BODABODA WAMTEKA MC MSIBANI ARUSHA, WAMUAMURU AFANYE IBADA YA MAZISHI MAKABURINI, WACHUNGAJI WAZUIWA
Vložit
- čas přidán 2. 11. 2022
- BODABODA WAMTEKA MC MSIBANI ARUSHA, WAMUAMURU AFANYE IBADA YA MAZISHI MAKABURINI, WACHUNGAJI WAZUIWA
kutokea Mkoani Arusha wilayani Arumeru vijana waendesha pikipiki wamefanya vurugu msibani na kuwazuia ndugu jamaa na marafiki kushiriki kwenye mazishi...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 713 750910)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Daah😭
tunapoelekea ni pabaya" Yaa Allah twakuomba utuongoze vyema waja wako🤲🏼
Vijana wengi arusha madawa yamewathiri sana sana.mana awajali Imani ya dini yoyote.wazazi tunashida kubwa sana
Mtangazaji una fail wapi unazidiwa busara na huyo mzee ambaye ameonesha weledi mkubwa kuhusu busara iliyotumiwa na Polisi kututua kero hiyo na kuepusha madhara zaidi badala yake wewe unalazimisha kutuhumu Polisi kuwa ilikwepa jukumu lake kwa kutotumia nguvu zaidi.Hongera sana mzee umeonesha ukomavu wa hali ya juu kutatua suluhu
big yes
Hilo kundi ni kubwa Sana na halina kazi maalumu. Tuwe makini jamani. Wana nguvu km Timotheo alivyowaandikia. Tuzidi kumwomba Mungu awape hekima. Ni watoto wetu tuliowazaa.
Hawa jamaa waulize panyaroad walichofanyiwa hapa Dar. Arusha Serikali imewaona na haitavumilia kikundi cha watu flani kiharibu amani ya nchi.
Huyu mzee anayo busara sana.
Hawajamfanyia malehemu vizuri kwanini jamani kifo nisherehe ya mwisho lazima mwili uheshimiwe navijana badilikeni angalieni na makundi ya kufatana nayo
Walimkosea sana
Ndo maana mvua haiyeshi maana matukiyo yamekuwa mengi sana mwenyezi mungu tuhurumiye huu wa kwalesima nimwaka watoba
Mwenyekiti unahekima Sana🙏
Ipigwe marufuku hakuna msafara wa zaidi ya pikipiki 5 kwenye kusanyiko lolote liwe la msiba au sherehe, huwa wakipiga zile sauti za race akili zao zinazidi kuoza mizuka inawapanda
Bangi! Bangi!Bangi! Hayo sio maisha,ukiwakuta sasa wanavyo jisifu kwa ujinga,Mungu awaokoe tuu
Sheria iko wapi???
shida makanisa wachungaji mnazingua imani mnafanya dili mara mkiitwa kuzika mnaringa
Baba wa mtoto ndo alichangia vurugu kutoka mochwary aligoma kijna asipelekwe alipolelewa na alipofia.ndo ugomvi ulianzia apo
Mwenyeketi anahakil sana
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ
Wamelaaniwa hao vijana.huko Arusha kunahitajika maombi ili kuondoa laana.pia askari walitakiwa wasimamie hao wahuni wanawaogopaje ?
Hawa vijana wa Arusha wanabembelezwa sana wanajiona kama wapo juu ya Sheria
Utafiti ni muhimu tuendako ni majanga watoto wamekengeuka hakuna hofu ya Mungu tena
Ivi macamera wenu uwa mnawatoa wapi ,, Izo shot zake mmmmmmm
Mtangazaji Ujui Busala Kabisa Busala Ni Zaid Ya Ngumi Risasi Au Panga Busala Ni Zaidi Kwenye Kujenga Na Kubomoa Polisi Walijua Wakienda Nilazima Watapata Mzuka Wa Kupiga Risasi Lakini Risasi Izo Zinaweza Kuzua Utata Wacha Wazike Na Viongozi Wa Dini Na Wazee Watoe Maneno Kwa Vijana Wajue Kama Walikosea Sana Kwa Mwenzao Na Wajifunze Kwa Ilo Kosa Lao Kwa Mwenzao Uyo Mtangazaji Apo Umezidiwa Busala Na Kibabu Cha Busala
Umbali mita20😄😄
Swali tu huyo mtu aliye fariki alikuwa hana ndugu ampaka kuzikwa kiuni na vijana wauni hapa kuna shida.
