DRONE PICTURE: NYOMI LA KARIAKOO LEO, MITAA YAFUNGA WATU WAKIJIANDAA NA SIKUKUU YA EID

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 20. 08. 2024

Komentáře • 33

  • @zikirination6769
    @zikirination6769 Před 3 lety +2

    Watching from miami I believe Tz no corona I wish to be there✌️

  • @florarog548
    @florarog548 Před 3 lety +1

    Msongamano huo ni wa kawaida sana kwa kariakoo, ungeenda siku 3 kabla ya sikukuu ungejionea mwenyewe hata kupishana ni shida lkn Mungu anatuvusha salama!

  • @onesmojustice2348
    @onesmojustice2348 Před 3 lety +8

    Hiyo ndo tz bana hamna cha korona wala koromeo😂😂😂😂

  • @chichimedia4378
    @chichimedia4378 Před 3 lety +3

    Wa kwanza hapa

    • @SAMMEDIA255
      @SAMMEDIA255 Před 3 lety +1

      Travis jina @Machinga_wa_udom hapo nakufollow chap

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 Před 3 lety +2

    Etiiii mnaleta chanjo ya Corona hembu acheni unafiki Asanteni k koo Asanteni kwa KUISHI kama mfalme wetu magufuli alivyo tu fundisha wazungu wa Hina wakiona hivi wanatamani walete sumu ya Corona WAMWAGE hapo

    • @itwaaky75
      @itwaaky75 Před 3 lety

      Nani kasema wanaleta?

    • @maloomaalmnsj5111
      @maloomaalmnsj5111 Před 3 lety

      @@itwaaky75 inakuja

    • @junioryasin5306
      @junioryasin5306 Před 3 lety

      @@itwaaky75 inakja kptia chanjo

    • @monicahovda4524
      @monicahovda4524 Před 3 lety +1

      Na hata wakiileta watachoma wenyewe. Hao wanaotaka kwenda huko kwa Mabwana zao, Lakini Sio bongo tusiharibiane, Mungu Muumba wa vyote yupo nasi,

  • @souvenirweber7169
    @souvenirweber7169 Před 3 lety +2

    Tanzania Mungu anaipenda sana hii khari wenzenu hawakumbuki lini wamekuwa huru hivyo ni mask na social distance

  • @lelabakar5636
    @lelabakar5636 Před 3 lety

    Mashllh ...nawatakia idi mubarak waislamu wote 😍

  • @Itsst4ra
    @Itsst4ra Před 3 lety +2

    Yani hapo kariakoo magorofa hawayakarabati machafu Yani ukiangalia views ya juu Kama new York city wayarekebishe bwana tupate new York yetu ya dar es salaam

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 Před 3 lety +1

    Duuh haki nawaonea huruma sana machinga

  • @mmadiausiy9810
    @mmadiausiy9810 Před 3 lety

    Mashalah

  • @user-zq1xe3xp8v
    @user-zq1xe3xp8v Před 6 měsíci

    Napakumbuka sn kariakoo😰😰😰

  • @amapiaanocityintz6454
    @amapiaanocityintz6454 Před 3 lety +1

    Ungeenda jana yake apo ni kidogo sana

  • @husseinbushiri9973
    @husseinbushiri9973 Před 3 lety

    Wa pili mimi

  • @magrethbenjamin4969
    @magrethbenjamin4969 Před 3 lety +2

    Hiv kwel bong no kovid🙄

    • @hamuwaguma4578
      @hamuwaguma4578 Před 3 lety

      Yes

    • @fatmamakalo3068
      @fatmamakalo3068 Před 3 lety

      Alhamdulillah twashukur mungu

    • @monicahovda4524
      @monicahovda4524 Před 3 lety

      Wafrica wako na DNA strong na pamoja na mtindo wa vywakula vyetu vywa asili, havina madawa kwa hiyo Miili imeshajijengea kinga ya zaida na hata ugonjwa unakuwa mtunhaumsumbuinunaishia mara moja, weee fikiria Maralia mataifa yaliendlea wanaiyogopa sanaa, wakati huku kwetu ni kawaida

  • @myself4128
    @myself4128 Před 3 lety +1

    Halafu Likingwangwala linasema.eti Vaccine ya nini sasa wakati tupo salama? Kwani covid inaua zaidi ya Malaria?Kifuata mkumbo tuu,viongozi MAJUHA TUU ndio kama lile Lisipika la bunge sijui Lindungai likaropoka eti Tujenge bandari bagamoyo kwani Ya Tanga itaendelezwa lini? Au ya Dar? Kwanini Bagamoyo kama sio kununuliwa na miradi alosainishwa Kikwete na wachina?

  • @mtegamadata1632
    @mtegamadata1632 Před 3 lety

    Watatu mm

  • @MajiTakaMaji
    @MajiTakaMaji Před 3 lety

    Mma angevunja tu hiyo tim ya kuchunguza Corona sababu vitu vinajieleza vyenyewe

    • @monicahovda4524
      @monicahovda4524 Před 3 lety

      Yaani hata mimi nashangaa, ni kupoteza muda na pesa tu, Kila kiti kinajionyesha chenyewe, na huona ndivyo hivyo hivyo, hakitakuwepo chochote zaidi ya Mamlaka ya Mungu Muumba wa vyote

  • @dauddaudi7103
    @dauddaudi7103 Před 3 lety

    Wa4

  • @mohammedmnasi3228
    @mohammedmnasi3228 Před 3 lety +1

    Tunaishi na kauli ya jpm kataa ofu