KISHIMBA AMVAA MWIGULU - ''WEWE NDIYO UNAPOKEA PESA ZOTE KWENYE MIAMALA''...
Vložit
- čas přidán 6. 11. 2023
- KISHIMBA AMVAA MWIGULU - ''WEWE NDIYO UNAPOKEA PESA ZOTE KWENYE MIAMALA''...
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Huyo ndiyo profesa Kishimba big up
Kishimba hongera sana kwa mchango mzuri
Yani huwa nasubiri mchango wa Prof Kishimba.. Huwa ananikosha sana 👏
Mheshimiwa Kishimba wewe ni wa tofauti sana na mwana mapinduzi wa kweli kwa Gharama za matibabu watanzania wengi hawako salama.
Huyu mzee nampenda sana
Kishimba is a smart and very logic guy.Huyu jamaa ana akili sana.
Big brain huyu baba. Big up!
Kishimba umeongea point sana. Hongera
Kishimba nakukubali saaana
Well spoken mzee wangu Kishimba 💪🏿
Huyu mzee anaakili sana
Nakuelewa sana kishimba , unafikiria nje ya box
Tabasamu na kishimba ni wabunge wenye michango bungeni yenye tija sana kwenye nchi yetu.......hivi hawa wawili mbona hawapewi majukumu kwenye serikali? au labda sijui serikali mnawatumia kimya kimya and Ole sendeka.....this people ni tunu ya taifa hili kwa kweli....labda ni wazee hamuwatumii...lakini tuna tunu hizi ccm use them!! Kabudi,yule alikuwa ardhi enzi ya magufuli yani!!! Halima Mdee ni mwenyekiti atleast na asiishie apo!! Jamani!!!!
Baba samahani sana Bado tunakuhitaji watu wa hivyo hawatakiwi shauri yako wenzio wahujumu tuu
Huyu mzee saf sana mgekuaga mnagombeaga urais yaan done kabisa
Huyu Mzee huwa ana maono mapana sana kuliko,hao maprofesa......!!
Yaani mimi mheshimiwa kishimba nataka aweraisi .dunia itamkubali
Huyu ndio mubunge pekee wa CCM anamawazo chana
Great mind sjawahi ona mzee kichwa kama huyu asee
Kishimba! Huyu Jamaa nampenda Sana! Dah! ... Hebu mpeni Wizara please! This is more than Jembe! Wow!