Magoli | Simba 4-2 Asante Kotoko | Mechi ya Kirafiki 28/08/2022

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024
  • Magoli mawili kutoka kwa Clatous Chama, na mengine kutoka kwa Augustine Okrah na Pape Sakho yameipa Simba ushindi wa mabao 4-2 dhidi ya Asante Kotoko ya Ghana katika mchezo wake wa kwanza wa kirafiki kati ya miwili itakayocheza nchini Sudan.
    Magoli mawili ya Asante Kotoko katika mchezo huo yamefungwa na Stephen Mukwala dakika ya 9 na Stephen Amankona kwa mkwaju wa penati dakika ya 79.
    Haya hapa magoli yote....

Komentáře • 170

  • @mohammedrashid7735
    @mohammedrashid7735 Před 2 lety +12

    Huyu chama kila goli la simba lazims ahusike, halaf kuna mpuuz anakwambia hana speed hafai. Jaman ifikr mahsl tuheshome vipaji vya watu

  • @johansenbashange2628
    @johansenbashange2628 Před 2 lety +11

    Goli la kwanza la Kotoko linaendelea kutukumbusha partner ya Ouatarra na Inonga haina muunganiko! Wanajikutaga kwenye mazingira magumu kwa kuzubaa kwao

    • @kedyjohn1848
      @kedyjohn1848 Před 2 lety +2

      In a footballing eye, midfielder kapoteza mpira sehemu hatari sana na ilitosha kwa mpinzani kugusa mpira mara moja tu kuamua pasi ya goli. Siyo kabisa kosa la kipatnashipu...

    • @thomasabelmwakipesile5280
      @thomasabelmwakipesile5280 Před 2 lety

      Simba tusije tukafanya kosa la kumwacha Onyango ! Huyu Quatarra namwona ni mzuri zaidi akacheza as defensive midfielder na Inonga akasimama kati pamoja na Onyango!

    • @dullyjabri8393
      @dullyjabri8393 Před 2 lety

      Magoli tunayo fungwa ni ya aina moja hata la yanga ni hivi hivi

    • @hajiussi9290
      @hajiussi9290 Před 2 lety

      Kwl kk

    • @kedyjohn1848
      @kedyjohn1848 Před 2 lety

      @@thomasabelmwakipesile5280 Duuh ulimwona wapi akicheza defensive midfielder bro ?

  • @marselinarweyemamu4034
    @marselinarweyemamu4034 Před 2 lety +8

    Ila sio siri jamni simba ikufunga mashabiki tunapata usingiz mnono

  • @rashidikawanga2941
    @rashidikawanga2941 Před 2 lety +3

    Yani huyu Outtara tutafungwa mengi sana na watu wenye speed yy km hawez kukimbizana na watu atulie nyuma kule kwny position yke sio lazima asogee mbele sanaa,acheze onyango tu maana huyo outarra uchezeji wake km pascal wawa na huyo alikuwa anakaa benchi kwny combination ya onyango na inonga, kocha anazingua. But all in all good performance 👏 👏👏👏👏👊👊👊👊👊🔥🔥🔥🔥🔥

  • @tumpaleluhanga1396
    @tumpaleluhanga1396 Před 2 lety +6

    Faulo ya Kapama ni ya kizembe sana.
    Kulikuwa hakuna haja ya kucheza vile na kusababisha penati ambayo nadhani haikuwa ya lazima

  • @amanichodo1141
    @amanichodo1141 Před 2 lety +1

    Congratulations, this is Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @aminaalabri4170
    @aminaalabri4170 Před 2 lety +8

    Hpa ndo naamin kam kinyes fc wanaturoga

  • @allanalex8822
    @allanalex8822 Před 2 lety +7

    Walivyoshanglia goli la kwanza dah wangejua nne zinakuja wangetulia tu

    • @brenderdennis4186
      @brenderdennis4186 Před 2 lety

      Hahahahaha niache nicheke this is simba on 🔥😁😁😁😁

  • @kilogreekachananawatuwasio4054

    BRAVO SIMBA.S.C🇹🇿🇬🇷🙏

  • @mariam5617
    @mariam5617 Před 2 lety +1

    Hii mech sio ya kuijaj sana kikos sio chenyewe wangetimia awa wangepgwa paka 10 awa team awana kabsa

