Chid ni moto wa kuotea mbali waliokiwa wanambania ndo walisababisha afikia hatua iyo maana nazan alipatwa na msononeko wa fikla akawa hajui apitie wap lakin kiwanda cha muziki mashabiki wanamuitaji big punch full energy big up chuma siku ukifa ndo watajua thaman yako
Si kwamba madawa yanaua ,Nakataa ni dawa ya bacteria japo inauguza baadhi ya malaria .Wenzetu wanakataa ili tuspate siri iliyopo ktk zile mambo Chid anatumiaga
clouds mmetuboa sana dodoma imagin mnatuletea kina Lunya na kina country. ila wasanii wakubwa hawapo.. mfano nandy, maua, na safari hii king wa stage mavoko hayupo.. asa si muache tyu maana kila mwaka wasanii wakubwa tunawaona stage kubwa sehemu nyingine.. hapa makao makuu ya nchi aisee kuwe na heshima yake wai!
Huyu jamaa aache unga cz Mungu kampa kitu kikubwa sana ila yeye mwnyw tu anashindwa kuelewa ukubwa uliomo ndan yake,sasa hii inaweza mfanya awe masikin wakat kimsingi huyu utajir kapewa tayar na Mungu
MUNGU AKUSAIDIE CHID MAANA AISEE BADO UNAKUBALIKA INSHAALAAH MUNGU AKUTUNZE NA UWE MSANII MWENYE KUJISITIRI BADO UNA NAFASAI YAKO IPO, CHA MSINGI NI KWAMBA U FOCUS KWENYE VITU VYA VYA MSINGI KWENYE MAISHA YAKO
Hahahaaaaa Jameni tuache unafiki hiii show haina vibe yan ukicheki show ya Wasafi na hizi za clouds yan ndo utajua kua clouds ni mtumba na Wasafi ni supershow. Ukweli ndo uwo
Na siku nyingine muwe mnaweka wasanii wenye vipaji kama hawa sio mnatuletea wasanii wazembe stejin kama umemkubali chuma dondosha like apa
No single word can explain this fella. Mungu amlinde tu sisi fans tuendelea kuenjoy tu
Duh sauti hii ni jiwe dah mungu ambariki arudi tena kuwa juu zaidi zaidi masahibu aliyppitia mungu amuondolee na inshallah awe huru.
Amyn🙏
You don't need to know swahili to enjoy this... Damn chichichichiiiiiiiiiiiiiidi 🔥🔥🔥🔥🔥💪
Clouds mmeuwa mnatafutwa " Mana sikwa shoo Kali kama hii ya chid Benz" Chumaa kinapumziiii
Chid ni moto wa kuotea mbali waliokiwa wanambania ndo walisababisha afikia hatua iyo maana nazan alipatwa na msononeko wa fikla akawa hajui apitie wap lakin kiwanda cha muziki mashabiki wanamuitaji big punch full energy big up chuma siku ukifa ndo watajua thaman yako
Yani ukimusiliza chid Benz lazima utingishe kichwa
Mwenye nyumba karudi ,Leo ndo nmeona show kutoka tigo fiester child Benz mtoto wa ilala unajuwa
No one can take dis guy's place.... #Chumaaaa😍😍
Chid Benz hiii ndio show yake ya kwanza kuperfom na watu wakatamani aendelee mpka asubuhi
weee sio kweli ni nyingi mno mimi nlizohudhuria live
Chid benz have got flowsss wallah,this guy is up up.
