Ty once again for the lovely Rice coconut juice cake or vibibi in kiswahili recipe n supper results I'm so happy watching ur post from Tanga Tanzania Wow absolutely amazing.
We mjanja nakuaminia.wengi hawawezi kutosa vibibi kwenye tui kama hivyoo vinawakatikia wanaishia kuweka mchuzi juu kwenye sahani ndo wanatia tui kwa juu...Lkn wewe umevipika kana navyopikaga mimi,BIG UP kwako
Hitii sukari
Sukari inawekwa kwenye tui, ukivitosa kwenye tui basi vibibi vyitaingia sukari
Ty once again for the lovely Rice coconut juice cake or vibibi in kiswahili recipe n supper results I'm so happy watching ur post from Tanga Tanzania Wow absolutely amazing.
Thank you so much
Yummy! Looks delicious
Thankyou😙😙😍
We mjanja nakuaminia.wengi hawawezi kutosa vibibi kwenye tui kama hivyoo vinawakatikia wanaishia kuweka mchuzi juu kwenye sahani ndo wanatia tui kwa juu...Lkn wewe umevipika kana navyopikaga mimi,BIG UP kwako
Asante ,hivyo ndivyo tulivyofunzwa Tanga
@@mapishitanga9861 Nilipokuwa primary bibi yangu alikuwa muuza vibibi maarufuuu nae kama kawa anavitosa kwenye tui...
Ndivyo vinavyopikwa
Tanga hatukosei🤣🤣🤸🏾♀️
Masha Allah tabaraka ALLAH
Thanks
Mashaallah
Asante
W slm
Nikifika Tanga natamani nije nionje mapishi ya Tanga mko vizuri
Asante sana, hatupo Tanga tupo hapa hapa Dar, ila ni wenyeji wa Tanga
@@mapishitanga9861 okay mko maeneo gani nije niwatembelee jamani?
@@saidisaid4964 Tupo karibu na cape town fish market
Kwetu tunaita masagu na kiasili tunachoma kwenye mfuniko wa udogo
Asante, kama ulikuwepo halafu huo mfuniko unaitwa ugaee (kama sahani ya udongo) umenikumbusha mbali🤣😋
@@mapishitanga9861 hiv dada uji wa vitumbua unatakiwa uwe NA uzito kqmq uji wa mkate au
Inaonekana vitamuu..
Vitamuu kwel kwel😍😍😍😚
Nina swali mfano ukapikia na chungu
Pia sawa…kwasababu frying pan za cku hzi kama ugae