Mshindi wa BSS alivyomnyanyua Dogo Janja kwenye Kiti Chake

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 21. 08. 2024

Komentáře • 129

  • @officialgakankara
    @officialgakankara Před 5 lety +35

    Kama umemuona Juma Sharobaro gonga like

  • @agathanyondo9384
    @agathanyondo9384 Před 5 lety +67

    Kama unasikia makelele kuliko muimbaji like hapa

  • @husnajohn7466
    @husnajohn7466 Před 5 lety +6

    Hawa mademu wa hip hop wanatokea kaskazini pekee kingereza kilipo asisiwa

  • @DenyoReigns
    @DenyoReigns Před 5 lety +13

    Rock City Gyal...🙌 This babe Sara is phenomenal😍

  • @laymapeace4538
    @laymapeace4538 Před 5 lety +2

    majaji wa BSS nawapenda sana mnaijua haki ya mtu sio wale wanafki wa jibebe is

  • @zeinabhassan6071
    @zeinabhassan6071 Před 5 lety

    sarafina you are a star...I predict that..you are a girl to watch..your voice is amazing...my dia girl one day am gonna buy your album...more love from Kenya.. I agree with madam Rita you have all the quality of a star

  • @ssur5797
    @ssur5797 Před 5 lety +10

    Unasauti nzuri ya kuimba lkni hpo salama atkosowa to mna ktulia na yupo makin na kukutizama dada kazi nzuri mydear 😘😘

  • @vicentbasigaza8100
    @vicentbasigaza8100 Před 5 lety +22

    Daah asee saiv watu wana ukakasii mifukoni hata hawTunzi ovyo ovyo miaka ya nyuma apoo angeoga mihela

  • @hamisimnyeheri2155
    @hamisimnyeheri2155 Před 5 lety +4

    Huyuu dem ni mkali sana tusubirieni tusker project fame ni all east Africa huyu dem atafika mbali

  • @barnabasmalima4823
    @barnabasmalima4823 Před 5 lety

    hongereni kwanza kabisa majaji kwa namna mnavyopendana na mnavyofanya kazi mama na dada yangu madam Litha god may bless you unajua nimeangalia machozi yamenitoka hivi km c wewe hivi vipaji vingefia wapi nice nice and sooo nice.no hao wanaofanya festivals.fiesters wengekuwa wasaniii wao wanapafumu namna hivi ingekuwa safi sana kulikokuwaimbisha au kutuimbisha hongereni sana sana nice show duuh top 5 Kali sana ya bongo star search tangu niangalie Bss

  • @Dymitri-Babushka.
    @Dymitri-Babushka. Před 5 lety +8

    Hicho kizungu ni kigumu ,afadhali angeimba kiswahili diamond na wasafi group waelewe

  • @edsonteri4489
    @edsonteri4489 Před 5 lety +25

    Nakumbuka shoo yetu ya fainali bss ya kwanza 2008 tena tulikuwa hatuna wadhamini ilifanyika daimond jubilee hall kingilio elfu10 na ukumbi tuliujaza mshindi aliyetuongoza jumanne idd wapili lea muddy nikilinganisha na shoo hii ambapo ni miaka10 sasa nisiwe mnafki bss imeshuka kimsisimko yaani haivuti watu kama wakati ule yaani hata washiriki ulikuwa unajiuliza sasa hapa atatoka nani abaki nani

    • @africanhappyadventure6951
      @africanhappyadventure6951 Před 5 lety

      Kipindi kile watu walikuwa wanajua sio.kama sasa mtu anaimba ma flat hivyo eti ndio mshindii hawa majaji wananiangusha sijui wnangalia nini..Ngoja tuone ataishia wapii..

