🔴

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 09. 2024
  • 🔴#LIVE: HANANJA: HANANJA AMVAA ANTHONY LUSEKELO MATUMIZI YA POMBE
    #trending #trendingvideo #viralvideo #viral #music #hananja
    #live
    #Wachumba #wazuru Hawapo #Makanisani
    #hanscana #podcast
    #amigo #kenny
    #gospel #tranding
    #trending #tanzaniagospel #OnefmPodcastLive
    #gospel #trandingkenya
    #lowassa #zuchu #zawadi #diamond #neemagospelchoirtz #bellakombo #wasafifm #wasafitv #wasafimedia #JanaNaLeo #millardayo #gospel #globalonlinetv
    #umeme #bungee #tanzaniagospel #live
    #nikurejeshee

Komentáře • 64

  • @MasamaJanuary-ej1zz
    @MasamaJanuary-ej1zz Před měsícem +2

    Hakika ananja Mungu amjalie maisha marefu sana

  • @bienvetyre3549
    @bienvetyre3549 Před 6 měsíci +4

    Mzee ananja kwakweli ekima zote za mfalme sulemani mungu amezipandikizwa kwako. Wewe ndio sulemani wakizazi chaleo

  • @amoniackland5784
    @amoniackland5784 Před 6 měsíci +4

    Pastor Mungu akupe miaka mingi ya kuishi huku duniani

  • @Nathalie-couture
    @Nathalie-couture Před 6 měsíci +3

    Hii interview ni very powerful mzee azingatiwe sana huyu

  • @PatrickMaturo
    @PatrickMaturo Před 6 měsíci +6

    Hananja Mchungaji anazungumza mambo muhimu sana

  • @JosephLamau-yq1lx
    @JosephLamau-yq1lx Před 6 měsíci +3

    Hongera sana Mtu wa Mungu Mungu akutunze siku zote

  • @georgemugeta34
    @georgemugeta34 Před 20 dny

    Maoni ya Laizer hajitambui amesahau wanamwabudu mohamed anayesubiri hukumu ya Bwana YESU

  • @ReubenRaymond-zh4yw

    Hongera Pastor Hananja

  • @tonymtokas4150
    @tonymtokas4150 Před 6 měsíci +1

    Daaa ,ubarikiwe sana unazifungua sana macho familia za watu wengi watoto wengi sana wanaharibikiwa,Wazazi wengi hawana muda na watoto.

  • @dorothyronald2445
    @dorothyronald2445 Před 5 měsíci

    Hananja you are genius, hekima na maarifa yamejaa kwako.Barikiwa sana

  • @neemakalugila7674
    @neemakalugila7674 Před 2 měsíci

    Very educative 🎉 watching from Holland 🇳🇱

  • @lukozi41
    @lukozi41 Před 6 měsíci +1

    Mbona mchungaji anahonekana kama. Ana zoofika kiafya?. Mungu mpe maisha marefu mzee wetu. Nakupenda sana Ananja

  • @user-tv8bc1qu6d
    @user-tv8bc1qu6d Před 6 měsíci

    MMUNGU Akubariki mchungaji❤

  • @bienvetyre3549
    @bienvetyre3549 Před 6 měsíci

    Ekima ya mungu ipo kwako kabisa🤝

  • @ngasikajoel9576
    @ngasikajoel9576 Před 6 měsíci +3

    Mzee unaongea kweli

  • @user-tz4zx3bt7p
    @user-tz4zx3bt7p Před 2 měsíci

    Namkubali sana huyo mchungaji

  • @kibundapesamadimba6352
    @kibundapesamadimba6352 Před 6 měsíci

    Akili kubwa sana na injili ya kweli sio hawa waanahubiri wakusanye hela za masikini,barikiwa sana Hananja👋👋👋👋👋

    • @louisbura8068
      @louisbura8068 Před 6 měsíci

      Kukusanyika kanisani Kwa akili na fikra za Mbali ni kama ina sababu zaidi ya kusali pamoja, dhana ya kusali pamoja imepoteza malengo yake,

