TFF YATHIBITISHA KUMFUNGIA FEISAL SALUM MIAKA 2 KUKATAA KUVAA MEDALI YA CRDB BANK CUP ZANZIBAR..

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 3. 06. 2024
  • #BATTLETV
  • Sport

Komentáře • 145

  • @PauloAlfayo-qi1gn
    @PauloAlfayo-qi1gn Před 13 dny +4

    Kwa kweli fei ajakozea yanga TU bali pamoja na tff

    • @zakaria924
      @zakaria924 Před 11 dny

      TFF haikuundwa ili kudhoofisha vipaji vya WACHEZAJI. Adhabu zisitolewe ili kumkomoa mchezaji, Bali zitolewe ili kumrekebisha,kumuonya, kumuelimisha nk! Tusitumie nafasi zetu TULIZOPEWA kulipiza kisasi "HAPANA" Feudal kata rufaa ngazi INAYOFUATA

  • @user-yn1jb4iu8e
    @user-yn1jb4iu8e Před 12 dny +1

    Amechanganyikiwa roho inamuuma sana. Kwa YAnga na Bado ataumia sana..

  • @RehemaKomba-pv2le
    @RehemaKomba-pv2le Před 13 dny +1

    Uelewa mdogo shule ni ya muhimu sana kwa watoto wetu

  • @AmaniKasekwa-uw8hp
    @AmaniKasekwa-uw8hp Před 12 dny +1

    Mashabiki wa yanga hamuna uelewa mpila ni ajila ndio maana Muna itwa utopolo Muna bifu sana na wacheza wanao ondoka mpila ni biashara pumba zenu

  • @user-wb5bh9hy1l
    @user-wb5bh9hy1l Před 12 dny

    HAO WIVU FITINA ROHO MBAYA KILA SIKU FEI FEI INAONYESHA NI MCHEZAJI MZURI HATA KULE SIMBA MCHEZAJI AKIWA MZURI WANAMUANDAMA MITANDAONI MZEE MZEE SISHANGAI HATA HUYU ANAE HOJIWA SI MNAMUONA FITINA ZAKE ❤MUONGO NA WEWE HUTAKIWI❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @charleslinhege690
    @charleslinhege690 Před 13 dny +1

    Wana soka tunaomba mtueleze je Fei Toto kavunja Sheria ama kanuni gani

  • @omarymwenebatu
    @omarymwenebatu Před 12 dny +1

    Medali ya fei aliehivaa ni raisi wa yanga mana HERSI aliendakuvaa medali kamanani? Mana medali ni zawachezaji na benche la ufundi sasa HERSI aliendakuvaa kamanani? Nayeye achukuliwe atuwagani?

  • @user-ib3tc4dc4s
    @user-ib3tc4dc4s Před 13 dny +1

    Yaani mnailaumu yanga hamuoni ka feitoto ndiyo kaanza ugomvi kuwafunga mdomo wanayamga hiyo ni dharau mungu kampong wakakosa ushindi

  • @NzunzdeSparo
    @NzunzdeSparo Před 13 dny +1

    Kichwa Cha habari hakiusiani na maneno huu ni ungese

  • @joshuamwambene2874
    @joshuamwambene2874 Před 13 dny +1

    Feisal ajue Yanga ni kundi kubwa hayo masihala aache mara moja aache dharau zake Hana hekima

  • @user-th9to6yt9y
    @user-th9to6yt9y Před 13 dny +2

    Anadekezwa

  • @joshuamwambene2874
    @joshuamwambene2874 Před 13 dny +1

    Kucheza nje ya nchi kwanza wanaangalia nidhamu .Huwezi kucheza ligi za ulaya kwa ujinga huu...

  • @PendoKweka-cg8cd
    @PendoKweka-cg8cd Před 13 dny +6

    Ukweli usemwe. Fei kawadharau wote waliokuwepo uwanjani nawaliokuwa wanatazama mchezo ,wadhamini CRDB ,TFF naviongozi wa kitaifa. Ilikwa dharau mpaka kwa viongozi wake na wachezaji wenzake pia hili linapaswa kutazamwa kwa umakini mzito sana.

