TANZANIA PRESIDENT SAMIA SULUHU ASEMA MAANDAMANO KENYA ILIWAPELEKEA FAIDA TZ

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 07. 2024
  • TANZANIA PRESIDENT SAMIA SULUHU ASEMA MAANDAMANO KENYA ILIWAPELEKEA FAIDA
  • Komedie

Komentáře • 50

  • @user-qm4df4nf9b
    @user-qm4df4nf9b Před 11 dny +3

    We fight for future....Hatuangalii mambo ya short time....Am sure After this we Will double income as a Nation

  • @lulurubby2235
    @lulurubby2235 Před 8 dny +1

    Wee mama acha kufundisha watu unafki ata muambiwe hambadili kitu katiba mpya mnaambiwa kila siku hambadili wee suburi tanzania watasimama tuu siku moja ..bravo kenya axha huyo mbana pua jambazi wa kike

  • @Maryc2G
    @Maryc2G Před 11 dny +1

    Muheshimiwa Rais Mama Samia umesema vizuri sana, ku- invest sehemu yenye machafuko au utulivu. Utainvest sehemu yenye utulivu na amani. Watanzania tutunze amani yetu, kama kuna jambo ni vizuri kuliongea kama Mama Samia alivyosema. Asante mama👍🏽👏🏽👏🏽🌹🌹🌹🥀

  • @hubertmroso1664
    @hubertmroso1664 Před 9 dny +2

    Sisi watanzania hatupo tayari kufurahia umwagikaji WA damu WA ndugu zetu WA Kenya kisa ati wezi kutoka kenyA wanaruhusa kuvuka kuja Tanzania sababu wananchi wanajua haki zao na kuzidai!
    Damu ya mashujaa vijana waliomwaga damu zao ziwe mbegu ya ukombozi WA ardhi ya ndugu zetu WA Kenya!
    May their departed souls rest in eternal life!
    Amen!!

  • @TamikaWanjiku
    @TamikaWanjiku Před 10 dny +3

    Hatuitaji investors na mambo yasiende vizuri kwetu and their is no way Tanzania itatushinda cause in Kenya 65% ya investors ni as Kenyan's so you better don't talk stupidity against Kenya juu we don't fear anything

  • @richardmiencha7511
    @richardmiencha7511 Před 10 dny +2

    So we focus on investors but our rights violated with leaders

  • @Unclesam00001
    @Unclesam00001 Před 10 dny +2

    Aki si unajipenda badala ya kuombea Kenya ati sasa nyinyi mnafurahia

  • @burudanionline7541
    @burudanionline7541 Před 9 dny +2

    Oyaaa! Hili tamko alitamka kitambo sana... I'm a journalist bwana... Usiambatanishe hii video hapa...

  • @saiditasher8362
    @saiditasher8362 Před 8 dny +1

    Uyu mama kalongwa watanzania wanalia njaa uku yeye ansema wawekezaji kibao sasa wanafaida gani kwa mtanzania mama acha kutuhuzi ipo siku na nyinyi mtateseka kama ss

  • @jacksonmwazonga
    @jacksonmwazonga Před 11 dny +2

    Acha waende tz bro sisi tuacheni na zakayo tumuonyeshe

  • @rashidgona1808
    @rashidgona1808 Před 10 dny +1

    Kawaida ya akili ya mwanamke haifikirii mbele Leo ndo nimetibitisha apo ndo akili ya mama imefikia,, wananchi wa Kenya hawafikirii Leo wanafikiria Kesho yao ata Sion point ya raisi wa Tanzania

  • @FredymaswiMwita-oj6gv
    @FredymaswiMwita-oj6gv Před 10 dny +1

    mama mama mama...hakuwaki moto,,,ni kwa sababu yakatiba yao ,,na wanainchi wengi wanajitambua Nchini kwao

  • @user-rw2cy9el3p
    @user-rw2cy9el3p Před 10 dny +3

    Huyu mwanamke kumbe ni mpumbavu hilo nimelibaini leo akili imejaa shonde tu....anafikiria leo badala ya kesho

  • @AlphaxardMRusweka-jr1wi
    @AlphaxardMRusweka-jr1wi Před 9 dny +1

    Na viongozi waache kula wao tu,wakasau wapiga kula as if hatuna matumbo.

