Jinsi ya Kusafiri kwa Ndege

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 08. 2024

Komentáře • 63

  • @user-uu6ei1ys3k
    @user-uu6ei1ys3k Před měsícem +1

    🙏🙏🙏🙏

  • @jackcharles7218
    @jackcharles7218 Před 8 měsíci +1

    Hahahahahah ahsante bro kwa mwongozo wako mzr

  • @rofinkitali3765
    @rofinkitali3765 Před 16 dny +1

    Uwe unaongea kwa kutulia.
    Ikiwezekana andika orodha ya utaratibu halafu usome taratibu.
    Mfano
    1. Pata tiketi ya kusafiri.
    2.kama ni safari ya ndani uwe na kitambulisho chenye picha.
    4..…
    Tumia maneno ya heshima. Usitumie 'atakupiga biti kali'

  • @aj-gw1rl
    @aj-gw1rl Před rokem +1

    Asante kwa maelekezo mazuri

  • @kolokokoloko9276
    @kolokokoloko9276 Před 2 lety +2

    Safi sana ndugu kwa kutuelekeza

  • @lucyjeremia1381
    @lucyjeremia1381 Před 6 měsíci +1

    Airport watu huwa wanatupa Sana vitu Asa oman 😂😂😂😂😂 MI ndomaana natumaga cargo afu naondoka na mzigo wa kilo zinazotakiwa

  • @macrinacaesar1564
    @macrinacaesar1564 Před rokem +1

    Hi Chriss,asante kwa tips.ubarikiwe

    • @MazulaAbund
      @MazulaAbund  Před rokem

      Karibu, Like, Share na wengine wapata, pia Subscribe

  • @deveralymgaya978
    @deveralymgaya978 Před rokem +1

    Uko vizur

  • @nditondilito2510
    @nditondilito2510 Před rokem +1

    Safi

  • @hawaynatimam982
    @hawaynatimam982 Před 3 lety +2

    Asante

  • @user-rc9xd9hu3m
    @user-rc9xd9hu3m Před 2 měsíci

    Nisaidie nataak kusafiri kwa ndege na sina kitambulisho chochote mpenziii 😢😢😢

    • @MazulaAbund
      @MazulaAbund  Před 2 měsíci

      Tafuta kitambulisho kwanza

    • @user-rc9xd9hu3m
      @user-rc9xd9hu3m Před 2 měsíci

      @@MazulaAbund nakitambulisho Cha mpiga kura tyu jomni na natakiwa niende kesho kutwa ntafanyaj na naenda dar natokea dom

  • @user-vv2wn9qn4t
    @user-vv2wn9qn4t Před 8 měsíci +1

    Mimi kunamzingo nimetumua sas natuma pesa wanambia et pesa y tanzania ni ndog kwa kenya nifanye nini ili kupata mzingo wangu kaak😢

  • @nellytsuma7519
    @nellytsuma7519 Před rokem +1

    Thanks bro

  • @stevekdaniel
    @stevekdaniel Před 2 lety +1

    Safi sana

  • @user-vv2wn9qn4t
    @user-vv2wn9qn4t Před 8 měsíci +1

    Samahani kaka naomba kuhuzulia je ukiangiza mzingo kukufikiavinabidi ulipie shingapi

    • @MazulaAbund
      @MazulaAbund  Před 8 měsíci

      Mzigo kutoka wap had wapi? Kwa njia gani? Wachek DHL,

  • @rommysandra1276
    @rommysandra1276 Před 3 lety +1

    Mmmh

  • @hariethcostantine9777
    @hariethcostantine9777 Před 2 lety +2

    Kwaiyo auruhusiwi kusafiri na parefum ya aina yoyote

    • @MazulaAbund
      @MazulaAbund  Před 2 lety

      Ndiyo

    • @MazulaAbund
      @MazulaAbund  Před 2 lety

      Unaruhusiwa ina unaweka kwenye begi linaloingia sehem ya mizigo, kwenye sehem ya abiria kuna shart la ujazo ambao ni ndogo sana

  • @tumtumkhan3115
    @tumtumkhan3115 Před 3 lety +2

    Jee unaweza kubeba perfume kwenye begi la chini

  • @ghaosalsalum
    @ghaosalsalum Před 11 měsíci +1

    Ticket ya ndege wakesha kutumia unaenda kuitoa copy?