Sasa hem fikiria asinge kua anatumia madawa ingekuaje sasa, huyu jamaa ni shidaaa
Si kwamba madawa yanaua ,Nakataa ni dawa ya bacteria japo inauguza baadhi ya malaria .Wenzetu wanakataa ili tuspate siri iliyopo ktk zile mambo Chid anatumiaga
Chid unajua sana mpka basi.hip hop unaimudu vizuri
mussa jackson hujamaaa ni 🔥🔥🔥🔥
mussa jackson huyuu jamaaa nii 🔥🔥🔥🔥
Daaaaaah ma Best Male Bongo Rapper, King Kong, hiyo kitu iliyokatishwa POMPOPISHA hatar sana hyo daaaaaaah, afanye arudi tumemiss sana
Chidi nomaaaaaa kama unamkubali gonga like
Kipaji huwa akidanganyi jamaa anajua sanaaaaaaaa
Hip pop King @ChidBenz naomba kumuona tena kwenye jukwaa la Tigo fiesta kwenye jukwaa jingine
Chidy Benz uyu mtu Acha wamseme tu, Ila Balaa lakee Hatarr
@chidbenzChuma...ni alama ya uwepo wa mungu. Crystal pure Talent.....
Chid chuma Cha pia hicho
Namshukuru sana Mungu kuakuachia ile sauti yako kali pia na uzima
This Man got Energy and Blessed tarent... Damn its sooo Baddest
Legendary 🙌🏻🙌🏻
Nakimbiza mchaka mchaka nasichooki siogoopi mungu amenipa nyoota wengine wanakopi nishapitia shidanyiingi msoto chakalaaaa nishapoteza shiliingi msoto majalaaaaaaaaaaaaa🎤🎤🎤🎤🎤🎤
Kama umemuona lulu diva anavyotolea macho Fundi chuma gonga like
Jamani wasafi mchukueni huyu jamaa ni noma sana
clouds mmetuboa sana dodoma imagin mnatuletea kina Lunya na kina country. ila wasanii wakubwa hawapo.. mfano nandy, maua, na safari hii king wa stage mavoko hayupo.. asa si muache tyu maana kila mwaka wasanii wakubwa tunawaona stage kubwa sehemu nyingine.. hapa makao makuu ya nchi aisee kuwe na heshima yake wai!
Bongo 2 pac. *Chidi makaveli)..💪
Yani huyu jamaa anajuaa hadi sio poa🙌🙌
Huyu jamaa aache unga cz Mungu kampa kitu kikubwa sana ila yeye mwnyw tu anashindwa kuelewa ukubwa uliomo ndan yake,sasa hii inaweza mfanya awe masikin wakat kimsingi huyu utajir kapewa tayar na Mungu
King mfalme😍😍
Vp khadija
Legendary karudi hii in test nzuri those days mziki una heshima
#King_Kong_Chuma
#Mtwara_Stand Up
Chumaaaaaa, Chid benzi
Dahh..Chid katukumbusha kipindi hicho yupo juuuu Benzino kwa 🔥🔥🔥wa Mtwara sijui ukipangwa Grand Final Dar ndo itakuw vip🙏🙏🙏
Jamanii mtwara mmewaovadoz..c kwa utamu hyo mliowapa...king Kong milele
mwna hp hop bongo nzmaa chidii tuuu wengine watasubur god bless chumaa
Nimeipenda Sana hii shoo ya FIESTA Mtwara Sana Chid Benzino
King💥💥💥 lulu diva alikua anashangaa hakujua balaa la huyu jamaa..moko kaelewa
Balaaa huyu jamaa ni gifted so atakufa bila kuacha hata was kutusahaulisha litabaki ombwe!
