Afisa wa polisi Fredrick Leliman ahukumiwa kifo kwa mauaji ya wakili Willie Kimani

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 23. 08. 2024
  • Mahakama imemhukumu aliyekuwa afisa wa polisi ambaye pia ni mhusika mkuu kwenye mauaji ya wakili willie kimani , Fredrick Leliman, Kifo.aidha aliyekuwa afisa wa polisi Stephen Cheburet amefungwa miaka 30 gerezani huku mshtakiwa wa tatu Sylvia Wanjiku akifungwa miaka 24 gerezani. aliyekuwa akitoa habari kwa polisi Peter Ngugi amefungw amiaka 20 gerezani.
    wanatuhumiwa kumuua wakili Willie Kimani, mteja wake Josephat Mwenda na dereva Joseph Muiruri. watatu hao waliuwawa mwaka 2016 na maiti yao kutupwa mtoni old donyo sabuk.

Komentáře • 6

  • @annahmwangi5367
    @annahmwangi5367 Před rokem +3

    For the first time ever we hv seen justice in Kenya

  • @sekanicanory9915
    @sekanicanory9915 Před rokem +3

    HAPO SAWA

  • @adhiambonyasuna4043
    @adhiambonyasuna4043 Před rokem +1

    Wafungwe kifungo cha milele

  • @elizabethathiambo940
    @elizabethathiambo940 Před rokem +1

    Huyo polisi hesitate anaitwa leliman anafaa kwanza afanyiwe torture ya kutosha before auliwe vyenye alimfinya lawyer na pliers vitu zake anafaa afanyiwe the same ndio asikie vile mtu husikia
    Na hio macho yake inakaa ya shetani

  • @ikarossila221
    @ikarossila221 Před rokem

    Pakaibahasalndon3sia