Video není dostupné.
Omlouváme se.

MAKONDA AMKABIDHI MILIONI 10 JAMAA ALIYESHINDA MASHINDANO YA PIKIPIKI ARUSHA "SISI SIO WASHAMBA"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 19. 08. 2024

Komentáře • 81

  • @justinelukumay5308
    @justinelukumay5308 Před měsícem +4

    Mh Makonda God bless you unachachukubwa ya kuwajenga Vijana ndani na nje Ya Arusha Barikiwa kakaangu

  • @salymkitumbika8644
    @salymkitumbika8644 Před měsícem +8

    Ahadi imekuwa kweli namuona yule mtendaji mwenye miwani uliyemwita aje afanyekazi office ya mkuu wa mkoa well done🎉

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema Před měsícem +4

    Mungu akubariki Mheshimiwa Makonda kama Mkuu wa Wakuu wa Mikoa Tanzania Vijana wapambanaji tunakukubali Taifa zima. Hizi Sekta ambazo sio rasmi ndiyo zinagusa maisha ya vijana wengi ambao ni wapambanaji. Good job and Big up

  • @Nick16697
    @Nick16697 Před měsícem +28

    Imekaa poa sana, lakini ningeshauri kwakua nia ni kukuza utalii basi jina la mashindano yangeitwa jina hata la mbuga za wanyama yoyote Tanzania, ili kukuza utalii

    • @AliJuma-go4rc
      @AliJuma-go4rc Před měsícem +1

      Yan wabongo kutajwa Samia mutoe makosa cjui mnaumizwa na nn haya jina tu ndo wataliii hawatokuja

    • @albertlaizer8464
      @albertlaizer8464 Před měsícem +1

      Uko na akili sanaaa wwe joh

    • @user-nb6yh2bn9y
      @user-nb6yh2bn9y Před měsícem

      ​@@AliJuma-go4rckwani kakosea nini mbona unashida wewe

    • @innocentinyasi9198
      @innocentinyasi9198 Před měsícem

      Maoni mazury sana kaka sema ni mwanzo maybe Races ijayoo watatumia

    • @user-zs4qz4wm2n
      @user-zs4qz4wm2n Před měsícem

      ​@@AliJuma-go4rcwewe ndo kichwa mgando mwenzio katoa mawazo mazuri wewe unaleta upuuzi😂😂

  • @paulinaobiria9649
    @paulinaobiria9649 Před měsícem +3

    Hongera kwa waandalizi na hongera kwa mkuu wa mkoa kwa kuwaunga mkono wachezaji wa mchezo huu, umeonesha kuwajali na hii itaamsha ari ya washiriki na pia kitakuwa kivutio katika mji huu na itaongeza uchumi wa watu wa Arusha

  • @browntv1119
    @browntv1119 Před měsícem +11

    makonda wewe sio mtu wa kawaida umeletwa na mungu endelea kupambana mkuu vijana tuko nyuma yako

  • @apostlemagdalenakongera1238
    @apostlemagdalenakongera1238 Před měsícem +4

    Yesu Kristo azidi kukutetea na kukulinda daima hongereni sana Wana Arusha kwa kupata jembe kama hilo

    • @user-nb6yh2bn9y
      @user-nb6yh2bn9y Před měsícem

      🥰🥰🥰👏👏👏

    • @khadi-z4o
      @khadi-z4o Před měsícem +1

      Yesu Ninani yako wewe?Bwana Wamungu au Yeye Ndiye Mungu?😅

    • @user-nb6yh2bn9y
      @user-nb6yh2bn9y Před měsícem +1

      @@khadi-z4o kwani mtume ninani yako wewe mbona unakuwa jambazi wakuvamia Imani zawatu 🙃

    • @khadi-z4o
      @khadi-z4o Před měsícem

      @@user-nb6yh2bn9yMtume Nimtume na Mungu Ni Mungu Hakuzaa Wala Hakuzaliwa Na Hana Mfano wowote nakitu chochote ama mtu yoyote Duniyani.Ndomaana Akaitwa MUNGU.

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 Před měsícem

      Ujinga wa watu weusi mpaka leo tupo utumwani, Yesu hana mpango na sisi watu weusi, vijana wake wa ulaya ndio walitupa hiyo imani baada ya kutuswagwa utumwa. Labda vijana wake wa ulaya ndio anawatetea, we bakia hivyo hivyo

  • @user-rh5iy3ei3g
    @user-rh5iy3ei3g Před měsícem +4

    Ila wana Arusha sikuiz hatupumua kwa burudan tunazopata,ni back to back Alhamdullilah 😊

  • @DaudiSiyame
    @DaudiSiyame Před měsícem +1

    May God give you better health and more strength

  • @user-pi5df7qu3y
    @user-pi5df7qu3y Před měsícem +1

    Mr president makonda respect sana

  • @UshuaniMedia
    @UshuaniMedia Před měsícem +3

    asante ayo kazi nzuri kaka one day niwe kama ww..🤔

  • @user-mq4et8ie5c
    @user-mq4et8ie5c Před měsícem

    Namuona John mdenye

  • @AlbinusPeter-yw6oy
    @AlbinusPeter-yw6oy Před měsícem +1

    Mh makonda wewe nomaaaaa sanaaa

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 Před měsícem +4

    Mambo mengi mnayapatia jina la Rais. Mambo mengi yasiwekwe kwenye siasa bali taifa. Kwakua 100% ni Rais Wa Tanzania, lakini kuna ambao hawampendi.

