Simba 4-2 Asante Kotoko | Highlights | Mechi ya Kirafiki 28/08/2022

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024
  • Magoli mawili kutoka kwa Clatous Chama, na mengine kutoka kwa Moses Phiri na Pape Sakho yameipa
    Simba SC imepata ushindi wa mabao 4-2 dhidi ya Asante Kotoko ya Ghana katika mchezo wake wa kwanza wa kirafiki kati ya miwili itakayocheza nchini Sudan.
    Katika ushindi wa leo Simba imepata magoli yake kupitia kwa Augustine Okrah dakika ya 19, Pape Sakho dakika ya 26 na Clatous Chama aliyefunga mawili dakika ya 42 kwa penati na dakika ya 55
    Magoli mawili ya Asante Kotoko katika mchezo huo yamefungwa na Stephen Mukwala dakika ya 9 na Stephen Amankona kwa mkwaju wa penati dakika ya 79.

Komentáře • 115

  • @RashidKhan-zq2hy
    @RashidKhan-zq2hy Před 2 lety +7

    Adhana Maa Shaa Allah alhamdulillah rabbil aalamiin uisilam raha

    • @benjaminchakwe9815
      @benjaminchakwe9815 Před 2 lety

      Acha ushamba wewe uislam na ukristro wte ni MUNGU 1 tu Acha kuleta udini wewe

  • @allymtungunyu2425
    @allymtungunyu2425 Před 2 lety +4

    Chama hafai kabisa du huyu jamaa anajua sana mwache tu

  • @tmagoti
    @tmagoti Před 2 lety +3

    Wanangu SIMBAAAAAAAAA🦁🦁🦁🦁 NguvuMoja

  • @lillaahilhamdutv5383
    @lillaahilhamdutv5383 Před 2 lety +3

    Adhana maa shaa Allah

  • @athanasevaristmahega7488
    @athanasevaristmahega7488 Před 2 lety +1

    Mpira safi kabisa hongera simba

  • @deusmanyenye5190
    @deusmanyenye5190 Před 2 lety +6

    Huyu jamaa Mohamed Quattara ni mzito sana. Hana speed na wala huwezi mlinganisha na Onyango.
    Kwa huyu jamaa akina Mayele watampita sana na Yanga itaifunga Simba Mpaka basi

    • @allymtungunyu2425
      @allymtungunyu2425 Před 2 lety

      Wewe bwana acha kutaja utopolo hapa nawe hao utopolo hata watufunge mara 100 hamna la maana huyo mayele mbona kacheza na ruvu hakupata gori usilinganishe na mech za kichawi huzi za utopolo na kolo hizo mech sio kipimo cha timu kuwa mzuri au sio mzuri mech zao madudu meeengi mara huyu anapitia mlango huu huyu hataki kupita hapa mda unaokuja utamjua nani bora kimataifa

    • @mzeewajambo8293
      @mzeewajambo8293 Před 2 lety

      Rejea ile mechi ya ngao
      Tumefungwa Magoli rahisi Kupitia Kati Kati
      Kwangu me outtara anachomxidi onyango ni kupiga Pasi tu

  • @peterjohn7613
    @peterjohn7613 Před 2 lety +6

    Simba nawakumbusha kumwacha Onyango nje mnafanya makosa makubwa, Onyango ni beki bora sana kuliko hao waliopo

  • @halidimgonza5945
    @halidimgonza5945 Před 2 lety +2

    SIMBA NGUVU MOJA 💪💪💪

  • @edgarcruzee5223
    @edgarcruzee5223 Před 2 lety +4

    Victor na Mzungu awana viwango bado Sana no 6 anazunguka tup

  • @alitante4279
    @alitante4279 Před měsícem

    Sasa yupo kwetu unyamani watakomaaa🎉🦁🦁

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 Před 2 lety +1

    Hongera Simba kwa ushindi ila kuna mahali panavuja na panahitaji marekebisho ya haraka sana.

    • @amriamraan2612
      @amriamraan2612 Před 2 lety

      Wapi?

    • @malugukushaha6764
      @malugukushaha6764 Před 2 lety

      @@amriamraan2612 wanavuja sehemu ya kujilinda na kupelekea mabeki kuchoropokwa haraka na wapinzani hasa upande wa kulia.