    • @SarahMakundi-vh3uz
      @SarahMakundi-vh3uz Před 26 dny

      Wape ukweli mtumishi

  • @user-ky3gn4sz6b
    @user-ky3gn4sz6b Před 6 měsíci

    Mungu akubariki sana mpendwa

  • @user-qn1yq1pi7p
    @user-qn1yq1pi7p Před 6 měsíci

    N kweli uyasemayo mchungaji👍

  • @mtesingwanyanguri3431
    @mtesingwanyanguri3431 Před 6 měsíci +1

    Kweli mchungaji unasema kweli tupu watu wafundishwe kumcha Mungu.

  • @tujajackson8142
    @tujajackson8142 Před 6 měsíci +2

    Giant Hananja

  • @user-tv8bc1qu6d
    @user-tv8bc1qu6d Před 6 měsíci

    Pastor unaongea vizuri MMUNGU akupariki🙏

  • @ridiazaliwa6172
    @ridiazaliwa6172 Před 5 dny

    Mimi sina la kusema kuhusu mchungaji Ganja anasema mambo ya ukweli na umuhimu tutazingatia kwani kama ni hivyo basi safari ya mbinguni inakua nyepesi kama tutazingatia.pia nafikiri huyu amewekwa na Mungu kutoa neno Kamungu ili watu wajiandae kwa ajili yaujio wa Mungu. Mimi namkubali. Rudi Mzaliwa.

  • @izamahmasaki4795
    @izamahmasaki4795 Před 6 měsíci

    Big up Hananja

  • @louisbura8068
    @louisbura8068 Před 6 měsíci

    Huyu mchungaji very intelligent.

  • @user-tr2mf3hp5s
    @user-tr2mf3hp5s Před 6 měsíci

    Uyu faza namkubali sana

  • @prophetdanielmwebrania
    @prophetdanielmwebrania Před 6 měsíci

    Asante sana ubarikiwe imepenya hiyo😅😅😅

  • @user-ic7oo1vt4v
    @user-ic7oo1vt4v Před 6 měsíci +1

    Mchungaji Hananja wewe ulipewa kanisa una pahala kama kituo,Mwenzako anaitwa mchungaji wa kuchungia Nyikani kituo ni juhudi zake ivyo

  • @Laizer3
    @Laizer3 Před 3 měsíci +1

    wakristo wote mkifa ni motoni maana mnamwabudu mwanadamu mwenzenu (yesu)akat ni mtume bado mna muda wa kuslim kabla ya umauti kuwafika mumrudie allah subhanallah

    • @ddicksonssamson1781
      @ddicksonssamson1781 Před 2 měsíci +1

      Kapime akili bro

    • @ClaraKongo
      @ClaraKongo Před měsícem +1

      Siisi pia tuna mwabudu mwanadam Tena Alie kufa mazima,bila kufufuka. Bora ATA hao wanao mwabudu mwanadam aliye fufuka

    • @macknonkibona2401
      @macknonkibona2401 Před 28 dny

      wewe ukiwa muislam inatosha bro so pambana na hali yako

  • @user-dl4rw6fo6x
    @user-dl4rw6fo6x Před 6 měsíci

    Passion ❤

  • @andrecarlos1024
    @andrecarlos1024 Před 6 měsíci +1

    🎉🎉🎉🎉mch.ananja🙌🙌🙌🇲🇿🤝🤝

  • @user-yz2it2qm3p
    @user-yz2it2qm3p Před 6 měsíci

    Hananja huko juu

  • @papaamularfins599
    @papaamularfins599 Před 5 měsíci

    Ukitaka hella kaolewe na Benki 💥💥💥⚡⚡⚡🔥🔥🔥😂😂😂

  • @user-hp6wm2cg5x
    @user-hp6wm2cg5x Před měsícem

    Rich billionaire himself kweli kadir siku zinavo zidi kwenda ndivo mambo yote ya siri yanazidi kuwa sio siri tena congratulation mchungaji msema kweli

  • @yohanadotto8363
    @yohanadotto8363 Před 5 měsíci

    Hata huku kwetu jp mvua ikinyesha hawaji

  • @user-iu3eu8kj2i
    @user-iu3eu8kj2i Před 6 měsíci

    Ubalikiwe baba hananja ansante kwa mafunzo yako najiona nimezaliwa upya!

