Hukumu kuhusu mauaji ya willie Kimani imetolewa na Jaji wa mahakama ya rufaa Jessie Lessit

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024
  • Polisi wanne na raia mmoja wahukumiwa kwa mauaji
    Watuhumiwa kuwaua Willie Kimani,Joseph Muiruri na Josephat Mwenda kuuwawa
    Watatu hao walitekwa nyara wakitokana mahakamani Mavoko, Machakos
    Maiti zao zilipatikana katika mto wa Ol Donyo Sabuk wiki moja

Komentáře • 13