Video není dostupné.
Omlouváme se.

Tanzania Tuitakayo, nani anazuia watanzania kupata Katiba Mpya?

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 07. 2014

Komentáře • 54

  • @chachanixon702
    @chachanixon702 Před 3 lety +3

    Plpl pls,,Who/at got u out of this 'version',,u were awesome bro!

  • @homeboybeyondtheborders4935
    @homeboybeyondtheborders4935 Před 11 měsíci

    Talented leader Tanzania 🇹🇿

  • @mosesdouglas7902
    @mosesdouglas7902 Před 3 lety +1

    5/7/2021 Huyu ndio Polepole niliyomjua ,huyu wasasa ni mzuka ,feki,njaa kali ,hakika siasa zinaweza kuua kipaji cha mtu haijalishi ataa kipaji ulichojaliwa na Mungu kukitumia kama mchango wako hapa duniani utakao acha alama ya uwepo wako duniani .ushauri Humphrey Polepole tubu kwa Mungu wako .akurudishie wajibu hadhimu aliokupa kutumikia hapa duniani,kujikwa si kuanguka ,May God bless you ,,

  • @bennshirima9918
    @bennshirima9918 Před 3 lety +1

    Nawashukuru sn, wanaotunza kumbukumbu. mungu awabariki sana.

  • @pandelababaofficial5056
    @pandelababaofficial5056 Před 3 lety +2

    Sasa hapo nikama naelewa kumbe katiba mpya ilikwamishwa na wabunge wa upinzani kususia vikao na kutoka nje licha ya kubemberezwa hawakutaka Sasa hivi wanaipambania hata kwa machozi amakweli kikiwepo kitumie maana kikiadimika utakitafuta na hutakiona

  • @renathaapollo3124
    @renathaapollo3124 Před 3 lety +2

    Katiba ni muhimu sana katika taifa ili

  • @frankkaiza3658
    @frankkaiza3658 Před 3 lety

    Ck zote mdogo wangu unge simama ivo ck zote adi raha tumbua polepole🇹🇿🇹🇿🇹🇿♥️♥️♥️♥️👏👏👏👏👏👏👏

  • @plujorilugano9489
    @plujorilugano9489 Před 3 lety +1

    Pole Pole haya maneno unayakumbuka? Mbn umepoa? Umetusaliti na umesaliti Taifa, msaliti wa karne ktk Taifa hili kukwamishisha katiba ni pmj na Pole Pole

  • @adamsanga062
    @adamsanga062 Před 3 lety +1

    Jamani nawashukuru itv kwa kumbukumbu nzuri hii ila pole pole nitayizo

  • @fatumajuma1157
    @fatumajuma1157 Před 3 lety

    Pole pole na kabuti wakat huo walikua na njaa Kali sn
    Ss iv wakickia maneno hayo yanawaudh sn

  • @devothaignatus5911
    @devothaignatus5911 Před 3 lety

    Kwamala yakwanza nimekuelewa pole pole Katiba Mpya ndo Mpango mzima,,,Hiyo ndo Tanzania tnayo itaka,,pole pole Mungu akubariki ❤❤❤❤❤👏👏👏👏

    • @larickmtui2852
      @larickmtui2852 Před 3 lety

      Mwambie leo adai katiba. Hawa walikua wanaongea kwa njaa zao tuu leo hii yuko wap?

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 Před 2 lety

    Jembe kali

  • @maulidihassani8324
    @maulidihassani8324 Před 2 lety

    Polepole mwendo umeumaliza hapaa ulijisahauuu

  • @petereck6647
    @petereck6647 Před 3 lety

    Katba muhmu sanaa leo hh ccm wanasema haina kazi ety uchumi kwanz wakt walisemaga tz ipo uchumi wa kati imekuwaje leo

  • @benderarulenge2477
    @benderarulenge2477 Před 3 lety +1

    Kumbe katiba mpya ni sahihi

  • @philemonsnyanda9450
    @philemonsnyanda9450 Před 3 lety +1

    Huyu mama alipotelea wapi jamani, rosemary mwakitwange

  • @plujorilugano9489
    @plujorilugano9489 Před 3 lety +2

    Leo 2020 ni katibu mwenezi amesaliti mema yote na mazuri yahusuyo katiba mpya, msaliti kwa watanzania, haya yote amesahau hafai huyu

    • @philemonsnyanda9450
      @philemonsnyanda9450 Před 3 lety

      Njaa mbaya sana, watu kama hawa akina pole pole nchi za wenzetu wana........!

  • @stanleyshoo2833
    @stanleyshoo2833 Před 3 lety

    Da!

  • @josephnjella4919
    @josephnjella4919 Před 3 lety +1

    Katiba itawahukumu na lazima itapatikana

  • @patrickrichard280
    @patrickrichard280 Před 3 lety

    Safi sana

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Před rokem

    Wote wachumia tumbo Tu hawa,,

  • @msellemseif3102
    @msellemseif3102 Před 2 lety

    3 tuu

  • @natusmaganyiro442
    @natusmaganyiro442 Před 3 lety

    Kwa mara ya kwanza na sikiliza speech ya polepole!!!