  • @janaakimu6171
    @janaakimu6171 Před 2 lety +2

    Mimi Ni #SIMBA Damu ila daghhhhh I'm still need #ONYANGO😭😭😭😭

  • @worshipperstalk
    @worshipperstalk Před 2 lety +2

    🔥🔥🔥

  • @deusmanyenye5190
    @deusmanyenye5190 Před 2 lety +5

    Bao la kwanza walilofunga Asante Kotoko ni Sababu ya Uzito wa Quattara. Hapo Onyango asingepitwa kizembe namna hiyo

  • @zuberikupaza1184
    @zuberikupaza1184 Před 2 lety +3

    Mabeki wa Kati wa simba wanahitaji msasa wa kutosha jmn mana hizi through balls zinapita bila kupingwa mfano zile zilizo mfikia mayele na hili goli la kwanza la Asante Kotoko.

  • @isackphilip4051
    @isackphilip4051 Před 2 lety +1

    Mashallah

  • @StarDugs
    @StarDugs Před 2 lety +2

    Ivi Azam mnajua highlights nyinyi

  • @sulemaanmarika7087
    @sulemaanmarika7087 Před 2 lety +1

    Dah Adhan hiyoo! Watu wanaitwa kwenye kher lakin maskio yamewekwa pamba

  • @grederoperater7970
    @grederoperater7970 Před 2 lety +1

    Masha Allah 🙏🏻🙏🏻🙏🏻

  • @charlesally6028
    @charlesally6028 Před 2 lety +1

    Beki ya simba inafanya makosa mengi hawako makini🙏

  • @Mr_Ben255
    @Mr_Ben255 Před 2 lety +1

    🦁🦁👍👍🔥🔥

  • @ramadhanikatumbati8386
    @ramadhanikatumbati8386 Před 2 lety +3

    Sakho kiukweli Yuko vzuli

  • @hilaryngonyani6750
    @hilaryngonyani6750 Před měsícem +1

    Mukwala kumbeh ndo uyu basi hatariii

  • @abdisalim7900
    @abdisalim7900 Před rokem

    Nakubaliana PETER JOHN kumweka ONYANGO mda mwingi nikujichimbia kaburi

  • @Othman496
    @Othman496 Před 2 lety +3

    Pascal kabombe jitahidi kwenda na muvument ya mpira sio unasikika tu kwenye matukio nauwataje wacheji: sio anaweka ndani kele wanaondosha ndonn sasa

  • @amirlehao8945
    @amirlehao8945 Před 2 lety +2

    Inonga anaanza kuvuja saana

  • @pepchallanga3626
    @pepchallanga3626 Před 2 lety +2

    Chama ni KDB wa bongo

  • @billywilliammyovella2202
    @billywilliammyovella2202 Před měsícem +1

    Mukwala yupo hapo?

  • @CyimSky
    @CyimSky Před 2 lety +2

    Gocha inaonekana ameweza kutambua udhaifu wa sako sasa anaanza kufanya maamuzi yanayoweza kuzaa matunda

  • @edgarcruzee5223
    @edgarcruzee5223 Před 2 lety +1

    Mwl Mzungu ajui Mbio na kutafuta mipila tafadhari Sana Mwl

    • @mzeewajambo8293
      @mzeewajambo8293 Před 2 lety

      Mzungu hamna kitu sema kocha hawezi kukuelewa maana ni mchezaji wake

    • @mzeewajambo8293
      @mzeewajambo8293 Před 2 lety

      Mzungu hamna kitu sema kocha hawezi kukuelewa maana ni mchezaji wake

  • @deusmanyenye5190
    @deusmanyenye5190 Před 2 lety +3

    Quattalla ovyo sana. Siyo baki mbishi kama Onyango na Baka. Anakata tamaa mapema sana

  • @mzeewajambo8293
    @mzeewajambo8293 Před 2 lety +3

    Huyu Outtara Sijui Kama Atatusaidia Simba
    Me naona hana Uwezo wa kukaba wa kumshinda onyango
    Ila sababu ni mchezaji wa kocha atacheza tu na ametucost na ameendelea kutucost
    Kama bado hajawa fiti tunaomba kocha amtumie onyango Kwanza
    Tumefungwa Magoli Mawili na Yanga Kw Kupitia Kati Kati Kama hilo goli la asante kotoko
    Hawezi one v one pia ni mzito yani akipitwa tu ni balaa

    • @sngrafx
      @sngrafx Před 2 lety +1

      Hujui mpira Wewee kaa kimya

  • @saidmfaume1282
    @saidmfaume1282 Před 2 lety +2

    Simba kwenye kujilinda ni hovyo kabisa kama hawakurekebisha itawagharimu sana hasa kimataifa.

  • @zubedaramadhani1289
    @zubedaramadhani1289 Před 2 lety +3

    Kocha asipoangalia hao ma bek tutafungwa sana kwann asimchezeshe onyango na mmoja kati ya hao?

