sarafina you are a star...I predict that..you are a girl to watch..your voice is amazing...my dia girl one day am gonna buy your album...more love from Kenya.. I agree with madam Rita you have all the quality of a star
hongereni kwanza kabisa majaji kwa namna mnavyopendana na mnavyofanya kazi mama na dada yangu madam Litha god may bless you unajua nimeangalia machozi yamenitoka hivi km c wewe hivi vipaji vingefia wapi nice nice and sooo nice.no hao wanaofanya festivals.fiesters wengekuwa wasaniii wao wanapafumu namna hivi ingekuwa safi sana kulikokuwaimbisha au kutuimbisha hongereni sana sana nice show duuh top 5 Kali sana ya bongo star search tangu niangalie Bss
Nakumbuka shoo yetu ya fainali bss ya kwanza 2008 tena tulikuwa hatuna wadhamini ilifanyika daimond jubilee hall kingilio elfu10 na ukumbi tuliujaza mshindi aliyetuongoza jumanne idd wapili lea muddy nikilinganisha na shoo hii ambapo ni miaka10 sasa nisiwe mnafki bss imeshuka kimsisimko yaani haivuti watu kama wakati ule yaani hata washiriki ulikuwa unajiuliza sasa hapa atatoka nani abaki nani
Kipindi kile watu walikuwa wanajua sio.kama sasa mtu anaimba ma flat hivyo eti ndio mshindii hawa majaji wananiangusha sijui wnangalia nini..Ngoja tuone ataishia wapii..
Na hawa wanaoitwa washidi huwa wanapoteleaga hapo hapo hatuwaoni tena sasa sijui wanashinda au wanapewa kazi kweli kwelii.Kama yupo aliyeshind Na Bado yuko on Fire Sijui wote potelea mbalii kabisaa..
Hamna msaanii hapo wanao jua Washa mwagwa nyuma huko angalia walio pewaga mwanzo wako WAP bhn hawa hiz tuzo za mipango BG up sana harmonize kwa kutoboa wcb hawa wakandamizaj kama fiesta???
Ivi huyu ni mshindi wa ngapi toka kanda ya ziwa? namkumbuka Misoji Nkwabi, namkumbuka Paschal Kasian, .... Kuleni Sangara na Sato jamani, nafikiri wanasaidia!
Kinachoshangaza wanaoshindwaga hapo ndo wanaotoboaga ktk ulimwengu wa mziki wanapoamua kupambana mtaani'Like harmonize) AF washindi wa Bss wanaishiaga hapohapo bss: ndo utagundua kua unakazi ya ziada ya kufanya ili kipajichako kilete mafanikio:
hongereni kwanza kabisa majaji kwa namna mnavyopendana na mnavyofanya kazi mama na dada yangu madam Litha god may bless you unajua nimeangalia machozi yamenitoka hivi km c wewe hivi vipaji vingefia wapi nice nice and sooo nice.no hao wanaofanya festivals.fiesters wengekuwa wasaniii wao wanapafumu namna hivi ingekuwa safi sana kulikokuwaimbisha au kutuimbisha hongereni sana sana nice show duuh top 5 Kali sana ya bongo star search tangu niangalie Bss
Kama umemuona Juma Sharobaro gonga like
Kama unasikia makelele kuliko muimbaji like hapa
😀😀😀😀😀😀
😅😁👌
Hawa mademu wa hip hop wanatokea kaskazini pekee kingereza kilipo asisiwa
Rock City Gyal...🙌 This babe Sara is phenomenal😍
majaji wa BSS nawapenda sana mnaijua haki ya mtu sio wale wanafki wa jibebe is
sarafina you are a star...I predict that..you are a girl to watch..your voice is amazing...my dia girl one day am gonna buy your album...more love from Kenya.. I agree with madam Rita you have all the quality of a star
Unasauti nzuri ya kuimba lkni hpo salama atkosowa to mna ktulia na yupo makin na kukutizama dada kazi nzuri mydear 😘😘
Daah asee saiv watu wana ukakasii mifukoni hata hawTunzi ovyo ovyo miaka ya nyuma apoo angeoga mihela
Si unaona watu wenyewe wachache sio kama miaka iliyopita
vinny cente hahahahahaha. Vyuma babaa