  • @Glorie711
    @Glorie711 Před rokem +1

    Maybe fire ya kwenda Tanzania ni kama ngap ni kiwa kenya

    • @MazulaAbund
      @MazulaAbund  Před rokem

      check online ila siyo ghali sana

    • @Glorie711
      @Glorie711 Před rokem +1

      @@MazulaAbund Asante kakangu 🙏🙏

    • @MazulaAbund
      @MazulaAbund  Před rokem

      @@Glorie711 Karibu, Subscribe, Like and Share na wengine wapate kujua na kuona

  • @vitymteysemere4777
    @vitymteysemere4777 Před rokem +1

    Kaka naomba no yako

    • @MazulaAbund
      @MazulaAbund  Před rokem

      Naandaa namba afu ntaweka hapo kwa ajir ya watu wote watakao hitaji

  • @LyonWalker_
    @LyonWalker_ Před 2 lety +1

    Kuna watu wanao kuelekeza if you need support ukiwa upo airport na haujui utaratibu

    • @MazulaAbund
      @MazulaAbund  Před 2 lety +1

      kuna wafanyakaza mara nying wamevaa unifom unaweza wauliza, au kuna sehem( dawati) la maulizo nk

    • @LyonWalker_
      @LyonWalker_ Před 2 lety

      @@MazulaAbund but kuna ugumu kupata pass ya kusafiria na precess zipoje na ghArama kwa ujumla

    • @MazulaAbund
      @MazulaAbund  Před 2 lety

      @@LyonWalker_ czcams.com/video/vwiYJtXHqZY/video.html

    • @camillahamis1069
      @camillahamis1069 Před rokem +1

      Me niliuliza palepale wakat nakaguliwa mabegi

    • @camillahamis1069
      @camillahamis1069 Před rokem +1

      hahah Kama mm wakat naenda Denmark kha nyie hapana🤣🤣

  • @lizzydiy4590
    @lizzydiy4590 Před 2 lety +1

    Kaka je unaweza pata ticketi hapo hapo airport ile siku ya safar?

    • @MazulaAbund
      @MazulaAbund  Před 2 lety +1

      Inawezekana km ndege ipo au zipo pia kuwepo na nafasi ila mara nyingi siyo za nje ya nchi pia bei inakuwa kubwa kwa tiket ya siku hiyo hiyo na mda mfup tu safari

  • @tinapius6795
    @tinapius6795 Před 2 lety +1

    Mmmh nimeogopa nyie hakuna kusemeshana tunafka tumenuniana tu

    • @MazulaAbund
      @MazulaAbund  Před 2 lety

      Usiogope ni tahadhari za kiusalama tu

  • @fatmahkhamis9510
    @fatmahkhamis9510 Před rokem +1

    Kwa mfano kama uko kenya unataka kwenda Tanzania utafanya nn help me plz🙏🙏

    • @MazulaAbund
      @MazulaAbund  Před rokem

      Unatakiwa uwe na hata ya kusafiria ya mda mrefu au mfupi( pasport) pia naul ya ndege au busi ukifika mpakan watagonga muhuli kwenye pasipot na kukujuza siku za kuka tz km jirani

    • @fatmahkhamis9510
      @fatmahkhamis9510 Před rokem +1

      Passport niko nayo nauli pia lakin hii hata inapatikana kama wap??

    • @MazulaAbund
      @MazulaAbund  Před rokem +1

      @@fatmahkhamis9510 sijaelewa? km una naul na pasport. Tz na kenya kuna ujiran mwema hivyo visa/ ruhusa ya kuingia tz unapewa mpakan sasa nenda kituo cha basi au online au kw wakala wa ndege then kata tiket kwenda Tz. unatakiwa uwe na tiket na pasport utakapofika mpakani( cheki pia masharti ya covid km yapo)

    • @fatmahkhamis9510
      @fatmahkhamis9510 Před rokem +1

      @@MazulaAbund Asante sana kwa kunieleweshua vizur 🙏🙏

    • @MazulaAbund
      @MazulaAbund  Před rokem +1

      @@fatmahkhamis9510 Karibu, Subscribe, share hizo video na wengine wafaham zaid nk

  • @kokubanzaedi9573
    @kokubanzaedi9573 Před 2 lety

    Ivi nauli ya kwenda Nigeria Sasa ivi nishingapi

    • @MazulaAbund
      @MazulaAbund  Před 2 lety

      Km dola mia tatu hiv ila ulizia kwenye hizo wakala wa safar z ndege au chek online kupitia ethiopian airways