Simba 4-2 Asante Kotoko | Highlights | Mechi ya Kirafiki 28/08/2022
Vložit
- čas přidán 25. 08. 2024
- Magoli mawili kutoka kwa Clatous Chama, na mengine kutoka kwa Moses Phiri na Pape Sakho yameipa
Simba SC imepata ushindi wa mabao 4-2 dhidi ya Asante Kotoko ya Ghana katika mchezo wake wa kwanza wa kirafiki kati ya miwili itakayocheza nchini Sudan.
Katika ushindi wa leo Simba imepata magoli yake kupitia kwa Augustine Okrah dakika ya 19, Pape Sakho dakika ya 26 na Clatous Chama aliyefunga mawili dakika ya 42 kwa penati na dakika ya 55
Magoli mawili ya Asante Kotoko katika mchezo huo yamefungwa na Stephen Mukwala dakika ya 9 na Stephen Amankona kwa mkwaju wa penati dakika ya 79.
Adhana Maa Shaa Allah alhamdulillah rabbil aalamiin uisilam raha
Acha ushamba wewe uislam na ukristro wte ni MUNGU 1 tu Acha kuleta udini wewe
Chama hafai kabisa du huyu jamaa anajua sana mwache tu
Wanangu SIMBAAAAAAAAA🦁🦁🦁🦁 NguvuMoja
Adhana maa shaa Allah
Mpira safi kabisa hongera simba
Huyu jamaa Mohamed Quattara ni mzito sana. Hana speed na wala huwezi mlinganisha na Onyango.
Kwa huyu jamaa akina Mayele watampita sana na Yanga itaifunga Simba Mpaka basi
Wewe bwana acha kutaja utopolo hapa nawe hao utopolo hata watufunge mara 100 hamna la maana huyo mayele mbona kacheza na ruvu hakupata gori usilinganishe na mech za kichawi huzi za utopolo na kolo hizo mech sio kipimo cha timu kuwa mzuri au sio mzuri mech zao madudu meeengi mara huyu anapitia mlango huu huyu hataki kupita hapa mda unaokuja utamjua nani bora kimataifa
Rejea ile mechi ya ngao
Tumefungwa Magoli rahisi Kupitia Kati Kati
Kwangu me outtara anachomxidi onyango ni kupiga Pasi tu
Simba nawakumbusha kumwacha Onyango nje mnafanya makosa makubwa, Onyango ni beki bora sana kuliko hao waliopo
Outtara hamna kitu
SIMBA NGUVU MOJA 💪💪💪
Victor na Mzungu awana viwango bado Sana no 6 anazunguka tup
Sasa yupo kwetu unyamani watakomaaa🎉🦁🦁
Hongera Simba kwa ushindi ila kuna mahali panavuja na panahitaji marekebisho ya haraka sana.
Wapi?
@@amriamraan2612 wanavuja sehemu ya kujilinda na kupelekea mabeki kuchoropokwa haraka na wapinzani hasa upande wa kulia.
Mimi Ni #SIMBA Damu ila daghhhhh I'm still need #ONYANGO😭😭😭😭
🔥🔥🔥
Bao la kwanza walilofunga Asante Kotoko ni Sababu ya Uzito wa Quattara. Hapo Onyango asingepitwa kizembe namna hiyo
Mabeki wa Kati wa simba wanahitaji msasa wa kutosha jmn mana hizi through balls zinapita bila kupingwa mfano zile zilizo mfikia mayele na hili goli la kwanza la Asante Kotoko.
Mashallah
Ivi Azam mnajua highlights nyinyi
Dah Adhan hiyoo! Watu wanaitwa kwenye kher lakin maskio yamewekwa pamba
Masha Allah 🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Beki ya simba inafanya makosa mengi hawako makini🙏
🦁🦁👍👍🔥🔥
Sakho kiukweli Yuko vzuli
Mukwala kumbeh ndo uyu basi hatariii
Nakubaliana PETER JOHN kumweka ONYANGO mda mwingi nikujichimbia kaburi
Pascal kabombe jitahidi kwenda na muvument ya mpira sio unasikika tu kwenye matukio nauwataje wacheji: sio anaweka ndani kele wanaondosha ndonn sasa
Inonga anaanza kuvuja saana
Chama ni KDB wa bongo
Mukwala yupo hapo?
Gocha inaonekana ameweza kutambua udhaifu wa sako sasa anaanza kufanya maamuzi yanayoweza kuzaa matunda
Mwl Mzungu ajui Mbio na kutafuta mipila tafadhari Sana Mwl
Mzungu hamna kitu sema kocha hawezi kukuelewa maana ni mchezaji wake
Mzungu hamna kitu sema kocha hawezi kukuelewa maana ni mchezaji wake
Quattalla ovyo sana. Siyo baki mbishi kama Onyango na Baka. Anakata tamaa mapema sana
Ampishe onyango Tu
Huyu Outtara Sijui Kama Atatusaidia Simba
Me naona hana Uwezo wa kukaba wa kumshinda onyango
Ila sababu ni mchezaji wa kocha atacheza tu na ametucost na ameendelea kutucost
Kama bado hajawa fiti tunaomba kocha amtumie onyango Kwanza
Tumefungwa Magoli Mawili na Yanga Kw Kupitia Kati Kati Kama hilo goli la asante kotoko
Hawezi one v one pia ni mzito yani akipitwa tu ni balaa
Hujui mpira Wewee kaa kimya
Simba kwenye kujilinda ni hovyo kabisa kama hawakurekebisha itawagharimu sana hasa kimataifa.
Kocha asipoangalia hao ma bek tutafungwa sana kwann asimchezeshe onyango na mmoja kati ya hao?