    • @JonathanMgaiwa
      @JonathanMgaiwa Před 13 dny +1

      Kutokuvaa medali ndio afungiwe miaka miwili? Kama mnamchukuia hibi dogo kuleni sumu wapuuzi na wachawi wakubwa ninyi

    • @gadisonmichael7805
      @gadisonmichael7805 Před 13 dny

      yanga inamchukia fei sana

    • @NunuKupela
      @NunuKupela Před 13 dny

      C​@@gadisonmichael7805 Kwa hiyo yupo sahihi Kwa alichokifanya???

  • @ernestkilua2863
    @ernestkilua2863 Před 11 dny

    Fei alifanya kaz kubwa kwa mshahara mdogo paleyanga kinawauma kuona anapigaela azam

  • @allychongowe2025
    @allychongowe2025 Před 12 dny +1

    Yanga wanamfuatafuata sana ndio maana akatenda makosa

    • @EmmaPonera
      @EmmaPonera Před 7 dny

      Sio kwel tatizo alienda na matokeo uwanjani

  • @annamushiaminaaa4367
    @annamushiaminaaa4367 Před 9 dny

    Elimu kwa wattoo ni muhimu angetii kama alkuwa kasoma ,tusomeshe wattoo jamani na Mungu awasaidie ,elimu inaletaga heshma

  • @HalimaOmary-dn4hs
    @HalimaOmary-dn4hs Před 13 dny +1

    Zarau mulinza kwake aliwaheshim lkn mukamuona fara ss anajb kwa vtendo hakuna kulalamika uto nyny munaroho mby hii inaitwa kila mtu apray part yake ss mbona mapovu yanawatoka shenz mukiachw muachike azekee hapo kwan team yafamilia yake hio mtu munamlipa ml 5 kwann acfuate ml 15 nyumba na gar

    • @EmmaPonera
      @EmmaPonera Před 7 dny

      Sasa ataumia akitaka kishindana na yanga ,yy aangalie mafanikio yake na sio watu wanasema nn

  • @williamikolongo
    @williamikolongo Před 3 hodinami

    fei huyo n ulmbukeni unamxumbua Hana hakl huyo

  • @ernestkilua2863
    @ernestkilua2863 Před 11 dny +1

    Mbona yanga mnamsakama feitoto na hayo nimaneno ya kichochez juu ya fei achen izo

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 Před 13 dny

    Kwa hili Kila mtu anajua kabisa Fei alifanya kosa,ila kwa sababu baazi ya watu wataongea kiushabiki.Hata kama angekuwa anawatendea wanasimba,wanayanga wangemtetea Fei,ila Fei anaonyesha dharau sana.

  • @MbwanaHusseni
    @MbwanaHusseni Před 11 dny

    Feitt bado haja kua mwanasoka sahihi sasa hiyo alio igomea ni medali ya yanga ama ya nani Hana nidham kiufup tff ikitoa adhabu ikzie adhabu

  • @zuhuraomar8849
    @zuhuraomar8849 Před 13 dny

    Mulisema zamani afungiwe miaka 2 lakini mungu haja simama na nyie

  • @abdonesrom5009
    @abdonesrom5009 Před 11 dny

    Kikubwa nikumuelekeza fei make yamkin hajui alitendalo huyo lakn kuacha unafiki anaweza sana but utoto mwingiii abadilikee

  • @JosephNdimbo-ur9kh
    @JosephNdimbo-ur9kh Před 12 dny

    Hamna lolote fei toto yuko sahihi shida yanga wanavisilan

  • @saidothman4527
    @saidothman4527 Před 8 dny

    Fitna za kibongo na ujinga uliotutawala což hata akiacha mpira kipato chake hutokipata ww akicheza pia hutopata chochote kutoka kwake ni ujinga tuuu yaani mtu hulipi sh 100 kumchangia.

