pamoja nawe. Amina!!! Amina!!!
✋️ 🤚 clauds.. Hawa watu ni next level.. wanajua..kaka profesa Jay mungu yupo na ww ubarikiwe kaka uzidi kuimarika amen..
Mungu ni Mwema kila wakati pole sana profesa
Mungu ni mwema sana, pole sana Profesa Jay, 462, Foundation hakika utagusa wengi na kusaidia wengi sana
Dah kweli mungu ni mwema sana
Pole sana kaka! Ila Mungu amejifunua kwako, acha muziki mtumikie Mungu alokulejesha tena duniani. Ushuhuda wako utaokowa watu wengi dhidi uweza wa Mungu. Nenda kanisani ukamuone mtumishi wa Mungu utasaidika ipasavyo (Yohana 3 : 16).
Mama jitande
Sasa ndugu unahisia music ndo satan au ??
Au fanya uweke vizur sentens ako
@@millvillage857hujajua nini anamaanisha mulize kwanza
Aache muziki kwani muziki unashida gani...mungu amempa kipaji cha kufanya mziki wewe unasema aache......
Rudi kwa.mola wako kaka aliekuumba yesu hajakuumba yy.mwenyewe.kaubwa
Ila sema mwili wa binadamu ni mashine moja hatari sana ,Dah atukuzwe Mungu asee
Pole sana baba tunafurah kukuona upo vizur Mungu ni mwema amekupigania
Hakika kabla hujafa hujaumbika.pole sana legend M/Mungu akupe nafuu na kupona kabisa.
Duh pole sana kaka aise inauma sana yaani nimempoteza mjomba angu hiyo kitu ya kurudia rudia vipimo kila doctor inachelewesha mtu kuanza matibabu inauma sana ukifikilia😢
Pole sana Prof, pia una maono makubwa sana hayo ya mifumo kusomana na hapo ndio tutaona faida ya mifumo, vile vile hapo hapo tuzishaur taasisi zetu za utafiti zijaribu kuanzisha vitengo kujulisha wananchi Nini kinachosababisha matatizo haya ili watu wachukue tahadhari wakieleweshwa
mungu ni mwema jana na leo na hata milele 🙏🙏
Mungu akujalie upone Kaka watanzania tunakupenda Sana prof...😍😍😍
Poole sana professor J,Mungu akupe ulinzi zaidi, PIA NILISIKIA KUWA WAJINA WAKO JOSE CHAMILIONI aliugua pia,HIVYO ninashauri ukipona umtafute mshikiane mtoe kibao cha kumshukuru Mungu kwa pamoja kama ulivyotoa hicho,ndio USHAURI WANGU.
Pole Sana broo kwa changamoto ulizopitishwa, hayo ni Mapito tuu.
Very sad song prof. Each mungu aitwe mungu. Twakuombea full recovery.
Pole sana prop. JAY: Bwana yu pamoja nawe tunakutakia hali njema kiafya
Masikini, yesu akutetee
Prof Jay, Mungu akusimamie. Umetubariki sana
Mwenyezi mungu upo kila sehem pole sana
Pole sana kaka angu mungu yupo na wewe na usiache kumuomba mungu
Pole sana sana mdogo wangu. Kweli mungu yupo. Utazidi kuimalika.
Nimetokwa na machozi wakati mdogo wake anaongea 😢, nachojua profesa jay ni moja wasanii wanapendwa sana na watanzania maombi yao Mungu aliyasikia , Mola anatenda kila wakati
We are so grateful and ready to work with you precisely
Jamani kwani wizara ya afya ikitaka inaweza lakini hawaamii kufanya ivyo,
Imeamua kuwekeza kwenye cosmetic surgery badala ya kuwekeza kwenye surgery muhimu za kuokoa maisha ya watu,
Mtazamo wangu ni kuwa serekali ingewekeza kwanza kwenye kuokoa afya, vipimo imara vyenye kuwapa wagonjwa majibu sahihi
Hakika mungu nimwema Sanaa, mungu azidi kukupigania🙏
Ukiamka ambia Mungu Asante
Mungu ni Mwema Sana
Au nipeni kitengo 20% chakuongeleya Afya ya wanaichi nakutengeneza suluwisho kwa kasi asilimiya kubwa Asanteni. Naishi Sweden 🇸🇪 ninauchungu na ndgu zsngu wa damu
Mungu ni mwema sana kaka Pole sana.mungu akutuze sana kaka
You will get healed Prof.Our God is still in the business of healing people.
Am very proud of this conversation iyo ni kitu bado Africans tuna fanya mistakes kubwa that's why we have millions of ☠ every single year. Know that the world is running in high speed now., I request for our government Minister of health please think about this issue. Afya tafadhali waigeni ndugu zetu wa damu wazungu namna wanavyo itengezea mazingira health
Pole sana Pr. JAY. You will be fine
Pole sana profesa J ,ili tatizo la Figo lilimuondoa mwamba wangu naumia sana 😢😢
Pole Sana ndugu
@@hyacintagugu7 asant
Sipendi haya kuona pro. J katika hii hali Mungu akupe uhai zaidi na pole Sana,Kwetu hapa Kenya kuoshwa figo mara moja kwa kawaida ni ksh.9500 si rahisi Pia.
