Nimengalia hii video zaidi ya mara 30 and every day lazima niiweke as play list I must say tatizo kubwa tulilonalo Sasa hivi ni watu kutotaka kusoma neno ..ndio maana kweli kama mtumishi anavyosema tumejikuta na wafanyabiashara wengi katika gospel each day goes by people don't want relationship with God wanataka vile vitu Mungu anatoa Mungu atusaidie sana mbarikiwe sana watumishi wa Mungu kweli this interview is super perfect ❤
Am so blessed with this interview, Nimeona mtu amepost status sehemu ya hii interview nikatamani kuiona full interview, Yes niko hapa na Nimekutana na Mungu kwa jinsi ya ajabu. Asante Roho Mtakatifu. Utukufu kwako Ee Bwana Muumba mbingu na nchi 🙏
Nakupenda sana mdogo wangu @Jooh .. Hey this guy is so wise, Mungu amewekeza hazina ya pekee sana.. Very Wright minded Mungu akupe neema kuendelea mbele
For the first time namuona huyu Mtumishi ni Arena of the Holy Spirit kwa pastor Ado, ibada iliyokuwa ikiendeshwa na Apostle Arome Osayi, na nakumbuka alimuuliza huyu mtumishi unataka nini? Na akamuwekea mikono na kumisihi awe anakuwepo endapo Apostle Arome atakapokuwa akija Tz... But all in all I never knew this man is so good guy and wise to this extent and annointed ...love you brou ❤
One of the powerful interviews i have watched
Nimengalia hii video zaidi ya mara 30 and every day lazima niiweke as play list I must say tatizo kubwa tulilonalo Sasa hivi ni watu kutotaka kusoma neno ..ndio maana kweli kama mtumishi anavyosema tumejikuta na wafanyabiashara wengi katika gospel each day goes by people don't want relationship with God wanataka vile vitu Mungu anatoa Mungu atusaidie sana mbarikiwe sana watumishi wa Mungu kweli this interview is super perfect ❤
Am so blessed with this interview, Nimeona mtu amepost status sehemu ya hii interview nikatamani kuiona full interview, Yes niko hapa na Nimekutana na Mungu kwa jinsi ya ajabu. Asante Roho Mtakatifu. Utukufu kwako Ee Bwana Muumba mbingu na nchi 🙏
Hili somo inabidi liandikiwe kitabu
Nakupenda sana mdogo wangu @Jooh .. Hey this guy is so wise, Mungu amewekeza hazina ya pekee sana.. Very Wright minded Mungu akupe neema kuendelea mbele
Big up sana broo , Roho mtakatifu azidi kukuongoza , maana magigi ni balaaa , SEMA church boy wengi wanachukulia easy!
😂😂😂😂 Hana asili ya hapa duniani, ilikufa na ikazikwa na Yesu, asili yake n mbinguni bro😂🙌🙌
This man of God ..RIP
i love this interview.
For the first time namuona huyu Mtumishi ni Arena of the Holy Spirit kwa pastor Ado, ibada iliyokuwa ikiendeshwa na Apostle Arome Osayi, na nakumbuka alimuuliza huyu mtumishi unataka nini? Na akamuwekea mikono na kumisihi awe anakuwepo endapo Apostle Arome atakapokuwa akija Tz...
But all in all I never knew this man is so good guy and wise to this extent and annointed ...love you brou ❤
Bro you are a genius🖐🖐🖐🔥🔥🔥🔥
Good luck bro
Nimejifunza kitu kikubwa sana kutoka bro Joel
hii interview imeongeza kitu ndani yangu
Mungu akukukuze vyema Joel🙏
Bro nmejifunza ,kweli
Nimejifunza.
Blessing
Wow wow
Emen sana
Aseee
😂😂😂😂