  • @salehehassansalehe8122

    Hamna shelia hiyo acheni umbulula

  • @ernestkilua2863
    @ernestkilua2863 Před 11 dny

    Tff wspokua makin watamuazibu fei kwachuk za yiongoz namashabik wayanga

  • @user-tt8ew7tf8e
    @user-tt8ew7tf8e Před 13 dny

    Yanga timu ndogo sana, uelewa wake kisoka bado mdogo sana, inamaana mchezaji akienda kucheza timu nyingine ni kosa, mi ninatimu lakini mchezaji akitaka kuondoka hakuna haja ya kumzodoa, ili nalo

  • @rafikkarimomar8202
    @rafikkarimomar8202 Před 13 dny

    Feisali ana dharau sana

  • @comsmkemwa2671
    @comsmkemwa2671 Před 10 dny

    Mimi ni mwana Yanga lkn huyu jamaa pumba nyingi kuliko point, sasa kiongozi atakayemruidisha feisal atakosa ksxi kwa sheria ipi? Au unasema hivyo wewe kama nani?

  • @allykarupa1411
    @allykarupa1411 Před 13 dny

    We we mtangazaji wachamaswali ya kinafiki. Mbona haliposema hanapewa sukari hamkumuoji maswalikahayo.

  • @saidothman4527
    @saidothman4527 Před 8 dny

    Yaani mtu kama huyu hata umsaidie kesho atakusaliti apo ukimsachi hana hata Mia pumbavu ww

  • @user-rn5be5fq5i
    @user-rn5be5fq5i Před 13 dny

    Washabiki wa yanga hawajielewi fei hata afanye kizur vp bc hamutompenda ila mungu anamsaidia na atazid kumsaidia

  • @waziriwaziri8271
    @waziriwaziri8271 Před 13 dny

    Fei toto yupo sahihi hawa mautopolo wanamuandama sana na mipasho yao wao alitaka apoke million nnenanusu wao walitaka fei aikatae milion kuminasita a

  • @AishaMohamed-xv9wy
    @AishaMohamed-xv9wy Před 12 dny

    hao ndio tabia zao, mlimuanza naye anamaliza, wivu tu huo

  • @user-hn6tz2mx5v
    @user-hn6tz2mx5v Před 12 dny

    Kwa hilo fei nikwer amekosea huwez kususa kuvaa medal . Kwa mfano je nawachazej wenzie nawao wangekataa kuvaa ingekuaje? Kwenye ukweli tuseme

  • @ernestkilua2863
    @ernestkilua2863 Před 11 dny

    Waanze kufungiwa walio mzomea wakat anaendakupiga penat

  • @H3s4d
    @H3s4d Před 10 dny

    Anasikiliza washabiki anachotakiwa akubali matokeo

  • @comsmkemwa2671
    @comsmkemwa2671 Před 10 dny

    Huyu jamaa, ana point ila hajui kujieleza ..

  • @musangoboka8364
    @musangoboka8364 Před 12 dny

    Bangala katika yanga na alifanya save za maana sana je mmesikia akizomewa na mashabiki? Huyo fei wenu anayatafuta mwenyewe

  • @khalifamachela
    @khalifamachela Před 13 dny

    Mnaumia sana kwa kutokuvaa hayo mabati

  • @H3s4d
    @H3s4d Před 10 dny +1

    Hana washauri wazuri

  • @DullyAli-fx8yn
    @DullyAli-fx8yn Před 8 dny

    Kaongea pumba uyo hampendi fei toto

  • @makamelila
    @makamelila Před 13 dny

    Yani nyinyi watu we jamaa kweli mjinga mfungue wewe bas kama unaona anachelewa kufungiwa hili jambo mnalikuza wachezaji maarufu duniani huwa hawavau medali na hawafungiwi

  • @saidothman4527
    @saidothman4527 Před 8 dny

    Tafuta ela ww acha ujinga, sasa kama ww umeweza kumzomea yy lipi baya alilolifanya

  • @KhadiaAli
    @KhadiaAli Před 13 dny

    Mna roho mbaya nyinyi mashabiki na watu wa yanga

  • @frankngoloka5416
    @frankngoloka5416 Před 13 dny

    Rabda alipatwa na pressure

  • @saidothman4527
    @saidothman4527 Před 8 dny

    Ukachukue ww ipo haina mtu nenda tff ukachukue ww

  • @AishaMohamed-xv9wy
    @AishaMohamed-xv9wy Před 12 dny

    maneno yako ni wivu tu

  • @user-mv2xl7xh6v
    @user-mv2xl7xh6v Před 13 dny

    Acheni ushamba nyinyi kuvaa medali

  • @JumaAlly-dn9yf
    @JumaAlly-dn9yf Před 13 dny

    Jamaa mjomba sana anachokiongea Akihito yaan jamaa mjomba sana Jaman angalieni sana Watu wa Kuwaoji jamani

