Mashaallah iyo ya wazee hata mimi ndio tabia yangu haswa kwenye kuswali suna tena uwa natia nua hata kaba ya kukaa sawa Allah niswamehe, ila nitaacha kuanzia leo Allah akubariki shekh wetu.
SHARTI SABA ZA SWALA 1. UISLAM - KUA MUISLAM 2. AL BULUGHU - KUBALEHE 3. AL AKLU - AKILI TIMAMU 4. ATWAARATU - KUTWAHARIKA NA NAJSI NA HADATH 5. AL ILMU BIDUHULI WAQTI - KUJUA MUDA UMEFIKA 6. SATRU AL AURAT - KUVAA NGUO 7. ISTIQBALU AL QIBLA - KUELEKEA KIBLA
Kunako iyo sunnah ya kuinuwa Mikono sehem inne Unayfanya kila raja ya sala? Ima nikeenye raja yakeanza tutu (Ex)ukitowa takbiratul hiram Na ukielekeya kunako rukuu Na unapo kwenda kusujudu Na unapo simamakutoka hatayyatu yakwanza Sasa izizingine raka itabidi uwinuwe tena mikono????
FATMA ZENA FZENA KUINUA MIKONO NI KATIKA TAKBIRA YA KWANZA WAKATI WA KWENDA KURUKUU KWENYE RAKAA YA KWANZA UNAPO ITIDALI (UNAPO RUDI JUU KUTOKA KWENYE RUKUU) UNAPO NYANYUKA KUTOKA KWENYE KIKAZI CHA TAHIYATU (TASHAHUDI YA KWANZA)
@@user-hb8vi9fx6g shukran ...hivyo nafanya ila swali langu ni kila rakaa au ni ya mwanzo tu?rakaa zinazofuata hunyanyui?daaa nasikitika huyo kuniita mie kafiri....ALLAH AMSAMEHE...ajue aulizae ataka kujua huwenda anaona anafanya sawa kumbe anakosea
@@fatmazenafzena917 UJUE KWANZA : KUA HUYU SHEIKH NI : SUNNAH WAL JAMAA, MADHEHEBU YAKE NI SHAAFII'IYYU. KWA HIVYO HUU NDO UFAHAMU WA IMAMU SHAAFII'IYYU MWENYEZI MUNGU AMRAHAM, NA WENGINE WENGI KATIKA MAIMAMU WA AHLUS-SUNNAH WAL JAMAA. NAMI PIA NIKO KAMA HIVYO KUA MIKONO : HUI NULIWA SEHEMU NNE : 1 WAKATI WA TAKBIRA YA KWANZA. 2 WAKATI WA KWENDA KURUKUU KWENYE RAKAA YA KWANZA. 3 WAKATI WA KURUDI JUU (KUITIDALI ) KUTOKA KWENYE RUKUU YA RAKAA YA KWANZA. 4 KISHA HUINULIWA TENA WAKATI WA KUINUKA KUTOKA KWENYE TASHAHUDI YA KWANZA, KWA MAANA WAKATI WA KUIENDEA RAKAA YA TATU. HAKUNA KUINUA TENA. IJAPOKUWA KUNA RIWA ZINAZOENDELEA ONESHA KUA (MTUME ALIKUWA AKINYANYUA MIKONO KINA ANAPO NYANYUKA NA ANAPO SHUKA CHINI). PIA ZIPO ZINAZO ONESHA MTUME (ALIKUWA AKINYANYUA MIKONO ANAPO FUNGUA SWALA TU KISHA HANYANYUI TENA). PIA IKO INAYO ONESHA (AKINYANYUA WAKATI WAKUINGIA KWENYE SWALA NA ANAPO RUKUU NA ANAPO ITIDALI). HIVYO NI WAZI KUWA KHITILAFU ZIPO. KWA HIVYO ALIYE ELEWA KUWA NI SEHEMU HIZO NNE PEKEE AKIZIDISHA AMEKOSEA . HIVYO NI KUSOMA AU KUULIZA WANAO JUA KISHA UANGALIE ULIVYO ELEWA AU ULIVYO TOSHELEZWA. WAL-LAAHU A'LAMU BIS-SWAWAABI.
