MZEE MPILI AMKUMBUKA MORRISON/"ATAWEKWA KWENYE NGUO NYEUPE"/AIPA SIMBA UBINGWA
Vložit
- čas přidán 3. 05. 2021
- Mwanachama na shabiki mkongwe wa klabu ya Yanga SC, Juma Ally Mpili amefunguka kuhusu madai yake kutokana na mwenendo wa timu yake katika ligi kuu soka Tanzania bara.
#yanga#simbasc #Mzeempili
Hahaha waambie mzee mpili uko sahihi mzee wangu
Daa huyu mzee anaongea point sana
Alafu anayoyaongea yooote ni ukweli mtupu kbs yanga waraji ela ndo wamejaa pale sio wenye machungu na timu yetu ubumbavu mtupu pale 🤣🤣🤣🤣
Kama umesikia nidia hapo gonga like kwa ajili ya mzee mpili😂😂😂
Hanallt
Huyu mzee noma
Uyu mzee mtan wangu Ila nampenda buree
Kweli anacho kisema Babu, wana uza siri ya Timu (Mikakati) wana papara hii Yanga ina tutibua sana.
Dah yaan uyo mshindo msorwa na wenzie kwanini wasituachie timu yetu jmn
Kweli kabisa mzee wangu wanajionyesha saana Yanga
Umechachamaa kwa mpira innalillah wainnailaih raajiun
hiii timu jamaani inawatesa adi wazee
MZEE MPILI MPILI AHESHIMIWE,,,,ALAFU HAPO PEMBEN KUNA CHAWA WAKE ANAPIGA BACK VOCAL🤣🤣🤣🤣🤣
Tunaitaga hard lips hizo
@@stgpharmacy6229 😆😆😆😆😆
😁😁😁
Mzee mpili ana hasira balaaa
Yuko sahihi 100%
Huyu babu kweli ana uzalendo na timu ya wananchi.
Oya mnasikia Mambo ya NIBIA lakini 😂😂😂
Mzee pili anakwambia Simba wako confidence wana jiamini😄😄😄😄
Mzee anapenda Sana Hilo neno confidential
Mzee Mpili apewe ulinzi wa kutosha😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣
Mzee nimempenda mwisho kamaliza kibabe kinoma, "NAJIAMINI NINA WATU WAKOROFI'"😂
😂😂
Muwe mnampa ela mzee mpili mpaka anasema
Mzeeeee nimemuerewa xanaaaaa
MZEE ANAKWAMBIA WATAONDOKA TU,,ANAJIAMIN KWA SABABU ANA WATU WAKOROFI...DAAAH😂😂😂😂😂
Namba za huyu Mzee tungezipata ingekua jambo zuri tumpe hata nguvu
Kweli mzee yanga viropolopo hawana sili
Harika
kweeeeel anachoo ongea huyuu mzeee woteee hao nia yaoo ni kuimalza yangaaa
Mzee nimemsikiliza anaongea vitu vya msingi na ni vyakweli
YANGA mtauwa wazee wa watu vunjeni team 😂😀😁🤣😅🤗
Mpe jero apande gari hyo Mzee
Mzee kaona Giza trh 8😂😂
Noma
Yani huyo mzee kelele zote izo kumbe ata nauli hana si atalii hii?
Upuuzi ntupu taka taka
Atavishwa mtu nguo nyeupe "sanda"🤣🤣🤣
😂😂😂😂
yanga itawaua wengi
Mzee mwisho anataka nauli
Kweli mzee wapasulie wanatukelaaa
Mzee ni mfurukutwa kwa yanga
Mzee Mtata sn Huyu nahisi anafaa kukaimu nafasi ya Mbowe pale Chadema
😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣
Ahsante kaka umenikosha hapo
Watu wa mtwara mpoooo atoki ntu😂😂😂
Mnamuunga mkono uyu mzee nanyi mnaonekana mnamapungufu pia uyu mzee hajielewi wangap wanatangaza miundombinu ya tim mzee wew ulale muda huu waache watu wafanye kazi kwanza
Nakukubali sana
Mzee huko kwenye SANDA fanya haraka! Maana wameiuza timu yetu Hawa!!!!
Nidia, nibia
Naomba mamba ya uyomzee samahani
Mzee umri umeenda angalia akhera yako tena mzee upate husni lhatima
Hawa ndo wazee tunaowataka....tunawaita wazee wapwani.
