Jinsi ya kupika Vibibi vitamu sana/ rice pancake and coconut milk sauce
Vložit
- čas přidán 6. 08. 2024
- Mahitaji
Mchele 1/2 kikombe
Tui bubu kikombe 1
Iliki 1/4 kijiko cha chai
Hamira kijiko kimoja cha kulia chakula
Sauce ya vibibi
Maji vikombe viwili
Nazi ya unga vijiko 3 vya kulia chakula
Custard powder 1/2 kijiko cha kulia chakula
Vanilla extract vijiko viwili vya chai au iliki 1/2 kijiko cha chai
eastafricanfood...
wardytor?igshid...
Mashawallah 😊
Mashallah
Mashallah vinatamanisha
mashallah
Ma shaa Allah vbb 👌🏾
Mashallah vizuri sana.tunaomba utufanyie mkate wa sinia ule wa nyumbani.
Ok InshaAllah kesho au kesho kutwa💕🌺
Great rice pancake recipe 🌷👍👍
Thank you 😘😘
Nice
Yummy
great recipe
rice pancake looks delicious
Thank you
Masha Allah
Shukran 😘
Mashallah tabarak Rahman 🥰🥰🥰🥰
Mashaallah....
Mashallah nimependa sana hi bc nlikuwa natafuta hi i upishi
Mashallah. Nitajaribu
mashaAllah 👌👌
instablaster.
Asalam Aleikum Naomba kuona upishi wako WA Chila please
czcams.com/video/xdGo5m9Z-tc/video.html
Hii apa dear , sorry kwa kuchelewa kukujibu💕
Iyo mashine uliosagia ni ya vitu vikavu?
Ntajaribu thanks
You’re welcome 💕
Zakallahu kheri Masha Allah , mchele gani hasa mzuri na kwa nusu mchele hamira vijiko vingap
Mchele mzuri ni V.I.P na basmati. Kama mchele utakuwa nusu kilo weka hamira kijiko cha kulia chakula kimoja na nusu au viwili .
Nauliza hauwezi kuweka sukari kwenye vibibi kidogo Kisha pia kidogo Kwa tui
Mashaallah hbbty mbona hajaweka sukari
Hi dear , nimeweka kwenye rojo la vibibi sukari , kama unataka iwe vitamu sana unaweza kuweka kidogo kama kijiko kimoja kwe vibibi wakati unasaga💕
Asante kwa upishi wa vibibi. Naomba vipimo uweke kwenye description box. Greetings from Oman ❤❤
Ok dear nitafanya hivyo, Shukran ❤️
@@wardakhalid292 Ukumbusho kuweka vipimo kwenye description box tafadhal. Shukran
Ok dear nimeshaweka 💕
@@wardakhalid292 Shukran sana! Swali kuhusu tui kikombe himoja. Ni kicombe cha chai au kikombe kama measuring cup, 1 Cup. Nitashukuru ufafanuzi 🤗
Ni measuring cup
Naomba kujua mapishi yamahalage yakukata
Achalia hii video ya Mbaazi za kukata ndio njia Hiyo Hiyo unatakiwa kutumia kupika maharage ya kukata.
Link hii hapa👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻
czcams.com/video/AH1zRrYsw5c/video.html
tofauti ya mkate wa chila na kibibi ni ipi?
khamis mahmud kwa ninavyofahamu mimi chila vinakua havina rojo. Ila vibibi lazima viwe na rojo ila process za kuviandaa na kupika zinafanana. Na utamu wa chila unakuwa tayari uko ndani ya chila, ila vibibi utamu wake uko kwenye kwenye hiyo sauce ya kumwagia juu.
KAMA SINA BLENDA NAWEZA KUSAGA MCHELE MASHINE
Yes unaweza , unachanganya unga wa mchele, hamira , Iliki na tui the unaacha viumuke then unaweka sukari na kuchanganya vizuri na baada ya hapo unapika vibibi vyako kama kawaida
Hiyo powder inaitwaje je kama hauna unaweza kuweka tui pekeyake
Nimetumia custard powder na nazi ya unga dear.
Yes, unaweza fanya na tui bubu , sukari na iliki mpaka liwe zito then unamwagia juu💕
Kama hauna coconut milk can you use normal milk
Yes you can dear💕
@@wardakhalid292 gonna try it now
Zaid mchele gani unatumia ama wowote
Mchele wa VIP
@@wardakhalid292 shukraan habibty Allah akufungulie lkheir
Allahuma Ameen 💕
Hakuna msosi nimeumiss Kama huu.. Nina Kama miaka kumi na moja sijala... Lkn kwa njia uliyokuja nayo nitajaribu kupika then nitawasiliana nawe... Nitext +249117504073. Shukran
Unaweza kunipa feedback kupitia page yangu ya mapishi ya instagram eastafricanfood_. instagram.com/eastafricanfood_?igshid=cbf0l09fdufi
Wakat wa kuchoma huwek mafuta
Hapana hauweki
Unatakiwa kutumia pan ambayo haigandishi chini.
@@wardakhalid292 sawa kumbe mim nlikua naweka mafuta nakuta vigumuuuuu