    • @mzeewajambo8293
      @mzeewajambo8293 Před 2 lety

      Outtara hamna kitu kabisa sema tu ni chaguo la kocha
      Hawezi kumuweka benchi onyango

    • @mzeewajambo8293
      @mzeewajambo8293 Před 2 lety

      Outtara hamna kitu kabisa sema tu ni chaguo la kocha
      Hawezi kumuweka benchi onyango

  • @mahengomwenyewe4204
    @mahengomwenyewe4204 Před 2 lety +1

    Hii tim haina kocha tutasubir sana kuona burudani ya simba

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 Před 2 lety +1

    Huyu Outtara mzitoo

  • @edgarcruzee5223
    @edgarcruzee5223 Před 2 lety +1

    Mwl Uwe Makini na Matora na Bocco na Mkude waondoke Alaka Sana sio watu wema

  • @stevesayoni7455
    @stevesayoni7455 Před rokem

    Hatali

  • @levocatuspjohn8638
    @levocatuspjohn8638 Před měsícem +1

    Kumbe huyu mukwara alishawahi kutukanda wooooiiiiiii 🤣🤣🤣🤣🤣 utopolo njooni uwanjani tutawapa pipi ya kijiti

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 Před 2 lety

    🔥🔥

  • @denisekenwhite7766
    @denisekenwhite7766 Před 2 lety

    Good pre season for Asante kotoko

  • @gabrielaniseti1537
    @gabrielaniseti1537 Před 2 lety +1

    Triplex CSS CCC,
    Umeshakuwa Mtanzania kabisa

  • @rithadonatus8110
    @rithadonatus8110 Před 2 lety +2

    Chama umefanya upuuuzi wa khali ya juuu sijawahi ona kwani lazima kumpa mtu mkono

  • @nkoydavid9658
    @nkoydavid9658 Před 2 lety +1

    Inonga na Outtar kwa nn wanakuwa mstar Mmoja ?

  • @ramadhanirajabu8932
    @ramadhanirajabu8932 Před 2 lety

    Sijamuelewa msudani kbx mzito xan

  • @cat-kr1ro
    @cat-kr1ro Před 2 lety +1

    This defender quatarra was very poor.. So tired

  • @amiltonmichael5377
    @amiltonmichael5377 Před 2 lety +1

    Simba ni chama
    Simba ni inonga

  • @eliyamloy3490
    @eliyamloy3490 Před 2 lety +1

    Yan mpira ndio tumejua katikati Kwenye namba 6 hakuna kama Kanoute

  • @daddynamombas3898
    @daddynamombas3898 Před 2 lety +1

    Ngoja tuone nadhan kocha anajua anachokifanya kikifaulu tutafurahi kikifeli kitamghalimu so ngoja tuone muda utaongea kikubwa dua kwa viongozi,kocha na wachezaji.

  • @rithadonatus8110
    @rithadonatus8110 Před 2 lety +1

    Hili li chama linajuwa ila alichokifanya ninkibaya sana

  • @mbwizax87
    @mbwizax87 Před 2 lety

    Sakho kafungisha goal la kwanza kwasababu ya misifa yake

  • @salihalash4111
    @salihalash4111 Před 2 lety +2

    I dont think you will see beautiful stadiums like this in tanzania
    Only in Sudan

    • @mduda_i
      @mduda_i Před 2 lety

      we have the most beautiful stadium in east and central africa, do your research 😂 you will be ashamed

    • @salihalash4111
      @salihalash4111 Před 2 lety

      @@mduda_ihahahahh which stadium you even have? A club like simba dint even hve private stadium and fir 10 years they talking about mo arena which is fantasy

    • @issackntacho710
      @issackntacho710 Před 2 lety

      Hahahaaaa,,,,is that a beautiful stadium that makes you be proud of?,,, come in Tanzania there are so many best stdiums

    • @mokaamohammed2441
      @mokaamohammed2441 Před 2 lety +1

      don't worry about this comment this from Al mreekh fans they are always trouble makers between Al hilal and other teams we are from the same land mama Africa

    • @Abasiyacity
      @Abasiyacity Před 2 lety +2

      Sudans biggest stadium is still under construction, this just Alhilal stadium 🏟🔥

  • @mohamedisalumu5135
    @mohamedisalumu5135 Před 2 lety +1

    Yani Bado tunauzembe wa beki kutegeana sijui utaisha lini mana otatar kma onyango tu

  • @klangeniustz5767
    @klangeniustz5767 Před 2 lety +1

    Hello habari wanachama wa simba naombeni saport ya kusikiliza bila kusahau kusubscribe andika klan genius song sawa

  • @leeobite5657
    @leeobite5657 Před 2 lety +1

    Adhana inaadhiniwa lkn chaajabu mpira unaendelea tyu...mbona Allah Aheshimiw?

