Familia yaiachia hospitali maiti ya mwanao eneo la Kabete

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 23. 08. 2024
  • Familia moja katika eneo la Kabete kaunti ya Kiambu imeiagiza hospitali kusalia na mwili wa mpendwa wao na kuufanyia inavyotaka baada ya kulemewa kulipa deni la shilingi milioni moja kwa hospitali hiyo.

Komentáře • 82

  • @abahja
    @abahja Před rokem +36

    You can't pay 1 m for dead body hospitals sometimes need to be Human and understand that even the family have lost their loved one

    • @Naomie2023
      @Naomie2023 Před rokem +2

      True

    • @nurezdawood8363
      @nurezdawood8363 Před rokem +1

      Very true and well said brother

    • @KIM-xl6zs
      @KIM-xl6zs Před rokem

      Have you ever run a business, tell me do you give your services or products for free, if you do tell me where you are located

    • @froline5209
      @froline5209 Před rokem

      Imagine😢

    • @maxodongo2859
      @maxodongo2859 Před rokem

      @@KIM-xl6zs this is rhetoric

  • @tabithawanjirundegwa7861
    @tabithawanjirundegwa7861 Před rokem +17

    Hapo ndipo!!! Acheni wazike wenyewe ata hiyo ni maiti inaweza zikwa popote! Milioni moja !!! Aaaaa achaneni nayo! Wapeleke kule wanataka

  • @stellahokworo6561
    @stellahokworo6561 Před rokem +2

    Hiyo hospital izike maiti kama wameona biashara za wafu ndio wanapenda hata mimi siwezi nunua maiti na 1m under the blue sky never gooooo and burry

  • @stevegeee298
    @stevegeee298 Před rokem +24

    The government should subsidise or make funerals free of charge.Kenyans are suffering

  • @phoebeadikinyi3441
    @phoebeadikinyi3441 Před rokem +16

    2019,we lost a dad who had lost his son and had a bill worthy millions, due to pressure, the father just collapsed after the hospital could not release the body,at times hospitals,muwe na huruma

    • @abahja
      @abahja Před rokem

      Sorry for the loss that's inhumane

  • @aishachambo8663
    @aishachambo8663 Před rokem +1

    Kweli kabisa acha wazike wenyewe siwezi lipia milion 1 maiti😢😢😢

  • @monalizamomanyi8798
    @monalizamomanyi8798 Před rokem

    Wah wah Sasa maiti nayo mnadai 1million surely the Kenyan gava must come in for this family

  • @princeofaragon728
    @princeofaragon728 Před rokem +5

    Good decision,wanakatalia mwili wakule??wachia hao wazike

  • @winnieamanya665
    @winnieamanya665 Před rokem

    Wallai hata kama ni mm ..Bora wazike..1m Kwa maiti ?laah Hashah.Hospitali izik

  • @madeinthestreets2663
    @madeinthestreets2663 Před rokem +6

    Siku zote binadamu hawana utu.

  • @Ngossmann_254
    @Ngossmann_254 Před rokem +2

    It makes no difference kwa familia kuzika mwenda zake na hospitali kuzika the same since kaburi ni kaburi and indeed it's so inhuman for a hospital kukatalia Mwili ya mtu eti lazima kwanza walipwe 1Million or even any other amount . Familia haiwezi uza Mali Yao yote eti ndio walipe Bill za marehemu kama hospitali ingefanya jukumu la kuokota maisha yake well n good that's reasonable but mtu amekufa akiwa kwa mikono yenyu alafu mnakuja na masharti eti lazima walipwe 1M ndio waachilie mwili it's better waizike basi ama wamkule very shamefull mnaongeza shida juu ya shida kwa familia the government should stop all this cases of hospitals refusing with dead Bodies until their next of kins pays the bills shame on them again

  • @aliceoburu7100
    @aliceoburu7100 Před rokem

    Wa Kenya tuzaidiane.

  • @Elliana2014
    @Elliana2014 Před rokem +10

    They failed to save the person yet they still want to be paid one million for what? Wacha wazike wenyewe he's dead and gone hiyo pesa haiwezi rudisha mpendwa wao.