  • @bennedicthillary500
    @bennedicthillary500 Před 2 lety +2

    Ivi mnamfuatilia moses kila gemu anatupia jamaa cio poa , ila chama salute

    • @mamutz5479
      @mamutz5479 Před 2 lety

      Jamani Mimi hatasielewi goli lakusawazisha kafunga okra au phili simuelewi mtangazaji simuelewi

    • @costasendama113
      @costasendama113 Před 2 lety

      @@mamutz5479 okrah siyo Moses

    • @mhandomhina5503
      @mhandomhina5503 Před 2 lety

      Yah ana mwendelezo mzuri na wastani mkubwa wa magoli kuliko washambuliaji wote wapya wa ligi hii yetu.
      Lakini unamfuatilia vp Mo Ouatara?

  • @benjaminsteven7350
    @benjaminsteven7350 Před 2 lety +4

    Hivi huyu mzungu mbona mi simsisomi

  • @alwaysinprofit5750
    @alwaysinprofit5750 Před 2 lety +2

    Banda yuko fresh sana

    • @jacksonmoses9428
      @jacksonmoses9428 Před 2 lety +1

      Dogo anacheza mpira wa kizungu hana parapara za kufunga goli

  • @kakorejrboyz6447
    @kakorejrboyz6447 Před 2 lety +2

    Shikamooo Simbafc hivyo ndio vipimo sio cha Mwamnyeto mzee wa kuchomesha😂😂😂😂😂

  • @kidukakiduka680
    @kidukakiduka680 Před 2 lety +5

    Ila jamani huyu beki wetu wakat hua mm simuelewagi kocha anampenda tu ila shuhuli ya onyango haiwezi kabisa na viongzi wakimuacha onyango wamebugi

  • @nuhuswalehe6690
    @nuhuswalehe6690 Před 2 lety +1

    Chama atabaki kuwa yeye🔥🔥🔥

  • @amirlehao8945
    @amirlehao8945 Před 2 lety +1

    The brain master

  • @kedyjohn1848
    @kedyjohn1848 Před 2 lety +1

    Chama is one bad news football brain... Naona kapania kweli msimu huu !

  • @evaristkiiza1938
    @evaristkiiza1938 Před 2 lety +1

    Hongereni Simba
    mechi saf ya maandalizi

  • @dotoomary6889
    @dotoomary6889 Před 2 lety +4

    Okwiii????au masikio yangu

    • @saidsuleiman1753
      @saidsuleiman1753 Před 2 lety

      Hata mimi nilishtuka nikafikiri naangalia mpira wa zamani ila nikaona kina Moses Phiri, Okra na wengine nikajua mtangazaji kapagawa na pira biriani

  • @hassanmsilu146
    @hassanmsilu146 Před 2 lety

    Kikosi Cha leo simba

  • @kibasatv1524
    @kibasatv1524 Před 2 lety

    Hatariiii sana msimbazi

  • @maryrweyemamu7825
    @maryrweyemamu7825 Před 2 lety +1

    Nimesikia Emanuel Okwi???

    • @hemedkagodah1436
      @hemedkagodah1436 Před 2 lety

      Daah uyu mwamba ukiwa unaskiliza redio adi raha ata kwe tv ukiskia jina lake tu ..

  • @danielchalamila2395
    @danielchalamila2395 Před 2 lety

    Asante kotoko imeshuka kiwango saivi sio kama zamani tusibweteke sana

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 Před 2 lety +2

    Inonga wewe ni Bek punguza mbwembwe.