  • @shafiismaily9223
    @shafiismaily9223 Před 2 lety

    Kwenye ule ugomvi chama kamkanyaga kwa makusudi mkono wa mchezaji wa Asante kotoko.

  • @jumamwarabu9307
    @jumamwarabu9307 Před 2 lety

    Kweli time shinda LAKINI leo HAKUNA kiwangu chochote

  • @madukaj.j.6999
    @madukaj.j.6999 Před 2 lety +1

    Ouattara hapo nado hafai

  • @AcksunBonifas-mj2sw
    @AcksunBonifas-mj2sw Před měsícem

    yes now ni ni familia sas😂😂😂😂😂

  • @africaendlesscruising
    @africaendlesscruising Před 2 lety

    Hii ni Asante Kotoko gani?

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 Před 2 lety

    Onyango n beki kuliko waliopo

  • @djibrilsaidikagambaje97

    Imenikumbusha chama alichomfanyia nchimbi

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 Před 2 lety

    Inonga n mchezaji

  • @nyaganyaga3876
    @nyaganyaga3876 Před 2 lety

    Mwalimu ni mtaalam anajua ila onyango na inonga wanacheza vizuri Sana kuliko huyu outtar. Mzungu naye mmm acha tuendelee kumwona.

  • @Shijajohn5084
    @Shijajohn5084 Před 2 lety +1

    Huyu outara atafutiwe namba nyingine cio hyo ya beki wa mwisho hawezi kabsa kufanya maamuzi.

    • @binaljabirmshihirzanzibar8369
      @binaljabirmshihirzanzibar8369 Před 2 lety +1

      Upo sahihi maneno yako maana mtu wa mwisho ikishaa hana mamuz ya faster

    • @thomasabelmwakipesile5280
      @thomasabelmwakipesile5280 Před 2 lety

      Hata mechi na Yanga nilimshangaa amemwona mayele yuko mbele yake akamkimbia ili acheze offside bila kuangalia mabeki wengine wapo kwenye position gani! Kwa ujumla yule jamaa hana uwezo wa kumweka benchi beki yoyote kati ya Inonga na Onyango! Sema ni mchezaji wa kocha!

  • @wajawemaonlineTV
    @wajawemaonlineTV Před 2 lety

    czcams.com/video/CZX_KvtwUBc/video.html
    USISAHAU JAMBO HILI KUHUSIANA NA TOBA
    MZUNGUMZAJI SHEIKH ABDUL RAUFU AL MUNAAWI

  • @alimohammedomar3412
    @alimohammedomar3412 Před 2 lety

    Huyo chama kumbe sio mstàrabu hata kidogo. Mtu anakataa kukubali samahani yako kisha u amkanyaga mkono kwa makusudi. Ovyoooooooooo.

  • @jamalhatibu777
    @jamalhatibu777 Před 2 lety +2

    Hii ni mechi ya kirafki ya kimataifa lengo kubwa ni wachezaji kujiweka fiti na mwalimu kupata nafasi kuona matatizo yako wapi, kwa mchezaji profesional kama chama kuonesha vitendo ambavyo si vya kiungwana vinamuondolea hadhi yakuitwa mchezaji wa kimataifa, kuna sababu gani ya kumkanyaga makusudi mchezaji aliedondoka chini kwa sababu tuu kakataa kunyanyuka? shame on you.

    • @Saidkhel
      @Saidkhel Před 2 lety

      Tuliza kinyeo

    • @beriasmasanga6859
      @beriasmasanga6859 Před 2 lety

      ONYANGO ARUDISHWE HARAKA KABLA YA HU YU KOCHA KUTUAIBISHA, SI KOCHA

    • @beriasmasanga6859
      @beriasmasanga6859 Před 2 lety

      Kama onyango ni mzee mbona yeye kocha pia mzee?

    • @yusuphabsaid8151
      @yusuphabsaid8151 Před 2 lety

      Sasa na yeye kwa nn agome kunyanyuka bora alivyomkanyaga akome

  • @RashidKhan-zq2hy
    @RashidKhan-zq2hy Před 2 lety +23

    Adhana Maa Shaa Allah alhamdulillah rabbil aalamiin uisilam raha

  • @sophiahussein8858
    @sophiahussein8858 Před 2 lety +1

    Mashallah

  • @pepchallanga3626
    @pepchallanga3626 Před 2 lety +1

    Chama ni KDB wa bongo

  • @isackphilip4051
    @isackphilip4051 Před 2 lety +1

    Mashallah