  • @petermilinga4047
    @petermilinga4047 Před 4 měsíci

    😂😂😂 ety mnabanjuana dah

  • @RachelBriervanity1
    @RachelBriervanity1 Před 6 měsíci +2

    Hahaaa Mch unachekesha kuhusu wakina NUHU walikunywa pombe

  • @anthonyassenga2365
    @anthonyassenga2365 Před 2 měsíci

    czcams.com/video/IOGx-yjgNVM/video.html ENDELEA KUJIFUNZA ZAIDI NA BISHOP ANTONY ASSENGA

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 Před 6 měsíci +1

    Mchungaji wewe ni shujaa. Wachungaji wana njaa ile mbaya. Wanajipendekeza kwa wenye uwezo tu. Na sisi waumini kazi yetu ni moja kuwachora

  • @JosephatChinda
    @JosephatChinda Před 5 měsíci

    Tukiwa na wachungaji kama mzee hananja kumi tu tungepiga hatua mkubwa tu lakini wengi wao wanataka maokoto ti

  • @nashonkibayayu3776
    @nashonkibayayu3776 Před 6 měsíci

    Kiukweli mchungaji, unapaswa uwepo mtandaoni Kila siku, ila ufndishe ukweli.

  • @msafirimfyagichi5942
    @msafirimfyagichi5942 Před 6 měsíci

    Hekima imeja

  • @LovelyRacingHelmet-iv6ti
    @LovelyRacingHelmet-iv6ti Před 6 měsíci +2

    Haaa nimekupata hapo kwamba wa nataka kurabataa tu, wata batuliwa2 mwisho wa siku

  • @JamesJoseph-vd7ep
    @JamesJoseph-vd7ep Před 6 měsíci

    sjawah ona mchungaji kama huyu ana hekma ya ajabu sana

  • @user-yf2hx9ss7b
    @user-yf2hx9ss7b Před 6 měsíci

    Hananje tufafanurie vizuri palé ulipo sema mpe kileo asau

  • @wisdommbalila732
    @wisdommbalila732 Před 6 měsíci

    Kindubwe ndubwe

  • @izamahmasaki4795
    @izamahmasaki4795 Před 6 měsíci

    mwandishi kakosa KAZI au yapo mengi ya kijamii na maendeleo ya kufanya , mapenzi hayana shule ni asili.

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara3038 Před 6 měsíci +3

    Wanadini acheni usiasa auushindana pigeni injiri

  • @consgmail
    @consgmail Před 6 měsíci

    😂😂 Mchungaji et MUNGU mwenyewe aligaili kumuumba mwanadam ... Mungu amekupa akili yakipekee Mchungaji, ubarikiwe na BWANA

  • @MacHousing
    @MacHousing Před 6 měsíci

    U

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 Před 6 měsíci +1

    😂

  • @user-zp3kw6rw1x
    @user-zp3kw6rw1x Před 6 měsíci

    Hananja uko fiti komaa

  • @bienvetyre3549
    @bienvetyre3549 Před 6 měsíci

    Mzee wewe unastaili kuandikiwa kitabu nakiongezwe kwenye biblia

  • @JoelRichard-hj3bi
    @JoelRichard-hj3bi Před 6 měsíci +5

    Mzee hananja anaongea ukweli mtupu.

    • @BonifaceKamsini
      @BonifaceKamsini Před 6 měsíci

      😂😂😂 nikweli bwn

    • @user-ye1dt2eb8u
      @user-ye1dt2eb8u Před 6 měsíci +1

      Mtangazaji unamzogezea Mzee wa Mungu hicho kipasa sauti karibu sana, Mimi naona kama anachoka shingo mtuhurumie ni mzee

    • @priscakitambi8639
      @priscakitambi8639 Před 5 měsíci

      Hananja uko vizuri sana