BALLER PODCAST EP6.1: KIBU HANA THAMANI YA MILIONI 500 | CHAMA MUDA WAKE UMEISHA | YANGA YAHUSISHWA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024
  • Karibu kutazama mazungumzo ya Motto Jr na Zonga Master yaliyojikita kuujadili mpira wa Tanzania na matukio yake, kuanzia Takwimu, Visa na mikasa, Historia na mengine yanayouzunguka mpira wa Tanzania.
    Baller Podcast is Powered by @45MinutesStore - Wauzaji wa vifaa vya michezo Tanzania.
    #WeSpeakFootball #WeAreDigitalKusaga #WeAreDigitalGeneration

Komentáře • 6

  • @mabrukhariri145
    @mabrukhariri145 Před 3 měsíci +1

    Balua It's better than Kibu 🙌🏽

  • @IssaBoribo-of6en
    @IssaBoribo-of6en Před 3 měsíci

    Kwa kibu hiyo pesa ni nyingi mnooo...hapo unaenda Congo unapata fundi safi sana bro kuliko yeye

    • @digitalkusaga
      @digitalkusaga  Před 3 měsíci

      Kwahiyo bora wamuache waende congo wachukue watu

    • @IssaBoribo-of6en
      @IssaBoribo-of6en Před 3 měsíci +1

      @@digitalkusaga kabisa yaani...halafu unajua kuna nchi nyingi Afrika Zina vipaji vikubwa na hawalipwi pesa nyingi mfano Ghana ,Congo ,hata Malawi ...twendeni huko tu

    • @AllyYusuph-ml7hh
      @AllyYusuph-ml7hh Před 3 měsíci

      Kweli kaka