    • @michaelpengo8730
      @michaelpengo8730 Před měsícem +1

      Sasa kama humpendi rais vyake unavitakia nini?

    • @AliJuma-go4rc
      @AliJuma-go4rc Před měsícem +1

      Yan watu wote mwenye akili ya kufkiria ni ww tu? Acha wivu wa kijinga fanya kaz na ww jina lako liwekwe sehem kama hizo 😂😂😂

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před měsícem

      Sio kumchukia ila too much is hurmfull yaani inachosha kujipendekeza kumekuwa kero kila kitu Mama ifike wakati ipunguzwe hii style. Hii tabia ilishika hatamu enzi ya Mwendazake ila sasa inachosha kila kitu ni Mama sijawahi kusikia wakisifiwa watanzania kwa ulipaji wa kodi utaskia zimetoka kwa dah

  • @winnyolesirikwa4477
    @winnyolesirikwa4477 Před měsícem +1

    Mungu akulinde Makonda ila wanawake mmeniangusha yaani hata mmoja wa kushiriki kwenye mashindano hapana 50/50 iko wap? Hebu tuache uvivu tunaweza tushiriki❤

  • @MarkSulle-yg5lt
    @MarkSulle-yg5lt Před 17 dny

    Nimekuja kukuangalia mkuu nikiwa na huzuni mnooo😢

  • @HumphreyNyiti
    @HumphreyNyiti Před měsícem +1

    Longer mdogo wangu

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu Před měsícem

    Mh makonda ni mbunifu sana kwa kweli

  • @abdulmniga8938
    @abdulmniga8938 Před měsícem +1

    Safi sana

  • @ErastoOmari-ij1zs
    @ErastoOmari-ij1zs Před měsícem

    M/Mungu Akupe UmrinMrefu Makonda

  • @FatimaAli-of4gh
    @FatimaAli-of4gh Před měsícem

    Ingekuwa vyema mungewapa cheki hiyo cash haitoleta mauwaji mji wenyewe ni wa matukio jamani 😢😢

  • @stephanokanyika6321
    @stephanokanyika6321 Před měsícem

    Makonda oyee

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema Před měsícem +1

    Jiji la Arusha Jiji la Wajanja inafaa kuwa na Mbunge kama Makonda wakati wa Uchaguzi Mkuu wa 2025 hakikisheni Makonda anakuwa Mbunge wenu. Huyu akiwa Mbunge kisha Mungu akamsaidia akawa Waziri nakuambia hiyo Wizara watumishi watalala na viatu maana kazi itapigwa usiku na mchana.

  • @jonakajigili6991
    @jonakajigili6991 Před měsícem

    Wazo zuri sana ili lengo likuze utalii zaidi kuliko siasa

  • @workmantiktok
    @workmantiktok Před měsícem

    hapo imekaa vizuri

  • @Peterchipemba
    @Peterchipemba Před měsícem

    Hayo ndio maendeleo ya viongozi wa ccm,,kikombe kilicho jaa maji hakiitaji maji mengine

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 Před měsícem +1

    Hakuna kitu kirahisi kama kuchezea akili za watanzania, ni wepesi wa kudanganywa kwa kupewa vitu vidogo vidogo. Wanaridhika kwa kudanganywa na vitu vidogo wanasahau mtaka cha uvunguni hawaoni mbali hawana upeo kabisa sijui nani kawaroga .Inashangaza kwamba hawaoni wanaperembwa ili wajisahau wawape nafasi wenye kula nyama wao wanaambulia mtori .Yaani wanaonjeshwa bali kula wanakula wengine. Ndio maana kila siku anabuni jambo jipya hapoi yupo kwenye mkakati maalumu wa kucheza na madhaifu yetu.Upinzani mkali upo Arusha kanda ya Kaskazini nimemaliza .

    • @yusuphtwaha8386
      @yusuphtwaha8386 Před měsícem

      Unazingua haya mashindano yapo kila mwaka sio kwamba makonda ndio ameyaleta makonda ameyaongezea nguvu tu arusha sio mkoa wa kuuteka kirahs hvo vyote anavyofanya makonda vilikuwepo sema tu havikua na sapoti

    • @careemdulla1629
      @careemdulla1629 Před měsícem +1

      Haya mashindano yanafanyika karibia kila mwaka hapa Arusha ila kwa alivyo yaanda muheshimiwa Makonda sasa ndio yamekuwa na mvuto hongera sana Makonda.