  • @Zinp-nq1gu
    @Zinp-nq1gu Před 11 dny

    Afungiwe tu Lucy kutoka oman

  • @daudkhatib-qn5tr
    @daudkhatib-qn5tr Před 13 dny

    Muongo mzanzibar mjinga ndio anaemsimamo kama uwoo

  • @jumahamisi2489
    @jumahamisi2489 Před 13 dny

    Kweni fei hamjui tabia yake ya kimama mama hata yule ndugu ya anapenda kuongea kimama mama tu

  • @user-hi1xu2te2r
    @user-hi1xu2te2r Před 13 dny

    Mutaumia sana t2 kwa fei

  • @beatosiakilimar6098
    @beatosiakilimar6098 Před 13 dny

    Tatizo la fei malezi mabovu aliyoishi huko nyuma

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 Před 12 dny

    Yule mtoto sio riziki mtoto akili Hana ,wewe fei kama ni mchezaji mwenye maono utasajiriwa na timu gani inayopenda tabia kama hiyo we mjinga sana hata kama unaichukia yanga unajisumbua,yanga itaendelea kuwepo,na fei siku Moja mpira utaacha kuwa na akili

  • @suafaahsuafaah345
    @suafaahsuafaah345 Před 13 dny

    Roho mbaya tuu imewajaa kwa Fei

  • @MezdDimoso
    @MezdDimoso Před 13 dny

    Acheni mizengwe huyu mchezaji mnamsakama sana

  • @MeshackMramba
    @MeshackMramba Před 13 dny

    Huo ni ushamba ata msemaj wao kuwaita mandaz ajakosea

  • @KhadiaAli
    @KhadiaAli Před 13 dny

    Wewe unaumwa yanga wazazi wake fei we mwehu acha kuongea pumba

  • @user-wb8nm1wv7j
    @user-wb8nm1wv7j Před 13 dny

    Utoto unamsumbua ajitahidi sana kupunguza kiburi

  • @marcobulili4341
    @marcobulili4341 Před 13 dny

    Fei akili m bovu!! Kazimisha midomo mashabiki wote wakiwemo ndugu zake! Utoto, Hana maana huyo.

  • @KhadiaAli
    @KhadiaAli Před 13 dny

    Kila mkisema mnazidi kumpaisha

  • @abdallahshariff6555
    @abdallahshariff6555 Před 13 dny

    Mchezaji kuondoka Uto atapata mitihani

  • @KelvinMtavangu-ow8yo
    @KelvinMtavangu-ow8yo Před 12 dny

    Achunguzwe. Huenda anatatizo la kimalezi ya msingi.TFF wachukue hatua kali ili jambo hili lisijerudiwa na wachezaji wengine kwenye living yete. TFF water tamko zito dhidi ya tabia mbaya kama hii? Kadhalika AZAM Watoe onto kali kwake.

  • @ShauwaliAbdulrazak
    @ShauwaliAbdulrazak Před 13 dny

    Makolo wana wivukwili mtu akiongea kishamba

  • @JumanneraphaeliNgondo
    @JumanneraphaeliNgondo Před 13 dny

    Fehi ule niototo sisi wanayanga hatuna chuki na yeye ivi kati ya mlisho ngasa na feh nani alikua anapendwa sana nyiny wandish ndio mnaposha kwasababu mmemuona hajitambuh furenk domayo aliondoka yanga je yalikuepo hayo

  • @user-hi1xu2te2r
    @user-hi1xu2te2r Před 13 dny

    Medali yake kavae ww ngawa angalia lakwako

  • @mubaraalichiku6089
    @mubaraalichiku6089 Před 12 dny

    Faisal Hana Adabu kamvumjia heshima mpaka Naibu Waziri, Rais wa TFF na Watanzania wote kwa ujumla. Muhimu achunge mkundu wake kuma huyo