Wazazi wa Arusha mnakazi ya ziada kuombea vijana wenu wamelaaniwa
Mtangazaji, wale vijana sio akili zao,bora busara iliyochukuliwa maana ingekuwa hatari zaidi.🙏Arusha inahitaji maombi Sana,yan kila siku matukio😥
Hakuna cha Arusha wala nini, sisi tunaishi Arusha, hawa watu wa bodaboda ni wakuchapwa kichapo kikali wataacha huu upumbavu..Hawa wavuta bangi wachache hawawezi kuleta taharuki kubwa kihasi hiki.. Mi naona jeshi la Polisi hawakupaswa kuondoka haya yasingetokea… Watu wanaachiwa mpaka wanafanya fujo madhabahuni?? Huu ni upumbavu wa hali ya juu sana..
Mimi naona mtangazaji na wote mnaotoa comment mnawaza njia moja... Haiwezekani vijana wengi hivyo waibuke tu na kufanya hayo bila sababu... Huyo Kijana atakuwa mwenzao.. Pengine kabla ya umauti alipitia wakati mgumu na Ndugu wakamwacha.. baada ya kufa ndo wanajitokeza kuzika kistaarabu kwa Nini vijana wasijawe na hasira... Hapa kuna jambo kubwa limejificha na mtangazaji hata hujauliza... Balance story yako upande wa pili pia..
@@noelbryson7840 ahsnte,nimekuelewa🙏
@@thadeylyimo9772 si vibaya kutofautiana kimawazo ndugu yangu,kikubwa kila MTU aheshimu mawazo ya mwenziye🙏
Ahsnte🙏
Mkusanyiko wa watu huo lazima maafa yangeozeka zaid,mtangazaji unachochoe
Mtangazaji unazingua.
Bora wange enda jeshi jwtz hapo
🤣🤣🤣du hatali sana 😄😄😄
Arusha jaman dah
Ila sis kule kwetu kijiji Kenya mtu WA bodaboda akifa YY huwa sio WA familia bt anazikwa taratibu, Ila familia nyinyi mtabaki wapenzi watazamaji tu
Arusha Sijui Watu Wanajiongoza Wenyewe Utazani Akuna Viongozi Uko
huu ni uhuni wa hali ya juu na hii inatakiwa kukomeshwa maana ni genge tu la wahalifu kama walivyo panya road na wengineo, tatizo ni kwamba kila kitu kimekuwa siasa hii nchi, wanaogopwa kisa wapiga kura wangu... hili ni tatizo kabs
Kwann walifanya hivyo
Mwandishi wa habari huyo mzee anastahili pongezi kwa kile ambacho anakisema wametumia busara kuepusha madhara
Shida vijana bangi inawasumbua
Arusha, Arusha khaa🤔🤔
Kama serikali haitafanya utaratibu kwa hao boda ipo siku wataelewa hawa ni wehu.
Innalillah wainalillah lajuun
Vijana wa Arusha wanajionaga wamepinda kumbe hamnazo yaan mnaonaga mmemaliza Kila kitu kwenye maisha
Baadhi ya vijana sio wote
Nawe kuwa na fact ktk habari afu unajiita msomi! Km 3o kutoka wapi kwenda wapi??
Boda boda wanaumoja Sana, asa wakigundua kauliwa
Huu mkoa huu si Dhani mabinti wa mkoa huu nao kama wamesalimika??
Vijana wa Arusha poeni kidogo, mbona kila siku fujo misibani!?
Kijana aliwafanya nini
Ungetafuta sababu ya hao vijana kufanya hivyo ingependeza, alafu ukifa umekufa hayo maombi unayo fanyiwa yafaa nini kwa Mareham? Tujitafakari
Bang sio powa
Arusha jamani
Iyo ndo arusha
Duuuu Arusha arusha
Mtangazaji hui kuhoji unalazimisha majibu jirekebishe unatukera
Bangi hizo serikali iwachukulie hatua bodaboda wanataka kujifanya wao ni wababe Kuna matukio mengi yanafanywa na bodaboda lzm kama wakikaa kimya Kuna matukio mengi yatakuja polisi fanyeni kazi yenu vzr busara zitakuja kuwacost
Boda boda jmnn kwani mnakwama wapi mbna hamuambiliki nyinyi jmnn , daaah??
