SMART TALK (1): Kuna tofauti gani kati ya SALES (mauzo) na MARKETING? Nini hufanyika? FAHAMU
Vložit
- čas přidán 14. 07. 2019
- Kwenye #SmartTalk, Murtaza Ebrahim, mtaalam wa masuala ya Sales na Mwanzilishi wa Kampuni ya Imperial Marketing and Communications pamoja na Deogratius Kilawe, Mkurugenzi Mtendaji wa Mikono Speakers International wanatupa elimu kuhusu tofauti kati ya Sales na Marketing na nini hufanyika kwenye masuala ya Sales
- Auta a dopravní prostředky
Murtaza ni masta sana tangu ile marketing content ya ng'ombe wa bluu miaka ya nyuma hapa DSM jamaa has my respect.. also i appreciate Kilawe katoka mbali sana.
Hua nasubiri sana hichi kipindi
vitu hivi ndivo tunavohitaji kwa sasa
Hakika hii ni shule.. Salute sana kwako bro!!
My Favorite Show 👊🏾
Ahsanteee
Sky umenikubusha commerce na accounts kipindi hichooooo weeee wacha tu