@@jumannesalum8162 mtihani tunao kwa kweli unampangia mja alipwe hichi na kile kwani ww ni mshirika wa Allah? Ww ongelea sheria na kanuni zinavosema tu but usivuke mipaka mkajifanya nyie ndio mwajua malipo ya Allah ! Ukosefu wa elimu tu kutaka sifa
Mmmmmmh!!!! Imekuaje tena umuone shekh atakufurisha watu?!!!! Kwani shekh si anaelimisha KUHUSU KUSWALI na makosa ambayo WATU WEEENGI wanayafanya katika swala!!!! Tatizo hasa nini mpka umemfahamu shekh namna hiyo???!!!! Tunapoelimishwa kuhusu mambo ya DINI yetu basi ni vizuri KUWA NA UPOLE na NIA YA KUFAHAMU .... ((DINI ni ELIMU)) Pasi na ELIMU dini KUTEKELEZEKA NI MTIHANI!!!!!!!
Mashallah Allah atujaalie nuru upande wa Maulidi pia
Mashallah sheikh kwa ukumbusho huo mzuri. Inshallah Allah atujalie tuwe wenye kutimiza sharti zote za salah. Allah jazakallah khaira.
Mashaallah iyo ya wazee hata mimi ndio tabia yangu haswa kwenye kuswali suna tena uwa natia nua hata kaba ya kukaa sawa Allah niswamehe, ila nitaacha kuanzia leo Allah akubariki shekh wetu.
Maashaallaah alhabiib Allah akupe kullah khayri
Jazaqallah. Tatizo watu wengi tunaswali kwa mazoea
Kweli kabisa shekhe wangu
Mashaa allah tabarakallah shukrani sana shekh
Mashaallaah 🙏
ALLAH AKBAR hakika dini yetu imeshaga maliza alhamdulillah kwa neema hii
Shukran kwa funzo Allah akujalie kila la kheri
Jazakallahu khairah Sheikh
Allah akubariki sheikh wetu
Maa shaa Allah jazaka Allah khayr sheikh
Baraka allahu sheikh hamisi
Shukran jazzakahAllah
Shukran njaziira
Masha Allah shekh kwa kutukumbusha
Subhna Allah Shukran Sheikh Wetu
Shukran shekhe
Masha allah shukuran
Jazaka allahu khairan
Yarabi amin
shukran shkh
Shukran sana
Jazaka lahu kheir
Shukran
Shukran yaa maalim
zina mtihani kwa uma mtume anasema hamna kitu alichokihofia kwa umma kama mataminio ya wanawake
ALLAH BARIQ
mashaalllah
Kwenye kuacha uzinifu apo ndio shida
MashaAllah. Jazak Allah khyr 🙏
In sha Allah
Amina
Ma shaa Allah shukuran jazillah
Manshallah tabarakallah
S alk salama naomba no yako she kh
Mashallah
SHARTI SABA ZA SWALA
1. UISLAM - KUA MUISLAM
2. AL BULUGHU - KUBALEHE
3. AL AKLU - AKILI TIMAMU
4. ATWAARATU - KUTWAHARIKA NA NAJSI NA HADATH
5. AL ILMU BIDUHULI WAQTI - KUJUA MUDA UMEFIKA
6. SATRU AL AURAT - KUVAA NGUO
7. ISTIQBALU AL QIBLA - KUELEKEA KIBLA
Jekama in rakaannne
maaashallah 🤝
Tumekuelewa sana shehe..mashallah
Mungu akijaalia lazima nije msikitin kwako nisikilize mawaidha yako
Mashallah shukuran
Aamin
توجيه قبل تكبير
Kunako iyo sunnah ya kuinuwa Mikono sehem inne
Unayfanya kila raja ya sala?
Ima nikeenye raja yakeanza tutu
(Ex)ukitowa takbiratul hiram
Na ukielekeya kunako rukuu
Na unapo kwenda kusujudu
Na unapo simamakutoka hatayyatu yakwanza
Sasa izizingine raka itabidi uwinuwe tena mikono????
Kwenye hadath hapo bado sijaelewa vizuri
Hadath kwanilivoelewa mim ni janaba ama Kwa cc wanawake kuingia period kuzaa Ivo but anaejua anaeza ktasaidia zaidi shukran
Mwatokea darasa saba
Shukulan
Wengine hapo bendera
Kuna jamaa anazuga kunywa maji 😂
Kuinua mikono sehemu nne....je kila rakaa au ni rakaa ya mwanzo tu ?
