TFF haikuundwa ili kudhoofisha vipaji vya WACHEZAJI. Adhabu zisitolewe ili kumkomoa mchezaji, Bali zitolewe ili kumrekebisha,kumuonya, kumuelimisha nk! Tusitumie nafasi zetu TULIZOPEWA kulipiza kisasi "HAPANA" Feudal kata rufaa ngazi INAYOFUATA
HAO WIVU FITINA ROHO MBAYA KILA SIKU FEI FEI INAONYESHA NI MCHEZAJI MZURI HATA KULE SIMBA MCHEZAJI AKIWA MZURI WANAMUANDAMA MITANDAONI MZEE MZEE SISHANGAI HATA HUYU ANAE HOJIWA SI MNAMUONA FITINA ZAKE ❤MUONGO NA WEWE HUTAKIWI❤❤❤❤❤❤❤❤
Medali ya fei aliehivaa ni raisi wa yanga mana HERSI aliendakuvaa medali kamanani? Mana medali ni zawachezaji na benche la ufundi sasa HERSI aliendakuvaa kamanani? Nayeye achukuliwe atuwagani?
Ukweli usemwe. Fei kawadharau wote waliokuwepo uwanjani nawaliokuwa wanatazama mchezo ,wadhamini CRDB ,TFF naviongozi wa kitaifa. Ilikwa dharau mpaka kwa viongozi wake na wachezaji wenzake pia hili linapaswa kutazamwa kwa umakini mzito sana.
Zarau mulinza kwake aliwaheshim lkn mukamuona fara ss anajb kwa vtendo hakuna kulalamika uto nyny munaroho mby hii inaitwa kila mtu apray part yake ss mbona mapovu yanawatoka shenz mukiachw muachike azekee hapo kwan team yafamilia yake hio mtu munamlipa ml 5 kwann acfuate ml 15 nyumba na gar
Kwa hili Kila mtu anajua kabisa Fei alifanya kosa,ila kwa sababu baazi ya watu wataongea kiushabiki.Hata kama angekuwa anawatendea wanasimba,wanayanga wangemtetea Fei,ila Fei anaonyesha dharau sana.
Fitna za kibongo na ujinga uliotutawala což hata akiacha mpira kipato chake hutokipata ww akicheza pia hutopata chochote kutoka kwake ni ujinga tuuu yaani mtu hulipi sh 100 kumchangia.
Yanga timu ndogo sana, uelewa wake kisoka bado mdogo sana, inamaana mchezaji akienda kucheza timu nyingine ni kosa, mi ninatimu lakini mchezaji akitaka kuondoka hakuna haja ya kumzodoa, ili nalo
Mimi ni mwana Yanga lkn huyu jamaa pumba nyingi kuliko point, sasa kiongozi atakayemruidisha feisal atakosa ksxi kwa sheria ipi? Au unasema hivyo wewe kama nani?
Yani nyinyi watu we jamaa kweli mjinga mfungue wewe bas kama unaona anachelewa kufungiwa hili jambo mnalikuza wachezaji maarufu duniani huwa hawavau medali na hawafungiwi
Yule mtoto sio riziki mtoto akili Hana ,wewe fei kama ni mchezaji mwenye maono utasajiriwa na timu gani inayopenda tabia kama hiyo we mjinga sana hata kama unaichukia yanga unajisumbua,yanga itaendelea kuwepo,na fei siku Moja mpira utaacha kuwa na akili
Achunguzwe. Huenda anatatizo la kimalezi ya msingi.TFF wachukue hatua kali ili jambo hili lisijerudiwa na wachezaji wengine kwenye living yete. TFF water tamko zito dhidi ya tabia mbaya kama hii? Kadhalika AZAM Watoe onto kali kwake.