    • @sir_ENOCKMACHA
      @sir_ENOCKMACHA Před 5 lety +1

      Nyie hamjui kitu vijana wanaimba sana achen upuuz wenu

    • @rodricklwamayanga6154
      @rodricklwamayanga6154 Před 5 lety

      Nakukumbuka sana kijana

    • @andrewmachibya3170
      @andrewmachibya3170 Před 5 lety +1

      ama kweriii kwanzaaa miii nimekuja xhangaa nakutananayo youtube tuuu leo lkiniii enzi zleee nilikuwa nafutiliaa mwanxo mwixhoo na mara yangu ya mwisho kufuatilia nafikiri ilikuwa 2009 cjui anachukuaa paschal cassian duu ikikuwa tamuuu kweriii raia walimwaga pesaa jukwaaniii mpkaaa xhidaaa

    • @badimusa694
      @badimusa694 Před 5 lety

      Bss 9

  • @barakafrancis7523
    @barakafrancis7523 Před 5 lety +2

    Good Dada unajua kuimba Kwa kweli nimeielewa shoo yako respect sana kwako

  • @eddyeddy2907
    @eddyeddy2907 Před 5 lety +6

    Kama kuna alyemuona Juma Sharobaro anyoshe kidole juu

  • @aminimunisi3233
    @aminimunisi3233 Před 3 lety

    Dogo janja natamani na mimi ningekuwepo nimpe japo ata 5000 sarafina ana karama aigizi

  • @jongojongo9388
    @jongojongo9388 Před 5 lety +62

    ushakuwa maarufu karibu kwenye urimwengu wa kukaa uchi

  • @ramsojimmykelly3379
    @ramsojimmykelly3379 Před 5 lety +49

    Kilichobaki tusubirie vituko vyake na picha za uchi

    • @zaynsalma3466
      @zaynsalma3466 Před 5 lety

      Boya we nimechek kwa saut

    • @theafricanprincevivecongo8632
      @theafricanprincevivecongo8632 Před 5 lety

      Ramsojimmy Kelly 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @amourabbas2306
      @amourabbas2306 Před 5 lety

      Ramsojimmy Kelly exactly ilo ndio tatizo kubwa la wabongo

    • @africanhappyadventure6951
      @africanhappyadventure6951 Před 5 lety +1

      Na hawa wanaoitwa washidi huwa wanapoteleaga hapo hapo hatuwaoni tena sasa sijui wanashinda au wanapewa kazi kweli kwelii.Kama yupo aliyeshind Na Bado yuko on Fire Sijui wote potelea mbalii kabisaa..

    • @shaymaajohn436
      @shaymaajohn436 Před 5 lety

      @@africanhappyadventure6951 yupo kayumba juma mshind wa2015 na anafanya poa tuu kweny industry

  • @privinusdecroshan135
    @privinusdecroshan135 Před 5 lety +7

    Team mwanzq

  • @msemakweli9626
    @msemakweli9626 Před 5 lety +4

    nilijua huyu mshindi toka namuona mara ya kwanza

  • @focustz4408
    @focustz4408 Před 5 lety +1

    hiv yure wazir alie sema nyege kilipu yake bado tu mjaipata alisema kipindi wanasubili ndege ya Tanzania

  • @nabiilikhamisi7458
    @nabiilikhamisi7458 Před 4 lety

    uyo masta jeu mbaguz tu kwa kuwa kamuona Hamis hana kitu ndio maana alikuwa ana myanyaa paa tu