  • @salomemahenge6758
    @salomemahenge6758 Před 3 lety +1

    Katiba mpya ni razima

  • @masoudsultani9163
    @masoudsultani9163 Před 2 lety

    Tatizo wavivu wa kufikiri hawawataki wati wamna hii

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před 2 lety

    Wapinzani waliondoka jwa sababu wabunge wa CCM waliondoa yale yaliyo kuwa yameweka katika Rasimu. Waliweka yakwao siyo ya watanzania. Sasa kwa nini waliketa kwetu.

  • @sechongerashid7036
    @sechongerashid7036 Před 3 lety

    JMT

  • @frankkaiza3658
    @frankkaiza3658 Před 3 lety

    Kwer itv daimaaaaa waulize maswali katiba kuipata ni zambi na imeandikwa wapi????

  • @joachimligwa5424
    @joachimligwa5424 Před 3 lety +1

    Ulipokua na akili

  • @korekalukumay7197
    @korekalukumay7197 Před 3 lety

    Katiba nchi ni ya wananchi sio yakikundi ya wttu

  • @issanjinjo38
    @issanjinjo38 Před 2 lety

    Polepole maneno haya mazuri mbona hukuyasema enzi ya mwendazake JPM ulikuwa wapi wewe ni serikali 3 ktk hiliunalisemsjeop

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před 2 lety

    Walisimamia yale yale yanayo walinda watu, kwanza ninyi mtaishi milele? Acha tupate Katiba mpya ya Rasimu ya Warioba kwa ajili ya wanaichi na vizazi vinavyo kuja. Sasa wazee wanalinda mambo yao kwa muda mfupi tu, ninyi mjue baada ya miaka 70 ijayo hata kama leo ni wa miaka 40, utakuwepo ili uendelee kulindwa na Katiba mnayo ng'ang'ania. Tufikilie na vizazi vinavyo kuja. Tutoe Katiba kwa ajili hata ya miaka 50-100 lakini kila mbunge wa chama fulani mtawala mkubwa wanafilia miaka 10 iwalinde hasa Raisi na wabunge wa wakati huo wajipendekeza ili wapate teuzi. Janani acheni ubinafusi tufikilie taifa letu.

  • @rebeccajacobo6676
    @rebeccajacobo6676 Před 3 lety

    Nimekuelewa polepole leo umesema ukweli sasa mbona wakiwongea wanasiasa wanapigwa ee mungu tusaidie tupate katiba mpya

    • @fatumajuma1157
      @fatumajuma1157 Před 3 lety

      Hiyo habar niyamiaka 7 iliyopta
      Ss iv polepole hatakuckia hayo maneno

  • @shabansalum9283
    @shabansalum9283 Před 6 lety

    Uko vizuri

  • @petervedasto4686
    @petervedasto4686 Před 3 lety +1

    Katiba ni lazma

  • @jeremiahzacharia7655
    @jeremiahzacharia7655 Před 3 lety

    Hakika vijana tunaweza, Asante aliyeelewa ataelewa asiye elewa hawezi elewa.

  • @rajabmsenga7234
    @rajabmsenga7234 Před 9 lety +1

    Kaka nakuelewa sana

  • @alihijiiddi8977
    @alihijiiddi8977 Před 3 lety

    KWANI NYINYI SIMUMEZOWEYA KUSEMA UWONGO NA KUIONDYA ZANZNZIBARI TUNATAKA TUWE PEKEYAKE NA UHURUWAKE MUMEZIWEYA KUISHI KIDIKTETA CCM AU MCC KWA UZEMBE WENU NA UPUMBAVU WENU MADIKTETA TANGANYIKA NA VISHAWISH VYA ZNZ 🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇👹😇🇹🇿

  • @dostovan5142
    @dostovan5142 Před 3 lety

    Ni polepole real au fake copy?maana siasa imefanya watu vigeu geu

  • @deohank5995
    @deohank5995 Před 3 lety

    DHIMBI INAYOISHI

  • @hakihaiombwikatibampya2734

    Hpople ople ulikua mtu poa apo mwanzo hii kitu mbona uliacha !??

  • @simonringo4701
    @simonringo4701 Před 3 lety +1

    Nini kilimfanya abadilike?

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před 3 lety

    Katiba haikataliwi bali wanasubiri uchumi upande

    • @NM-yl2uw
      @NM-yl2uw Před 3 lety

      uchumi unapanda lin? na katiba inazuiaje huo uchumi upande?

    • @hakihaiombwikatibampya2734
      @hakihaiombwikatibampya2734 Před 3 lety

      Maendeleo utatafuta mpaka kifo ,kila siku mtu anahitaji kuendelea ,hoja uchumi kwanza sio hoja ya msingi Katiba ni swala la maendeleo pia

  • @paulmwamba9637
    @paulmwamba9637 Před 3 lety

    wewe
    Si
    Ccm

    • @philemonsnyanda9450
      @philemonsnyanda9450 Před 3 lety

      Kipindi hajalambishwa cheo alikua na akili sana, saiv hakuna kitu