Fehi ule niototo sisi wanayanga hatuna chuki na yeye ivi kati ya mlisho ngasa na feh nani alikua anapendwa sana nyiny wandish ndio mnaposha kwasababu mmemuona hajitambuh furenk domayo aliondoka yanga je yalikuepo hayo
Mpila wa miguu siku zote nizam usipo kua na nizam unapotea mapema na ata mafanikio uwezi vilabu vyote duniani mchezaji kama mchezaji awezi kuizulu crbu na kuxhindana nayo kwaiyo yule dogo anajipa raana mwenyewe😁😁 yanga bingwa😂
Wananongwa, ipi sasa team imechukua kila kitu inanongwa, we huna akili acha za kipumbavu yaan wew nawenzako ndo mnanongwa na Yanga hakuna mtu anaeweza kushindana, na club hata bora kias gn club itabak kuwa, na thaman tu sasa huyo dogo na wenzake mnajitekenya tu 😂😂😂😂😂 Yanga ileee
Kwa kweli ni utovu wa nidhamu sana hata kama anasemwa na mashabiki wa Yanga ndiyo ipelekee kudharau hivyo mbele ya mawaziri halafu ni nyumbani kwao na Rais wa TFF akiwepo mbaya kuliko kudharau kuvaa medali na wachezaji wenzake nani anampa kichwa hivyo ni aibu sana
Hakuna mchezaji atakaye sajiliwa afiye club moja, acheni uzuzwa wenu mpira ni ajira acheni kijana wa watu aende kwenye malisho mazuri,tulieni sindano i
Kumbe kuna watu wajinga kweli kupigwa sharap ya mdomo imekuwa kosa.heee wacheni ushamba wa mpira watu ulaya wanafanya ivo vitu.mbona hatusikii izo penyenye.wacheni ufala fei atabakia kuwa fei tuu majibwa nyie
Kwa kweli fei ajakozea yanga TU bali pamoja na tff
TFF haikuundwa ili kudhoofisha vipaji vya WACHEZAJI. Adhabu zisitolewe ili kumkomoa mchezaji, Bali zitolewe ili kumrekebisha,kumuonya, kumuelimisha nk! Tusitumie nafasi zetu TULIZOPEWA kulipiza kisasi "HAPANA" Feudal kata rufaa ngazi INAYOFUATA
Amechanganyikiwa roho inamuuma sana. Kwa YAnga na Bado ataumia sana..
Uelewa mdogo shule ni ya muhimu sana kwa watoto wetu
Mashabiki wa yanga hamuna uelewa mpila ni ajila ndio maana Muna itwa utopolo Muna bifu sana na wacheza wanao ondoka mpila ni biashara pumba zenu
HAO WIVU FITINA ROHO MBAYA KILA SIKU FEI FEI INAONYESHA NI MCHEZAJI MZURI HATA KULE SIMBA MCHEZAJI AKIWA MZURI WANAMUANDAMA MITANDAONI MZEE MZEE SISHANGAI HATA HUYU ANAE HOJIWA SI MNAMUONA FITINA ZAKE ❤MUONGO NA WEWE HUTAKIWI❤❤❤❤❤❤❤❤
Wana soka tunaomba mtueleze je Fei Toto kavunja Sheria ama kanuni gani
Medali ya fei aliehivaa ni raisi wa yanga mana HERSI aliendakuvaa medali kamanani? Mana medali ni zawachezaji na benche la ufundi sasa HERSI aliendakuvaa kamanani? Nayeye achukuliwe atuwagani?
Yaani mnailaumu yanga hamuoni ka feitoto ndiyo kaanza ugomvi kuwafunga mdomo wanayamga hiyo ni dharau mungu kampong wakakosa ushindi
Kichwa Cha habari hakiusiani na maneno huu ni ungese
Feisal ajue Yanga ni kundi kubwa hayo masihala aache mara moja aache dharau zake Hana hekima
Anadekezwa
Kucheza nje ya nchi kwanza wanaangalia nidhamu .Huwezi kucheza ligi za ulaya kwa ujinga huu...
Upo SAHIHI bro
Ukweli usemwe. Fei kawadharau wote waliokuwepo uwanjani nawaliokuwa wanatazama mchezo ,wadhamini CRDB ,TFF naviongozi wa kitaifa. Ilikwa dharau mpaka kwa viongozi wake na wachezaji wenzake pia hili linapaswa kutazamwa kwa umakini mzito sana.
Kutokuvaa medali ndio afungiwe miaka miwili? Kama mnamchukuia hibi dogo kuleni sumu wapuuzi na wachawi wakubwa ninyi
yanga inamchukia fei sana
C@@gadisonmichael7805 Kwa hiyo yupo sahihi Kwa alichokifanya???
