Video není dostupné.
Omlouváme se.
Tanzania Tuitakayo, nani anazuia watanzania kupata Katiba Mpya?
Komentáře • 54
Další v pořadí
Automatické přehrávání
Ali Hassan Joho: I got a D- and I have two degrees. I draw my inspiration from Prof. Ali MazruiCitizen TV Kenya
zhlédnutí 126K
Cooperatives CS nominee Wycliffe Oparanya outlines his profile before the vetting committeeCitizen TV Kenya
zhlédnutí 9K
Unbowed Nuru Okanga Reacts to Hassan Joho's Vetting! 'Umejieleza vizuri na tunangoja U-perform'Kenya Digital News
zhlédnutí 4,8K
5 NEJLEPŠÍCH Gólů z EURA 2024…Horis
zhlédnutí 173K
JO PARIS 2024 - Céline Dion chante "L'hymne à l'amour" sur la Tour Eiffel à la cérémonie d'ouvertureEurosport France
zhlédnutí 6M
Her Survival skills will Fry 🔪 #camping #survival #bushcraft #outdoors #lifehackMarusya Outdoors
zhlédnutí 25M
Cool Items!🥰 New Gadgets, Smart Appliances, Kitchen Tools Utensils, Home Cleaning, Beauty #shortsCool Items Official
zhlédnutí 53M
"MJADALA Huu UNAMUUMIZA MAGUFULI, Hataongeza MUDA" - POLEPOLEGlobal TV Online
zhlédnutí 1,4K
Humphrey Polepole na Katiba MpyaAmb. Humphrey H. Polepole
zhlédnutí 8K
Robert Greene: A Process for Finding & Achieving Your Unique PurposeAndrew Huberman
zhlédnutí 10M
Katiba Mpya na Humphrey Polepole ITVAmb. Humphrey H. Polepole
zhlédnutí 5K
POLEPOLE: MIMI KIROBOTO/NIKIFUKUZWA CCM/NAPE BASTOLA/BEN SANANE&AZORY/NILIOMBA HELA WAGOMBEA/BULEMBODar24 Media
zhlédnutí 308K
LIVE: Iran’s President Masoud Pezeshkian Takes Office in a Historic Swearing-In CeremonyHindustan Times
zhlédnutí 34K
GATHONI WA MUCHOMBA || GITHUNGURI MPEroo Mtetezi
zhlédnutí 4,9K
Tundu Lissu alivyo fyatuka Bunge la KatibaChadema Diaspora
zhlédnutí 342K
Similarities Between Arabic and SwahiliBahador Alast
zhlédnutí 234K
35M Subscriber Moment Almost Here🎉❤️ Supported by Korean creators🇰🇷🤝🇯🇵ISSEI / いっせい
zhlédnutí 98M
A teacher captured the cutest moment at the nursery #shortsFabiosa Stories
zhlédnutí 53M
Replacing a valve on a full water tank! 🫣💦 - 🎥 the_ladyplumberUNILAD
zhlédnutí 21M
She blended SPAGHETTI @anasofiafehnLionfield
zhlédnutí 10M
CHURAQ CLIQUE - STRÁŽEMilujeme Párno
zhlédnutí 160K
Dokázal Jsem ToTaky Bige
zhlédnutí 195K
I'm Excited To see If Kelly Can Meet This Challenge!Mini Katana
zhlédnutí 26M
Plpl pls,,Who/at got u out of this 'version',,u were awesome bro!
Talented leader Tanzania 🇹🇿
5/7/2021 Huyu ndio Polepole niliyomjua ,huyu wasasa ni mzuka ,feki,njaa kali ,hakika siasa zinaweza kuua kipaji cha mtu haijalishi ataa kipaji ulichojaliwa na Mungu kukitumia kama mchango wako hapa duniani utakao acha alama ya uwepo wako duniani .ushauri Humphrey Polepole tubu kwa Mungu wako .akurudishie wajibu hadhimu aliokupa kutumikia hapa duniani,kujikwa si kuanguka ,May God bless you ,,
Nawashukuru sn, wanaotunza kumbukumbu. mungu awabariki sana.
Sasa hapo nikama naelewa kumbe katiba mpya ilikwamishwa na wabunge wa upinzani kususia vikao na kutoka nje licha ya kubemberezwa hawakutaka Sasa hivi wanaipambania hata kwa machozi amakweli kikiwepo kitumie maana kikiadimika utakitafuta na hutakiona
Katiba ni muhimu sana katika taifa ili
Ck zote mdogo wangu unge simama ivo ck zote adi raha tumbua polepole🇹🇿🇹🇿🇹🇿♥️♥️♥️♥️👏👏👏👏👏👏👏
Pole Pole haya maneno unayakumbuka? Mbn umepoa? Umetusaliti na umesaliti Taifa, msaliti wa karne ktk Taifa hili kukwamishisha katiba ni pmj na Pole Pole
Jamani nawashukuru itv kwa kumbukumbu nzuri hii ila pole pole nitayizo
Pole pole na kabuti wakat huo walikua na njaa Kali sn
Ss iv wakickia maneno hayo yanawaudh sn
Kwamala yakwanza nimekuelewa pole pole Katiba Mpya ndo Mpango mzima,,,Hiyo ndo Tanzania tnayo itaka,,pole pole Mungu akubariki ❤❤❤❤❤👏👏👏👏
Mwambie leo adai katiba. Hawa walikua wanaongea kwa njaa zao tuu leo hii yuko wap?