  • @dullyjabri8393
    @dullyjabri8393 Před 2 lety +2

    Kwa maoni yangu naona ni bora simba ikawa Taifa stars vile

  • @joshuataramo7317
    @joshuataramo7317 Před 2 lety +3

    Coash wa Simba kwa hakika hana sababu ya kulaumiwa Victor Akpan hana Msaada kwa Timu .Kiungo cha chini Simba hawana mtu zaidi ya Kanoute. Hata Mkude nimemuona kule Stars alikuwa anarukaruka tu. Nassoro Kapama anaweza anafanya vizuri. So Mzungu Akpan na Mkude Simba wajipange hakuna watu pale.Ila Okwa apewe sana nafasi

  • @paulsamarini11
    @paulsamarini11 Před 2 lety +1

    Kwa mlichokifnya ndo tunakitaka kwahyo pgeni kaz wanarunyasi

  • @ahadiyamungualdos8344
    @ahadiyamungualdos8344 Před 2 lety +2

    Simba Yangu imesha NIKOSHA moyo mapemaaa Sina shida na mtu

  • @abasirajabu5917
    @abasirajabu5917 Před 2 lety

    Ongera chama

  • @hbrtv3345
    @hbrtv3345 Před 2 lety

    Simba nguvu moja

  • @eddula1756
    @eddula1756 Před 2 lety +2

    3-2

  • @joshuabryson8044
    @joshuabryson8044 Před 2 lety +1

    Chama huyu ndo simba Yani kaibeba kama yote

  • @Trendzzzzzzz
    @Trendzzzzzzz Před 2 lety +1

    👏🏼👏🏼👏🏼

  • @ernestkatyega5781
    @ernestkatyega5781 Před 2 lety

    Chama cletous

  • @ibrahimmohanmed6569
    @ibrahimmohanmed6569 Před 2 lety

    Umoja n mguv kocha atulie t.na.atumie malf na akl

  • @alielmahdi7
    @alielmahdi7 Před 2 lety

    مرحباً بكم في ارض النيلين 🇸🇩

  • @mahengomwenyewe4204
    @mahengomwenyewe4204 Před 2 lety +1

    Huyu mzee hata anachokifundisha hakuna hawa ni makocha wamafungu

  • @mariyamsalalah8204
    @mariyamsalalah8204 Před 2 lety +1

    ❤️

  • @merckmdamu2942
    @merckmdamu2942 Před 2 lety +2

    Ila akipani mmhhh

  • @omaryhajji1393
    @omaryhajji1393 Před 2 lety +2

    Magoli yote chama kahusika

    • @josephjohn2114
      @josephjohn2114 Před 2 lety

      Halaf Kuna wajinga watakuambia chama ameisha eti anapoozesha Mpira ...Halaf unarudi kumshangaa kocha wa Simba kumtoa chama kwenye mechi ya ngao ya hisani...nilimmind sana kocha huyu alifanya ujinga sana Yanga wasingeshinda ile mechi Kama chama asingetoka ..ile mechi chama lazima angepiga pasi za mwisho au kufunga tungetoka droo au tungeshinda

    • @rashidimkongewa3927
      @rashidimkongewa3927 Před 2 lety

      Kwani chama ndio Nani

    • @josephjohn2114
      @josephjohn2114 Před 2 lety

      @@rashidimkongewa3927 angalia clip hiyo utamjua tu

  • @alwaysinprofit5750
    @alwaysinprofit5750 Před 2 lety +2

    Chama kama de bruyne

    • @geofreybahema5118
      @geofreybahema5118 Před 2 lety

      He is good but not like kdb please have some respect

    • @janethjackson7704
      @janethjackson7704 Před 2 lety +1

      Kiboko yenu ni yanga nyie paparukeni mtakuja tu tuwanyooshe vizur vizur

    • @simonlaizer6942
      @simonlaizer6942 Před 2 lety

      We naweee kwn unatesk ukiw wp Janet??🤣🤣🤣

    • @pepchallanga3626
      @pepchallanga3626 Před 2 lety +1

      daah..yaani jana nilikuwa nafikiria hivohivo kila nkiona pass zake elekezi...ni KDB kabisa wa bongo