Fei alifanya kaz kubwa kwa mshahara mdogo paleyanga kinawauma kuona anapigaela azam
Yanga wanamfuatafuata sana ndio maana akatenda makosa
Sio kwel tatizo alienda na matokeo uwanjani
Elimu kwa wattoo ni muhimu angetii kama alkuwa kasoma ,tusomeshe wattoo jamani na Mungu awasaidie ,elimu inaletaga heshma
Zarau mulinza kwake aliwaheshim lkn mukamuona fara ss anajb kwa vtendo hakuna kulalamika uto nyny munaroho mby hii inaitwa kila mtu apray part yake ss mbona mapovu yanawatoka shenz mukiachw muachike azekee hapo kwan team yafamilia yake hio mtu munamlipa ml 5 kwann acfuate ml 15 nyumba na gar
Sasa ataumia akitaka kishindana na yanga ,yy aangalie mafanikio yake na sio watu wanasema nn
fei huyo n ulmbukeni unamxumbua Hana hakl huyo
Mbona yanga mnamsakama feitoto na hayo nimaneno ya kichochez juu ya fei achen izo
Hana adabu Kwan akikaa kimya mashabik watamwandama
Kwa hili Kila mtu anajua kabisa Fei alifanya kosa,ila kwa sababu baazi ya watu wataongea kiushabiki.Hata kama angekuwa anawatendea wanasimba,wanayanga wangemtetea Fei,ila Fei anaonyesha dharau sana.
Feitt bado haja kua mwanasoka sahihi sasa hiyo alio igomea ni medali ya yanga ama ya nani Hana nidham kiufup tff ikitoa adhabu ikzie adhabu
Mulisema zamani afungiwe miaka 2 lakini mungu haja simama na nyie
Kikubwa nikumuelekeza fei make yamkin hajui alitendalo huyo lakn kuacha unafiki anaweza sana but utoto mwingiii abadilikee
Hamna lolote fei toto yuko sahihi shida yanga wanavisilan
Fitna za kibongo na ujinga uliotutawala což hata akiacha mpira kipato chake hutokipata ww akicheza pia hutopata chochote kutoka kwake ni ujinga tuuu yaani mtu hulipi sh 100 kumchangia.
Hamna shelia hiyo acheni umbulula
Tff wspokua makin watamuazibu fei kwachuk za yiongoz namashabik wayanga
Yanga timu ndogo sana, uelewa wake kisoka bado mdogo sana, inamaana mchezaji akienda kucheza timu nyingine ni kosa, mi ninatimu lakini mchezaji akitaka kuondoka hakuna haja ya kumzodoa, ili nalo
Feisali ana dharau sana
Mimi ni mwana Yanga lkn huyu jamaa pumba nyingi kuliko point, sasa kiongozi atakayemruidisha feisal atakosa ksxi kwa sheria ipi? Au unasema hivyo wewe kama nani?
We we mtangazaji wachamaswali ya kinafiki. Mbona haliposema hanapewa sukari hamkumuoji maswalikahayo.
Yaani mtu kama huyu hata umsaidie kesho atakusaliti apo ukimsachi hana hata Mia pumbavu ww
Washabiki wa yanga hawajielewi fei hata afanye kizur vp bc hamutompenda ila mungu anamsaidia na atazid kumsaidia
Fei toto yupo sahihi hawa mautopolo wanamuandama sana na mipasho yao wao alitaka apoke million nnenanusu wao walitaka fei aikatae milion kuminasita a
hao ndio tabia zao, mlimuanza naye anamaliza, wivu tu huo
Kwa hilo fei nikwer amekosea huwez kususa kuvaa medal . Kwa mfano je nawachazej wenzie nawao wangekataa kuvaa ingekuaje? Kwenye ukweli tuseme
Waanze kufungiwa walio mzomea wakat anaendakupiga penat
Anasikiliza washabiki anachotakiwa akubali matokeo
Huyu jamaa, ana point ila hajui kujieleza ..
