UJI WA MCHELE
Vložit
- čas přidán 5. 06. 2018
- Mahitaji:
Mchele ulopondwa/mzima ( Nimetumia vijiko 2 vikubwa)
Tui la nazi ( Nimetumia kikombe kasoro 3/4)
Maziwa ya kawaida ( Nimetumia robo kikombe 1/4)
Maji 1/4 kikombe
Sukari ( kama utapenda)
Chumvi kidogo ( kama utapenda)
Pilipili manga
Mdalasini
Bizari nzima ( uzile)
Hiliki
Aroma of Zanzibar social media
/ fathiya.ismail
/ aromaofzanzibar
Video intro Zanzibar Spice Market by Farhat Abbas czcams.com/users/results?searc...
Video Intro Mombasa spice market by Chef Farouk Amboka
faroukambok...
Music courtesy / contemplative-middle-e...
This is English and Kiswahili channel where you will find cuisine from around the world - Jak na to + styl
Mashaallah! Nimeupenda sana
Mashaallah! Thank you for sharing ❤
Nilikua nautafuuuta huu uji jomoni 😍😍 finally thanks
Mashaallah nimeupenda
Mashaallah barakallah fikq
Mashaallah very nice Shukran
Nakupenda na asante kwa mapishi
Mashallah uji mtamu huo naupenda sana shukran
Maa shaa Allah my sister
Wewe ni super😍😘
Uji muzuri Sana'a mashallah
Mashaallah nice 😋 saum makbul. Shukraaan habibty 😍
Mashallah...
Masha Allah Shukran sis
Mashallah hbbty
Maa shaa Allah uji ni mzuri sana huo Ramdhan mubaarak habibty
mashaallah shukran ddaty
Mashaallah unaonekana mtam Allah akulipe zaid
Jazakallah khayran sis thx
Asant kwa mapishi my dear
Mashaallah very yummy naupenda shukran nimejua nakosea wapi
Maa shaa Allah
MashaAllah. Shukran sana, huu uji nimeupenda nitajarib InshaAllah. Ramadhan kareem
Huu uji mtamu sanaaa
Nyc mamy
Very nice mashaallah
maashaallah
Mashaallah
Mashaalla
Nzuri sana....shukran
shukran kwa kutupa mapishi bulee mungu akulipe inshaallah
Mashallah
Shukran dear
IF YOU WISH TO WATCH THIS RECIPE IN ENGLISH PLEASE FOLLOW THIS LINK czcams.com/video/FmlXHfHzkjU/video.html
MashaAllah super delicious unaonesha. Hongera na asante kwa video.
Finally umefika, thanks dear
Aroma of Zanzibar yeah habibty notification ya uji imenileta lol. Afwan dear 😍.
Instablaster.
Shukran my lovely
Hongera sana unaelekeza vizuri
Ahsante sana
shukran
Shukran
Safi
Masha Allah waonekana mtamu thanks dear
Naupendaga ya wengine wanautwanga na wengine wanapika mzima
Mashallah, ni mtamu, thank you na thumbs up.
Thanks dear
Wellcome dear.
MashaAllah Naomba pishi la laddu
Mie si mpishi wa ladu dada watoto wangu hawapendi vitu hivyo
Shukrani
Nakupendaga sana dada Aroma. Mwenyezi Mungu azidi kukupigania katika maisha yako
Shukran, amin
yummy yummy Ma Sha Allah
MAA SHAA LLAH inaonesha huo uji itakua mtam unavoonesha tunaomba kama inawezekana ukipata nafasi utuwekee keki ya tende
Inshallah nikipata fursa nitaleta
Asanteni kutufundisha.
thank you
Thank yiu
Whoah! ni simple tu alafu kinatoka kitu kizuri ivo!
Hata mama mdogo a nawekaga chumvi na sukar
Na viungo napendaga kuvipondaga na mimi
😍😍😍
❤❤❤❤❤
Asante
Mashlh nimejaribu kupika watt wangu wamekunywa sana na hua hawapendi uji lakin huu una ladha mashlh
Mashallah
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Michele wa aina gani ni mzuri kwa uji
Michele mnene
@@aromaofzanzibar mimi naishi norwa..tuna jasmine rise inafaa
Yes
@@aromaofzanzibar asante shangazi Langu ❤❤❤
MashaAllah.. sister plz tuoneshe namna ya kupika kaak...ili tufanye siku ya eid mungu akipenda
Ihsallah nitajaribu nipo busy sana, kama sijaweza Eid hii itakuja Eid kubwa lakini nitajaribu
Aroma of Zanzibar InshaAllah
ubarikiwe sn,ninaomba utuelekeze jinsi ya kutengeneza cheuro
Ahsante, chauro baada ya Eid tukijaaliwa
Asantee
asalam alaikum tufundishe Vyakula vya skukuu asubuhi
Inshallah dear vinakuja na pia pita video za zamani vipo vyakula hivyo
Shukran, naomba kuuliza swali nje ya Mada, naomba unifahamishe jinsi ya kutunza tomato paste Isiharibike, course nimeanza kutumia baada ya kuanza kuangalia channel yako, na sifahamu namna ya kuhifadhi kwake
Mie huwa natia kwenye mfuko au kitu cha plastic au pia kwenye tray ya barafu halafu na freez
Do you get all your spices in Zanzibar?
I live in US I buy mine from Indian stores
Assalam Aleykum Warahmatullahi Wabarakatuh habibaty. Can I use rice flour, ama ni naweza kuloweka mcheke alafu nisage kama hile ya mkate wa sinia? Is it ok??
Mimi kwa ukweli sijawahi kufanya hivyo lakini sioni ubaya itabidi ujaribu uone kama utapenda
Mimi kwa ukweli sijawahi kufanya hivyo lakini sioni ubaya itabidi ujaribu uone kama utapenda
@@aromaofzanzibar nimejaribu just b4 ur reply and it was mashaAllah Tabarakallah tamu kweli muhimu th ikolee nazi na sukari. Shukran Sana for ur reply
Fatuma Ahmed jmn wapendwa uji wabiashara weweza tumia maji na kuazia kilo ngapi?
Hata mimi napendaga uliokatika hila hata mzima mzur ukiwa na tui na maziwa, kama hivyo
Hy nibinzar gan dd
Nimeandika viungo na vipimo vyote hapo chini ya terehe kwenye description box
Naomba msaada je nakosea WAP kila nikipika Bagia za dengu zawa nzito ndan kwanini na beking powder naweka???
Sijui unatumia recipe gani lakini ndio unatia baking powder au baking soda
Nasikia kuna uji wa chugu (karanga) naomba utufundishe kuupika plzzzzz
Sijawahi kujaribu bado
I haven’t seen the recipe of Uji wa Kunde😌
Not yet dear
Aroma Of Zanzibar & Beyond tunangojea kwa hamu 🙏🙏🙏
Dada kwani nilazima uweke nazi?
Nazi ni kwa ladha kama hutaki huo ni uwamuzi wako
s
Naweza tumia unga wa mchele ulokwisha sagwa?!
Unweza lakini usiwe unga hasa yaani
Asant kwa mapishi my dear