Huyuu dem ni mkali sana tusubirieni tusker project fame ni all east Africa huyu dem atafika mbali
hongereni kwanza kabisa majaji kwa namna mnavyopendana na mnavyofanya kazi mama na dada yangu madam Litha god may bless you unajua nimeangalia machozi yamenitoka hivi km c wewe hivi vipaji vingefia wapi nice nice and sooo nice.no hao wanaofanya festivals.fiesters wengekuwa wasaniii wao wanapafumu namna hivi ingekuwa safi sana kulikokuwaimbisha au kutuimbisha hongereni sana sana nice show duuh top 5 Kali sana ya bongo star search tangu niangalie Bss
Hicho kizungu ni kigumu ,afadhali angeimba kiswahili diamond na wasafi group waelewe
😂😂😂😂
Nakumbuka shoo yetu ya fainali bss ya kwanza 2008 tena tulikuwa hatuna wadhamini ilifanyika daimond jubilee hall kingilio elfu10 na ukumbi tuliujaza mshindi aliyetuongoza jumanne idd wapili lea muddy nikilinganisha na shoo hii ambapo ni miaka10 sasa nisiwe mnafki bss imeshuka kimsisimko yaani haivuti watu kama wakati ule yaani hata washiriki ulikuwa unajiuliza sasa hapa atatoka nani abaki nani
Kipindi kile watu walikuwa wanajua sio.kama sasa mtu anaimba ma flat hivyo eti ndio mshindii hawa majaji wananiangusha sijui wnangalia nini..Ngoja tuone ataishia wapii..
Nyie hamjui kitu vijana wanaimba sana achen upuuz wenu
Nakukumbuka sana kijana
ama kweriii kwanzaaa miii nimekuja xhangaa nakutananayo youtube tuuu leo lkiniii enzi zleee nilikuwa nafutiliaa mwanxo mwixhoo na mara yangu ya mwisho kufuatilia nafikiri ilikuwa 2009 cjui anachukuaa paschal cassian duu ikikuwa tamuuu kweriii raia walimwaga pesaa jukwaaniii mpkaaa xhidaaa
Bss 9
Good Dada unajua kuimba Kwa kweli nimeielewa shoo yako respect sana kwako
Kama kuna alyemuona Juma Sharobaro anyoshe kidole juu
😂😂😂😂😂
Dogo janja natamani na mimi ningekuwepo nimpe japo ata 5000 sarafina ana karama aigizi
ushakuwa maarufu karibu kwenye urimwengu wa kukaa uchi
Jongo Jongo 🤣🤣
Jongo Jongo KWELI KAKA
Umesema kweli kabisa
Jongo Jongo 😂😂😂😂🙌🏻🙌🏻
Jongo Jongo 😂😂😂😂
Kilichobaki tusubirie vituko vyake na picha za uchi
Boya we nimechek kwa saut
Ramsojimmy Kelly 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ramsojimmy Kelly exactly ilo ndio tatizo kubwa la wabongo
Na hawa wanaoitwa washidi huwa wanapoteleaga hapo hapo hatuwaoni tena sasa sijui wanashinda au wanapewa kazi kweli kwelii.Kama yupo aliyeshind Na Bado yuko on Fire Sijui wote potelea mbalii kabisaa..
@@africanhappyadventure6951 yupo kayumba juma mshind wa2015 na anafanya poa tuu kweny industry
Team mwanzq
nilijua huyu mshindi toka namuona mara ya kwanza
hiv yure wazir alie sema nyege kilipu yake bado tu mjaipata alisema kipindi wanasubili ndege ya Tanzania
uyo masta jeu mbaguz tu kwa kuwa kamuona Hamis hana kitu ndio maana alikuwa ana myanyaa paa tu
Kama nimemuona juma sharobaro
Julius Deogrtius hata mm
Duuh
Yuko mbele kabisa
Julius Deogrtius yupo na mim nimuona
Ata mm
Ongera
Hakuna kama hamis nyinyi wanaguz tu hasa mastar j
Katoto kikwetu Mwanza💗
Mwanza xo proud for saraphina j
nmependa dada upo vzr piga kolabo na dogo janja
Dada yupo vizuri asee👏👏
Salama uzee unakustend sasa
Mbona nasikia kelele
Rock city talents
Benard Martine rock city
Dada anaswaga huyo
Hamna msaanii hapo wanao jua Washa mwagwa nyuma huko angalia walio pewaga mwanzo wako WAP bhn hawa hiz tuzo za mipango BG up sana harmonize kwa kutoboa wcb hawa wakandamizaj kama fiesta???