Mshukuru mungu professor
Pole sana mheshimiwa Mwenyezi Mungu Akujalie afya njema
Pole sana Joseph Haule Mungu Mkubwa,utakaa vzr.
Fett vip kuhusu ile nyimbo ya taifa saiv haisikiki kinatatizo au maan zaman ilikua muhim ...
Naomba irudishwe tena🙏🙏🙏
Quick recovery professor Jay
Mungu ni mwema Kila wakati
Asante Mungu kwa uponyaji huu
ila mwamba bado anaumwa uyu daaa🙏🙏🙏🙏
Pole sana kaka, Mungu akuimarishe zaidi na zaidi
sema ww kipanya rekebisha code yako ya uvaaji hivi ungeenda kumuhoji waziri au mkuu yyte ungeenda ivo?????
Pole Sana kamanda wetu mungu nimwema atakujalia tu
Hali yako ya afya kuwa njema Ni somo tosha brother, ushauri wangu acha muziki. Kama sio muislam fanya uwe muislam Allah Ni mtukufu na ndiye mwenye haki ya kuabudiwa, atakusamehe muziki Ni njia ya upotevu.
Uislam unakuja vp sasa
Kwani hawezi kumuabudu Mungu mpaka awe muislam au mpaka apo alipofikia kaponywa na usilam embu acha udini wako buana Mungu ni WA wote sio muislam Wala mkristo mshauri aibiri injiri sio unaniambia abadili dini kwanza dini aimponyi mtu kinachomponya ni Imani yake sawa
@@noelyhaule955si ndo apo analetea udini wake apa profesa ni Romani na kaponywa na Imani yake Wala sio dini Yale Sasa huyu anaemuambia awe muislam sta sijamuelewa ata kidogo
Mungu ni mwema sana, azidi kukutunza mja wake.
Pole sana Prof.
Pole sana pr.jay
Yesu anakuita ukatumike kazin kwake karibu .but Mungu ni mkuu sana
Umesema vemaaaaaa
Kabisaa yaaani
Well said
Pole sana profesa
Mungu amekuponya prof.
Mung ashukuliwe xna yaan amekupigania xaan bro m/mung azid kukup afya njema🙏🙏🙏🙏
Pole sana kaka..achana namusic wakidunia mludyeaie mungu
Glory to God❤❤❤❤
Daa pole sana kaka angu Allah akuvuxhe hu mtihani
alla akufanyie wepesi inshaalla
Pole Sana kaka j mungu atakuponya utapona mungu nikila kitu
Mungu.akuponye tunakuombea
Pole sana
Sema hawa wakina kipanya hawajui kufanya interview kabisa hawako organised
Kwa kweli Mungu hajawahi mtupa mja wake,
Pole sana bro mimi ni yule jamaa nilikubeba kwenye gari kutoka kahama mjn submaline hotel kwenda kagongwa
Mungu amsaidie aendelee kuimarika
Da aisee jamaa bado kabisa ajakaa sawa kweli maisha ni mzunguko
Mungu mwema xana 🙏
God bless you kamanda
Allah akupee Afya mzee urudii ktk halikatii zko
Masikini, yesu akutetee na kuzidi kukulinda
Polesana mungu nimwaminifu
Pole Sana kaka🙏
Mungu ni mweeza wa yote,Ila wasio na hela wenye matatizo haya ndo wanapoteza maisha
Pole sana mkongwe wa music
Pole kaka daa
Pole sana brother
Quick recovery
Pole sana kaka Hakika Mungu amekutendea mengi makuu. Hatuna lakusema zaidi ya shukrani kwa Mungu wetu
Kaka hapo kawe Kuna Mtumishi Mwamposa chukua hatua ya Imani kaka uombewe na watu wakubwa wa Mungu
Pole kamanda
Du pole sana ndugu yangu Mungu ni mkubwa sana
Ulijisikia vibaya ukiwa kwetu Mbinga. Pole na Mungu Mkubwa Sana
Pole Sana bro
Pole sana kaka
Prof kama bado ayupo saw😢 ila mbaka kufka apa tunamshukuru Mungu azidi kukupa afya njema 🙏
Amen 🙏 🙏
wagonjwa tupo wengi na uwezo hatuna, mtu una ishi ukingojea kupoteza maisha, hili tatizo nitatizo baya Sana tuna pata shida sana
mungu akuponye umepitia majaribu makubwa sana
Pole sana kaka mkubwa
🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 ❤❤❤
Pole ndugu sauti tu inasikika ulikua unaumwa kweli