  • @samueljunior6651
    @samueljunior6651 Před rokem +11

    This is the saddest part in life. I took a long term loan and borrowed in other sources to facilitate my mother's medication, she died two months later, I have to pay the loans for many years to come😢. RIP MUM.

    • @MsDavali
      @MsDavali Před rokem +2

      I’m so sorry for what you went through and may your mom know eternal rest🙏🏾

    • @maxodongo2859
      @maxodongo2859 Před rokem +1

      Hugs Brother all is well. She is smiling and thats blessing

    • @elizahbethngele
      @elizahbethngele Před rokem +1

      Im so sorry I feel your pain brother may he rest in peace 😢😢😢

  • @michaelwafula1625
    @michaelwafula1625 Před rokem +5

    Before the person died,drugs were used plus other consumables, specialists were called to review the patient,we are not justified to curse the hospital,what they are requesting is their dues.We are living in hard economical times,too much corruption that has crippled our health sector

    • @daudiakwabi128
      @daudiakwabi128 Před rokem +2

      Will the dead body help the hospital to collect it's expenses, the law doesn't allow to detain dead bodies, there are many other ways hospital administrations should come up with on how to solve the bill issues rather than detain detain dead bodies

    • @stlmyn7419
      @stlmyn7419 Před rokem +1

      The hospital is insured incase of such incident. Holding the dead body will benefit no one .

  • @lilylilian8729
    @lilylilian8729 Před rokem

    Baba anaongea kama Hayati Kibaki

  • @PapaTheKingKenya
    @PapaTheKingKenya Před rokem +6

    Kwani hizo pesa ni za nini Kenyans hospitals?

  • @williamsmulu3055
    @williamsmulu3055 Před rokem +2

    Kenya jameni!! Raisi wetu uko wapi plsssss

  • @mohamedgathu2676
    @mohamedgathu2676 Před rokem +3

    Yauma sana

  • @alicewangui9656
    @alicewangui9656 Před rokem +1

    I know of someone that had to make an arrangement with the hospital to pay a certain amount each month after the hospital agreed to release her son's body for the funeral.
    She pays the money each month but surely some of these debts should be waived.

  • @johnkihwaga5376
    @johnkihwaga5376 Před rokem +2

    Mwenye hosi weka hiyo mwili vizuri December haiko bali ujipambe nayo kwani iko nini mnataka wauze shamba wazike mwili watazika wapi wakiuza shamba yao tumieni akili bana

  • @paulkamau8461
    @paulkamau8461 Před rokem +1

    Mtu akikufa sherikari ichukuwe jukumu ya kuwave the bill lakini Kama mtu ako hai that is understandable

  • @stefanogizzler
    @stefanogizzler Před rokem +3

    This is extremely sad!

  • @winrose5491
    @winrose5491 Před rokem

    Serikari iangalie maskini jameni🙏

  • @douglaskhakamemindoti3455

    Oooooooooh. Very unfortunate....

  • @johnkariukimungai5211
    @johnkariukimungai5211 Před rokem +1

    Very sad but I would also leave it to them. You cannot impoverish the living to bury the dead.

  • @jackiekaremi7862
    @jackiekaremi7862 Před rokem +2

    Very painful

  • @monicanjoki5925
    @monicanjoki5925 Před rokem

    😢it true

  • @CollinsMasinde-ng2mc
    @CollinsMasinde-ng2mc Před rokem +1

    Zitizen ndio nyumbani

  • @peterbarasa9244
    @peterbarasa9244 Před rokem +1

    Mtu akipelekwa hospital akiwa mgonjwa dakitar wamutibu apone iyo nakubaliana walipe na ikiwa dakitar alitibu ikasindika inamanisha walishindwa kumponya mgonjwa haifai kulipwa sababu mgonjwa hakupona afadali wangedaisha tu pesa kitanda aiiiii iyo apana

  • @ag-tm7je
    @ag-tm7je Před rokem

    Kama hawawezi peana bila pesa itabidi wawachiwe coz huwezi kopa pesa za matibabu na ukope za maiti na already ile kidogo uko nayo wamekataa kuwapea mmpumzishe.

