KISHIMBA AMVAA MWIGULU - ''WEWE NDIYO UNAPOKEA PESA ZOTE KWENYE MIAMALA''...

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 11. 2023
  • KISHIMBA AMVAA MWIGULU - ''WEWE NDIYO UNAPOKEA PESA ZOTE KWENYE MIAMALA''...
    CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
    ========================
    Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Komentáře • 86

  • @richardkashinje1782

    Huyo ndiyo profesa Kishimba big up

  • @makungamapalala7982

    Kishimba hongera sana kwa mchango mzuri

  • @EzzyK438
    @EzzyK438  +20

    Yani huwa nasubiri mchango wa Prof Kishimba.. Huwa ananikosha sana 👏

  • @juliusntandu4302

    Mheshimiwa Kishimba wewe ni wa tofauti sana na mwana mapinduzi wa kweli kwa Gharama za matibabu watanzania wengi hawako salama.

  • @mwaiselamwaisela7262

    Huyu mzee nampenda sana

  • @hubman6780

    Kishimba is a smart and very logic guy.Huyu jamaa ana akili sana.

  • @venanthinjuson5022

    Big brain huyu baba. Big up!

  • @user-rl4nv7ls4e

    Kishimba umeongea point sana. Hongera

  • @charlessolomon5928

    Kishimba nakukubali saaana

  • @omarikessy2339

    Well spoken mzee wangu Kishimba 💪🏿

  • @husseinally5550

    Huyu mzee anaakili sana

  • @shabantelack5716

    Nakuelewa sana kishimba , unafikiria nje ya box

  • @georgemwakalindile687

    Tabasamu na kishimba ni wabunge wenye michango bungeni yenye tija sana kwenye nchi yetu.......hivi hawa wawili mbona hawapewi majukumu kwenye serikali? au labda sijui serikali mnawatumia kimya kimya and Ole sendeka.....this people ni tunu ya taifa hili kwa kweli....labda ni wazee hamuwatumii...lakini tuna tunu hizi ccm use them!! Kabudi,yule alikuwa ardhi enzi ya magufuli yani!!! Halima Mdee ni mwenyekiti atleast na asiishie apo!! Jamani!!!!

  • @meryshekoloa961

    Baba samahani sana Bado tunakuhitaji watu wa hivyo hawatakiwi shauri yako wenzio wahujumu tuu

  • @abdulisike8320

    Huyu mzee saf sana mgekuaga mnagombeaga urais yaan done kabisa

  • @Sangaadam

    Huyu Mzee huwa ana maono mapana sana kuliko,hao maprofesa......!!

  • @venceslausmtanila93

    Yaani mimi mheshimiwa kishimba nataka aweraisi .dunia itamkubali

  • @mnyongeiddi2454

    Huyu ndio mubunge pekee wa CCM anamawazo chana

  • @MalaikaBusiness-cv8ex

    Great mind sjawahi ona mzee kichwa kama huyu asee

  • @noellumbael8397

    Kishimba! Huyu Jamaa nampenda Sana! Dah! ... Hebu mpeni Wizara please! This is more than Jembe! Wow!