Kafiri fatuma
FATMA ZENA FZENA
KUINUA MIKONO NI KATIKA TAKBIRA YA KWANZA
WAKATI WA KWENDA KURUKUU KWENYE RAKAA YA KWANZA
UNAPO ITIDALI (UNAPO RUDI JUU KUTOKA KWENYE RUKUU)
UNAPO NYANYUKA KUTOKA KWENYE KIKAZI CHA TAHIYATU (TASHAHUDI YA KWANZA)
@@user-hb8vi9fx6g shukran ...hivyo nafanya ila swali langu ni kila rakaa au ni ya mwanzo tu?rakaa zinazofuata hunyanyui?daaa nasikitika huyo kuniita mie kafiri....ALLAH AMSAMEHE...ajue aulizae ataka kujua huwenda anaona anafanya sawa kumbe anakosea
@@fatmazenafzena917
UJUE KWANZA : KUA HUYU SHEIKH NI : SUNNAH WAL JAMAA, MADHEHEBU YAKE NI SHAAFII'IYYU.
KWA HIVYO HUU NDO UFAHAMU WA IMAMU SHAAFII'IYYU MWENYEZI MUNGU AMRAHAM, NA WENGINE WENGI KATIKA MAIMAMU WA AHLUS-SUNNAH WAL JAMAA.
NAMI PIA NIKO KAMA HIVYO
KUA MIKONO :
HUI NULIWA SEHEMU NNE :
1 WAKATI WA TAKBIRA YA KWANZA.
2 WAKATI WA KWENDA KURUKUU KWENYE RAKAA YA KWANZA.
3 WAKATI WA KURUDI JUU (KUITIDALI ) KUTOKA KWENYE RUKUU YA RAKAA YA KWANZA.
4 KISHA HUINULIWA TENA WAKATI WA KUINUKA KUTOKA KWENYE TASHAHUDI YA KWANZA, KWA MAANA WAKATI WA KUIENDEA RAKAA YA TATU.
HAKUNA KUINUA TENA.
IJAPOKUWA KUNA RIWA ZINAZOENDELEA ONESHA KUA (MTUME ALIKUWA AKINYANYUA MIKONO KINA ANAPO NYANYUKA NA ANAPO SHUKA CHINI).
PIA ZIPO ZINAZO ONESHA MTUME (ALIKUWA AKINYANYUA MIKONO ANAPO FUNGUA SWALA TU KISHA HANYANYUI TENA).
PIA IKO INAYO ONESHA (AKINYANYUA WAKATI WAKUINGIA KWENYE SWALA NA ANAPO RUKUU NA ANAPO ITIDALI).
HIVYO NI WAZI KUWA KHITILAFU ZIPO.
KWA HIVYO ALIYE ELEWA KUWA NI SEHEMU HIZO NNE PEKEE AKIZIDISHA AMEKOSEA .
HIVYO NI KUSOMA AU KUULIZA WANAO JUA KISHA UANGALIE ULIVYO ELEWA AU ULIVYO TOSHELEZWA.
WAL-LAAHU A'LAMU BIS-SWAWAABI.
@@user-hb8vi9fx6g shukran sana sana kwa kunielewesha vizuri.nami nipo humo humo ila tu nauliza ili nifahamu zaidi
Kumbe she he wa bakwata!PABA mufti nchi hii?mufti aombea dual kafiri?labda mafuta sio mufti
Shekhe salaa zinalipwa na mwenyewe ALLAH wala hakuna wa kumwakilisha tazama kauli zako usije ukajifukurisha kwa kuvuka mipaka
Kasome ww bado
@@jumannesalum8162 mtihani tunao kwa kweli unampangia mja alipwe hichi na kile kwani ww ni mshirika wa Allah? Ww ongelea sheria na kanuni zinavosema tu but usivuke mipaka mkajifanya nyie ndio mwajua malipo ya Allah ! Ukosefu wa elimu tu kutaka sifa
Mmmmmmh!!!! Imekuaje tena umuone shekh atakufurisha watu?!!!!
Kwani shekh si anaelimisha KUHUSU KUSWALI na makosa ambayo WATU WEEENGI wanayafanya katika swala!!!!
Tatizo hasa nini mpka umemfahamu shekh namna hiyo???!!!!
Tunapoelimishwa kuhusu mambo ya DINI yetu basi ni vizuri KUWA NA UPOLE na NIA YA KUFAHAMU ....
((DINI ni ELIMU))
Pasi na ELIMU dini KUTEKELEZEKA NI MTIHANI!!!!!!!
MASHA ALLAH