  • @eliashagai7920
    @eliashagai7920 Před 13 dny

    Vyombo vya habari Tz ni zero +zero kichwa habari na anachoongea hata kichaa anaeleweka

  • @remidusmwanandenje-yy5gs

    Mpila wa miguu siku zote nizam usipo kua na nizam unapotea mapema na ata mafanikio uwezi vilabu vyote duniani mchezaji kama mchezaji awezi kuizulu crbu na kuxhindana nayo kwaiyo yule dogo anajipa raana mwenyewe😁😁 yanga bingwa😂

  • @user-tt8ew7tf8e
    @user-tt8ew7tf8e Před 13 dny

    Ongea kama mwanaume, wazanzibar wanamsimamo wao, uciingilie mambo binafsi, ucmchongee mwanaume mwenzio we shangilia mpirs

  • @lotimwansule5017
    @lotimwansule5017 Před 13 dny

    Kwa nn yanga wanamchukia Fei? Uto fc acheni visirani na fei

  • @MeshackMramba
    @MeshackMramba Před 13 dny

    Acha kuongea kishamba ww nyie mnavyo mzomea uwanjani ni swaaaaa au unaongea tu kwa sababu mungu kakutobo huo mdg

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m Před 13 dny

    Yanga nao ni wagomvi sana wafungiwe kabisaa

    • @StevenGendo-vx9jo
      @StevenGendo-vx9jo Před 13 dny

      We nilipumbavu sa yanga anafungiwa lipi we ni zombi kweli

  • @daudkhatib-qn5tr
    @daudkhatib-qn5tr Před 13 dny

    Uyoo fei ni out dide hoall

  • @user-yw3lo2yv6e
    @user-yw3lo2yv6e Před 13 dny

    We ni choko unaongea utumbo

  • @user-dp1td4ij7h
    @user-dp1td4ij7h Před 13 dny

    Achen unafiki nyie mayanga.Mlitaka aombe msamaha wa nini

  • @maxwell8007
    @maxwell8007 Před 13 dny

    kiburi na nidhamu mbovuuu

  • @HeliDilunga
    @HeliDilunga Před 13 dny

    Fei anamatizo ya akili

  • @frankngoloka5416
    @frankngoloka5416 Před 13 dny +1

    Acha roho mbaya wewe

  • @SuleimanChief
    @SuleimanChief Před 13 dny

    Wewe fala tu

  • @mudykebeshe
    @mudykebeshe Před 12 dny

    Feisali afungiwe maisha asicheze tena mpira nje na ndani hivi huyu dogo anajionaje kwa mfano

  • @abdallahshariff6555
    @abdallahshariff6555 Před 13 dny

    Wanafiki ni wengi

  • @frankjohn4023
    @frankjohn4023 Před 13 dny

    Kwani we'we nani mpaka uwasemee kwanini.mnamchukiya rionekwaza

    • @NunuKupela
      @NunuKupela Před 13 dny

      Hamna anayechukia matendo yake yatajieleza kwenye jamii

  • @user-cr1ft3xe4h
    @user-cr1ft3xe4h Před 7 dny

    😂😂😂😂fey pore

  • @lucaskasonde4558
    @lucaskasonde4558 Před 11 dny

    Yanga mmezidi kila siku fei fei 😂😂😂😂 tulieni dozi iwaingie

  • @user-ro8ff3jj3q
    @user-ro8ff3jj3q Před 13 dny

    Acha ujinga huo

  • @BinshakbuHemed-gb2zi
    @BinshakbuHemed-gb2zi Před 13 dny

    Wewe. Chawa. Haunalolote. Mmefungwa. Mdomotu. Nafi. Mmeumia. Mpaka. Mavii. Nyokonyii

    • @marysaimon2213
      @marysaimon2213 Před 13 dny

      Naona we ndo umeumia zaidi, si tumefungwa midomo kombe tumechukua, je wewe na huyo fenesi

  • @jumabonge8577
    @jumabonge8577 Před 13 dny

    kafanya sivyo sw lkn washabiki yanga acheni zarau mmemuacha ss kumzomea ya nn ss

    • @Silay1034
      @Silay1034 Před 13 dny

      Kazomewa ndio lkn baada ya kuleta dharau yeye halfu siku zote huwez ukashindana na mashabiki utaanguka, tu