Bangala katika yanga na alifanya save za maana sana je mmesikia akizomewa na mashabiki? Huyo fei wenu anayatafuta mwenyewe
Mnaumia sana kwa kutokuvaa hayo mabati
Huna maana
Hana washauri wazuri
Kabisaa
Kaongea pumba uyo hampendi fei toto
Yani nyinyi watu we jamaa kweli mjinga mfungue wewe bas kama unaona anachelewa kufungiwa hili jambo mnalikuza wachezaji maarufu duniani huwa hawavau medali na hawafungiwi
Tafuta ela ww acha ujinga, sasa kama ww umeweza kumzomea yy lipi baya alilolifanya
Mna roho mbaya nyinyi mashabiki na watu wa yanga
Rabda alipatwa na pressure
Ukachukue ww ipo haina mtu nenda tff ukachukue ww
maneno yako ni wivu tu
Acheni ushamba nyinyi kuvaa medali
Jamaa mjomba sana anachokiongea Akihito yaan jamaa mjomba sana Jaman angalieni sana Watu wa Kuwaoji jamani
Afungiwe tu Lucy kutoka oman
Lucy mamb
Muongo mzanzibar mjinga ndio anaemsimamo kama uwoo
Kweni fei hamjui tabia yake ya kimama mama hata yule ndugu ya anapenda kuongea kimama mama tu
Mutaumia sana t2 kwa fei
Utaumia ww FEI ana nn anaumia yy
Tatizo la fei malezi mabovu aliyoishi huko nyuma
Yule mtoto sio riziki mtoto akili Hana ,wewe fei kama ni mchezaji mwenye maono utasajiriwa na timu gani inayopenda tabia kama hiyo we mjinga sana hata kama unaichukia yanga unajisumbua,yanga itaendelea kuwepo,na fei siku Moja mpira utaacha kuwa na akili
Roho mbaya tuu imewajaa kwa Fei
Acheni mizengwe huyu mchezaji mnamsakama sana
Huo ni ushamba ata msemaj wao kuwaita mandaz ajakosea
Wewe unaumwa yanga wazazi wake fei we mwehu acha kuongea pumba
Utoto unamsumbua ajitahidi sana kupunguza kiburi
Fei akili m bovu!! Kazimisha midomo mashabiki wote wakiwemo ndugu zake! Utoto, Hana maana huyo.
Kila mkisema mnazidi kumpaisha
Mchezaji kuondoka Uto atapata mitihani
Achunguzwe. Huenda anatatizo la kimalezi ya msingi.TFF wachukue hatua kali ili jambo hili lisijerudiwa na wachezaji wengine kwenye living yete. TFF water tamko zito dhidi ya tabia mbaya kama hii? Kadhalika AZAM Watoe onto kali kwake.
Makolo wana wivukwili mtu akiongea kishamba
Fehi ule niototo sisi wanayanga hatuna chuki na yeye ivi kati ya mlisho ngasa na feh nani alikua anapendwa sana nyiny wandish ndio mnaposha kwasababu mmemuona hajitambuh furenk domayo aliondoka yanga je yalikuepo hayo
Medali yake kavae ww ngawa angalia lakwako
Faisal Hana Adabu kamvumjia heshima mpaka Naibu Waziri, Rais wa TFF na Watanzania wote kwa ujumla. Muhimu achunge mkundu wake kuma huyo
Vyombo vya habari Tz ni zero +zero kichwa habari na anachoongea hata kichaa anaeleweka
Mpila wa miguu siku zote nizam usipo kua na nizam unapotea mapema na ata mafanikio uwezi vilabu vyote duniani mchezaji kama mchezaji awezi kuizulu crbu na kuxhindana nayo kwaiyo yule dogo anajipa raana mwenyewe😁😁 yanga bingwa😂
Ongea kama mwanaume, wazanzibar wanamsimamo wao, uciingilie mambo binafsi, ucmchongee mwanaume mwenzio we shangilia mpirs
We kilaza huna akili
Kwa nn yanga wanamchukia Fei? Uto fc acheni visirani na fei
Acha kuongea kishamba ww nyie mnavyo mzomea uwanjani ni swaaaaa au unaongea tu kwa sababu mungu kakutobo huo mdg
Yanga nao ni wagomvi sana wafungiwe kabisaa
We nilipumbavu sa yanga anafungiwa lipi we ni zombi kweli
Uyoo fei ni out dide hoall
We ni choko unaongea utumbo
Achen unafiki nyie mayanga.Mlitaka aombe msamaha wa nini
kiburi na nidhamu mbovuuu
Fei anamatizo ya akili
Acha roho mbaya wewe
Wewe fala tu
Feisali afungiwe maisha asicheze tena mpira nje na ndani hivi huyu dogo anajionaje kwa mfano
Acha ujinga wewe.
