Wacha uwongo kabisa, bible ilinena tu vizuri ukiua kwa upanga utakufa kwa upanga, ama Mimi ndio sisomi Biblia vizuri? Wacheni kuchukulia shida za wengine kuwa mambo madogo kwenu, uchungu wa mwana aujuae ni mzazi 😭😭
Acha kuleta uongo wako. Mwenye kukusudia kuuuwa naye hukumu yake ni kuwawa. Ivi ingelikua ni wewe mtu wako wa karibu ameuwawa kwa kukusudia ungemsamehe aliemuuwa? Au unaongea tu kwa sababu hayajakukuta?
Wacha uwongo kabisa, bible ilinena tu vizuri ukiua kwa upanga utakufa kwa upanga, ama Mimi ndio sisomi Biblia vizuri? Wacheni kuchukulia shida za wengine kuwa mambo madogo kwenu, uchungu wa mwana aujuae ni mzazi 😭😭
Christians are commanded by God and bible to forgive,if they expect to heal spiritually and emotionally
Acha kuleta uongo wako. Mwenye kukusudia kuuuwa naye hukumu yake ni kuwawa. Ivi ingelikua ni wewe mtu wako wa karibu ameuwawa kwa kukusudia ungemsamehe aliemuuwa? Au unaongea tu kwa sababu hayajakukuta?