Wee mama acha kufundisha watu unafki ata muambiwe hambadili kitu katiba mpya mnaambiwa kila siku hambadili wee suburi tanzania watasimama tuu siku moja ..bravo kenya axha huyo mbana pua jambazi wa kike
Muheshimiwa Rais Mama Samia umesema vizuri sana, ku- invest sehemu yenye machafuko au utulivu. Utainvest sehemu yenye utulivu na amani. Watanzania tutunze amani yetu, kama kuna jambo ni vizuri kuliongea kama Mama Samia alivyosema. Asante mama👍🏽👏🏽👏🏽🌹🌹🌹🥀
Sisi watanzania hatupo tayari kufurahia umwagikaji WA damu WA ndugu zetu WA Kenya kisa ati wezi kutoka kenyA wanaruhusa kuvuka kuja Tanzania sababu wananchi wanajua haki zao na kuzidai! Damu ya mashujaa vijana waliomwaga damu zao ziwe mbegu ya ukombozi WA ardhi ya ndugu zetu WA Kenya! May their departed souls rest in eternal life! Amen!!
Hatuitaji investors na mambo yasiende vizuri kwetu and their is no way Tanzania itatushinda cause in Kenya 65% ya investors ni as Kenyan's so you better don't talk stupidity against Kenya juu we don't fear anything
Uyu mama kalongwa watanzania wanalia njaa uku yeye ansema wawekezaji kibao sasa wanafaida gani kwa mtanzania mama acha kutuhuzi ipo siku na nyinyi mtateseka kama ss
Kawaida ya akili ya mwanamke haifikirii mbele Leo ndo nimetibitisha apo ndo akili ya mama imefikia,, wananchi wa Kenya hawafikirii Leo wanafikiria Kesho yao ata Sion point ya raisi wa Tanzania
In kenya we have no government,samia unganisha kenya na tz utuongoze,maandamano bado yapo,hadi zakayo aende home,ata tukiatract investors zinaibiwa tu,hazitusaidii
ila Samia kwani kulikuwa na ulazima kusema jmni? angenyamaza tuu..ila Kenya wataumia short term baadae wataondoka kurudi Kenya tena and we are on the side of loosing...sie Tanzania makodi ni makubwa kweli
Leo nimetambua waTZ wengi Wacha Anza kutumia jicho la tatu kutizama mambo Kenya nileo tu tukicha tengeneza mambo nihifo walakini tusikaliwe na mtu mmja kwa jina la amani Hilo apana ruto must gooooooo
@@stephenmwaniki2803 tumekuwa tukifatilia kwa muda ss kaka..wacha uone mambo mazuri yanaibuka Kenya...you guys have a brave President..brilliant humble with a zeal/ If this President of Kenya fulfillls his MANIFESTO duuuh aloo..go ask for it and check that plan and see..things will settle and life is emerging in a very good space kwa hiuyu jirani..wee nahamia Kenya😅. Nyie ngojeni.uchumi wenu utakuw...Africa must raise by the Grace of God!
We fight for future....Hatuangalii mambo ya short time....Am sure After this we Will double income as a Nation
Wee mama acha kufundisha watu unafki ata muambiwe hambadili kitu katiba mpya mnaambiwa kila siku hambadili wee suburi tanzania watasimama tuu siku moja ..bravo kenya axha huyo mbana pua jambazi wa kike
Muheshimiwa Rais Mama Samia umesema vizuri sana, ku- invest sehemu yenye machafuko au utulivu. Utainvest sehemu yenye utulivu na amani. Watanzania tutunze amani yetu, kama kuna jambo ni vizuri kuliongea kama Mama Samia alivyosema. Asante mama👍🏽👏🏽👏🏽🌹🌹🌹🥀
Sisi watanzania hatupo tayari kufurahia umwagikaji WA damu WA ndugu zetu WA Kenya kisa ati wezi kutoka kenyA wanaruhusa kuvuka kuja Tanzania sababu wananchi wanajua haki zao na kuzidai!
Damu ya mashujaa vijana waliomwaga damu zao ziwe mbegu ya ukombozi WA ardhi ya ndugu zetu WA Kenya!
May their departed souls rest in eternal life!
Amen!!