  • @juliusdeogrtius6199
    @juliusdeogrtius6199 Před 5 lety +35

    Kama nimemuona juma sharobaro

  • @hamzamohd9980
    @hamzamohd9980 Před 3 lety +1

    Ongera

  • @nabiilikhamisi7458
    @nabiilikhamisi7458 Před 4 lety

    Hakuna kama hamis nyinyi wanaguz tu hasa mastar j

  • @maxirodrigez2908
    @maxirodrigez2908 Před 5 lety +1

    Katoto kikwetu Mwanza💗

  • @aishakilangi717
    @aishakilangi717 Před 4 lety

    Mwanza xo proud for saraphina j

  • @juliusyohana3543
    @juliusyohana3543 Před 5 lety

    nmependa dada upo vzr piga kolabo na dogo janja

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 Před 5 lety

    Dada yupo vizuri asee👏👏

  • @extramen5534
    @extramen5534 Před 5 lety +3

    Salama uzee unakustend sasa

  • @OmanOman-hr6cb
    @OmanOman-hr6cb Před 5 lety +3

    Mbona nasikia kelele

  • @benardmartine244
    @benardmartine244 Před 5 lety +4

    Rock city talents

  • @youngdady7901
    @youngdady7901 Před 5 lety +2

    Dada anaswaga huyo

  • @georgefrancis8686
    @georgefrancis8686 Před 5 lety +1

    Hamna msaanii hapo wanao jua Washa mwagwa nyuma huko angalia walio pewaga mwanzo wako WAP bhn hawa hiz tuzo za mipango BG up sana harmonize kwa kutoboa wcb hawa wakandamizaj kama fiesta???

  • @cedricnitunga468
    @cedricnitunga468 Před 5 lety +7

    eti Mwanza NY nikadhani New York kuna mahali panaitwa Mwanza kumbe ni Nyegezi😂😂😂 Basata wametisha bwana

  • @maryamsalum1830
    @maryamsalum1830 Před 5 lety

    Yaaaaan huyu dada Angechukua KablA ya Final mAana mh SaraFina Hot

  • @djmeza411a58
    @djmeza411a58 Před 5 lety

    Uyo stephane ameisha pita akuna Cha kula au Nini I see star

  • @raybrankxbalozi3684
    @raybrankxbalozi3684 Před 5 lety

    She made it

  • @amanlenatus9067
    @amanlenatus9067 Před 5 lety +6

    HAYO MA FLAT NDO YA USHINDI MAJAJI NI HOVYO TUUUUUUUU

  • @zenassylvester125
    @zenassylvester125 Před 5 lety

    Nice one

  • @allykassim9826
    @allykassim9826 Před 5 lety

    Good perfomance

  • @sungula100
    @sungula100 Před 5 lety

    Ivi huyu ni mshindi wa ngapi toka kanda ya ziwa? namkumbuka Misoji Nkwabi, namkumbuka Paschal Kasian, ....
    Kuleni Sangara na Sato jamani, nafikiri wanasaidia!

  • @emanuelmushi6878
    @emanuelmushi6878 Před 5 lety

    Kinachoshangaza wanaoshindwaga hapo ndo wanaotoboaga ktk ulimwengu wa mziki wanapoamua kupambana mtaani'Like harmonize) AF washindi wa Bss wanaishiaga hapohapo bss: ndo utagundua kua unakazi ya ziada ya kufanya ili kipajichako kilete mafanikio:

  • @muttaadrolph6162
    @muttaadrolph6162 Před 4 lety

    Izo hair zako ni rasta au nin maan daily izo izo

  • @achi_raymond
    @achi_raymond Před 5 lety

    Saraphina michael bongo star search 2018 Winner mshindi

  • @dechemisttv5064
    @dechemisttv5064 Před 5 lety

    Talented🔥🔥

  • @juniorsmart2483
    @juniorsmart2483 Před 5 lety

    Aisee!term hii mlikosa kabsaaaa!hakuna lolote

  • @innojoowzey6913
    @innojoowzey6913 Před 5 lety

    Super hero 🔥🔥🔥

  • @georgefrancis5378
    @georgefrancis5378 Před 5 lety

    Sara ni kipaji harisi..

  • @florencegregory8932
    @florencegregory8932 Před 5 lety

    Sidhn km mnazingatia kura za watanzania

  • @ayoubgabriely6517
    @ayoubgabriely6517 Před 5 lety

    sarafina anajuwa

  • @zaitunimkali3818
    @zaitunimkali3818 Před 5 lety +2

    Nyege nyegeziiii

  • @masoudabdi6076
    @masoudabdi6076 Před 5 lety

    lovely

  • @dicksonulotu9717
    @dicksonulotu9717 Před 5 lety

    Safi sana una haki ya kuwa mshindi,Bgup

  • @merveillekianga8888
    @merveillekianga8888 Před 3 lety

    Mevreille

  • @nasramsami3410
    @nasramsami3410 Před 5 lety

    Mhhh huyo mbn anapaka lipshen

  • @magrethmhoha1630
    @magrethmhoha1630 Před 5 lety

    czcams.com/video/xBFVbbtVH1U/video.html diet ya mayai siku saba kupunguza zaidi ya kilo nne Fungua link 👆

