HANA SWALA MWENYE KUKOSA SHARTI HIZI SABA ...SHEKH OTHMAN KHAMIS

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024

Komentáře • 66

  • @papashakssydazzle1024
    @papashakssydazzle1024 Před 4 měsíci

    Mashallah Allah atujaalie nuru upande wa Maulidi pia

  • @AbdulAbdul-vp2np
    @AbdulAbdul-vp2np Před 4 lety +7

    Mashallah sheikh kwa ukumbusho huo mzuri. Inshallah Allah atujalie tuwe wenye kutimiza sharti zote za salah. Allah jazakallah khaira.

  • @ibrahimjoseph2789
    @ibrahimjoseph2789 Před 3 lety

    Mashaallah iyo ya wazee hata mimi ndio tabia yangu haswa kwenye kuswali suna tena uwa natia nua hata kaba ya kukaa sawa Allah niswamehe, ila nitaacha kuanzia leo Allah akubariki shekh wetu.

  • @abdusaalim1927
    @abdusaalim1927 Před 4 lety +2

    Maashaallaah alhabiib Allah akupe kullah khayri

  • @ahz6907
    @ahz6907 Před 3 lety

    Jazaqallah. Tatizo watu wengi tunaswali kwa mazoea

  • @salumuhussein9335
    @salumuhussein9335 Před 2 lety +1

    Kweli kabisa shekhe wangu

  • @jasminali5921
    @jasminali5921 Před 4 lety

    Mashaa allah tabarakallah shukrani sana shekh

  • @abuuchampion
    @abuuchampion Před 3 lety +1

    Mashaallaah 🙏

  • @saudorsaugold6643
    @saudorsaugold6643 Před 4 lety

    ALLAH AKBAR hakika dini yetu imeshaga maliza alhamdulillah kwa neema hii

  • @saidabae7101
    @saidabae7101 Před 4 lety +5

    Shukran kwa funzo Allah akujalie kila la kheri

  • @saidhamad1946
    @saidhamad1946 Před 4 lety +1

    Jazakallahu khairah Sheikh

  • @ramlaleila374
    @ramlaleila374 Před 2 lety

    Allah akubariki sheikh wetu

  • @khadijaiddi4887
    @khadijaiddi4887 Před 4 lety

    Maa shaa Allah jazaka Allah khayr sheikh

  • @hassancharo1496
    @hassancharo1496 Před 4 lety +2

    Baraka allahu sheikh hamisi

  • @moridohome4790
    @moridohome4790 Před 3 lety

    Shukran jazzakahAllah

  • @husseinchiaseeds2653
    @husseinchiaseeds2653 Před 4 lety +1

    Shukran njaziira

  • @kudramzee4638
    @kudramzee4638 Před 4 lety

    Masha Allah shekh kwa kutukumbusha

  • @samanthaali873
    @samanthaali873 Před 4 lety

    Subhna Allah Shukran Sheikh Wetu

  • @rukiamohammed5031
    @rukiamohammed5031 Před 4 lety

    Shukran shekhe

  • @estamelejomah572
    @estamelejomah572 Před 4 lety +1

    Masha allah shukuran

  • @aniphaally5017
    @aniphaally5017 Před 4 lety

    Jazaka allahu khairan

  • @odaamirsaab9185
    @odaamirsaab9185 Před 2 lety

    Yarabi amin

  • @rashidmohamed1949
    @rashidmohamed1949 Před 4 lety

    shukran shkh

  • @saumuseif9189
    @saumuseif9189 Před 4 lety

    Shukran sana

  • @fatmazenafzena917
    @fatmazenafzena917 Před 4 lety +1

    Shukran

  • @asiaissa976
    @asiaissa976 Před 4 lety

    Shukran yaa maalim

  • @mohamedimohamedi7881
    @mohamedimohamedi7881 Před 4 lety

    zina mtihani kwa uma mtume anasema hamna kitu alichokihofia kwa umma kama mataminio ya wanawake