    • @Silay1034
      @Silay1034 Před 13 dny

      Yeye acheze mpira kwa nidham bila kumwazia mtu yeyote anajua mpira dogo lkn akisema ashindane na mashabik hawezi kamwe

  • @rahmaabdallah4514
    @rahmaabdallah4514 Před 13 dny

    Hakuondoka vizuri vipi si nyie mlomuwekea vipingqmizi na chuki ahhh mmezidi na nyie

  • @PajeCost
    @PajeCost Před 13 dny

    Tatizo la yanga wananongwa sana ilo ndo tatizo

    • @Silay1034
      @Silay1034 Před 13 dny

      Wananongwa, ipi sasa team imechukua kila kitu inanongwa, we huna akili acha za kipumbavu yaan wew nawenzako ndo mnanongwa na Yanga hakuna mtu anaeweza kushindana, na club hata bora kias gn club itabak kuwa, na thaman tu sasa huyo dogo na wenzake mnajitekenya tu 😂😂😂😂😂 Yanga ileee

    • @Silay1034
      @Silay1034 Před 13 dny

      Acha kuchangia wakat wewe si mtu was mpira, crazy foolish man queit

  • @hawamasanje9589
    @hawamasanje9589 Před 13 dny

    Kwa kweli ni utovu wa nidhamu sana hata kama anasemwa na mashabiki wa Yanga ndiyo ipelekee kudharau hivyo mbele ya mawaziri halafu ni nyumbani kwao na Rais wa TFF akiwepo mbaya kuliko kudharau kuvaa medali na wachezaji wenzake nani anampa kichwa hivyo ni aibu sana

  • @AdamNgogo-gg3tt
    @AdamNgogo-gg3tt Před 13 dny

    Hakuna mchezaji atakaye sajiliwa afiye club moja, acheni uzuzwa wenu mpira ni ajira acheni kijana wa watu aende kwenye malisho mazuri,tulieni sindano i

    • @LucasMagukuru-hc9kr
      @LucasMagukuru-hc9kr Před 13 dny +1

      Unachoxem na kutovaa medali, kuhuxiana na nn

    • @giftkalenge418
      @giftkalenge418 Před 13 dny +2

      msemaji anaongelea utovu was kukataa kuvaa madali jibu hoja usajili was kucheza mechi atakayo nani kasema? mbona alianzia Yanga na sasa yupo Azam?

  • @masoudrajab3614
    @masoudrajab3614 Před 13 dny

    Utopolo ni wapumbavu sana wamuache mtt wa watu apambane na maisha yake

    • @user-yy8xp8kg7e
      @user-yy8xp8kg7e Před 13 dny

      Sasa yeye sindio kazingua kwani yanga ndio walimwambia asivae medali Acha kufagilia upumbavu ww

    • @manenomalamba8147
      @manenomalamba8147 Před 13 dny

      Huon kuwa n kosa kisheria unatetea upumbavu ila makolo hamna ajili Kila idala

  • @daudkhatib-qn5tr
    @daudkhatib-qn5tr Před 13 dny

    Na wewe muandishi wacha kuhoji upumbavu wako kamaunampenda uyo fala sophia wako

  • @HamadNassor-fp6rl
    @HamadNassor-fp6rl Před 13 dny

    Kumbe kuna watu wajinga kweli kupigwa sharap ya mdomo imekuwa kosa.heee wacheni ushamba wa mpira watu ulaya wanafanya ivo vitu.mbona hatusikii izo penyenye.wacheni ufala fei atabakia kuwa fei tuu majibwa nyie

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m Před 13 dny

    Yanga wajinga sana wao mchezaji akihama timu inakuwa ugomvi na mchungaji wakati mwingine hadi rais anaingilia kati wakemewe haraka

  • @timesaid5504
    @timesaid5504 Před 13 dny

    Ww mjinga kamuadhibu ww kwani mwamsakama hivyo mume mzaanyinyi au mume muumba nyinyi mahasidi wakubwa nyiee