Jembe kali
Polepole mwendo umeumaliza hapaa ulijisahauuu
Katba muhmu sanaa leo hh ccm wanasema haina kazi ety uchumi kwanz wakt walisemaga tz ipo uchumi wa kati imekuwaje leo
Kumbe katiba mpya ni sahihi
Huyu mama alipotelea wapi jamani, rosemary mwakitwange
Leo 2020 ni katibu mwenezi amesaliti mema yote na mazuri yahusuyo katiba mpya, msaliti kwa watanzania, haya yote amesahau hafai huyu
Njaa mbaya sana, watu kama hawa akina pole pole nchi za wenzetu wana........!
Da!
Katiba itawahukumu na lazima itapatikana
Safi sana
Wote wachumia tumbo Tu hawa,,
3 tuu
Kwa mara ya kwanza na sikiliza speech ya polepole!!!
Katiba mpya ni razima
Tatizo wavivu wa kufikiri hawawataki wati wamna hii
Wapinzani waliondoka jwa sababu wabunge wa CCM waliondoa yale yaliyo kuwa yameweka katika Rasimu. Waliweka yakwao siyo ya watanzania. Sasa kwa nini waliketa kwetu.
JMT
Kwer itv daimaaaaa waulize maswali katiba kuipata ni zambi na imeandikwa wapi????
Ulipokua na akili
Katiba nchi ni ya wananchi sio yakikundi ya wttu
Polepole maneno haya mazuri mbona hukuyasema enzi ya mwendazake JPM ulikuwa wapi wewe ni serikali 3 ktk hiliunalisemsjeop
Walisimamia yale yale yanayo walinda watu, kwanza ninyi mtaishi milele? Acha tupate Katiba mpya ya Rasimu ya Warioba kwa ajili ya wanaichi na vizazi vinavyo kuja. Sasa wazee wanalinda mambo yao kwa muda mfupi tu, ninyi mjue baada ya miaka 70 ijayo hata kama leo ni wa miaka 40, utakuwepo ili uendelee kulindwa na Katiba mnayo ng'ang'ania. Tufikilie na vizazi vinavyo kuja. Tutoe Katiba kwa ajili hata ya miaka 50-100 lakini kila mbunge wa chama fulani mtawala mkubwa wanafilia miaka 10 iwalinde hasa Raisi na wabunge wa wakati huo wajipendekeza ili wapate teuzi. Janani acheni ubinafusi tufikilie taifa letu.
Nimekuelewa polepole leo umesema ukweli sasa mbona wakiwongea wanasiasa wanapigwa ee mungu tusaidie tupate katiba mpya
Hiyo habar niyamiaka 7 iliyopta
Ss iv polepole hatakuckia hayo maneno
Uko vizuri
Hapa ulikuwaga making sana
Bwana ndogo Humfrey kusema ukweli uko vizuri
Katiba ni lazma
Hakika vijana tunaweza, Asante aliyeelewa ataelewa asiye elewa hawezi elewa.
Kaka nakuelewa sana
KWANI NYINYI SIMUMEZOWEYA KUSEMA UWONGO NA KUIONDYA ZANZNZIBARI TUNATAKA TUWE PEKEYAKE NA UHURUWAKE MUMEZIWEYA KUISHI KIDIKTETA CCM AU MCC KWA UZEMBE WENU NA UPUMBAVU WENU MADIKTETA TANGANYIKA NA VISHAWISH VYA ZNZ 🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇👹😇🇹🇿
Ni polepole real au fake copy?maana siasa imefanya watu vigeu geu
DHIMBI INAYOISHI
Hpople ople ulikua mtu poa apo mwanzo hii kitu mbona uliacha !??
Nini kilimfanya abadilike?
Baada ya kwenda CCM
Katiba haikataliwi bali wanasubiri uchumi upande
uchumi unapanda lin? na katiba inazuiaje huo uchumi upande?
Maendeleo utatafuta mpaka kifo ,kila siku mtu anahitaji kuendelea ,hoja uchumi kwanza sio hoja ya msingi Katiba ni swala la maendeleo pia
wewe
Si
Ccm
Kipindi hajalambishwa cheo alikua na akili sana, saiv hakuna kitu