Shahidi wa mwisho katika kesi ya mauaji ya wakili Willie Kimani atoa ushahidi

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024
  • Shahidi wa mwisho kwenye kesi ya mauaji ya wakili Willie Kimani ametoa ushahidi wake mbele ya Jaji Jessie Lessit. Inspekta Clement Mwangi aliye husika kwenye uchunguzi wa mauaji hayo ya mwaka 2016 alieleza mahakama kuwa radio rununu inayotumiwa hususan na polisi ilithibitishwa kuwa katika maeneo ya mauaji.

Komentáře •