Hatuitaji investors na mambo yasiende vizuri kwetu and their is no way Tanzania itatushinda cause in Kenya 65% ya investors ni as Kenyan's so you better don't talk stupidity against Kenya juu we don't fear anything
So we focus on investors but our rights violated with leaders
Aki si unajipenda badala ya kuombea Kenya ati sasa nyinyi mnafurahia
Oyaaa! Hili tamko alitamka kitambo sana... I'm a journalist bwana... Usiambatanishe hii video hapa...
Uyu mama kalongwa watanzania wanalia njaa uku yeye ansema wawekezaji kibao sasa wanafaida gani kwa mtanzania mama acha kutuhuzi ipo siku na nyinyi mtateseka kama ss
Acha waende tz bro sisi tuacheni na zakayo tumuonyeshe
Kawaida ya akili ya mwanamke haifikirii mbele Leo ndo nimetibitisha apo ndo akili ya mama imefikia,, wananchi wa Kenya hawafikirii Leo wanafikiria Kesho yao ata Sion point ya raisi wa Tanzania
mama mama mama...hakuwaki moto,,,ni kwa sababu yakatiba yao ,,na wanainchi wengi wanajitambua Nchini kwao
Huyu mwanamke kumbe ni mpumbavu hilo nimelibaini leo akili imejaa shonde tu....anafikiria leo badala ya kesho
Na viongozi waache kula wao tu,wakasau wapiga kula as if hatuna matumbo.
Sio mkweli kabisa, anawapumbaza! 😮
People like democracy not silent suffers
Mwonyeshe mtoto njia impasayo nae hataiacha hata atakapokua mzee
Lakini amesema kwa jirani..can u asking yr self how many neighbors tz have,? Sh did say kny,,
Mnapokea wawekezaji lakini hakuna la maana mnalolifanya pesa zinazoingia zinaishia mifukoni mwa achache badilikeni watawala
Napenda uyu mama. 😁
Uyu mama sii wa TZ peke, atana sisi niwetu mahali zingine Africa. Ingewezekana tunge myiba hapo tumulete aongoze sisi😂😂😂😂
In kenya we have no government,samia unganisha kenya na tz utuongoze,maandamano bado yapo,hadi zakayo aende home,ata tukiatract investors zinaibiwa tu,hazitusaidii
Hi Ni Zamani
Hahahah! Hatuna njaa jamani,niutulivu tuliofundishwa na amani aliotuhusia baba yetu Nyerere
Utulivueee mtajiju
Suluhu ipatikane
Hakukuwa na ulazima wa kuyasema hayo
Huko kenya ndiyo kuna katba zuri .Utawala ni utashi wa mtu skataba zuri walambaya
Tz kunanjaa kias cha kutosha maana yake hawana nguvu za maandamano
Kkkkkkkkkk
Vijana wengi kenya hawana uzalendo na maandili
Huyu mama anaombeaga kenya dua mbaya! Utaaibika! Shaitan!
Hiyo ya muda hata kabla ya maandamano ya Gen-Z
Ila hali mbaya kiukweli
Eti wawekezaji ovyo
Do you even know whats the meaning of a strong point?
Imewasaidia nini kama wananchi wa Tanzania?
Akuna faida yoyote
Huku watu Wana njaa balaaa,hata kuandamana hawawezi,ni Bora ya nyie mna hata nguvu za kudai haki zenu
kweli
I hate this woman ..kimama kidaku, achana na ya Kenya na ushughulika na ya kwako bure ww
Don't put hatred ahead of you, you'll miss out of better things in life. Love will conquer
Mwonyeshe mtoto njia impasayo nae hataiacha hata atakapokua mzee
ila Samia kwani kulikuwa na ulazima kusema jmni? angenyamaza tuu..ila Kenya wataumia short term baadae wataondoka kurudi Kenya tena and we are on the side of loosing...sie Tanzania makodi ni makubwa kweli
Leo nimetambua waTZ wengi Wacha Anza kutumia jicho la tatu kutizama mambo Kenya nileo tu tukicha tengeneza mambo nihifo walakini tusikaliwe na mtu mmja kwa jina la amani Hilo apana ruto must gooooooo
@@stephenmwaniki2803 tumekuwa tukifatilia kwa muda ss kaka..wacha uone mambo mazuri yanaibuka Kenya...you guys have a brave President..brilliant humble with a zeal/ If this President of Kenya fulfillls his MANIFESTO duuuh aloo..go ask for it and check that plan and see..things will settle and life is emerging in a very good space kwa hiuyu jirani..wee nahamia Kenya😅. Nyie ngojeni.uchumi wenu utakuw...Africa must raise by the Grace of God!