Mental health jamaaaaani vijana wanahitaji msaada jamaani
Bangi
washamba hata km ni bangi serikali angalieni hili
Nchi inahudumia vijana wa hovyo...hao ndio taifa la kutegemew? ...natoa pole kubwa kwa wanafamilia....tunalaani
Malezi ya watoto wenu msilalamike
Vijana wa kimeru wanashida sana
Yan arusha mna nini, nyie ndo mnavitibwi sku iz,mara mzike mtu futi 11, mara muende msibani mmelew, na saiz ndo naanza kuamin maneno ya Lema kuhusu boda boda akili awana
WAHUNI BANA...
Huko ndio Arusha bhana hatari sana
Polen
Mtangazaji analazimiaha polisi waonekane wazembe, Wakati kunawakati busara inatakiwa ichukue nafasi kuliko nguvu.
Tatizo ni kwamba inasadikika kwamba makanisa ya kkt huwa wanaukumu marehemu kma kanisani huendi jumuiya eti wakati wamsiba wako kuna vitu hutofanyiwa litrugia baadhi ya sala hutofanyiwa hukumu anayetoa ni mungu peke yake kwani kila mtu ataenda kutoa hesabu yake mwenyewe tena hakuna mtu mkamilifu chini ya just . Ukija kwa wenzetu waislamu, na hata makanisa ya kiroho huwa hawana tabia ya kutoa hukumu kwa marehemu kwani wanajua hawana mbingu ya kumpeleka mtu wanajua aliye mkamilifu ni mungu peke yake jamani happy tujitaidi kubadilika tumwachie mungu afanye kazi yake bwana ametoa na beans ametwaaa jina la bwana libarikiwe ameeeeni.
Kabisa sio sahihi coz hao viongozi wenyewe sio wasafi hakuna binaadamu msafi sote tuna mapungufu sio sahihi kuhukumu hyo ni kazi ya Allah
mtu akifa acha afe nazambizake sio uhukumu binadamu mwenzako wakati muna enda haja wote
Kabisa mengi wanasababisha viongoz wa kanisa
Kwel
Phfjy
Huyu mwnykt mbona kama na mjuwa.
Polisi busara ZENU ziendelee mmetumia Akili kuliko huyu mtangazaji ovyo anavyotaka hatakuuliza hajui anajijibu mwenyewe
Arusha sasa mnatsha kila siku ma2kio badirken jaman
Kwa hapa Polisi wamezembea kwa kweli
Kungekua na vifo vingi hapo police walitumia akili
Huyu mtangazaji anaongea kwa chuk na plce
Tatizo ni vijana wengi kutokua na kazi, hii ni hatari sana
Sahihi...elimu ndogo...uvutaji wa mihadarati na mitindo mibaya ya maisha yamepoteza maadili
Uongozi mbovu
Hawa washamba bangi zinawapa Ujasiri sana kwenye upumbavu wao
Ni kweli akili za bangi wanatia hasira
Huu upumbavu ni sasa hivi wanauleta! Kipindi cha nyuma huu ujinga haukuwepo.. Sasa watu wanaingia mpaka madhabahuni halafu hata jeshi la polisi hawafiki?? . Hawa wavuta bangi kama wataendelea kuachwa hivi tunakoelekea ni kubaya sana !! Me nachojiuliza ni kwamba waliopewa jukumu la kulinda raia na mali zake jukumu lao ni lipi…?
Upuuz
Bangi aimfanyi mtu kuwa mpumbavu hao ni wapumbavu tu
Huu mkoa wavuta bangi wengi sana nadhani nguvu KAZI ya vijana mkoa huu baada ya miaka 10 itakuwa haipo!! Ni hatari sana vijana wa kike wa mkoa huu itabidi watafute waume Toka mikoa mengine
tunawapenda wanaume zetu sio wote ni bangi wapo wastaarabu sana hatuahami mkoa kisa vichaa wachache 😂
Muandishi msomi upo juu
Arusha arusha mnanini lakini....
