Mambosasa Awataja Waliomteka Mo Dewji, Walinzi Wanashikiliwa

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024
  • Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa amesema polisi wanafuatilia taarifa za madai ya kutekwa kwa mfanyabiashara, Mohammed Dewji.Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa amesema polisi wanafuatilia taarifa za madai ya kutekwa kwa mfanyabiashara, Mohammed Dewji.Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa amesema polisi wanafuatilia taarifa za madai ya kutekwa kwa mfanyabiashara, Mohammed Dewji.

Komentáře • 60

  • @mussamzonge2657
    @mussamzonge2657 Před 5 lety +1

    Mwenyezi Mungu.. Atakupa mbinu zaidi ili we we na jeshi Lako Muweze Kumuokoa MO Dewji..

  • @mussamzonge2657
    @mussamzonge2657 Před 5 lety +1

    Mwenyezi.. Mungu atakusimamia.. MO Dewji.. Utakuwa salama..

  • @annaallex3996
    @annaallex3996 Před 5 lety +3

    Mungu mlinde mo wetu kama ulivyomponya lisu unajua alipo wewe ndie tunaekutegemea ameeeeeen

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 Před 5 lety +8

    Mungu ibariki tz pls tumuombee Mo

  • @mbarikiwambarikiwa3988
    @mbarikiwambarikiwa3988 Před 5 lety +4

    mungu amusaidie wasimuzuru, mo ni msaada kwa wtz

  • @eliyalumala2984
    @eliyalumala2984 Před 5 lety +1

    jamani nihurumaaa eee mungu mpiganie mo hata alejee uraiani tena amani mungu wetu tuembushie majanga haya

  • @jumaomar1454
    @jumaomar1454 Před 5 lety +7

    kumbe watu wasiojulikana ni wazungu

  • @mohamedwanaminyapi9070
    @mohamedwanaminyapi9070 Před 5 lety +1

    jamani Tanzania hivi eneo linalo kusanya watu maarufu hakuna hata camera za ccttv?

  • @rosemarykaroli9572
    @rosemarykaroli9572 Před 5 lety +3

    Tuludisheni mo wetu jaman

  • @jumaomar1454
    @jumaomar1454 Před 5 lety +7

    Tatizo mumewazowesha vibaya watu wasiojulikana waovu wameona tz kufanya uhalifu ni rahisi kw kutumia vizuri kisingizio cha wasiojulikana halafu hawapatikani sasa ndio mujuwe mengi yatatokea

  • @korogwetanga810
    @korogwetanga810 Před 5 lety +5

    Nyonga wote hao waliomteka mo pumbavu zao wataka tuharibia nchi yetu

  • @zakaliajuma2652
    @zakaliajuma2652 Před 5 lety +1

    walio mteka mo wanyongwe hakuna msamaha

  • @gidohaule1473
    @gidohaule1473 Před 5 lety +1

    Hakuna aman hapa

  • @arnoldalphonce6877
    @arnoldalphonce6877 Před 5 lety +1

    Daah nishida

  • @zuweinaalhabsya8773
    @zuweinaalhabsya8773 Před 5 lety +3

    Sasa wanasema wamepata wamempatia wapi???

  • @fatmamasoud6243
    @fatmamasoud6243 Před 5 lety +4

    mnanitindinganyaaaa makondaaa amesemaa amepatikanaaa Arpc unasemaa ajapatikanaaa mh Mtindinganyooo poleeesan familiayakeee

    • @zahararajabu4169
      @zahararajabu4169 Před 5 lety +1

      We nawe usiniache nicheke jaman uwiiii eti mnanitinganyaaa😂😂😂 fatma weye

    • @tatukachingwe2290
      @tatukachingwe2290 Před 5 lety +1

      Haaaaaaaaah ,nimecheka htr ,,aneyo ya lyamba ambi kweli vanimmona

  • @wilbertcharles9129
    @wilbertcharles9129 Před 5 lety +1

    NANI AJUAYE

  • @queenlinda255
    @queenlinda255 Před 5 lety +1

    Jeshi letu tukufu mpaka sasa hakuna abari yoyo kuhusu MO sitaki kuamini kama hao wanao itwa majambazi wamewazidi akili kweli hii Habari sio local tena imekuwa International jamani jitaidini mumpate please please Dunia anasubri kuona kazi yenu msituanguahe jamani

  • @salehsuleiman7856
    @salehsuleiman7856 Před 5 lety +1

    Hahahha bongo bana TETESI KULIKo LIKUU ENGLAND Rejesheni mo

  • @mwaamwetahussain9947
    @mwaamwetahussain9947 Před 5 lety +1

    Daa no huzuni kubwaaa

  • @chidybwax8080
    @chidybwax8080 Před 5 lety +5

    Duuuu bongo ya viwanda

  • @amiriramadhan7753
    @amiriramadhan7753 Před 5 lety +4

    Sasa hii bongo haya matukio yamezoa watu wanatekwa kiboya daah kweli bongo ya viwanda

  • @danielmmbaga976
    @danielmmbaga976 Před 5 lety +1

    amewataja wapi nyie mnaotuma habari huku hebu andikeni vichwa vya habari vinaoendana na kilichosemwa ndan ya habari,maana hapa umeandika mambosasa ataja waliomteka MO alafu sivyo.