  • @ruqiaothman3112
    @ruqiaothman3112 Před 5 lety

    Katokea nyegezi huyo

  • @arafazakir4150
    @arafazakir4150 Před 5 lety

    Mmecheka MASTER J asa mjinga 😂😂😂😂😂

  • @hafidhdrogba1813
    @hafidhdrogba1813 Před 5 lety

    Akunalolote jau kabisa

  • @shaymaajohn436
    @shaymaajohn436 Před 5 lety +1

    Jomon ntaipataje hii video

  • @mwisakihaji3782
    @mwisakihaji3782 Před 5 lety +1

    Tatizo hawafiki kokote wanaishia hapohapo Bss

  • @ToyTz
    @ToyTz Před 5 lety

    uyu dem.jini

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 Před 5 lety +4

    Kazi ngumu kweli kweli

    • @mohamedsadiki1575
      @mohamedsadiki1575 Před 5 lety +1

      kufik apo simchezo mwamb

    • @emlongetcha88
      @emlongetcha88 Před 5 lety

      Kazi ngumu?? Acha utani!! Kuimba nyimbo ya mtu🤣🤣🤣 Sijui alietunga tumwambieJe😆😅😂🤣

  • @mbodzebemasika7477
    @mbodzebemasika7477 Před 5 lety +3

    sarafina ni faida ya Nchi wallai

  • @musicworldwide2625
    @musicworldwide2625 Před 5 lety

    Kabebwa

  • @deborahalyoce2178
    @deborahalyoce2178 Před 5 lety

    hahahahahaha nice one

  • @EdwinMrope
    @EdwinMrope Před 5 lety

    NIFWATE HAPA

  • @D-Man.B-Free
    @D-Man.B-Free Před 5 lety +3

    We bwege!dogo Janja yupo wapi?

  • @FatmaFatma-kt1or
    @FatmaFatma-kt1or Před 5 lety

    Nc

  • @frankphilipo8413
    @frankphilipo8413 Před 5 lety

    Poa

  • @vickymmasi2618
    @vickymmasi2618 Před 5 lety

    jmn tuekee yote

  • @aboubakarmassooud6908
    @aboubakarmassooud6908 Před 5 lety

    Huu wimbo unatakiw kuwepo mtaan sass

  • @topandbesttalents9699
    @topandbesttalents9699 Před 5 lety

    Boers and weird!!

  • @featurebillionaire5464
    @featurebillionaire5464 Před 5 lety +1

    Kwani wauza nguvu za kiume bado hawajacoment

  • @halimahalima9133
    @halimahalima9133 Před 5 lety

    Ata c uongo ni vituko2 na picha za uchi

  • @AliBaba-zb3tg
    @AliBaba-zb3tg Před 5 lety

    Madam rita hii nywele na sura yake utafikili Embe mawazo mxiuuu

  • @ezekieliezekielimelekizede5120

    Kama umemuona juma sharobaro gonga like

  • @barnabasmalima4823
    @barnabasmalima4823 Před 5 lety

    hongereni kwanza kabisa majaji kwa namna mnavyopendana na mnavyofanya kazi mama na dada yangu madam Litha god may bless you unajua nimeangalia machozi yamenitoka hivi km c wewe hivi vipaji vingefia wapi nice nice and sooo nice.no hao wanaofanya festivals.fiesters wengekuwa wasaniii wao wanapafumu namna hivi ingekuwa safi sana kulikokuwaimbisha au kutuimbisha hongereni sana sana nice show duuh top 5 Kali sana ya bongo star search tangu niangalie Bss

  • @piarajaneth6030
    @piarajaneth6030 Před 5 lety

    Hapo ni haki yake kabisa kuwa mshindi