Oky brother
eti Mwanza NY nikadhani New York kuna mahali panaitwa Mwanza kumbe ni Nyegezi😂😂😂 Basata wametisha bwana
Yaaaaan huyu dada Angechukua KablA ya Final mAana mh SaraFina Hot
Uyo stephane ameisha pita akuna Cha kula au Nini I see star
She made it
HAYO MA FLAT NDO YA USHINDI MAJAJI NI HOVYO TUUUUUUUU
Uko wapi kaka yangu
Nice one
Good perfomance
Ivi huyu ni mshindi wa ngapi toka kanda ya ziwa? namkumbuka Misoji Nkwabi, namkumbuka Paschal Kasian, ....
Kuleni Sangara na Sato jamani, nafikiri wanasaidia!
Kinachoshangaza wanaoshindwaga hapo ndo wanaotoboaga ktk ulimwengu wa mziki wanapoamua kupambana mtaani'Like harmonize) AF washindi wa Bss wanaishiaga hapohapo bss: ndo utagundua kua unakazi ya ziada ya kufanya ili kipajichako kilete mafanikio:
Izo hair zako ni rasta au nin maan daily izo izo
Saraphina michael bongo star search 2018 Winner mshindi
Talented🔥🔥
Aisee!term hii mlikosa kabsaaaa!hakuna lolote
Super hero 🔥🔥🔥
Sara ni kipaji harisi..
Sidhn km mnazingatia kura za watanzania
sarafina anajuwa
Nyege nyegeziiii
Ntafute ww +97450580766
lovely
Safi sana una haki ya kuwa mshindi,Bgup
Mevreille
Max
Mhhh huyo mbn anapaka lipshen
czcams.com/video/xBFVbbtVH1U/video.html diet ya mayai siku saba kupunguza zaidi ya kilo nne Fungua link 👆
Katokea nyegezi huyo
Mmecheka MASTER J asa mjinga 😂😂😂😂😂
Akunalolote jau kabisa
Jomon ntaipataje hii video
Tatizo hawafiki kokote wanaishia hapohapo Bss
uyu dem.jini
Kazi ngumu kweli kweli
kufik apo simchezo mwamb
Kazi ngumu?? Acha utani!! Kuimba nyimbo ya mtu🤣🤣🤣 Sijui alietunga tumwambieJe😆😅😂🤣
sarafina ni faida ya Nchi wallai
Abo janatizma wamesomea wapi mziki pumba tuu
Kabebwa
hahahahahaha nice one
NIFWATE HAPA
We bwege!dogo Janja yupo wapi?
We nae anaemwaga pesa ni nan kwan??!
Hatujui mm na ww
@@jurmainezaidi739 pow
Nc
Safi sana salaphina
Poa
jmn tuekee yote
Huu wimbo unatakiw kuwepo mtaan sass
Boers and weird!!
Kwani wauza nguvu za kiume bado hawajacoment
Wako insta tu
Ata c uongo ni vituko2 na picha za uchi
Madam rita hii nywele na sura yake utafikili Embe mawazo mxiuuu
Mbavub2 embe mawazo ndio ipoje hiyo
Nimecheka sana
Kama umemuona juma sharobaro gonga like
hongereni kwanza kabisa majaji kwa namna mnavyopendana na mnavyofanya kazi mama na dada yangu madam Litha god may bless you unajua nimeangalia machozi yamenitoka hivi km c wewe hivi vipaji vingefia wapi nice nice and sooo nice.no hao wanaofanya festivals.fiesters wengekuwa wasaniii wao wanapafumu namna hivi ingekuwa safi sana kulikokuwaimbisha au kutuimbisha hongereni sana sana nice show duuh top 5 Kali sana ya bongo star search tangu niangalie Bss
Hapo ni haki yake kabisa kuwa mshindi