Outtara hamna kitu kabisa sema tu ni chaguo la kocha
Hawezi kumuweka benchi onyango
Outtara hamna kitu kabisa sema tu ni chaguo la kocha
Hawezi kumuweka benchi onyango
Hii tim haina kocha tutasubir sana kuona burudani ya simba
Huyu Outtara mzitoo
Mwl Uwe Makini na Matora na Bocco na Mkude waondoke Alaka Sana sio watu wema
Hatali
Kumbe huyu mukwara alishawahi kutukanda wooooiiiiiii 🤣🤣🤣🤣🤣 utopolo njooni uwanjani tutawapa pipi ya kijiti
🔥🔥
Good pre season for Asante kotoko
Triplex CSS CCC,
Umeshakuwa Mtanzania kabisa
Chama umefanya upuuuzi wa khali ya juuu sijawahi ona kwani lazima kumpa mtu mkono
Inonga na Outtar kwa nn wanakuwa mstar Mmoja ?
Sijamuelewa msudani kbx mzito xan
This defender quatarra was very poor.. So tired
Simba ni chama
Simba ni inonga
Yan mpira ndio tumejua katikati Kwenye namba 6 hakuna kama Kanoute
Ngoja tuone nadhan kocha anajua anachokifanya kikifaulu tutafurahi kikifeli kitamghalimu so ngoja tuone muda utaongea kikubwa dua kwa viongozi,kocha na wachezaji.
Hili li chama linajuwa ila alichokifanya ninkibaya sana
Sakho kafungisha goal la kwanza kwasababu ya misifa yake
I dont think you will see beautiful stadiums like this in tanzania
Only in Sudan
we have the most beautiful stadium in east and central africa, do your research 😂 you will be ashamed
@@mduda_ihahahahh which stadium you even have? A club like simba dint even hve private stadium and fir 10 years they talking about mo arena which is fantasy
Hahahaaaa,,,,is that a beautiful stadium that makes you be proud of?,,, come in Tanzania there are so many best stdiums
don't worry about this comment this from Al mreekh fans they are always trouble makers between Al hilal and other teams we are from the same land mama Africa
Sudans biggest stadium is still under construction, this just Alhilal stadium 🏟🔥
Yani Bado tunauzembe wa beki kutegeana sijui utaisha lini mana otatar kma onyango tu
Hello habari wanachama wa simba naombeni saport ya kusikiliza bila kusahau kusubscribe andika klan genius song sawa
Adhana inaadhiniwa lkn chaajabu mpira unaendelea tyu...mbona Allah Aheshimiw?
Kwenye ule ugomvi chama kamkanyaga kwa makusudi mkono wa mchezaji wa Asante kotoko.
Mpe nyekundu
Kweli time shinda LAKINI leo HAKUNA kiwangu chochote
Ouattara hapo nado hafai
Kwili kabisa hanakasi kabisa
Sana
yes now ni ni familia sas😂😂😂😂😂
Hii ni Asante Kotoko gani?
ya ghana
Onyango n beki kuliko waliopo
Imenikumbusha chama alichomfanyia nchimbi
Inonga n mchezaji
Sana yan uyu jamaa anajua
Mwalimu ni mtaalam anajua ila onyango na inonga wanacheza vizuri Sana kuliko huyu outtar. Mzungu naye mmm acha tuendelee kumwona.
Huyu outara atafutiwe namba nyingine cio hyo ya beki wa mwisho hawezi kabsa kufanya maamuzi.
Upo sahihi maneno yako maana mtu wa mwisho ikishaa hana mamuz ya faster
Hata mechi na Yanga nilimshangaa amemwona mayele yuko mbele yake akamkimbia ili acheze offside bila kuangalia mabeki wengine wapo kwenye position gani! Kwa ujumla yule jamaa hana uwezo wa kumweka benchi beki yoyote kati ya Inonga na Onyango! Sema ni mchezaji wa kocha!
czcams.com/video/CZX_KvtwUBc/video.html
USISAHAU JAMBO HILI KUHUSIANA NA TOBA
MZUNGUMZAJI SHEIKH ABDUL RAUFU AL MUNAAWI
Huyo chama kumbe sio mstàrabu hata kidogo. Mtu anakataa kukubali samahani yako kisha u amkanyaga mkono kwa makusudi. Ovyoooooooooo.
ndo ulicho kiona wewe?
@@yohanamchekwa1803 . Ndiyo nimeona hicho kwani mpira ni uadui? Wewe hukukiona?
Andamana
Kumbe mnafuatilia simba nyie utopolo
@@Saidkhel kumanyoko Shoga Wewe 🖕🖕🖕🖕
Hii ni mechi ya kirafki ya kimataifa lengo kubwa ni wachezaji kujiweka fiti na mwalimu kupata nafasi kuona matatizo yako wapi, kwa mchezaji profesional kama chama kuonesha vitendo ambavyo si vya kiungwana vinamuondolea hadhi yakuitwa mchezaji wa kimataifa, kuna sababu gani ya kumkanyaga makusudi mchezaji aliedondoka chini kwa sababu tuu kakataa kunyanyuka? shame on you.
Tuliza kinyeo
ONYANGO ARUDISHWE HARAKA KABLA YA HU YU KOCHA KUTUAIBISHA, SI KOCHA
Kama onyango ni mzee mbona yeye kocha pia mzee?
Sasa na yeye kwa nn agome kunyanyuka bora alivyomkanyaga akome
Adhana Maa Shaa Allah alhamdulillah rabbil aalamiin uisilam raha
mashallah kabisa an
Cha msingi fuata nini Mungu anataka,usilewe dini ukaacha maazigo ya Mungu
Mashallah
Chama ni KDB wa bongo
Mashallah