POLISI KATA NA KANISA LA ECG WAFANYA MAKUBWA KITUO MINAZINI : MAKUMBUSHO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 19. 06. 2024
  • #video : Polisi Kata wa kata ya Makumbusho Jijini Dar es salaam wakiongozwa na Inspekta Hussen Mchange amemshukuru Mchungaji Deogratius kupitia kanisa la Enlightened Christian Gathering (ECG) kwa kufanikisha ukarabati wa kituo kidogo cha polisi kilichopo Mtaa wa Minazini katika kuazimisha wiki ya" ECG Jesus Nation"
    Hata hivyo insp.Mchange amasema Ushirikiano wao na kanisa hilo unamwendelezo ikiwa hii ni awamu ya kwanza ya ukarabati wa baadhi ya maeneo ya kituo hicho
    #jamvi update

Komentáře •