  • @zubedaibrahim7865
    @zubedaibrahim7865 Před 2 lety

    Wep vyaoooo

  • @jeromeshirima2053
    @jeromeshirima2053 Před 2 lety +3

    Aina ya goli la kwanza simba wanafungwa ni aina ya magoli aliofungwa na yanga mabek hasa wa kati bado rotation kubwa inaitajika onyango mpka leo hakuna kucheza kwann

    • @hajiussi9290
      @hajiussi9290 Před 2 lety

      Umesem k2 kk hap ni vzr tukjitathmin nn 2fanye

    • @ezekiajamess4977
      @ezekiajamess4977 Před 2 lety

      Pale kosa ni la Yule beki mpya hakabi kabisa bola angekua onyango

    • @hajiussi9290
      @hajiussi9290 Před 2 lety

      @@ezekiajamess4977 lamsing koch kuna w2 awap nafasi waonesh uwezo wao nawo onyango hkun 7bu y kmba asingie maan nimra y tat kosa moj ilo ilo

    • @Stavanger-cr3ee
      @Stavanger-cr3ee Před 2 lety

      Jerome, wewe unaujua mpira. Wewe Shabiki wakweli

    • @isihakabanda589
      @isihakabanda589 Před 2 lety

      Kila hatua Dua..kaka ondoa shaka

  • @chiddybanda4598
    @chiddybanda4598 Před 2 lety +2

    Kwan hawa utpolo kawaalika nani uku 🐸🐸 🐸 wapite kushoto haiwahusu axe 😃😃😃

    • @allyzahir7998
      @allyzahir7998 Před 2 lety

      Kwa nn mnatuogopa sana watani cc Sio maadui ndo Mana tunashiriki shuhuli zenu

  • @haidaris.kalunga9541
    @haidaris.kalunga9541 Před 2 lety

    Magoli yote manne Chama kahusika. Halafu mtu anasema Chama ameisha! Pasi ya Chama kwa Israel,akampa Okrah. Chama kampa Sakho katupia. Penalty kaijaza,kisha kamalizia hesabu ya 4 kwa kuwachekecha.

  • @mamajaphety1624
    @mamajaphety1624 Před 2 lety

    Jaman mbona mashabiki hamna

  • @mkuyasmkuki6220
    @mkuyasmkuki6220 Před 2 lety

    nommà sana

  • @antygaspergabriel403
    @antygaspergabriel403 Před 2 lety

    Mechi imejaa penalty

  • @asifiwevenus4083
    @asifiwevenus4083 Před 2 lety

    Chama ndiye kiungo simba

  • @eliudeustace8830
    @eliudeustace8830 Před 2 lety +2

    Ndio maana simba sihami hata vp

  • @Marioo_official
    @Marioo_official Před 2 lety +1

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️

  • @sifaomary1490
    @sifaomary1490 Před 2 lety

    kwenye goli la 4 banda alikuwa na uwezo wakufunga akiwa amefumba macho lakini akampa tena chama!

  • @parambili1382
    @parambili1382 Před 2 lety

    Kweli tumeshinda ila akpan mmmh n janga l taifa

  • @cathbertmitoga9713
    @cathbertmitoga9713 Před 2 lety

    Kotoko timu laini sana,beki uchochoro

  • @salihalash4111
    @salihalash4111 Před 2 lety

    I dont think you will see beautiful stadiums like this in tanzania
    Only in Sudan🇸🇩🇸🇩

    • @vitalismarunda6760
      @vitalismarunda6760 Před 2 lety

      Have u ever reached in tanzaniaa

    • @jonathanntare4787
      @jonathanntare4787 Před 2 lety

      Bangi

    • @salihalash4111
      @salihalash4111 Před 2 lety

      @@vitalismarunda6760 yea you only have one stadium and its govt stadium

    • @jeremiahsanare8754
      @jeremiahsanare8754 Před 2 lety

      Benjamin mkapa stadium dar es salaam

    • @Abasiyacity
      @Abasiyacity Před 2 lety

      @@vitalismarunda6760 he is talking about Simba FC club stadium. Simba has no stadium like Alhilal. Yea Tanzania has a nice government owned stadium, Sudan also has one that is due to open later this year. East Africa ❤️

