Msongamano huo ni wa kawaida sana kwa kariakoo, ungeenda siku 3 kabla ya sikukuu ungejionea mwenyewe hata kupishana ni shida lkn Mungu anatuvusha salama!
Etiiii mnaleta chanjo ya Corona hembu acheni unafiki Asanteni k koo Asanteni kwa KUISHI kama mfalme wetu magufuli alivyo tu fundisha wazungu wa Hina wakiona hivi wanatamani walete sumu ya Corona WAMWAGE hapo
Yani hapo kariakoo magorofa hawayakarabati machafu Yani ukiangalia views ya juu Kama new York city wayarekebishe bwana tupate new York yetu ya dar es salaam
Wafrica wako na DNA strong na pamoja na mtindo wa vywakula vyetu vywa asili, havina madawa kwa hiyo Miili imeshajijengea kinga ya zaida na hata ugonjwa unakuwa mtunhaumsumbuinunaishia mara moja, weee fikiria Maralia mataifa yaliendlea wanaiyogopa sanaa, wakati huku kwetu ni kawaida
Halafu Likingwangwala linasema.eti Vaccine ya nini sasa wakati tupo salama? Kwani covid inaua zaidi ya Malaria?Kifuata mkumbo tuu,viongozi MAJUHA TUU ndio kama lile Lisipika la bunge sijui Lindungai likaropoka eti Tujenge bandari bagamoyo kwani Ya Tanga itaendelezwa lini? Au ya Dar? Kwanini Bagamoyo kama sio kununuliwa na miradi alosainishwa Kikwete na wachina?
Yaani hata mimi nashangaa, ni kupoteza muda na pesa tu, Kila kiti kinajionyesha chenyewe, na huona ndivyo hivyo hivyo, hakitakuwepo chochote zaidi ya Mamlaka ya Mungu Muumba wa vyote
Watching from miami I believe Tz no corona I wish to be there✌️
Msongamano huo ni wa kawaida sana kwa kariakoo, ungeenda siku 3 kabla ya sikukuu ungejionea mwenyewe hata kupishana ni shida lkn Mungu anatuvusha salama!
Hiyo ndo tz bana hamna cha korona wala koromeo😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
Ivi wakiambiwa wavae barakoa kweli watavaa sipati picha mie mwenyewe siwezi😂🤣🤣😂
Alfu kunawatu wako nje ya nchi wanatuambia tunakufa (shenzi)
Wa kwanza hapa
Travis jina @Machinga_wa_udom hapo nakufollow chap
Etiiii mnaleta chanjo ya Corona hembu acheni unafiki Asanteni k koo Asanteni kwa KUISHI kama mfalme wetu magufuli alivyo tu fundisha wazungu wa Hina wakiona hivi wanatamani walete sumu ya Corona WAMWAGE hapo
Nani kasema wanaleta?
@@itwaaky75 inakuja
@@itwaaky75 inakja kptia chanjo
Na hata wakiileta watachoma wenyewe. Hao wanaotaka kwenda huko kwa Mabwana zao, Lakini Sio bongo tusiharibiane, Mungu Muumba wa vyote yupo nasi,
Tanzania Mungu anaipenda sana hii khari wenzenu hawakumbuki lini wamekuwa huru hivyo ni mask na social distance
Mashllh ...nawatakia idi mubarak waislamu wote 😍
Yani hapo kariakoo magorofa hawayakarabati machafu Yani ukiangalia views ya juu Kama new York city wayarekebishe bwana tupate new York yetu ya dar es salaam
Duuh haki nawaonea huruma sana machinga
Wanajitafutia Ridhiki yao
Mashalah
Napakumbuka sn kariakoo😰😰😰
Ungeenda jana yake apo ni kidogo sana
Wa pili mimi
Hiv kwel bong no kovid🙄
Yes
Alhamdulillah twashukur mungu
Wafrica wako na DNA strong na pamoja na mtindo wa vywakula vyetu vywa asili, havina madawa kwa hiyo Miili imeshajijengea kinga ya zaida na hata ugonjwa unakuwa mtunhaumsumbuinunaishia mara moja, weee fikiria Maralia mataifa yaliendlea wanaiyogopa sanaa, wakati huku kwetu ni kawaida
Halafu Likingwangwala linasema.eti Vaccine ya nini sasa wakati tupo salama? Kwani covid inaua zaidi ya Malaria?Kifuata mkumbo tuu,viongozi MAJUHA TUU ndio kama lile Lisipika la bunge sijui Lindungai likaropoka eti Tujenge bandari bagamoyo kwani Ya Tanga itaendelezwa lini? Au ya Dar? Kwanini Bagamoyo kama sio kununuliwa na miradi alosainishwa Kikwete na wachina?
Watatu mm
Mma angevunja tu hiyo tim ya kuchunguza Corona sababu vitu vinajieleza vyenyewe
Yaani hata mimi nashangaa, ni kupoteza muda na pesa tu, Kila kiti kinajionyesha chenyewe, na huona ndivyo hivyo hivyo, hakitakuwepo chochote zaidi ya Mamlaka ya Mungu Muumba wa vyote
Wa4
Tunaishi na kauli ya jpm kataa ofu