Wanafiki ni wengi
Kwani we'we nani mpaka uwasemee kwanini.mnamchukiya rionekwaza
Hamna anayechukia matendo yake yatajieleza kwenye jamii
😂😂😂😂fey pore
Yanga mmezidi kila siku fei fei 😂😂😂😂 tulieni dozi iwaingie
Dozi gani ww dunduka
Acha ujinga huo
Wewe. Chawa. Haunalolote. Mmefungwa. Mdomotu. Nafi. Mmeumia. Mpaka. Mavii. Nyokonyii
Naona we ndo umeumia zaidi, si tumefungwa midomo kombe tumechukua, je wewe na huyo fenesi
kafanya sivyo sw lkn washabiki yanga acheni zarau mmemuacha ss kumzomea ya nn ss
Kazomewa ndio lkn baada ya kuleta dharau yeye halfu siku zote huwez ukashindana na mashabiki utaanguka, tu
Yeye acheze mpira kwa nidham bila kumwazia mtu yeyote anajua mpira dogo lkn akisema ashindane na mashabik hawezi kamwe
Hakuondoka vizuri vipi si nyie mlomuwekea vipingqmizi na chuki ahhh mmezidi na nyie
Kavunja mkata
Tatizo la yanga wananongwa sana ilo ndo tatizo
Wananongwa, ipi sasa team imechukua kila kitu inanongwa, we huna akili acha za kipumbavu yaan wew nawenzako ndo mnanongwa na Yanga hakuna mtu anaeweza kushindana, na club hata bora kias gn club itabak kuwa, na thaman tu sasa huyo dogo na wenzake mnajitekenya tu 😂😂😂😂😂 Yanga ileee
Acha kuchangia wakat wewe si mtu was mpira, crazy foolish man queit
Kwa kweli ni utovu wa nidhamu sana hata kama anasemwa na mashabiki wa Yanga ndiyo ipelekee kudharau hivyo mbele ya mawaziri halafu ni nyumbani kwao na Rais wa TFF akiwepo mbaya kuliko kudharau kuvaa medali na wachezaji wenzake nani anampa kichwa hivyo ni aibu sana
Hata mashabiki wa yanga wafungiwe kabisa ni wagomvi sana kwa wachezaji
@@user-gr9wc7bc2mww ni taahira
Hakuna mchezaji atakaye sajiliwa afiye club moja, acheni uzuzwa wenu mpira ni ajira acheni kijana wa watu aende kwenye malisho mazuri,tulieni sindano i
Unachoxem na kutovaa medali, kuhuxiana na nn
msemaji anaongelea utovu was kukataa kuvaa madali jibu hoja usajili was kucheza mechi atakayo nani kasema? mbona alianzia Yanga na sasa yupo Azam?
Utopolo ni wapumbavu sana wamuache mtt wa watu apambane na maisha yake
Sasa yeye sindio kazingua kwani yanga ndio walimwambia asivae medali Acha kufagilia upumbavu ww
Huon kuwa n kosa kisheria unatetea upumbavu ila makolo hamna ajili Kila idala
Na wewe muandishi wacha kuhoji upumbavu wako kamaunampenda uyo fala sophia wako
Kumbe kuna watu wajinga kweli kupigwa sharap ya mdomo imekuwa kosa.heee wacheni ushamba wa mpira watu ulaya wanafanya ivo vitu.mbona hatusikii izo penyenye.wacheni ufala fei atabakia kuwa fei tuu majibwa nyie
Yanga wajinga sana wao mchezaji akihama timu inakuwa ugomvi na mchungaji wakati mwingine hadi rais anaingilia kati wakemewe haraka
Ww mjinga kamuadhibu ww kwani mwamsakama hivyo mume mzaanyinyi au mume muumba nyinyi mahasidi wakubwa nyiee
We ni bwege ndo maana halijuwi hata kua dika