  • @khuzeimaabdul4275
    @khuzeimaabdul4275 Před 4 lety +1

    ALLAH BARIQ

  • @neemagambere9987
    @neemagambere9987 Před 4 lety +1

    mashaalllah

  • @ismailjuma3692
    @ismailjuma3692 Před 4 lety +2

    Kwenye kuacha uzinifu apo ndio shida

  • @Mamake6
    @Mamake6 Před 4 lety

    MashaAllah. Jazak Allah khyr 🙏

  • @nuruzegega3786
    @nuruzegega3786 Před 4 lety

    In sha Allah

  • @ahdahmed8383
    @ahdahmed8383 Před 4 lety

    Amina

  • @afdaa946
    @afdaa946 Před 4 lety +2

    Ma shaa Allah shukuran jazillah

  • @faizahamim9935
    @faizahamim9935 Před 4 lety

    Manshallah tabarakallah

  • @salimabdallah5176
    @salimabdallah5176 Před rokem

    S alk salama naomba no yako she kh

  • @halimayusufu6305
    @halimayusufu6305 Před 4 lety

    Mashallah

  • @Moblacful
    @Moblacful Před 2 lety

    SHARTI SABA ZA SWALA
    1. UISLAM - KUA MUISLAM
    2. AL BULUGHU - KUBALEHE
    3. AL AKLU - AKILI TIMAMU
    4. ATWAARATU - KUTWAHARIKA NA NAJSI NA HADATH
    5. AL ILMU BIDUHULI WAQTI - KUJUA MUDA UMEFIKA
    6. SATRU AL AURAT - KUVAA NGUO
    7. ISTIQBALU AL QIBLA - KUELEKEA KIBLA

  • @amirikhatibu1989
    @amirikhatibu1989 Před 3 lety

    Jekama in rakaannne

  • @thurayyaomar655
    @thurayyaomar655 Před 4 lety

    maaashallah 🤝

  • @aishaomar4318
    @aishaomar4318 Před 4 lety

    Tumekuelewa sana shehe..mashallah

  • @halimayusufu6305
    @halimayusufu6305 Před 4 lety

    Mungu akijaalia lazima nije msikitin kwako nisikilize mawaidha yako

  • @faizasaid8262
    @faizasaid8262 Před 4 lety +2

    Mashallah shukuran

  • @ayububakari8513
    @ayububakari8513 Před 4 lety

    Aamin

  • @asriyaaljabri9582
    @asriyaaljabri9582 Před 4 lety +1

    توجيه قبل تكبير

  • @yasminasmiss6577
    @yasminasmiss6577 Před 4 lety

    Kunako iyo sunnah ya kuinuwa Mikono sehem inne
    Unayfanya kila raja ya sala?
    Ima nikeenye raja yakeanza tutu
    (Ex)ukitowa takbiratul hiram
    Na ukielekeya kunako rukuu
    Na unapo kwenda kusujudu
    Na unapo simamakutoka hatayyatu yakwanza
    Sasa izizingine raka itabidi uwinuwe tena mikono????

  • @idrisamsakuzi4033
    @idrisamsakuzi4033 Před 4 lety +1

    Kwenye hadath hapo bado sijaelewa vizuri

    • @aminaabdiabdi7112
      @aminaabdiabdi7112 Před 4 lety

      Hadath kwanilivoelewa mim ni janaba ama Kwa cc wanawake kuingia period kuzaa Ivo but anaejua anaeza ktasaidia zaidi shukran

    • @chandedondo8438
      @chandedondo8438 Před 4 lety

      Mwatokea darasa saba

  • @ahdahmed8383
    @ahdahmed8383 Před 4 lety

    Shukulan

  • @aminamohd604
    @aminamohd604 Před 4 lety

    Wengine hapo bendera

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed8874 Před 3 lety

    Kuna jamaa anazuga kunywa maji 😂

  • @fatmazenafzena917
    @fatmazenafzena917 Před 4 lety +1

    Kuinua mikono sehemu nne....je kila rakaa au ni rakaa ya mwanzo tu ?

    • @mansixgooseman8915
      @mansixgooseman8915 Před 4 lety +1

      Kafiri fatuma

    • @user-hb8vi9fx6g
      @user-hb8vi9fx6g Před 4 lety +1

      FATMA ZENA FZENA
      KUINUA MIKONO NI KATIKA TAKBIRA YA KWANZA
      WAKATI WA KWENDA KURUKUU KWENYE RAKAA YA KWANZA
      UNAPO ITIDALI (UNAPO RUDI JUU KUTOKA KWENYE RUKUU)
      UNAPO NYANYUKA KUTOKA KWENYE KIKAZI CHA TAHIYATU (TASHAHUDI YA KWANZA)

    • @fatmazenafzena917
      @fatmazenafzena917 Před 4 lety +1

      @@user-hb8vi9fx6g shukran ...hivyo nafanya ila swali langu ni kila rakaa au ni ya mwanzo tu?rakaa zinazofuata hunyanyui?daaa nasikitika huyo kuniita mie kafiri....ALLAH AMSAMEHE...ajue aulizae ataka kujua huwenda anaona anafanya sawa kumbe anakosea