Tatizo bangi ndo imetawala Sana mkoa uo vijana wamealibika Sana uko na awafai.
sio Arusha tuu Tz yote bhangi vijana wamezidi hata akili zao hazifikirii maisha yajayo bhangi mbaya
HIII NCHI KILA MTU ANAFANYA ANAVYOTAKA! YANI WAVUTA BANGI WANALETA TAHARUKI KUBWA KIASI HIKI NA JESHI LETU LIPO? .. HALAFU KINACHONIUMA ZAIDI NI KWAMBA WAVUTA BANGI WANAFANYA VURUGU MADHABAHUNI NA HAKUNA HATUA YOYOTE ITAKAYOCHUKULIWA … HILI NI TUKIO BAYA NA LA AIBU SANA..
Kilometa 20 hapana labda nne tunaishi sekei
Hawajui kujieleza
Mambo ni mengi muda ni mchache kipindi cha Corona mbona mlishika adabu mi naona mngewaacha tu wakamuaga mpendwa wao kuna mambo mengine muyapuuze wazee wangu hiki ndo kizazi kipya😳🙆🏽♂️
Kwani unadhani Arusha hakuna police et,,tena hakuna police wanapiga vizuri kama wa hapo Arusha
lazima wawajibishwe sio kizazi chaleo hawa ni watu wazima kabisa mtu akiendesha pikipiki sio mtoto,wawajibishwe mbwa hao
Kuna mambo ya kupuuzia lakini sio haya mtu kazikw bila ata maombi daaah 💔
Hiyo ni ndiyo arusha tatu mzuka
Bangi
Uhuru hamna,mbona viongozi wanakaa wiki 2 hawajazikwa;tùzikane tunavyopenda
😂
Mazishi ya kiislam hauwez kuona jambo kama hili hata kdogo sijui wenzet wapi wanakwama
😃😃😃 una ongea wewe ulienda msiba wa Cheche kagila
@@simbascdailysimbasctanzani2835ndio nilikuwepo
Mtihani sn
Simoni hujambo kumbe umekua mwenyekiti siku hizi ...embu tafuta marafiki zako tumekumis
Simon upo poa tuwasiliane basi nipe namba kaka
We mtangazaji una maswali ya kijinga sana
Huo sio ujanja ni ujingaa
Nyie boda hamkumtendea vema mwenzenu
Mwandishi maswali gani hayo
Yan huyu mtangazaji anataka nn Kwan mbona maswali yake ya kichochez
amezingua sanaa fara uyo
Arusha hii ni Somalia ndogo na msikatae
Asha kwakweli Arusha ni Somalia ndogo yaani mpaka nimecheka kwa nguvu kama mazuri poleni wafiwa maana
Arusha sina hamu napo mkoa wa kikatili sana
Walimchosha tu marehemkuwa aliwahikuwafanyia vibaya hadiyotehayo yakatokea sasa matusiyalitokawapi
Siku moja,viongozi wanakaa siku ngapi
Mda si mrefu tutawaita Arusha wauni matukio yenu ya ajabu Sana! Mnasingizia kesi watu wema kumbe mnatafuta Uhuru wa kufanya maovu!
Badilikeni
Mwandishi msomi
Wangekua waislam was inge fanya hivyo. Allah ayuongezo Atujaalie mwishomwema 🤲
Uislamu umeingiliaje apaa!? Manina zakoo 🖕🖕🖕
@@franktemu510 manina zake kabisaaa mbinafsi huyo
Walslam huez fanya huu ujinga wanaheshim sana Marehemu, hawa bangi hlf wamezid sasa ifike mahal wapigwe mabomu sasa.
@@franktemu510 usimtukane ni kweli wakristo tuna udhaifu sana toka umeona huu upumbavu umeshwah kuona msiba wa kiislam woiii
@@franktemu510 unakumbuka msiba wa yule dada juz juz....wa kijenge sijui alifia mererani, muislam hata akivuta bang akiona msiba wao haez fanya haya hii ni karibu mara ya tatu wanafukuza mchungaji kweliiii😭😭😭😭
Hawa vijana wasipodhibitiwa kuna siku litaibuka balaa!