  • @peterwandera8273
    @peterwandera8273 Před 9 dny +1

    Sio mkweli kabisa, anawapumbaza! 😮

  • @natoantony2080
    @natoantony2080 Před 11 dny +1

    People like democracy not silent suffers

  • @EuniceRobert-z6s
    @EuniceRobert-z6s Před 10 dny +2

    Mwonyeshe mtoto njia impasayo nae hataiacha hata atakapokua mzee

  • @nimbetebwangabwa8521
    @nimbetebwangabwa8521 Před 8 dny +1

    Lakini amesema kwa jirani..can u asking yr self how many neighbors tz have,? Sh did say kny,,

  • @user-lu8ny2gu7t
    @user-lu8ny2gu7t Před 8 dny +1

    Mnapokea wawekezaji lakini hakuna la maana mnalolifanya pesa zinazoingia zinaishia mifukoni mwa achache badilikeni watawala

  • @incbluesail3080
    @incbluesail3080 Před 9 dny +1

    Napenda uyu mama. 😁
    Uyu mama sii wa TZ peke, atana sisi niwetu mahali zingine Africa. Ingewezekana tunge myiba hapo tumulete aongoze sisi😂😂😂😂

  • @ElizabethMunyau-ol1lj
    @ElizabethMunyau-ol1lj Před 10 dny +1

    In kenya we have no government,samia unganisha kenya na tz utuongoze,maandamano bado yapo,hadi zakayo aende home,ata tukiatract investors zinaibiwa tu,hazitusaidii

  • @professorsaid3308
    @professorsaid3308 Před 10 dny +2

    Hi Ni Zamani

  • @EuniceRobert-z6s
    @EuniceRobert-z6s Před 10 dny +2

    Hahahah! Hatuna njaa jamani,niutulivu tuliofundishwa na amani aliotuhusia baba yetu Nyerere

  • @Leodegermutie
    @Leodegermutie Před 10 dny +2

    Suluhu ipatikane

  • @emmanuelmlekwangano9991
    @emmanuelmlekwangano9991 Před 10 dny +1

    Hakukuwa na ulazima wa kuyasema hayo

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 Před 9 dny +1

    Huko kenya ndiyo kuna katba zuri .Utawala ni utashi wa mtu skataba zuri walambaya

  • @BIZIMUNGUVenuste
    @BIZIMUNGUVenuste Před 10 dny +2

    Tz kunanjaa kias cha kutosha maana yake hawana nguvu za maandamano

  • @martinkisha6307
    @martinkisha6307 Před 9 dny +1

    Vijana wengi kenya hawana uzalendo na maandili

  • @carolinenjoroge9092
    @carolinenjoroge9092 Před 9 dny +2

    Huyu mama anaombeaga kenya dua mbaya! Utaaibika! Shaitan!

  • @husseinally6699
    @husseinally6699 Před 10 dny +1

    Hiyo ya muda hata kabla ya maandamano ya Gen-Z

  • @chandeyusufu9570
    @chandeyusufu9570 Před 11 dny +1

    Ila hali mbaya kiukweli

  • @ezekielmatondane714
    @ezekielmatondane714 Před 10 dny +1

    Eti wawekezaji ovyo

  • @TTBonta
    @TTBonta Před 9 dny +1

    Do you even know whats the meaning of a strong point?

  • @user-ss7xx6rl3b
    @user-ss7xx6rl3b Před 9 dny +1

    Imewasaidia nini kama wananchi wa Tanzania?

  • @user-bn4br7qm7r
    @user-bn4br7qm7r Před 11 dny +1

    Huku watu Wana njaa balaaa,hata kuandamana hawawezi,ni Bora ya nyie mna hata nguvu za kudai haki zenu

  • @nicoledinga9948
    @nicoledinga9948 Před 9 dny +2

    I hate this woman ..kimama kidaku, achana na ya Kenya na ushughulika na ya kwako bure ww

    • @incbluesail3080
      @incbluesail3080 Před 9 dny +1

      Don't put hatred ahead of you, you'll miss out of better things in life. Love will conquer

  • @EuniceRobert-z6s
    @EuniceRobert-z6s Před 10 dny +2

    Mwonyeshe mtoto njia impasayo nae hataiacha hata atakapokua mzee

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 Před 11 dny +1

    ila Samia kwani kulikuwa na ulazima kusema jmni? angenyamaza tuu..ila Kenya wataumia short term baadae wataondoka kurudi Kenya tena and we are on the side of loosing...sie Tanzania makodi ni makubwa kweli

    • @stephenmwaniki2803
      @stephenmwaniki2803 Před 10 dny

      Leo nimetambua waTZ wengi Wacha Anza kutumia jicho la tatu kutizama mambo Kenya nileo tu tukicha tengeneza mambo nihifo walakini tusikaliwe na mtu mmja kwa jina la amani Hilo apana ruto must gooooooo

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 Před 10 dny

      @@stephenmwaniki2803 tumekuwa tukifatilia kwa muda ss kaka..wacha uone mambo mazuri yanaibuka Kenya...you guys have a brave President..brilliant humble with a zeal/ If this President of Kenya fulfillls his MANIFESTO duuuh aloo..go ask for it and check that plan and see..things will settle and life is emerging in a very good space kwa hiuyu jirani..wee nahamia Kenya😅. Nyie ngojeni.uchumi wenu utakuw...Africa must raise by the Grace of God!