Wazee hata kama hawana kitu lakini ni Adhina kubwa ya ushauri
Aaahhha mzemze watuwakolofi Simba juhhh
Huyu ndio vidimbwi plus utopolo plas malalamiko f c
Yanga kwanzia wachezaji mpaka viongozi hawana nidhamu
We mzee umveshi mtu sanda kufa ahadi iyo timu itakuuwa hamia Simba upate raha
Nibia ndio media 😁😁
Huyu mzee angekuwa na meno Angemgata mtu usoni lakn tatizo meno hana 😁😁😁😁
😁😂😂😂😂😂😂😂
Atawekwa mtu katika sanda😂😂😂
Mzee mpili ni mchawi kumbe!! Kapigiwa saa2 usiku akatengeza mambo yanga ikacheza.
Safi sana mzee wachane hao
waambie mzee watoporo hao
Mwenezi Yanga pokea hiyo ni Message.Chagua mambo ya kutangaza sio kila kitu kutangaza.unaua nguvu ya timu
Kachukua nebia zote kazpeleka kempo wakati walishaambiwa asiingie mtu yoyote
Huyo uyo mwakarebela swala anasema limepelekwa Fifa unafki mtupu viongozi wa hapa uongo ndo tabia yao🤣🤣🤣🤣
Unateseka ukiwa wapii?
Kuna mahali nmeckia mzee kaongea kichinaa hahahaha
Media ni namibia au😂😂😂😂
Mzee Mpili nampenda sana🤣🤣🤣🤣
Huyumzee mshirikina ana mambo ya zamani
Aho
Mzee kungwero Hahahahahahahahaaa
Mzee mpili kasema mwisho mwezi wa 5 asa nyie jitieni majeuri😁😂🤣🤣🤣....muone hao nyuki na nzige watakavo sambaa hapo klabuni
😂😂😂😂Watake wasitake wanaondoka 😂😂😂😂 namnukuu mtangazaji Mzee mbona unajiamini ivyo Mzee Mpili wanaondoka Walaah wanaondoka mi nnawatu wakorofi😂😂😂😂 Nomaaaa sana
Naomba mamba ya uyomzee nimemuelewa
Duuu!!!
Atavishwa mtu nguo nyeupe
Simba nasisi tutafute Mzee Mpili wetu jamani🤣🤣🤣🤣
Inaelekea aliitwa akaambiwa awache kuongelea uongozi wa yanga maana skuizi hataki kabisa kuhojiwa.
Kumekuchaa
Timu akipewa huyu Mzee na Wenzie tunashinda
Ka Utopolo kazeeee 😆😆😆
Katakupa mimba siku sio nyingi
@@rashidkaoneka7513 Kwan mimba yenyewe inasemaje ?
𝓃𝒹𝓊𝑔𝓊 𝓏𝑒𝓉𝓊 𝓌𝒶𝓃𝒶 𝓈𝒽𝒾𝒹𝒶
Huyu mzee anameno kwel😅
😄😄😄😅😄😅😄😄😅😅😅😄..swala LA Morrison lkoje?!?
Babu shikamo
Unanihoji bure tu hata nauli hunipi😀😀😀😀😀
Daaah hio ndio nimeskia mwisho
Unanishukuru bure tu hata hela ya nauli hunipi
Naomba please baada ya mechi mumfate huyu mzee isijalishe timu gani imeshinda nawaomba
Hivi ni mimi tu nimesikia " nibia" au wewe pia umesikia hilo la nibia?😄😄🙈🙈🤔🤔🙄🙄😄😄
Hahahah nimesikia tu,,, vpia,,, cjui ndo midia
Siyo nibia ni nedia
@@shimokajoseph1502 😄😄😄🙆🙆
Nibia+ntupu=kempo
🙏🙏🙏🙏
Ila huyu Mzee anajua kuchambua
🤔🤔🤔🤔🤔🤔🙏🙏🙏🙏
Mzee ana machungu bhana.
Mzee una akili sana
Kiboko yaakili mali.😂😂😂😂😂
😝😝😝
Hahahahahha aliesikia viva toa coment
Huyu Mzee ana akili sana aise
#NIBIA🤣
Huyu Mzee mkweli Mtupu GSM WAHUNI NA GENGE LAO
Gsm si tatizo tatizo viongozi mwenyekiti na makamo wake
Sure kabsa
Babu ongera huyo msola mwakalebele atuwatakii tena
Utopolo mtaua wazee wetu badilikeni
Jaman huyu mzee mtamuuwa
Ati bure tu hataa hela ya nauli unipii😂
Mzeee wetuu Annawatu wakorofi
Huyo mzee apewe ulinzi
Huyu mzee apangiwe posho