SMART TALK (1): Kuna tofauti gani kati ya SALES (mauzo) na MARKETING? Nini hufanyika? FAHAMU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 14. 07. 2019
  • Kwenye #SmartTalk, Murtaza Ebrahim, mtaalam wa masuala ya Sales na Mwanzilishi wa Kampuni ya Imperial Marketing and Communications pamoja na Deogratius Kilawe, Mkurugenzi Mtendaji wa Mikono Speakers International wanatupa elimu kuhusu tofauti kati ya Sales na Marketing na nini hufanyika kwenye masuala ya Sales
  • Auta a dopravní prostředky

Komentáře • 6

  • @bensonkaile9606
    @bensonkaile9606 Před 3 lety

    Murtaza ni masta sana tangu ile marketing content ya ng'ombe wa bluu miaka ya nyuma hapa DSM jamaa has my respect.. also i appreciate Kilawe katoka mbali sana.

  • @abbasssaid8719
    @abbasssaid8719 Před 5 lety +1

    Hua nasubiri sana hichi kipindi
    vitu hivi ndivo tunavohitaji kwa sasa

  • @shabanhunt5355
    @shabanhunt5355 Před 5 lety

    Hakika hii ni shule.. Salute sana kwako bro!!

  • @mfalmegideon3987
    @mfalmegideon3987 Před 5 lety

    My Favorite Show 👊🏾

  • @mohamedidd7385
    @mohamedidd7385 Před 5 lety

    Ahsanteee

  • @chainbre275
    @chainbre275 Před 5 lety

    Sky umenikubusha commerce na accounts kipindi hichooooo weeee wacha tu