  • @loysamwely4574
    @loysamwely4574 Před 2 lety

    Goli la kwanza alikuwa phili

  • @angleemanuelhassan6048

    Yani hivi vyura vinawazaga
    dabi tu 🐸🐸🐸wanasimba sisi tucheke jamaniiii
    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @bensonmeritis4108
    @bensonmeritis4108 Před 2 lety

    Hii nfo ximbaa

  • @jezzo_16
    @jezzo_16 Před 2 lety

    Chama

  • @mnkubaafmily8095
    @mnkubaafmily8095 Před 2 lety

    Namuno inacheza saa ngapi

  • @ip_header
    @ip_header Před 2 lety

    Asante Kotoko jamvi la wageni, watu wanajipigia tu, sio kipimo sahihi, mechi na El-hilal ndio itaonyesha hali halisi ya Simba

    • @abuushaymaatz
      @abuushaymaatz Před 2 lety

      Huwezi jua uhalisia wa Simba bila wachezaji Zaid ya 6 wa kikosi Cha kwanza

    • @emariusrush3285
      @emariusrush3285 Před 2 lety

      @@abuushaymaatz wachezaji 11 wa Simba hawajasafiri na kikosi (kakolanya, manula, kapombe, mkude, Mohamed Hussein, kyombo,kibu Denis, onyango hajasafiri, kanoute yupo kwao,

    • @emariusrush3285
      @emariusrush3285 Před 2 lety

      @@abuushaymaatz wachezaji 11 wa Simba hawapo, 9 wapo team ya taifa, onyango yupo dar kwasababu ya mgomo, kanoute yupo kwao kimatatizo ya familiar

    • @alymansury
      @alymansury Před 2 lety

      Kwahiyo liverpool juzi goals 9 alicheza na mtibwa

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 Před 2 lety

      Kwenye viwango vya CAF asante kotoko wako juu ya yanga

  • @girionpantaleo5881
    @girionpantaleo5881 Před 2 lety

    Emmanoeli okwi karud simba au nimesikia vibay

  • @frankjacob971
    @frankjacob971 Před 2 lety

    Simba hatar xn

  • @salim02tv24
    @salim02tv24 Před 2 lety +1

    Sisi tupo avic tunawasubir makolo

    • @atupelemsyani7411
      @atupelemsyani7411 Před 2 lety

      Misukule tuu hamna kitu nyie utopolo

    • @salim02tv24
      @salim02tv24 Před 2 lety

      @@atupelemsyani7411 mishono ya mayele imeponaa ??

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 Před 2 lety

      tv mshono wa mayele uwe kwetu??? Hv mzma kwel ww😁😁😁😁

    • @salim02tv24
      @salim02tv24 Před 2 lety

      @@salamasaidi6620 kumbe ulitaka awe nao boss wako mo

  • @aronatv47
    @aronatv47 Před 2 lety +1

    Haya Off side na huku nako wanabebwaaaa..?Watu buanaa

  • @mahengomwenyewe4204
    @mahengomwenyewe4204 Před 2 lety +2

    Simba imefulia ukitaka kuhakiki klabu yetu haina hela tazama usajili wetu na huyu mzee mnomuita kocha huyu mzee wa mchongo haifikishi popote simba huyu kacheza dili na wale wazee wadili

    • @CyimSky
      @CyimSky Před 2 lety +1

      Acha kutafuta kiki kwa kusema wengine pambana kujua thamani yako

    • @huseinmuya2651
      @huseinmuya2651 Před 2 lety

      sio kosa lasimba nikosa la uongozi

    • @furahajacob9110
      @furahajacob9110 Před 2 lety +2

      twachie simba yetu kenge mjamzito ww

    • @omarymahanyu5748
      @omarymahanyu5748 Před 2 lety

      Yaani umeongea pumba utafikiri umekalia kitu chenye ncha kali!