    • @user-hb8vi9fx6g
      @user-hb8vi9fx6g Před 4 lety +2

      @@fatmazenafzena917
      UJUE KWANZA : KUA HUYU SHEIKH NI : SUNNAH WAL JAMAA, MADHEHEBU YAKE NI SHAAFII'IYYU.
      KWA HIVYO HUU NDO UFAHAMU WA IMAMU SHAAFII'IYYU MWENYEZI MUNGU AMRAHAM, NA WENGINE WENGI KATIKA MAIMAMU WA AHLUS-SUNNAH WAL JAMAA.
      NAMI PIA NIKO KAMA HIVYO
      KUA MIKONO :
      HUI NULIWA SEHEMU NNE :
      1 WAKATI WA TAKBIRA YA KWANZA.
      2 WAKATI WA KWENDA KURUKUU KWENYE RAKAA YA KWANZA.
      3 WAKATI WA KURUDI JUU (KUITIDALI ) KUTOKA KWENYE RUKUU YA RAKAA YA KWANZA.
      4 KISHA HUINULIWA TENA WAKATI WA KUINUKA KUTOKA KWENYE TASHAHUDI YA KWANZA, KWA MAANA WAKATI WA KUIENDEA RAKAA YA TATU.
      HAKUNA KUINUA TENA.
      IJAPOKUWA KUNA RIWA ZINAZOENDELEA ONESHA KUA (MTUME ALIKUWA AKINYANYUA MIKONO KINA ANAPO NYANYUKA NA ANAPO SHUKA CHINI).
      PIA ZIPO ZINAZO ONESHA MTUME (ALIKUWA AKINYANYUA MIKONO ANAPO FUNGUA SWALA TU KISHA HANYANYUI TENA).
      PIA IKO INAYO ONESHA (AKINYANYUA WAKATI WAKUINGIA KWENYE SWALA NA ANAPO RUKUU NA ANAPO ITIDALI).
      HIVYO NI WAZI KUWA KHITILAFU ZIPO.
      KWA HIVYO ALIYE ELEWA KUWA NI SEHEMU HIZO NNE PEKEE AKIZIDISHA AMEKOSEA .
      HIVYO NI KUSOMA AU KUULIZA WANAO JUA KISHA UANGALIE ULIVYO ELEWA AU ULIVYO TOSHELEZWA.
      WAL-LAAHU A'LAMU BIS-SWAWAABI.

    • @fatmazenafzena917
      @fatmazenafzena917 Před 4 lety +2

      @@user-hb8vi9fx6g shukran sana sana kwa kunielewesha vizuri.nami nipo humo humo ila tu nauliza ili nifahamu zaidi

  • @suleimanbakar6097
    @suleimanbakar6097 Před 4 lety

    Kumbe she he wa bakwata!PABA mufti nchi hii?mufti aombea dual kafiri?labda mafuta sio mufti

  • @munirahmed7753
    @munirahmed7753 Před 4 lety

    Shekhe salaa zinalipwa na mwenyewe ALLAH wala hakuna wa kumwakilisha tazama kauli zako usije ukajifukurisha kwa kuvuka mipaka

    • @jumannesalum8162
      @jumannesalum8162 Před 4 lety

      Kasome ww bado

    • @munirahmed7753
      @munirahmed7753 Před 4 lety

      @@jumannesalum8162 mtihani tunao kwa kweli unampangia mja alipwe hichi na kile kwani ww ni mshirika wa Allah? Ww ongelea sheria na kanuni zinavosema tu but usivuke mipaka mkajifanya nyie ndio mwajua malipo ya Allah ! Ukosefu wa elimu tu kutaka sifa

    • @yusufsaid2069
      @yusufsaid2069 Před 4 lety

      Mmmmmmh!!!! Imekuaje tena umuone shekh atakufurisha watu?!!!!
      Kwani shekh si anaelimisha KUHUSU KUSWALI na makosa ambayo WATU WEEENGI wanayafanya katika swala!!!!
      Tatizo hasa nini mpka umemfahamu shekh namna hiyo???!!!!
      Tunapoelimishwa kuhusu mambo ya DINI yetu basi ni vizuri KUWA NA UPOLE na NIA YA KUFAHAMU ....
      ((DINI ni ELIMU))
      Pasi na ELIMU dini KUTEKELEZEKA NI MTIHANI!!!!!!!

  • @hassancharo1496
    @hassancharo1496 Před 4 lety

    MASHA ALLAH