  • @mohdnasser894
    @mohdnasser894 Před 5 lety +2

    sasa weye unasema wanatafutwa na makonda anasema wamekamatwa sasa nani uongo kati yenu

  • @jackrinaman7521
    @jackrinaman7521 Před 5 lety +5

    Hiv jmn kuna askar mweume

  • @raphaelgitorobo5075
    @raphaelgitorobo5075 Před 5 lety +1

    mkuu kama ni wazungu piga pini wazungu wote wajute make hawa watekaji wamezoa sisi watanzania utamaduni wetu ni kuwakarim wageni na kuwaheshimu sasa wageni wamekuwa makambale wanataka kutukoronga hata mm sikubali kuaibishwa

  • @emmanuelnyove8292
    @emmanuelnyove8292 Před 5 lety +1

    Je!wakipatikana mtatuonyesha watekaji tuwajue maana tusha wachoka hao wanaolitesa jeshi la police sasa nivema tukawaona ili tuwajue na sisi RAIA.

  • @shekilashekilaabudulha5038

    Juma Omar mbavu zangu mieeeeeeeee😆😃😃😃😃😃😃

  • @almacyokha4199
    @almacyokha4199 Před 5 lety +1

    Serikali imesema mtulie

  • @kabaisamtotowamama5226
    @kabaisamtotowamama5226 Před 5 lety +4

    Uzuri kwamba munawajuwa walio mteka tulizoweya watekaji niwale wasio julikana ila kumbe wazungu bas ndowalo mpiga risasi lisu ao

  • @imanimayala8443
    @imanimayala8443 Před 5 lety +3

    Tz hakuna amani tena..

  • @binissah2651
    @binissah2651 Před 5 lety +3

    Makonda asema amepatikan sijajua kwa taarif hizo ni sahihi aula mwachangany maneno viongozi

  • @abdulyusugh1559
    @abdulyusugh1559 Před 5 lety +1

    Bora Ahamishie viwandavyake vyote Zambia

  • @fauzishabani2622
    @fauzishabani2622 Před 5 lety

    ?

  • @shemelaruhinda6113
    @shemelaruhinda6113 Před 5 lety

    Tatizo mmezoea kukamata wanasiasa mnaacha kukamata waarifu nyie endelea kufua makucha mnaaribu sifa ya nchi

  • @saeed6811
    @saeed6811 Před 5 lety

    Tajiri mzima weka gym nyumbani. Unatakia nini gym za uswahilini?

    • @benjaminmike9778
      @benjaminmike9778 Před 5 lety

      Gym penye watu ndo raha! Yake, Nyumbn peke yako pagum, gym inahtaj moyo

    • @saeed6811
      @saeed6811 Před 5 lety

      6ix 9ine unaweza alika watu wenye hadhi yako na marafiki wakaribu. Mimi niwe billionaire siwezi zunguka hovyo bongo uswahilini.
      Muda umefika serikali walazimishe Hotel’s and public areas ziwe na CCTV systems.

  • @raymondkanyama6387
    @raymondkanyama6387 Před 5 lety

    moooo jmn ao watakuwa yanga

    • @thabitimgeni4413
      @thabitimgeni4413 Před 5 lety

      MZEE ULOMBE MPENZI WA SIMBA ISHALLAH MUNGU YUPO N.A. ATALIFANYIA WEPESI N.A. NO ATAPATIKANA AMIN

    • @jumakije4471
      @jumakije4471 Před 5 lety

      hebu hachen masihara katika hoja za msingi jmn,mambo ya yanga na simba zungumzeni kwenu sio ktk media na ishu mzito kama hizi, basi ww utasaidia jeshi la polis maana watekaj unawajua

  • @mohamedwanaminyapi9070

    jamani Tanzania hivi eneo linalo kusanya watu maarufu hakuna hata camera za ccttv?

  • @danfordaugustino3461
    @danfordaugustino3461 Před 5 lety +1

    Hao wakikamatwa yaani ni wakatwe vichwa sio wapelekee kwenye vyombo vya sheria.

  • @omanmuscat579
    @omanmuscat579 Před 5 lety

    Ww Mjinga Una Akili Tena Mpumbavu Umeambiwa Ni Wazungu Yanga Kn Wazungu Km Mzungu Yupo Simba.Basi Ametekwa Na Manara Ameshirikiana Na Wenzio Ngutuwe Ww

    • @jumakije4471
      @jumakije4471 Před 5 lety

      Oman Muscat nan analeta uyanga na usimba ktk hili #tumsokemezendani

  • @mohamedwanaminyapi9070

    jamani Tanzania hivi eneo linalo kusanya watu maarufu hakuna hata camera za ccttv?

  • @mohamedwanaminyapi9070

    jamani Tanzania hivi eneo linalo kusanya watu maarufu hakuna hata camera za ccttv?

  • @mohamedwanaminyapi9070

    jamani Tanzania hivi eneo linalo kusanya watu maarufu hakuna hata camera za ccttv?

    • @jumakije4471
      @jumakije4471 Před 5 lety

      Mohamed Wanaminyapi wanasena cctv zilikua zinaonyesha chenga eti!!!? daah hii nchi ht hailewek inaelekea wapi jmn, #bring_back_our_modewj