King Kong Chuma Mumpe pia Fiesta Ya Dar es salam auwe kabisa
Daah.. Kweli aise inabid wafanye ivo
Hiyo moto saana
MUNGU AKUSAIDIE CHID MAANA AISEE BADO UNAKUBALIKA INSHAALAAH MUNGU AKUTUNZE NA UWE MSANII MWENYE KUJISITIRI BADO UNA NAFASAI YAKO IPO, CHA MSINGI NI KWAMBA U FOCUS KWENYE VITU VYA VYA MSINGI KWENYE MAISHA YAKO
Chid benz....chiiiiiii. Mola akutunze usirudi nyuma...mbele mbele👊
chuma king kong mwamba aswaaaaaa, wangapi wanateseka kama mm saf ka mkubwa bado namba etu ni moja tu..@chuma chid
Mana harisi ya regend chumaaaaa 🔥
Chidi njoo Kenya tunakuhitaji
..hii style ya Chid kucheza ni 🔥🔥
Chid Benz is still the same... Ni mshereheshaji
#Dar #StandUp #yeah #2019rapyear
Huyu jamaa ni mwisho aisee, Kwanza pumzi ya kutosha , Na hapo ni madawa, asingekuw anatumia madawa, mamae huyu Mwisho
😍😎😭 Love Kubwa sana Broo
Chichichichiiiid Beeeeenz, Legend, king Kong
Chidy Moto Juu balaa tupu, mshikaji ana pumzi, hilo sauti la hela limeshiba kiume sio kubana pua. Kunywa wine Chidy bill kwangu
Hahahahaha boya umenchekesha sana
Noma sana 🔥🔥🔥🔥🔥
Chidi hii sauti ukiwa mchungaji utajaza kanisa
Huyu jamaa asikose fiester zilizo baki anasauti yakipekee
huyu jamaa ana ENERGY ya kutosha hapo anatumia JE angekuwa hatumii dah Kipaji hichi sio poa
Mamae King Kong levels bby.....
Salute
Kamati ya fiesta ya dar msisahau chid benz kama ss wapenzi clouds wa media group
Chiiii chiiii chii chid beenz mamae❤🔥🔥🔥
Ume tisha chumaaa we king... Hawa kuwezi chumaaaaaaa!!!!!
chidi piga collabo na nonini na iwe na video ama khaligraph jones.. #zipiZipizo shotinii videoo bro.
Nimependa style ya Nandi anavyocheza
kama kuna tajiri anataka pesa namshauri aweke pesa kwa hichi kipaji.
hapa faida tupu
The passion is sick! Chidi soo chidi goo
K i N G K O N G 🔥🔥🔥
Chumaaaaaaaa
Mzee unasumbua mbayaaa bigup Chuma
Vijimambo tuuu chidi benz hivooo hata usimind
Yaani akipotea huyu bongo tu tabaki na nani ana weza kama rick ross nipeni like hapa alafu tuendelee
Nomaaa
💪💪
stage master himself
Wew tu chidi miaka 1000
Chuma kaingizia vitu mpaka wasaniii wenzake wanashangaaa ,, jamaaa anakipaji sana
Chid noma sana achat waseme wasemaoo
Daasss uyuu nimkariiii king Wa makingiiiiii
Salut mkubwa
Ze king koooong bhan dingi yupo fit achuj
This man yuko na kipaji show live
Jamaaa anapumzi kinoma
He caused HAVOC 🙌🏾
hahahahaha.....More life ChidBenziiii
Chid benz chuma king king 🦁🦁🦁🦁🦁
hivi walio dislike ni watu kweli?
CHID BeeeeenZ ni 2pac wa bongo....sitaki mjadala
Chuma levels 🤙🤙
Mmenisoma
Say yeyaaaaaaaah
Hizi show anafunika noma, 2013 nakumbuka alikuja funika mombasa show fulani, huyu jaamaa kipaji ako nacho kutoka 254
Huyo luludiva anavyomuangalia Chidbenzi😁😁😁😁😁huamini unachoona jinsi anavyounguruma😂😂😂
Namfananisha na Ja rule
chid ni fire
Kelele Sana chd
Chumaaaaaaaaaaaaaa
Chiddiiiiiiiiii beeenz mwamba
😂😂Raha Sanaaaa
Sema live imetulia
yani show ya chidy mpaka hutamani amalize full kusisimka yani
Hahahaaaaa Jameni tuache unafiki hiii show haina vibe yan ukicheki show ya Wasafi na hizi za clouds yan ndo utajua kua clouds ni mtumba na Wasafi ni supershow. Ukweli ndo uwo
Hiii video nimeitizama zaidi ya mala 4 uyu jamaaa apewe nafasi yake kwenye mziki aiseee
Chuma💥💪