  • @ibrahimuabinala695
    @ibrahimuabinala695 Před měsícem

    👋🙏🙏🙏

  • @davidshaban7375
    @davidshaban7375 Před měsícem

    Jina la Samia sijalikubali

  • @zomasamweli
    @zomasamweli Před měsícem

    Makonda unahakili sana

  • @ZuhuraTwaha-fs5ub
    @ZuhuraTwaha-fs5ub Před měsícem

    Kwani kama ni mashindano ya Samia kwanini yako mkoa mmoja hii haiko Sawa kwa mtazamo wangu lakini kama ni Jambo la raisi Rais ni wawote ila haya tuone picha liendelee😢

  • @tuikezeezra1315
    @tuikezeezra1315 Před měsícem

    Aangalie wahuni wa huko Arusha wasije wakamvamia🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @vaghoghontweki9827
    @vaghoghontweki9827 Před měsícem

    Nchi ya matajiri ..muwape na ndege pia🎉... 😅

  • @fadhilidanieli1478
    @fadhilidanieli1478 Před měsícem

    Daaaaa ila Makonda????

  • @arabisimwandaone5508
    @arabisimwandaone5508 Před měsícem

    Saf sana

  • @mtukufusafari5535
    @mtukufusafari5535 Před měsícem

    Makonda mpaka sasa kuna sehemu watu wanasema ww unastahili ata kuwa rais wa nchi nzima siyo mkoa tu

  • @SeverinepauloPeter
    @SeverinepauloPeter Před měsícem

    Spining

  • @madengejr
    @madengejr Před měsícem +1

    Ingeitwa ,, utalii wetu na vipaji vyetu

    • @AliJuma-go4rc
      @AliJuma-go4rc Před měsícem +1

      Wabongo acheni wivu Samia ni rais wenu hata mumchukie kila mbongo utaskia analia na jina kwani si na ww ufanye kaz ili ufikie level ya kutajwa kila sehem tafuta hela ww acha mambo yaso na tija yoyote kwako

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh Před měsícem

      ​@@AliJuma-go4rc
      Kwani jina lina nini Mafia kaletwa DC mpya miezi 3 tu kuletwa ukaja mwenge pale pale akatayarisha uwanja wa kusheherekea mbio za mwenge na usiku ule ule ukatangazwa ule uwanja wa michezo uitwe Maposongo Alena jina la babu yake si basi na watu wote wapo happy kwani wamepita ma Dc wangapi mbona hawajaitwa hata majina ya barabara za mtaa

  • @user-zu8ou2oe4c
    @user-zu8ou2oe4c Před měsícem

    Wewe jamaa ni mbunifu sanaaa mahisi ww ni mkuu wa wakuu wa mikoa yote tanzania

  • @user-qh2bx5em6j
    @user-qh2bx5em6j Před měsícem

    Myteves😂

  • @Bquality
    @Bquality Před měsícem

    Namuona masoud hapo hahahahaha

  • @broka_genius3615
    @broka_genius3615 Před měsícem

    Chugga km mbele

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema Před měsícem +1

    Wakuu wa Mikoa wengine nawaomba waige mfano wa Makonda badala ya kukaa ofisini kujilipa posho na kufuga vitambi na matumbo makubwa wangemsaidia Rais Samia kwa kujiongeza na kuwa wabunifu tukawa na kina Makonda wengi nakuambia hili Taifa tungefika mbali.

    • @titongome3037
      @titongome3037 Před měsícem

      Huyu Makonda ni damu yamagufuli tumuombe Mungu haje awe rais watanzania ila acha kumsifia mama

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před měsícem

      ​@@titongome3037Yupo kumpigia Mama abaki Madarakani wewe unadhani yupo kwa ajili ya nani ?😅

  • @user-qj2fz8uq3j
    @user-qj2fz8uq3j Před měsícem

    Wakuu wa mkoa mjifunze kit

  • @Sisopotashiumz
    @Sisopotashiumz Před měsícem +1

    Hawa wazungu tungewabagua tu! Tuwakate kwenye mashindano hata kama wameshiriki

  • @salumchema5098
    @salumchema5098 Před měsícem

    Pelekeni.hosptal

    • @GibsonNtamamilo
      @GibsonNtamamilo Před měsícem

      Kufanya nini huko. Hizo kesho tunapiga bia na nyama choma zote.

    • @barakarobert1029
      @barakarobert1029 Před měsícem

      Walishatibiwa bure wakapewa na dawa bure

    • @samwelilazaro2835
      @samwelilazaro2835 Před měsícem +1

      Ulisahau wiki nzima ya matibabu pale uwanja wa michezo asee?? Duh binadamu kazi kweli

    • @jerrymartin6521
      @jerrymartin6521 Před měsícem

      HONGERA SANA WEZETU WA ARUSHA