    • @mahengomwenyewe4204
      @mahengomwenyewe4204 Před 2 lety

      @@CyimSky Hatuwezi kuzungumzia kingine itakua haiendani hapo tupo kwenye mchezo wa simba na Asante kotoko unataka tuongelee tim gani na kwa munasaba gani ??

  • @charlesfrancis8253
    @charlesfrancis8253 Před 2 lety +1

    Ligi mbovu

  • @janethjackson7704
    @janethjackson7704 Před 2 lety +5

    Kiboko yenu ni yanga nyie zurureni tu lakini tunawasubili mrudi tz tuwanyooshe vizur vizur,nawakumbusha tu naona kama mmejisahaulisha

    • @athumaniramadhani4975
      @athumaniramadhani4975 Před 2 lety +2

      Bila Shaka mtacheza na Simba game 30 ata kimataifa mtacheza na Simba 😁😁

    • @bujashidaniel5537
      @bujashidaniel5537 Před 2 lety

      @@athumaniramadhani4975 we jitoe akir ila najua umeelewa nn mrembo Janeth anasema

    • @jumakassim8718
      @jumakassim8718 Před 2 lety

      Waambie hao makolo

    • @omaryhajji1393
      @omaryhajji1393 Před 2 lety

      @@bujashidaniel5537 ok mwezi wa 10 sio mbali

    • @jovinesalvatore4055
      @jovinesalvatore4055 Před 2 lety +1

      @@athumaniramadhani4975 kuna waatu akili huw hawana ujue...yan wao wanawaza daby kila kukicha ujue😃😃

  • @josephjohnmagesa8256
    @josephjohnmagesa8256 Před 2 lety +2

    Goli la nne offside

    • @davidmbaga2998
      @davidmbaga2998 Před 2 lety +1

      Sawa kibendera tumekuelewa

    • @treezybrown9647
      @treezybrown9647 Před 2 lety +1

      Toa ilo moja

    • @simonlaizer6942
      @simonlaizer6942 Před 2 lety +1

      Kajarib na ww km utapt at hy of side nyangum ww😝

    • @iTelephone820
      @iTelephone820 Před 2 lety +1

      Offside kwa sakho au banda 3:48 em tizama hapo banda yupo onside na Sakho kaukwepa mpira na nyuma kulikua na beki enhe offside inatoka wap

  • @pacomezouzoua9175
    @pacomezouzoua9175 Před 2 lety +1

    Chama ni chama tu

  • @rachelmfeti3465
    @rachelmfeti3465 Před 2 lety

    Magoli 3 yote off side

    • @iTelephone820
      @iTelephone820 Před 2 lety +1

      3:48 araf pause uone km ni offside km inauma chomoa

  • @abbasmashomo5978
    @abbasmashomo5978 Před 2 lety

    Tiba mbadala inawasiubir

  • @pepchallanga3626
    @pepchallanga3626 Před 2 lety +1

    ila kwa phiri napo naona kama tulipigwa tu..hana kashi kashi kama striker yani😕

    • @tausimvila2174
      @tausimvila2174 Před 2 lety

      Hapna ila Koch nmba anayompnga kwake sio sahihi phir mzuli akitokea kma wing

    • @anoldjohn1757
      @anoldjohn1757 Před 2 lety +2

      Huna akili wala soka hulijui pumbafu

    • @pepchallanga3626
      @pepchallanga3626 Před 2 lety

      @@anoldjohn1757
      basi samahani kaka unisamehe nimekosa

    • @pepchallanga3626
      @pepchallanga3626 Před 2 lety

      @@tausimvila2174
      nadhani itakuwa hivo maana daah..unamuona mara chache sana

    • @jovinesalvatore4055
      @jovinesalvatore4055 Před 2 lety

      kam Phiri anafunga bas inatosha kuwa ni striker mzur kwetu

  • @shedrackmwaipopo219
    @shedrackmwaipopo219 Před 2 lety

    Otaraa bado sana

  • @nurumgohelen3867
    @nurumgohelen3867 Před 2 lety

    Sapot tusonge naitwa japhetizo nafanya Muzik ingia youb Sachi japhetizo utapata Ngoma Kali zote usisahau subscribe