  • @KIM-xl6zs
    @KIM-xl6zs Před rokem +1

    I still wonder why we would do a harambee to raise money for a dead person, si wakae na mwili, the person is already dead

  • @margaretnamubi4565
    @margaretnamubi4565 Před rokem

    Vile halo ilivyo..hiyo pesa ni bigumu kupatikana..either hospital isaidie tu hawa wazazi

  • @sifasikubalikiponda3472
    @sifasikubalikiponda3472 Před rokem +3

    Huruma iko wapi?

  • @jumak.ismail2504
    @jumak.ismail2504 Před rokem

    Hospital be human 1m for dead body hapana

  • @noelatsole5552
    @noelatsole5552 Před rokem

    Sasa kweli hapo hata mia itapatikana wapi ,mu gu wasaidie

  • @KevinMomanyi-ws9zm
    @KevinMomanyi-ws9zm Před rokem

    Honestly when someone passes away they should not change after that....

    • @sallypeter1407
      @sallypeter1407 Před rokem

      Or atleast charge for seven days the body stays in mortuary before it is buried

  • @abdallahkassim318
    @abdallahkassim318 Před rokem

    Thank you 😢

  • @caribbeanpharmacy1605

    I'm thinking there should be a small portion in health insurance or hospital consultation fee set aside. This is to cater for settlement of bills in case a person dies and their family cannot afford.

  • @elijaonyango8620
    @elijaonyango8620 Před rokem

    Kimani ichungwa atoe hiyo pesa asaidie hiyo familia sio kupigapiga mdomo mingi hapa na watu wanaumia wakiwa na gachagua toeni hizo pesa msaidie hiyo family

  • @mr..tsofasam
    @mr..tsofasam Před rokem

    Baba was the best choice, baba alisema, mortuary was to be free..mkadanganywa, sasa!😂

  • @judymoraamachongo99
    @judymoraamachongo99 Před rokem

    😢😢😢😢Waja ikae

  • @simonkariuki2596
    @simonkariuki2596 Před rokem

    This very sad story can the hospital management see this is a time of help give the dead their body to bury in peace

  • @lucykinyanjui6334
    @lucykinyanjui6334 Před rokem +1

    Watafute karagu muraya ama lyne ngugi tuchange 😢really sad

    • @PoliteoneGlory-in8kg
      @PoliteoneGlory-in8kg Před rokem +1

      Kwani hawana viongozi kwanzia governor hadi MCA na raia ?? Karangu is well wishers send contributions

    • @charitykamau4785
      @charitykamau4785 Před rokem +1

      Walichagua viongozi where are they now?? Very unfair politicians promise wanjiku heaven on earth during campaigns then after that they vanish in the thin air

  • @kenlubisia7045
    @kenlubisia7045 Před rokem +1

    Painful 🤦‍♂️

  • @rosemarymungai2415
    @rosemarymungai2415 Před rokem

    Kenya some people are cursed to the core jameni how dare you charge someone plus security to the amount ? ? of a dead body kwani ataamka alipie hiyo pesa kweli

  • @nancynashipae1505
    @nancynashipae1505 Před rokem

    Painful 😢😢

  • @mercedesjoseph4977
    @mercedesjoseph4977 Před rokem

    Thats very sad

  • @prudence1409
    @prudence1409 Před rokem

    So sad ..

  • @moshe77
    @moshe77 Před rokem +1

    😢😥

  • @samgibbs3066
    @samgibbs3066 Před rokem

    So sad.. they need to ask the half of that money 💰, Coz already the body is ded

  • @duchesslakenya2612
    @duchesslakenya2612 Před rokem

    So saad😢

  • @jameschengo1471
    @jameschengo1471 Před rokem +1

    Acheni ufala mwili uliotangulia mbele yahaki mkiendelea kuugandamizia madeni kama hio.wewe kama mlipwa deni chukua iyo kiatu wanavaa hio familia uvalishwe kwako..!!!! stupid acheni roho zakishetani ''million moja kwa kitu gani yashukrani iliyo fanyika hapo...! unadhani wanauchungu marangapi namaisha nihio.achadhambi unae husika

  • @Kidslove165
    @Kidslove165 Před rokem

    wat the sence of Paying that bill in Exchange óf a dead useless body??

  • @wesmaelijah8460
    @wesmaelijah8460 Před rokem

    Mwenye hosipitali weka hiyo mwili kwa freezer ukule siku kuu ya Christmas